when you loose faith you also loose hope,
when you loose hope you then loose what is mean to be a human being.
many Tanzanian today are becoming so!
nasikitika kusema hivi lakini baada ya Mwalimu kuondoka tukawa tunajiendea tu yaani "mwenye nguvu mpishe" na sasa imefikia sehemu "wasio na nguvu" wamekuwa wengi mno na wanajaribu kutumia theory hiyohoyo ya "mwenye nguvu..." na matokeo yake ni kama haya!!
Ukitaka kujua kuwa MATUMIZI YA AKILI Tanzania yamepungua angalia kwenye mikusanyiko ya kijamii. Mfano matumizi (upanadaji) wa daladala, kukuta vibao vya 'usikojoe hapa' katikati ya miji-kujisaidia ovyo, utunzaji wa miundombinu ya jamii kama mabomba ya maji, kutupa taka hovyo wakati kuna mapipa ya taka. Hayo yote ni 'variables' ambazo climax yake ni hii picha.