Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
Inasikitisha sana jamani haaaah, hebu fikiria kama huyu marehemu alikuwa na uhasama na mtu kisha akasingiziwa wizi hali iliyopelekea kutoa uhai wake!
...Hali ni mbaya sana Tanzania; watoto wadogo wanakua wanaona haya ni mambo ya kawaida tu. watajifunza wapi juu ya utawala wa sheria. Sad....Inasikitisha sana jamani haaaah, hebu fikiria kama huyu marehemu alikuwa na uhasama na mtu kisha akasingiziwa wizi hali iliyopelekea kutoa uhai wake!
Ulikwishawahi kuonja machungu ya kuibiwa?Maskini hata kama alikuwa mwizi wangeacha aadhibiwe na mahakama. Mungu amrehemu.
Ila watu nao hawajifunzi wataona mwenzao kafanyiwa hivyo bado wataenda kuiba tena.
au mke/binti wako kubakwa mbele ya macho yako na hawa jamaa?Ulikwishawahi kuonja machungu ya kuibiwa?
mwe!))))))ccm ndio imesababisha yote haya