BEDO NYALUTOGO
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 1,328
- 194
mmmmm!!!
Okay, umesomeka ila jaribu kutetea hoja zaidi kuliko kutetea mtu! Huyo Warioba, mimi na hata wewe tutakufa kesho au keshokutwa, lakini Tanzania itaendelea kuwepo! Tujadili kwa ustaarabu hata kama hatukubaliani. After all "wananchi walio wengi" ndio wataamua kwa referendum!Kikwete alimshambulia Warioba binafsi, pia Shivji kamshambulia Warioba binafsi, kwa kumtajia jina binafsi si kama tume iliyowasilisha maoni ya wananchi. Ndiyo maana analazimika kujibu matusi. Kwenye semina ya Shivji kwa vijana wa CCM iliyopachikwa jina la kongamano la vyuo vikuu, Warioba ametukanwa binafsi kuwa amesalia kuishi miaka kumi tu. Shivji aliyabariki mashambulizi hayo ya wana CCM.
sawa,msalimie shetani .Hapana mkuu mimi sijakomalia Serikali 2, ila kwa Rasimu hii isiyoeleweka afadhali "shetani unayemjua kuliko malaika usiyemjua!"
Je, "wananchi walio wengi" walisema wanataka "Nchi 3" au "Serikali 3?"
hakuna shida, najua unachuki binafsi na Mzee Warioba, kila kitu warioba, warioba utafikiri tume nzima alikuwa pekeyake, Alafu kwa nini wewe na wenzako mnaiogopa sana Tanganyika? Kelele zote hizi kisa Tanganyika tuuu.Tatizo lako umetafsiri utafikiri Warioba anavyochanganya "Serikali 3" na "Nchi 3" akifikiri ni kitu kile kile!
Mkuu tulia upige watu BAN hapa utaishia kutukanwa na kupigwa za usoTatizo lako umetafsiri utafikiri Warioba anavyochanganya "Serikali 3" na "Nchi 3" akifikiri ni kitu kile kile!
hakuna shida, najua unachuki binafsi na Mzee Warioba, kila kitu warioba, warioba utafikiri tume nzima alikuwa pekeyake, Alafu kwa nini wewe na wenzako mnaiogopa sana Tanganyika? Kelele zote hizi kisa Tanganyika tuuu.
Uzuri hatima ya muundo wa muungano ni ijumaa,kitaeleweka na labda longolongo itapungua watu waanze kujadili masuala ya msingi.
Warioba yupo nyumbani kwake anamwagilia maji maua yake. Si mlipitisha sheria ya kifuta Tume ya kuratibu maoni ili wasiwe sehemu ya bunge la katiba? Sasa mtapiga ramli mpate majibu.
Kama Zanzibar iliwekwa na kupewa mamlaka ya kuitwa serikali ya mapinduzi; bas na Tanganyika lazima irudishwe na isimame kama serikali inayojitegemea.