Warioba, Wananchi Walitaka "Serikali 3" au "Nchi 3?"

Warioba, Wananchi Walitaka "Serikali 3" au "Nchi 3?"

piga uwa garagaza ni serikali 2 tu mengineyo tutayaboresha hatutaki kuivunja nchi yetu hadi sasa NAUNGA HOTUBA YA RAIS WANGU KIKWETE .......YALIO MENGI YANAZUNGUMZIKA

wazanzibar nchi yetu tushachukuwa 2010 kwa kura ya maoni 66% ya wapiga kura wamekubali sawa na 2/3 . mabadiliko ya 10 ya katiba ya Zanzibar. na kama mnafikira za kuwa zanzibar itabadili tena katiba yake kurudi kule utakuwa UNAISHI KWENYE MWEZI..MOON.. AU sayari ya PLUTO SI DUNIA HII. AU UNAWAZIMU. R.I.P TANZANIA
NI SAWA TANGANYIKA YENU msivunje bure.
hakuna Mzanzibar asietaka Zanzibar kuwa nchi LAkini kuna watanganyika hawataki Tanganyika iwe nchi.
 
Asili yangu nimezaliwa Tanzania sio Tanganyika! Pia zaidi ya 90% ya wananchi wote wamezaliwa baada ya Muungano, 10% tu ndio walioonja Utanganyika!

so what?does this change the fact that tanzania is a union between tanganyika and zanzibar?.kwanini hatuoni shida kuzungumzia zanzibar??..why afraid of tanganyika??hii ndo nchi iloungana na zanzibar kuzaa hii inayoitwa tanzania na fact itabaki hivo!
 
Mkuu, on the contrary nampenda sana Warioba, sina chuki naye hata kidogo, lakini sitaki kuwa mnafiki kwa kumpaka mafuta kwa mgongo wa chupa! Pale alipofanya vizuri nitamsifu na pale alipokosea nitamkosoa!
Kuhusu Tanganyika, sio kwamba naichukia ila nilitaka kujua juu ya "maoni ya wananchi walio wengi" kuhusu "Nchi 3!" Kuuliza hilo tu nimekuwa na chuki na Warioba? Halafu mimi sijaona wajumbe wengine wa Tume wakifunua midomo yao zaidi ya Warioba, ndio maana amemjibu hata Shivji! Katika mazingira hayo ndio maana mtu wa kumpelekea ujumbe ni Warioba, yeye ndio atawajulisha wenzake! Mbona akipewa sifa hasemi tuzipeleke kwa Tume? Lawama ndio anaona ni za Tume. Hata hivyo, kuhusu Tume nayo, imevunjwa, maadam msemaji wake bado anatetea hoja tutaendelea kujibu/kutoa hoja kwake!


Tanganyika kwanza, mengine baadae.
 
so what?does this change the fact that tanzania is a union between tanganyika and zanzibar?.kwanini hatuoni shida kuzungumzia zanzibar??..why afraid of tanganyika??hii ndo nchi iloungana na zanzibar kuzaa hii inayoitwa tanzania na fact itabaki hivo!

Hatuogopi, labda wewe ndio unaogopa kuzungumza!
 
Tatizo lenu ccm mnajitoa ufaham kwa kujaribu kupotosha maon ya wananchi wanao taka Tanganyika yao huku mkiwa mmekunywa viroba, Ibara ya 64(1) hii hapa nioneshe neno nchi hapo au km umeleta lasim ya congo sawa
Naitafuta ya Congo...inawezekana anatumia ya Congo kweli huyu
 
Watu wengi wakiwemo viongozi hawawezi kutofautisha serikali, nchi na dola.

Tunahitaji dola moja, nchi moja na serikali zinaweza kuwa zaidi ya moja!

Serikali ya Muungano iwe ndiyo yenye mamlaka kuu (sovereign powers), serikali za chini kama za Tanganyika, Zanzibar na za mitaa ziwepo tu kama wananchi wanazitaka.
 
Back
Top Bottom