orturoo
JF-Expert Member
- Mar 13, 2017
- 3,101
- 5,342
Tuendelee kukaza fuvu
Tuendelee kukaza fuvu
Hivyo Tu yaani
Kasema Warioba leo na amesikika.
Chawa mwenye akili na hekimaSo what mzee alikuwa chawa wa Nyerere akiwapiga short wengine
USSR
Uwezo wa kujadili mada atautoa wapi mtu kama huyo!Tujadili kweli CCM inakufa? Tujikite kwenye mada
Ife mara ngapi mkuu? Sasa hivi siyo chama bali ni kikundi kinachotegemea vitisho na mauaji ili ku-survive. Imebaki sikuya kuzikwa kaburini tu.ccm inakufa
Hapana.Hata hivyo Nyerere hakua mtu mbaya,waliokua wakipigwa shoti walikua ndio watu waovu.
Ushahidi ni Nyerere alikufa masikini, wakati Hawa viongozi wa Leo ni majambazi wanaoiibia nchi.
Hivyo Warioba alikua sawa.
YesWarioba alikuwa ni watu wachache Tanzania waliokuwa na uwezo wa kumkatalia Nyerere amri zake zilizokuwa kinyume na sheria.
Soma historia mambo yapo kwenye rekodi.
CCM kama chama kilisha kufa kilicho baki ni jeshi
So what mzee alikuwa chawa wa Nyerere akiwapiga short wengine
USSR
HakikaKasema Warioba leo na amesikika.
Sisi wengine tulianza siku nyingi kuyasema hayo hayo!
Tunashukuru sana kwa Mzalendo huyu kutumia kipaza sauti ili sote tusikike vizuri.
Kasheku Msukuma amekuwa mwanafilosofia wa CCM 😁So what mzee alikuwa chawa wa Nyerere akiwapiga short wengine
USSR
Unahangaika na Chawa hao wenyewe wako kazini sio kijadili mbo ya nchiWarioba alikuwa ni watu wachache Tanzania waliokuwa na uwezo wa kumkatalia Nyerere amri zake zilizokuwa kinyume na sheria.
Soma historia mambo yapo kwenye rekodi.
So watu....cat.......ombweeSo what mzee alikuwa chawa wa Nyerere akiwapiga short wengine
USSR
Mzee Warioba atatangulia mbele za haki kabla ya CCM.
Chawa mwenye akili na hekima
View attachment 3658936
Mamaako ataishi mileleMzee Warioba atatangulia mbele za haki kabla ya CCM.
KAULI ZA HOVYO ZA CHADEMA ZA KULETA FARAJA MIOYONI MWAO