Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 20,526
- 14,792
Aliishafariki tangu 1996!Mamaako ataishi milele
Aliishafariki tangu 1996!Mamaako ataishi milele
na faida kwa nchiKufa kwa ccm ni faida kwa wananchi
Duh!..CCM ilikwishakufa kitambo. Limebakia genge la wahuni wauaji, watekaji, wanaojiita CCM.
Fikiria mtu mmoja, anaamua hawala wakeawe mwenyekiti, makamu, rais, na inakuwa.
Kinachozaliwa na binadamu hufa, pamoja na CCM kuwa na miungu wake lakini chini ya Mungu wa Mbinguni itakufa.
Kwani mbona mungu anakipengele cha kutubu au wewe hukijui?So what mzee alikuwa chawa wa Nyerere akiwapiga short wengine
USSR
Hilo liko wazi hata viongozi wa juu katika CCM wanatambua hilo. Chama kimeacha kutengeneza wanachama makini na waadilifu kimejikita kuzalisha chawa wanaopiga mapambio bila kutumia akili, busara hofu ya mungu.
Hana kabisaUwezo wa kujadili mada atautoa wapi mtu kama huyo!
Sisiemu inapenda Wahuni na wanafiki kama huyu mzee
Ilishakufa muongo mingi iliyopitaccm inakufa
Mkuu hawa wajinga wapo wengi sanaDuuuuh
Inakufa kweli!
So what mzee alikuwa chawa wa Nyerere akiwapiga short wengine
USSR