Ryaro wa Ryaro
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 2,659
- 1,422
Si tu hafai kuwa Rais wa nchi hii bali, kitendo cha Vurugu za Kidini zinawakosesha baadhi ya Watarajiwa uhalali wa kuliongoza taifa hili linajinasibu kutokuwa na Dini....Je kama CCM watamteau kugombea na ikatokea kwa BAHATI MBAYA akawa rais hataweza kutuliza mukari na hasira za kundi la dini linalodai linaonewa na kukandamizwa.
Maana kwa sasa Viongozi walioko madarakani wanatoka upande huo na mambo ndio haya.. Je yeye akibahatika kuunyaka Urais je anayomikakati gani ya Kuyalinda makundi ya dini zote......Tumechoka sana kuona pande hizi mbili zinanyanyasana, hasa upande mmoja unaonekana kuwa na jazba na kusababisha madhara makubwa kwa upande wa pili...."
Watanzania bado tuna wasiwasi na wagombea wengi toka CCM, vinginevyo watamke waziwazi ni mbinu gani watazitumia kuondoa kirusi hiki cha Udini kilichotamaraki kwa sasa..Vinginevyo tuwajaribu wapinzani kwani kwao pana uwezekano wa kukiua kirusi cha udini, na labda tutapambana na swala na rushwa na ukabila ambao kwa nchi kama Tanzania si tatizo kuukemea na kuuzika kabisa... Udini ni noma...
Maana kwa sasa Viongozi walioko madarakani wanatoka upande huo na mambo ndio haya.. Je yeye akibahatika kuunyaka Urais je anayomikakati gani ya Kuyalinda makundi ya dini zote......Tumechoka sana kuona pande hizi mbili zinanyanyasana, hasa upande mmoja unaonekana kuwa na jazba na kusababisha madhara makubwa kwa upande wa pili...."
Watanzania bado tuna wasiwasi na wagombea wengi toka CCM, vinginevyo watamke waziwazi ni mbinu gani watazitumia kuondoa kirusi hiki cha Udini kilichotamaraki kwa sasa..Vinginevyo tuwajaribu wapinzani kwani kwao pana uwezekano wa kukiua kirusi cha udini, na labda tutapambana na swala na rushwa na ukabila ambao kwa nchi kama Tanzania si tatizo kuukemea na kuuzika kabisa... Udini ni noma...