August,ninaomba tutengenishe nia nzuri na uvunjaji wa sheria au kuwaendea kinyume wananchi wa tanzania
1. huyu mzee analipwa pensheni ya viongozi mpaka mwisho wa maisha yake, hivyo kwa upande bado ni muajiriwa wetu, pili hiyo pensheni inmwezesha kuishi vizuri tu , hivyo aache hizo tamaa.
2 alikuwa ni mwana sheria mkuu wa serikali hivyo anajua, jinsi mashirika ya umma nk yanavyo anzishwa na utafutwaji wa hao stategic investors.na pia waziri kuu hivyo lwenye cabinet wamejadili mambo mengi tu ya uwekezaji nk , na faida zake na hasara ya different strategy
3 anajua sheria ya uanzishwaji wa bot na majukumu yake, katika kulinda na kutetea maslahi ya taifa.na jinsi serikali invyo pata mitaji katika miradi yake
4. anaelewa past experience ya bot katika kununua dhahabu na hasara walizo pata.
5 anajua uwepo wa stamico na kuwepo kwa ndc katika jukumu la kuendeleza viwanda na madini.
sasa leo hii kilicho msababisha ashindwe kuyaanisha haya yote, na kuweka maslahi ya taifa mbele, mpaka kutaka kuiweka bot katika biashara ya kusafisha dhahabu ni nini?
kwani stamico-ndc wakifanya hiyo biashara taifa hali faidiki?
kwani stamico hawana hao wataalamu wa madini mpaka wao mwananchi trust wakapeleka watu wao?
ambao hata walivyokuwa selected mimi na wewe hatujui?sijiui watoto wao au ndugu wa karibu etc etc
Naona umelisoma tamshi la Warioba kwa miwani ya mbao. Ni wapi inaonyesha amekuwa na tamaa? Ni wapi ameonyesha ameshalipwa mshahara kwa kusaidia kuanzisha kampuni hiyo? Soma tena. Usijazie tu kwa dhana zako.