Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 15,677
- 19,667
Final Score: Waryoba 89%, na Makala 9%
Waryoba anasema ukweli ila anazungumza ukweli huo akiwa vichochoroni badala ya kuusema ukweli huo akiwa huko kwenye NEC ambako yeye ni member kutokana na kuwa Waziri Mkuu wa zamani.
Makala hana busara kabisa na hiyo inaonyesha jinsi gani chama kile kilivyo na viongozi wababaishaji. Anataka kusema kuwa kwake yeye watanzania wenye haki ya kuisema serikali ni wale waliompigia Kikwete tu wengine hawana lao. Huo siyo uongozi kwani hata katika maandiko matakatifu tunafundishwa kuwaangalia tunaonwaongoza wote kwa hakli sawa. Biblia ina hadithi ya mchunga kondoo aliyewaacha kondoo kumi ili kumfuata kondoo mmoja aliyepotea na kumrudisha kundini; hiyo ndiyo filosofi ya uongozi siku zote.
Waryoba anasema ukweli ila anazungumza ukweli huo akiwa vichochoroni badala ya kuusema ukweli huo akiwa huko kwenye NEC ambako yeye ni member kutokana na kuwa Waziri Mkuu wa zamani.
Makala hana busara kabisa na hiyo inaonyesha jinsi gani chama kile kilivyo na viongozi wababaishaji. Anataka kusema kuwa kwake yeye watanzania wenye haki ya kuisema serikali ni wale waliompigia Kikwete tu wengine hawana lao. Huo siyo uongozi kwani hata katika maandiko matakatifu tunafundishwa kuwaangalia tunaonwaongoza wote kwa hakli sawa. Biblia ina hadithi ya mchunga kondoo aliyewaacha kondoo kumi ili kumfuata kondoo mmoja aliyepotea na kumrudisha kundini; hiyo ndiyo filosofi ya uongozi siku zote.