Warembo wanapagawa na mimi, nifanyaje?

Warembo wanapagawa na mimi, nifanyaje?

ngoja niimbe zangu ' enyi wagalatia ...wagalatia ...ni nan yule aliye...aliye waloga...
 
Wakuu Niko njia panda baada ya wimbi la warembo kuanza kupagawa na mimi Nina girl wangu nimetoka nae mbali ila tangu nipate kazi mpya namuona si chochote mana workers mates wengi wananishobokea je nifanyaje wakuu mpaka mtaani warembo ni usumbufu tu
Workmates.
 
baaada ya miezi mitatu


hivi kwanini wanawake hawana utu? (kichwa cha uzi wako)
wakati mwenye utu alikuvumilia leo humpendi
subiri mfata kitu utampata
 
gonga tu wote hao wanaokushobokea na huyo girl wako piga chini tafuta kipya
 
Mkuu, oa fasta huyo mrembo wako uliyetoka naye mbali. La sivyo utaharibu sasa hivi ratiba zote mlizojiwekea...
Hao wanakutamani wanaona uko potential na labda wakiwa na wewe maisha yatakuwa poa. Sio kosa lao na wala sio kosa lako but unavyochelewa kumuoa huyo mrembo wako ambaye umeshaanza kumuona kuwa si lolote, si chochote hapo ndio unafanya mistake...
na ukimterekeza ni laana KUBWA kwako kwa chozi atakalolia!!!
 
ukiona ivo juwa unanyota ya viwanja vya makaburini....i.e utakufwa!!
 
Wakuu Niko njia panda baada ya wimbi la warembo kuanza kupagawa na mimi Nina girl wangu nimetoka nae mbali ila tangu nipate kazi mpya namuona si chochote mana workers mates wengi wananishobokea je nifanyaje wakuu mpaka mtaani warembo ni usumbufu tu
ULIE OKOTA NAE KUNI NDIO UITE NAE MOTO, au jiulize huyu ulietoka nae mbali hakuwaona walokuzidi mbona hakukuwacha? kuna mambo mengine wala hayataki ushauri ni imani na busara.....
 
Yani hata hilo ni la kuomba ushauri,? Ama kweli mkuu hakukosea kuita vilaza waliopata elimu za kuungaunga ka wewe.
 
tembelea wodi yyte ya wagonjwa wa UKIMWI. Utapata jibu. Wanakupenda kwa sbb ya pesa yako na sio uzuri wako. Mheshimu sana uliyenaye wengine hawatakusaidia kwa llte.
 
Back
Top Bottom