Warembo wanapagawa na mimi, nifanyaje?

Warembo wanapagawa na mimi, nifanyaje?

Wakuu Niko njia panda baada ya wimbi la warembo kuanza kupagawa na mimi Nina girl wangu nimetoka nae mbali ila tangu nipate kazi mpya namuona si chochote mana workers mates wengi wananishobokea je nifanyaje wakuu mpaka mtaani warembo ni usumbufu tu

ur still a kid
 
Jamaa kapata kaz warembo wanampenda ajiuliz kwann alipo bench walikuwa wanampotezeaa
 
Wakuu,

Niko njia panda baada ya wimbi la warembo kuanza kupagawa na mimi, nina msichana wangu nimetoka nae mbali ila tangu nipate kazi mpya namuona si chochote mana workers mates wengi wananishobokea.

Je nifanyaje wakuu mpaka mtaani warembo ni usumbufu tu
Wimbi la maanti linakuzingua au vipi? basi jifanye umefukuzwa kazi na unawaomba msaada wakuchangie nauli ili urudi kwenu Ukerewe,halafu urudi hapa jukwaani kutupa mrejesho au vipi,maana naona unajitekenya mwenyewe na unacheka mwenyewe.
 
hebu picha yako
labda na mimi ntakua kwenye orodha ya wanaotaka kukauopoa
 
Pengine wanapenda kampani yako tu, unasema wanakushobokea, watu wengine bwana
 
Ya kula mdogo wa mkeo ulishayamaliza?

Unatabia chafu na sio ya kujisifia, sababu haujiheshimu kabisa.

Ningekuwa mkeo ningekutemelea mbali.
 
Back
Top Bottom