angelita
JF-Expert Member
- Jun 13, 2013
- 3,017
- 2,445
uzuri na urembo tofauti nini?
Uzuri wakuzaliwa nao urembo wa makorokocho.
uzuri na urembo tofauti nini?
Bora mie sio mrembo ila ni mzuri.
hii nyimbo imenifanya nifikiri,nadhani wanamziki au wasanii wanaoongea real life walizokumbana nao huwa wanagusa hisia za watu.
Hayo ndio mapenzi ya kweli mpo tayari kufa hata kwa ebola na mrembo wako miss neddy
mkuu huyu mrembo anapendwa na wengi,conversation unayoona kubadilishana tu mawazo ila nyuma ya pazia nilishatoswa kwa msisitizo
Kumbe thread ya warembo acha sie tusiojielewa tupite kimya kimya
wewe ni mrembo tena sana.
weka picha tafadhali!!!!
ila uzuri wa makeups haufiki popote
Warembo bhana wamejiwekea classes
1.warembo wa kawaida(huwa hata hawajijui ni warembo)
2.warembo wanaovutia (ila wanaelewana na watu,wanafaa kuwa marafiki)
3.Warembo waliopitiliza (wamejiwekea class wanajijua wao)
Usishangae girls kuitana baby,honey,mme,kama utani vile ila wengine ni wapenzi kweli.
Hiyo class ambayo wanajihisi ni warembo waliopitiliza ogopa sana,usije ukadondokea ukapenda,atakutesa bure kujifanya yupo expensive kumbe,huwa wanajifanya expensive ila kuna mengine.
Mrembo mkali hawezi kukaa single mda wote.
weekend inaendelea