uzuri na urembo tofauti nini?
hapo sawa,so kuna uwezekano asiyevutia kujipamba akavutia(kujiremba),then mzuri mzuri tu,
mkuu kwani vitamu vingapi,orodhesha hata vitatu
Tena kuna wale wanao kissiana wananikeraaa saana
naweza sema ndio ila manamake unafikiri yanaridhika?
Uzuri unazaliwa nao.... Urembo unakuja baada ya kujiremba
I stand to be corrected
Chocs umenena na kwa maneno mengine, asilimia kubwa ya wanawake ni wazuri ila kutokana na mazingira ambayo kila mmoja ameishi wanajikuta wengine wamefubaa wakati wengine wanaonekana warembo na ndio maana hata katika miji yetu tunayokaa unakuta wadada wa mitaa flani flani kila mtu anasema warembo alafu wa mitaa flani flani vuluvulu japokuwa nako warembo wapo. ("unasikia aisee mitaa ile kila nyumba kuna warembo")hapo sawa,so kuna uwezekano asiyevutia kujipamba akavutia(kujiremba),then mzuri mzuri tu,