Warembo wanaojijua ni warembo haswa wengi lesbians

Warembo wanaojijua ni warembo haswa wengi lesbians

Ila kiukweli warembo wengi ni lesibian na ni kero tena sikuhizi hawajifichi ...mi wananiudhi, eti mtu anakuchana live labda nimependa lips o kifua chako yaani ni shida..huko fb ndo balaa....nilitukana nikachoka sshiv nawaambia tu njooni kwa Yesu mpate waume wawasugue muache hyo tabia

Uko kwa Yesu anakogawa wanaume wa kusugua wenzio ni wapi?
wewe umeshapata wa kukusugua mpaka ualike wenzio?
 
The only thing I can say sio wote wako hivi kama topic inavyosema. Kuna wengine wazuri lakini Wakaamua kuwa single because ya kuumizwa sana na nyie ( wakaka) na kuamua kuwa single it.doesnt mean that eti sisi ni lesbians no ni msimamo tuu wa MTU na ni maamuzi yao or yetu pamoja na uzuri wetu. Hebu naomba tuwasikilize na wengine. Thanks!

Wa hivi na wachache sanaaaa!!! Wasichana wengi sana wa kibongo wakijijua ni warembo na wakisifiwa,lazima wajipandishe hadhi na kuona watu wengine especcially men sio kitu

Ukimtokea lazima akutese na kujifanya expensive hata kama hakuwa hivyo...bora dem wa kawaida
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom