hivi huwa hawafanyagi kazi (office) au wakati wa mashindanno wanaacha kazi....nimeuliza tu
Mwaka huu kuna mshiriki mwenye asili ya China, duh hawa jamaa mpaka kwenye Miss Tanzania?
yupi ni mchina hapo?
Wa pili kuanzia mbele
una hakika ni mchina, ni miss wa kanda/mkoa gani?...naomba unipatie na jina lake kamili if u don mind.
una hakika ni mchina, ni miss wa kanda/mkoa gani?...naomba unipatie na jina lake kamili if u don mind.
ha ha ha...nitakutafutia niqab yako au jalabib...utasema ile unataka
Waremvbo hawa wa Miss Tabata, kama warembo wenyewe wa Vitongoji ndio wa viwangu hivi nina wasiwasi na hata products za miss Tanzania in general...
Details zake sizifahamu dadangu ila kwa kumuona physically ana asili ya China
Maskini, mbona huyu kakaa kama vile yuko mbele ya Pilato anasubiri kuwambwa msalabani? Jamani tuogope njaa. Mwenye njaa ni hatari kuliko simba, VVU au SCUD!!
yani nimecheka mpaka basiWatumishi kazi mnayo, wenye roho nyepesi mtakula kondoo zenu!
Kusema kweli mambo ya Miss TZ ni zaidi ya urembo manake mambo ya kumegwa ni milioni kwa mmoja ndio huwa na nafuu...sisemi wanaachwa kabisa ila wachache hao ni NAFUU...huyo mwenye hiyo hotel walikopiga kambi mnamjua? binafsi niliposikia kwa mara ya kwanza watakuwa wanaweka kambi hotel hiyo(Girrafe) nilisema wamekwisha..na kweli jamaa ni mbaya na marafiki zake (mapedeshee) wanajisevia kama wanaoagiza mvinyo kaunta...nilishawahi kuongea na matron mmoja wa kamati (si ya mwaka huu) akanambia wanajaribu kuzuia ila ndio hivyo watamwaga unga..na ndio maana washindi hupangwa na wengine huwa na bifu la kudumu(tumeona mifano) pale mshindi anapogeuzwa wa pili na wa pili kuwa mshindi. Sipendi umbea ila haya mambo yanasemwa na nilipochunguza nilibaini kuna ukweli mwingi...sijui hiyo mikataba waliyowapa itasaidia kupunguza au itawafanya wasitoe siri manake ni wao kwa wao ndio huweka hadharani habari zao as in nani alimroga nani,nani alimegwa na nani,nani walichukuliana mapedeshee n.k.
Hapo ni mtafutano..ndio mana maboyfrend hupigana na kuzua majanga kwa mamiss kwani huwa hawaachi kudili na mapedeshee hata shindano likiisha coz ndio huwaweka mjini.
kwa Lundenga awe makini kurekebisha mapungufu ila wao wenyew ndio huwamega visura na hii kashfa ipo miaka nenda rudi..sina zengwe na yeyote ila tusubiri tuone mikataba waliyopewa mamiss itasaidia chchote?