warembo (masista du) wana matatizo gani??

figganigga

JF-Expert Member
Oct 17, 2010
25,492
54,890
Habari zenyu? Ukiwaona barabarani wanaonekana wana mvuto wa mapenzi, lakini mbona kwenye 6 kwa 6 ni matatizo? hawajitingishi kabisa. halafu wanakuwaga na mambo mengi, simu kila dakika, message halafu ni watu wa matatizo kila siku wao ni kuomba hela. hata kama ameuchuna siku atakapo kupiga kibomu utashangaa. yaani wanaomba hela utafikili wavulana wanatengeneza hela. ndo maana mvulana akishaona mtu wa hela anagonga na kukimbia kama nyoka. na hii inasababisha wengi kubadilisha mabwana na kuto olewa. Mia
 
mie sioni wewe tatizo lako nini? wewe unatoa pesa wao wanakupa k...gud business!!!

Hihihiiiiiiiiiiii......:lol::lol::lol:.....Halafu kashasema masista duuu...wat do u expect??!! Hizo ndio features za sistaduu...Kama umempenda kwa dhati huyo mdada na ana mapungufu fulan si una mweleza jamaani...ili ajue wewe unapenda nini??!!..ukilalama JF na kuwaponda humu haitasaidia wewe kupata msichana mwenye mambo unayoyapenda..
 
Habari zenyu? Ukiwaona barabarani wanaonekana wana mvuto wa mapenzi, lakini mbona kwenye 6 kwa 6 ni matatizo? hawajitingishi kabisa. halafu wanakuwaga na mambo mengi, simu kila dakika, message halafu ni watu wa matatizo kila siku wao ni kuomba hela. hata kama ameuchuna siku atakapo kupiga kibomu utashangaa. yaani wanaomba hela utafikili wavulana wanatengeneza hela. ndo maana mvulana akishaona mtu wa hela anagonga na kukimbia kama nyoka. na hii inasababisha wengi kubadilisha mabwana na kuto olewa. Mia
Yan hata kabla sijamaliza kuisoma nikakugongea "LIKE" then nikamalizia kusoma.
Ukweli Mtupu na yamenitokea, ila mi huwa nakula kona nikiona mizinga mapema coz hapo hakuna mapenzi.
 
tatizo lao wanajiona ni wazuri kwa hiyo wanachezewa nyapu zao then wanamwaga wapumbavu tu. Nitarudi baadae ila nasikia kausingizi hivi!!
 
Ukimwi unaua, jitaid uwe na mmoja, kama hawez mfunde, hata kwenye magar huanza na Learner then unakuwa fund mzuri, ni mtazamo tu.
 
Habari zenyu? Ukiwaona barabarani wanaonekana wana mvuto wa mapenzi, lakini mbona kwenye 6 kwa 6 ni matatizo? hawajitingishi kabisa. halafu wanakuwaga na mambo mengi, simu kila dakika, message halafu ni watu wa matatizo kila siku wao ni kuomba hela. hata kama ameuchuna siku atakapo kupiga kibomu utashangaa. yaani wanaomba hela utafikili wavulana wanatengeneza hela. ndo maana mvulana akishaona mtu wa hela anagonga na kukimbia kama nyoka. na hii inasababisha wengi kubadilisha mabwana na kuto olewa. Mia

Kwa kuwa ww ni MVULANA ni haki yao kukufanyia hivyo.
 
Habari zenyu? Ukiwaona barabarani wanaonekana wana mvuto wa mapenzi, lakini mbona kwenye 6 kwa 6 ni matatizo? hawajitingishi kabisa. halafu wanakuwaga na mambo mengi, simu kila dakika, message halafu ni watu wa
matatizo kila siku wao ni kuomba hela. hata
kama ameuchuna siku atakapo kupiga
kibomu utashangaa. yaani wanaomba hela
utafikili wavulana wanatengeneza hela. ndo
maana mvulana akishaona mtu wa hela
anagonga na kukimbia kama nyoka. na hi
i inasababisha wengi kubadilisha mabwana na
kuto olewa. Mia

Kama unahitaji ngono si ukanunue tu kwa wanaouza,unalipa biashara imeisha mi sijui kwa nini unajiingiza kwenye mahusiano huku ukijua shida ni ngono.
 
Unaweza kuniambia ni wapi iliandikwa kuwa masista du au warembo ndo wataalam wa 6/6???. Ila kumbuka tu kwamba kuna masista du na warembo wengi tu ambao ni mamiss independent na hawana shida na vichenji vyenu!! Mi nadhani ungeanza kwanza kuwashauri masharobob na mabrazamen wa jinsia yako walokalia kuuza sura, mapozi plus kulamba lips huku wakiwa ni empty set kuanzia chini hadi upstairs!!! Jisachini......na sio kutuletea visirani vyenu baada ya kumwagana na wapenzi wenu! Wakati mnakula raha hamsemi chochote ila baada ya kumwagana ndo mnakuja kubwabwaja hapa, mbona pindi mkiwa nao hamuwaambii??? Mwisho wa siku msituchoshe tusiwachoshe, visa vyenu pelekeni kwenye magazeti ya udaku!!
 
Unaweza kuniambia ni wapi iliandikwa kuwa masista du au warembo ndo wataalam wa 6/6???. Ila kumbuka tu kwamba kuna masista du na warembo wengi tu ambao ni mamiss independent na hawana shida na vichenji vyenu!! Mi nadhani ungeanza kwanza kuwashauri masharobob na mabrazamen wa jinsia yako walokalia kuuza sura, mapozi plus kulamba lips huku wakiwa ni empty set kuanzia chini hadi upstairs!!! Jisachini......na sio kutuletea visirani vyenu baada ya kumwagana na wapenzi wenu! Wakati mnakula raha hamsemi chochote ila baada ya kumwagana ndo mnakuja kubwabwaja hapa, mbona pindi mkiwa nao hamuwaambii??? Mwisho wa siku msituchoshe tusiwachoshe, visa vyenu pelekeni kwenye magazeti ya udaku!!

Kakondoo nidai zawadi ya Xmass!
Alafu mafuriko yamekukosa naona, mama mchungaji amefurahi.
 
Back
Top Bottom