DARASA: Tangu uhuru CCM imekuwa na mawaziri wakuu wasiopungua 10, lakini 6 kati yao ni kutoka kanda ya kaskazini. Tena Mikoa mitatu tu!... 1. J.k. Nyerere - (Mara) -Kaskazini; 2. Joseph Sinde Warioba (Mara) - Kaskazini; 3. Cleopa Msuya - (Kilimanjaro) Kaskazini; 4. Edward Moringe Sokoine (Arusha)... 5. Frederick Sumaye, (Arusha) 6. Edward Lowassa, (Arusha) ..Ha ha ha haaaaa umeandika nn sasa hapa mkuu? sio kweli kuwa 97% ya viongozi wa dini moja ? na hili lajulikana hata kwa viongozi wa cdm na ndio maana wakaamua kuwachanganya wakina prof safari ili ku dilute hicho kitu , ila ilikuwa ni kama kutumbukiza tone kwenye bahari
DARASA: Tangu uhuru CCM imekuwa na mawaziri wakuu wasiopungua 10, lakini 6 kati yao ni kutoka kanda ya kaskazini. Tena Mikoa mitatu tu!... CCM wapingacho ndicho wafanyacho 1. J.k. Nyerere - (Mara) -Kaskazini; 2. Joseph Sinde Warioba (Mara) - Kaskazini; 3. Cleopa Msuya - (Kilimanjaro) Kaskazini; 4. Edward Moringe Sokoine (Arusha)... 5. Frederick Sumaye, (Arusha) 6. Edward Lowassa, (Arusha)Nasikia hii ilikuwa ni bahati Mbaya! .na zaidi ya yote wao si wa kanda ya kaskazini.Ha ha ha haaaaa umeandika nn sasa hapa mkuu? sio kweli kuwa 97% ya viongozi wa dini moja ? na hili lajulikana hata kwa viongozi wa cdm na ndio maana wakaamua kuwachanganya wakina prof safari ili ku dilute hicho kitu , ila ilikuwa ni kama kutumbukiza tone kwenye bahari
Kweli bwana, mwambie akaze buti kwani mwenye nchi anajipongeza na totoz za kihabeshi, huku wenzie tunaomboleza majanga ya mbwa wake
Hongera sana kwa kukubali kuuona mwanga.
Nchi hii bana, haieleweki nani refa, nani mchezaji. Tatizo zaidi ni pale refa naye anapotaka kufunga goli la kiufundi zaidi.
tutafika tu,watu wameshajua ukweli
Inshalah chadema iko na alah. kwa jina la mola wangu siku ya kuonja rehema za nchi yetu inakaribia, kamwe hawatofaulu na hadaa zao. Waisilam tuko wengi chadema si kama wadhaniavyo wao. Haki mõla yko karibu na wale wenye kusubiri. Peoples power.