blackwizard
Senior Member
- Feb 8, 2012
- 163
- 24
Akili haitaki kuelewa labda safari zimenizidi
TCRA wanataka ujumbe uweje ndio wafuatilie?
Currently our prayers is for GOD to really steady this radarless sinking ship.
Actually it's by HIS grace that it hasn't sink or explode by now, given the ceaselessly barrage from Kikwete and his party aimed to tore this country apart in order to buy a false security & dominance.
Folks, we are here for a reason. We are here to stay and prosper in free, developed and just country. Tanzania is for all Tanzanians.
Ni propaganda ambazo nazisoma sana hapa JF hivyo sioni ajabu kuwepo wanaChadema wenyewe kueneza habari hizi..Wapendwa katika bwana tumejipanga vyema kuchukua nchi 2015, Haleluyaa. Operesheni vua gamba vaa gwanda itasaidia kuwatia mkononi Waislam. Uingereza na Ujerumani zimeahidi kuwapa vijana wetu mafunzo ya uongozi na ya kivita, tusiache maandamano kwani yanajenga chama zaidi, mawakala wetu waliomo ndani ya CCM na CUF wanafanya kazi vyema tuliyowatuma, vyombo vya habari vimeahidi kutubeba hadi kieleweke, watangazie waumini wetu kuwa ule mpango wa KICHUNGAJI unaendelea vyema kafiri kakosea namba sambaza ujumbe huu kwa Waislamu tujipange.
Ukichanganya akili ya Nape, Mwigulu na Shigela, ndiyo unapata product hiyo...
TCRA wanataka ujumbe uweje ndio wafuatilie?
Yaani Magamba hayajifunza chochote kupitia sensa juu ya mbegu ya udini waliokwishaupanda tayari? Kweli akili zao ni mfu.
Naungana mköno na wanaosema haya ni mawazo ya Nepi,NCHEMBA na Kibajaji hawa kwa utashi wao linawahusu.
TCRA wanataka ujumbe uweje ndio wafuatilie?
CCM ni mababa ya kutunga bhana, yale yale ya mwaka 2010 kwamba Slaa akiingia ikulu damu itamwagika! kwa hali hii na woga wa watz, sijui kama tutafika!
Classmate (Benson Singo Kigaila) hakika juhudi zako zinaonekana ndani ya CDM. Ongeza bidii kaka, CCM wanasahau ya kuwa.....mlango mmoja ufungwapo mwingine unafunguka.....
Tatizo Waislam wamekuwa watu wakutumiwa sana...kama Toilet paper vile ndo maana kila kitu huwa kinaelekezwa kwao.
huu mtambo upo sehemu gani nina maana nani anaye utunza ??Mtambo wa mwigulu alonunua yerusalemu umeanza kazi zake.
TCRA wanataka ujumbe uweje ndio wafuatilie?
baba yangu alinitumia sms yenye ujumbe huu,kiukweli ni mdini sana nikamwambia nakushukuru kwa kunipeleka shule nielimike
kwa ueleewa mdogo tu ni mbinu ya magamba unaytumiwa na magamba. kwa kuhofia MVC sidanganyiiki