Waraka wasambazwa

Kwenye suala la udini cdm ndugu zangu haisafishiki hata ukiiosha na mchanga wa bahari zote . Hili liko wazi na hakuna mikakati ya makusudi yakurekebisha hili ndugu zangu. Katika safu ya uongozi wa cdm kuanzia kata hadi taifa , zaidi ya 97 percent ni wa dini moja , hapa utabishaje kuwa cdm sio chama cha dini moja ? Muulize huyo makamu mwenyekiti takwimu hizi anazijua na hujadiliwa sana ndani ya vikao vya cdm , hakuna hatua yoyote

Hizi takwimu angezitoa mtu mwingine ningejiuliza mara mbili! Kwa vile ni wewe, ngoja niongeze Ndovu Special Malt nyingine. Sibabaishwi na propaganda za magamba!
 
mbona redio imani juzi kwenye kipindi cha kidokezo imewaasa waislamu kwamba meseji ni za uwongo kuna mtu anatumia kwa ajili ya manufaa yake.zipo kama tatu walizisoma.

Ukiona hivyo basi hizo msg zitakuwa za waislam bakwata!
 
mbona redio imani juzi kwenye kipindi cha kidokezo imewaasa waislamu kwamba meseji ni za uwongo kuna mtu anatumia kwa ajili ya manufaa yake.zipo kama tatu walizisoma.

kwani si hata mchawi anaenda kuzika!
 
Waislam ndio ni waelewa, ila wameisha ona wanapakwa mafuta kwa mgongo wa chupa, 97% kwenye chama cha cdm ni wakristo viongozi wake, hapa utabishaje kuwa sio chama cha kidini?

Hoja rahisi rahisi hii haina mashiko. Huo wingi wa wakristo kama ni kweli siyo hoja. Yawezekana waliojiunga mwanzoni wengi walikuwa ni wakristo lakini si dhamira ya kuwakataa waislam. Kuuuta mzizi wa fitina, wajitokeze waislamu waliokataliwa uanachama au uongozi ndani ya CHADEMA ili mambo yawe wazi. Kwa kufanya hivyo vielelezo hivi ndivyo vitakavyoudhihirishia umma hali halisi.
 
TCRA wanataka ujumbe uweje ndio wafuatilie?
Kipindi cha uchaguzi 2010 watu walikwenda hadi makao makuu ya tcra na ushahidi wa jumbe za uchochezi walizotumiwa, lakini wakaishia kupigwa danadana tu na hakuna kilichofanyika. Mambo haya yataendelea hadi lini???
 
Propaganada za kishamba hizi,mwenye akili akipata hii sms ataelewa nini maana yake,alinitumia my staffmate,,,,,nikaisoma nikaifuta,,,,,MWAKA 2010 ZILIBUNIWA SMS NYINGI SANA ZA MAGUMASH,,,,,,SASA SION KAMA HII NI NGENI,,,,,,,
NA UISLAM WANGU SIDANGANYIKI KIRAHISI HIVI
 
..itakuwa walipumzika pale chadema waliposhikilia bango sasa wameona kimya wameanza tena hata tcra hawana mpango wa kuutafuta pamoja pamoja na kujivunia kuwa wanaweza kuingilia mawasiliano yoyote.

Huenda mawasiliano ya ccm siyo yoyote
 
Hoja rahisi rahisi hii haina mashiko. Huo wingi wa wakristo kama ni kweli siyo hoja. Yawezekana waliojiunga mwanzoni wengi walikuwa ni wakristo lakini si dhamira ya kuwakataa waislam. Kuuuta mzizi wa fitina, wajitokeze waislamu waliokataliwa uanachama au uongozi ndani ya CHADEMA ili mambo yawe wazi. Kwa kufanya hivyo vielelezo hivi ndivyo vitakavyoudhihirishia umma hali halisi.


Tatizo lako unadhani watu wote ni watoto na hatujui kinacho endelea ndani ya cdm kuhusiana na hoja hizi za udini . Kwa taarifa yako kamati kuu ya cdm iliisha jadili hoja hii ndani ya vikao vyake zaidi ya mara 10, na ndipo ikatoka rai yakumuhonga prof safari ili ajiunge na cdm , haya yote yapo wazi na wala hayahitaji digrii kuyatambua . Hili limekuwa ni shida kubwa sana kwa cdm kujisafisha kwa hoja hii
 
baadhi yao sio wote wamekuwa wakitumiwa kama kondom ambapo mtu akitaka kuzini huitumia lakini akiisha maliza haja zake huitupa na huona kinyaa hata kuigusa,waislamu safi tusikubali kutumiwa kwa maslahi ya wachache.

Zinaa tena baba?
 
Ha ha ha haaaaa umeandika nn sasa hapa mkuu? sio kweli kuwa 97% ya viongozi wa dini moja ? na hili lajulikana hata kwa viongozi wa cdm na ndio maana wakaamua kuwachanganya wakina prof safari ili ku dilute hicho kitu , ila ilikuwa ni kama kutumbukiza tone kwenye bahari

Akili mfu hizi.
 
nchi hii ina vijimbo yaani inatia kichefuchefu wenyewe waendelee na udini lakini mwisho wake watauona
 
Back
Top Bottom