Waraka wa wazi kwa Dkt. Kitima

Waraka wa wazi kwa Dkt. Kitima

Usihamishe magoli, swala hapa ni ukweli.
Hata JPM anasema msema kweli ni mpenzi wa Mungu.
Kinacho tutia shaka ni serikali yake kutotii ukweli huu.
Watu wanakufa kw coroa halafu tunupuuza ukweli huo na kutafut visingizio vingine vya uongo.
Uongo ni tabia kuu ya yule mwovu.
Mene mene tekeli inamhusu kila mtu aupindishaye ukweli na kusabikia uongo, na haijalishi wewe ni padre, raisi u mtu baki.
Mwalimu aliwahi kusema , Ukweli una tabia moja, utajitokeza na kumuaibisha yule anayejaribu kuuficha.
Tukianza kuhukumiana hatutamaliza,kama kila mmoja atakuwa mkweli tutakuwa huru katika hili.
 
Bandiko refu,
Watawala ni mamlaka iliyoamriwa na Mungu, he mamlaka za kiaskofu, kipadri na kichunfaji zimeamliwa na Nani?

Ulimpigia kura magufuli, je ukishawashahi mchagua hata muinjilist, katekista licha padri askofu na mchngaji?

Ogopa kugombana na Mungu kijana atakupiga pigo baya

Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
Nimemshauri aombe msamaha kwa Padri la sivyo ni laana kwa kizazi chake cha kwanza mpaka cha mwisho kwani Padri hatumii garama kubwa zaidi ya kujikung'uta Mavumbi na baada ya hapo yy mwenyewe ataanza kuyaona majibu kabla hicho kizazi chake.
Ndo maana tunawaheshimu Padri na Maaskofu zaidi ya Wanasiasa.
 
Tumsifu Yesu Kristo,

POLE na majukumu, kwako Katibu mkuu wangu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania TEC, Rev.Dr.Charles Kitima ni mwalimu wangu wa chuo kikuu SAUT na Pia binafsi nimesomeshwa na Kanisa Katoliki, Mimi ni muumini mlei wa Kanisa Katoliki natokea Kanisa Kuu la mtakatifu Antony wa Padua Parokia ya Nyarubele Jimbo katoliki la Geita, Paroko wangu ni Rev.Pd.Thomas Kabika Biringi, na Askofu wangu ni Most.Rt.Rev.Flavian Matindi Kassala, nimebatizwa na kupewa Kipaimara.

Nina haya machache ya kushauriana na Padri wangu msomi wa Falsafa ya Juu ya Sheria za Kanisa Katoliki (Canon Law) Dr. Kitima kabla ya hapo aliwahi kuwa Mwanasheria wa chuo cha SAUT na baadae akawa Vice Chancellor lakini Akiwa VC -SAUT katika kipindi chake chote Walifariki wanafunzi zaidi 160 katika kipindi cha uongozi wake kwa matatizo mbalimbali, ikiwemo magonjwa na ajali, mbaya zaidi hajawahi kutoa takwimu hizi za vifo,

Taarifa yake ya jana ni taarifa ile ile iliyotolewa na Rais wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) Askofu Gervas John Mwasikwabhila Nyaisonga, aliyoitoa tarehe 26/01/2021 Kwa maaskofu nchini, kwahiyo amejiweka Kuwa msemaji wa kanisa na kutoa twakwimu za vifo vya Corona bila Ushahidi,

Takwimu za sensa ya kanisa katoliki mwaka 2020 Roma Ina idadi ya Waumini walei, watawa na makasisi zaidi ya milioni 12 nchi nzima Ina majimbo zaidi ya 34 na majimbo makuu zaidi ya 7, Hi Sawa na nchi ndani ya nchi, Inakuwaje mtu ahoji Idadi ya vifo vya watu 25 na masista 60? nashauri ajibiwe na Muumini wake ili ibakie huko huko kwenye mambo ya kiimani, lengo lake ni kuweka takwimu ili kujenga taharuki kwenye Umma wa watanzania na kuwatia Hofu, hii ni nje kabisa ya maadili ya kiongozi wa kiroho kufanya hivo, kazi ya kanisa ni kuondolea Hofu waumini na kuwapa matumaini ya maisha baada ya kifo,

Binafsi nimesikitika Sana! Lakini naomba kumjibu vizuri kama nitahitajika, Naomba roho wa Mungu anipe hekima ili nisiende kinyume na mapenzi yake ili kutekeleza Haya, Dhamana na utume wa waamini walei ndani ya Kanisa: Ni muda wa vitendo zaidi!

Mkutano wa Chama cha Vijana Wakatoliki Hispania: 1 Agosti hadi tarehe 4 Agosti 2019, huko Avila, nchini Hispania: Kauli mbiu “Kutekeleza ndoto ya Mungu; majiundo ya waamini walei Parokiani” Dr. Ghison anasema, walei ni mhimili wa Kanisa kwani, wanaitwa kutekeleza: Ukuhani, Unabii na Ufalme wa Kristo katika maisha yao, kama sehemu ya mchakato wa kuyatakatifuza malimwengu.

Padre Richard A. Mjigwa, C.PP.S. – Akiwa Vatican alieleza kuwa Dhamana na utume wa waamini walei ndani ya Kanisa kwa namna ya pekee, ni matunda ya maadhimisho ya Mtaguso mkuu wa Pili wa Vatican unaobainisha: wito, utume na dhamana ya waamini walei katika kutangaza na kushuhudia Habari Njema ya Wokovu, kama sehemu ya mchakato wa ujenzi wa Ufalme wa Mungu unaofumbatwa katika misingi ya haki, amani, upendo na mshikamano wa dhati.

Waamini walei ni wadau pia katika ujenzi wa Fumbo la Mwili wa Kristo, yaani Kanisa! Dr. Linda Ghisoni, Katibu mkuu msaidizi, Idara ya Walei, Baraza la Kipapa la Walei wa Kanisa Katoliki Familia na Maisha katika hotuba yake ya kufunga mkutano wa Chama cha Vijana Wakatoliki Nchini Hispania uliofunguliwa tarehe 1 Agosti hadi tarehe 4 Agosti 2019, huko Avila, nchini Hispania, kwa kuongozwa na kauli mbiu “Kutekeleza ndoto ya Mungu; majiundo ya waamini walei Parokiani” anasema, waamini walei ni mhimili wa Kanisa kwani, wanaitwa kutekeleza: Ukuhani, Unabii na Ufalme wa Kristo katika maisha yao, kwahiyo kuwapa matumaini ni Jukumu la Padri na siyo kuwatia hofu na kuwakatisha tamaa.

kama sehemu ya mchakato wa kuyatakatifuza malimwengu. Mababa wa Mtaguso Mkuu wa Pili wa Vatican wanasema, walei, kama washiriki wa huduma ya Kristo kuhani, nabii na mfalme, wanayo nafasi hai katika maisha ya Kanisa na katika utendaji wake. Ndani ya jumuiya za Kanisa matendo yao yanahitajika sana, kiasi kwamba pasipo haya hata utume wenyewe wa wachungaji huwa hauwezi kufikia mafanikio kamili.

Maana walei wenye roho halisi ya kitume, kama wale wanaume na wanawake waliokuwa wakimsaidia Mtume Paulo katika kueneza Injili (Taz. Mdo 18:18.26; Rum 16:3), wanawakirimia ndugu zao yale waliyopungukiwa, na wanaburudisha roho za wachungaji na za waamini wengine wa taifa la Mungu (Taz. 1Kor 16:17-18). Tangu baada ya Mtaguso Mkuu wa Vatican, kumekuwepo na uanzishwaji wa mashirika na vyama vya kitume sehemu mbali mbali za dunia na vyama hivi vimesaidia kukuza na kudumisha ari na moyo wa kimissionari, malezi na majiundo makini ya maisha ya:

lmani na uadilifu, Sakramenti za Kanisa pamoja na maisha ya sala; mambo muhimu yanayopaswa kumwilishwa katika uhalisia wa maisha ya waamini, kama kielelezo cha imani tendaji!

Adhimisho la Fumbo la Ekaristi Takatifu chanzo na kilele cha maisha na utume wa Kanisa na hiki ni kiini cha maisha ya Parokia. Kimsingi, Fumbo la Ekaristi Takatifu linaadhimishwa siku ya Bwana; Jumuiya ya waamini inapopata nafasi ya kusikiliza, kutafakari Neno la Mungu na hatimaye, kutumwa kutangaza na kushuhudia matendo makuu ya Mungu katika uhalisia wa maisha yao, kama kielelezo cha imani ntendaji! Neno Parokia, linapata asili yake kutoka katika lugha ya Kigiriki yaani “παρоικια” maana yake “Ujirani”.

Kumbe, kwa maneno machache, Parokia ni kitovu cha maisha na utume wa Kanisa, mahali pa kuinjilisha na kuwatakatifuza watu wa Mungu, tayari kutoka kifua mbele kutangaza furaha ya Injili; huruma na upendo wa Mungu. Mababa wa Kanisa wanasema, sasa umefika wakati wa kuangalia ya mbeleni kwa matumaini zaidi, ili kukabiliana na matatizo, changamoto na fursa zinazoendelea kujitokeza miongoni mwa waamini walei ndani ya Kanisa Katoliki, ili waendelee kujisadaka bila ya kujibakiza kwa ajili ya kumtangaza na kumshuhudia Kristo Yesu, Mkombozi wa Ulimwengu.

Mababa wa Sinodi ya Maaskofu kwa ajili ya Vijana kwa mwaka 2018 wamekazia umuhimu wa Kanisa kufundisha maisha mapya na utume wa Parokia, ili kuleta mvuto na mashiko kwa vijana wa kizazi kipya pamoja na waamini katika ujumla wao, ili kuwajenga kiimani na kuwatia moyo hasa katika sakramenti ya kitubio na mpako wa wagonjwa, ili kujenga familia ya Mungu inayowajibikiana katika: imani, matumaini na mapendo.

Dr. Linda Ghisoni anasema, waamini walei kamwe hawataweza kuyachachua na kuyatakatifuza malimwengu ikiwa kama watashindwa kutoka katika undani wa maisha yao kuwa kweli ni chumvi ya dunia na nuru ya mataifa. Mkutano mkuu wa Chama cha Vijana Wakatoliki Nchini Hispania umehudhuriwa na waamini walei 750 kutoka katika Majimbo 45, huku wakiwa wameambatana na Maaskofu pamoja na Mapadre wao. Waamini walei ndani ya Kanisa wanapaswa kutambua dhamana na wajibu wao kama wabatizwa, yaani watu waliozaliwa upya kwa maji na Roho Mtakatifu; wanao wajibu na haki zao msingi zinazopaswa kumwilishwa katika maisha na utume wa Kanisa.

Kimsingi wanaitwa na kutumwa kutangaza na kushuhudia Injili ya Kristo mintarafu uhalisia wa maisha yao. Waamini walei daima wajibidishe kuchota utajiri na amana ya maisha yao ya Kikristo kutoka katika: Neno la Mungu, Sala, Sakramenti za Kanisa pamoja na Mafundisho Jamii ya Kanisa, dira na mwongozo wa jinsi ya kuyatakatifuza malimwengu. Waswahili wanasema, “kitu kizuri na chema, kula na ndugu yako”. Waamini walei watambue kwamba, amana na utajiri huu wanapaswa kuwashirikisha pia jirani zao kama sehemu ya mchakato wa majadiliano ya kidini na kiekumene; katika kuyatakatifuza maeneo ya kazi pamoja na utume wa familia. Waamini walei wakiwa wamepyaishwa kutoka katika undani wa maisha yao,

wanaweza sasa kuwa ni vyombo na mashuhuda wa huruma, upendo na msamaha wa Mungu; watu wenye wenye uwezo wa kusikiliza kwa makini na kujibu kilio cha maskini wanaowazunguka; watu wanaoweza kuendeleza majadiliano katika ukweli na uwazi; ukarimu na upendo kwa maskini na wale wote wanaosukumizwa pembezoni mwa jamii kwasababu ya Hofu ya ugonjwa wa COVID-19

Upya wa maisha unawataka waamini walei kujenga na kudumisha umoja, upendo, mshikamano na mafungamano ya dhati na viongozi wa Kanisa, lakini Dkt. Kitima anatia Hofu waamini walei, ili kuwajibika barabara katika maisha na utume wa Kanisa, kila mwamini akijitahidi kutekeleza wajibu wake. Dr. Linda Ghisoni, Katibu mkuu msaidizi, Idara ya Walei, Baraza la Kipapa la Walei, Familia na Maisha katika hotuba yake ya kufunga mkutano wa walei nchini Hispania, amewaangalisha kuwa macho dhidi tabia ya kudhani kwamba, wanaweza kufanya yote kwa nguvu na jeuri yao, kwa kumweka Mwenyezi Mungu pembezoni mwa vipaumbele, sera na mikakati ya maisha yao.

Katika mtindo na mwelekeo kama huu vi vigumu sana kuweza kutekeleza ndoto ya Mungu katika maisha yao. Mwenyezi Mungu apewe kipaumbele cha kwanza katika sera na mikakati ya shughuli za kichungaji maparokiani na majimboni. Kwa njia hii, waamini walei wataweza kushiriki kikamilifu katika ujenzi wa Ufalme wa Mungu hapa duniani.

Kishawishi kingine ni kile cha kuendelea kubaki wakiwa wanaelea katika ombwe, bila kuzama na kumwilisha maana ya Kanisa na umuhimu wa malezi na makuzi ya awali na endelevu kwa waamini walei. Utakatifu wa maisha ni ushuhuda wenye mvuto katika utume wa Kanisa.

Changamoto na matatizo ya Covid-19 na fursa mbali mbali zinazoendelea kuibuliwa ndani na nje ya Kanisa, ni mahali muafaka ambapo waamini walei wanaitwa na kutumwa kuwa ni vyombo na mashuhuda wa Habari Njema ya Wokovu na kupambana na majanga yaliyotabiliwa kwenye kitabu cha Luka 21:10-11.

Waamini walei wasikatishwe tamaa na dhuluma, nyanyaso na magumu wanayokabiliana nayo katika maisha na utume wao hapa duniani, bali waendelee kusimama kidete kama mashuhuda wa Injili ya uhai dhidi ya utamaduni wa kifo. Huruma na upendo wa Mungu uwaimarishe na kuwapyaisha kutoka katika undani wa maisha yao na siyo kuwaondolea tumaini Jema kwa vitisho vya Corona,

Kanisa Katoliki linaamini katika harusi tatu, a) Kuzaa na kuzaliwa b) Kuoa na kuolewa c) Kifo, Yesu Kristo alipokufa msalabani tulikwishaokolewa na hakuna haja ya kupewa Hofu ya kifo kutoka kwa Kasisi Dkt. Kitima.

Je, Father Kitima anatii mamlaka?

Kitabu cha Warumi 13:1-7
Neno: Bibilia Takatifu
Kutii Mamlaka

1 Kila mtu hana budi kutii serikali inayotawala. Kwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu; na serikali zote zilizopo zimewekwa na Mungu. 2 Kwa hiyo anayepinga mamlaka inayotawala ana pinga chombo kilichowekwa na Mungu; na watu wanaoasi watajiletea hukumu. 3 Kwa maana watawala hawatishi watu wanaotenda mema bali wale wanaotenda maovu. Kama hupendi kuishi kwa kumwogopa mwenye mamlaka, basi tenda mema naye atakusifu. 4 Maana mwenye mamlaka ni mtumishi wa Mungu kwa manufaa yako. Lakini kama ukitenda maovu, basi ogopa kwa maana hatembei na silaha bure. Yeye ni mtumishi wa Mungu anayetekeleza adhabu ya Mungu juu ya watenda maovu. 5 Kwa hiyo ni lazima kutii wenye mamlaka, si kwa sababu ya kuogopa adhabu tu bali pia kwa ajili ya dhamiri.

6 Kwa sababu hiyo hiyo mnalipa kodi, kwa maana watawala ni watumishi wa Mungu ambao hutumia muda wao wote kutawala. 7 Wal ipeni wote haki zao; mtu wakodi mlipe kodi; na mtoza ushuru mli pe ushuru; astahilie kunyenyekewa, mnyenyekee; astahiliye hesh ima, mheshimu.

Mwisho, Polisi haina mamlaka ya kutolea ufafanuzi afya za watu kama anavyodai Kasisi Dr.Kitima, Wizara ya Afya imeshatoa mwongozo wa kufata ili kujikinga na maambukizi ya Covid-19, tumpuuze Dr.Kitima kwasababu siyo Daktari wa afya ya Jamii, bali ni Daktari wa kiroho na msomi wa Sheria za Kanisa.
Tufuate mwongozo wa watalaamu na siyo vinginevyo.

HOFU NI UGONJWA MWINGINE MKUBWA KULIKO COVID-19.

Tumsifu Yesu Kristo.
Imetolewa leo 04/03/2021
Muumini Mlei Kindakindaki wa Kanisa Katoliki
Budodi Jelard L
Jimbo Kuu la Daressalaam, Tanzania.
Hoja kama hizi ni rahisi sana kuziandika kama hujaumwa au kupoteza mpendwa wako kwa gonjwa hili.

Hofu ipo tu. Na ndio kitu pekee kinachowafanya watu wachuke taadhari. Kama huna hofu na HIV huwezi kuvaa condom. Kama huna hofu na covid huwezi kuvaa mask.

Huwezi kuwaambia watu wachukue taadhari kwa kitu ambacho hakipo. Huku tunaambiwa fukiza hapo hapo tunaambiwa hakuna ugonjwa.

Mimi nimepoteza mama mdogo kwa gonjwa hili
Mwenyewe nimeumwa bahati nimepona
Rafiki yangu kapoteza baba na mama yake

Unawezaje kuniambia habari ya hofu!!!?

Serikali ni wajibu wake kama ilivyo duniani kote kupambana kuleta tumaini kwa watu wake kwa kuwaambia ukweli wa hali halisi na hatua zinazochukuliwa kuzuia maambukizi na idadi ya vifo.

Unapowaambia watu wako kuwa kufa ni kufa tu. Kila mmoja atakufa kwa namna yake unataka watu wa kueleweje? Vifo vya kujitakia vinaweza kuzuilika kama tukiamua.
 
Tumsifu Yesu Kristo,

POLE na majukumu, kwako Katibu mkuu wangu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania TEC, Rev.Dr.Charles Kitima ni mwalimu wangu wa chuo kikuu SAUT na Pia binafsi nimesomeshwa na Kanisa Katoliki, Mimi ni muumini mlei wa Kanisa Katoliki natokea Kanisa Kuu la mtakatifu Antony wa Padua Parokia ya Nyarubele Jimbo katoliki la Geita, Paroko wangu ni Rev.Pd.Thomas Kabika Biringi, na Askofu wangu ni Most.Rt.Rev.Flavian Matindi Kassala, nimebatizwa na kupewa Kipaimara.

Nina haya machache ya kushauriana na Padri wangu msomi wa Falsafa ya Juu ya Sheria za Kanisa Katoliki (Canon Law) Dr. Kitima kabla ya hapo aliwahi kuwa Mwanasheria wa chuo cha SAUT na baadae akawa Vice Chancellor lakini Akiwa VC -SAUT katika kipindi chake chote Walifariki wanafunzi zaidi 160 katika kipindi cha uongozi wake kwa matatizo mbalimbali, ikiwemo magonjwa na ajali, mbaya zaidi hajawahi kutoa takwimu hizi za vifo,

Taarifa yake ya jana ni taarifa ile ile iliyotolewa na Rais wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) Askofu Gervas John Mwasikwabhila Nyaisonga, aliyoitoa tarehe 26/01/2021 Kwa maaskofu nchini, kwahiyo amejiweka Kuwa msemaji wa kanisa na kutoa twakwimu za vifo vya Corona bila Ushahidi,

Takwimu za sensa ya kanisa katoliki mwaka 2020 Roma Ina idadi ya Waumini walei, watawa na makasisi zaidi ya milioni 12 nchi nzima Ina majimbo zaidi ya 34 na majimbo makuu zaidi ya 7, Hi Sawa na nchi ndani ya nchi, Inakuwaje mtu ahoji Idadi ya vifo vya watu 25 na masista 60? nashauri ajibiwe na Muumini wake ili ibakie huko huko kwenye mambo ya kiimani, lengo lake ni kuweka takwimu ili kujenga taharuki kwenye Umma wa watanzania na kuwatia Hofu, hii ni nje kabisa ya maadili ya kiongozi wa kiroho kufanya hivo, kazi ya kanisa ni kuondolea Hofu waumini na kuwapa matumaini ya maisha baada ya kifo,

Binafsi nimesikitika Sana! Lakini naomba kumjibu vizuri kama nitahitajika, Naomba roho wa Mungu anipe hekima ili nisiende kinyume na mapenzi yake ili kutekeleza Haya, Dhamana na utume wa waamini walei ndani ya Kanisa: Ni muda wa vitendo zaidi!

Mkutano wa Chama cha Vijana Wakatoliki Hispania: 1 Agosti hadi tarehe 4 Agosti 2019, huko Avila, nchini Hispania: Kauli mbiu “Kutekeleza ndoto ya Mungu; majiundo ya waamini walei Parokiani” Dr. Ghison anasema, walei ni mhimili wa Kanisa kwani, wanaitwa kutekeleza: Ukuhani, Unabii na Ufalme wa Kristo katika maisha yao, kama sehemu ya mchakato wa kuyatakatifuza malimwengu.

Padre Richard A. Mjigwa, C.PP.S. – Akiwa Vatican alieleza kuwa Dhamana na utume wa waamini walei ndani ya Kanisa kwa namna ya pekee, ni matunda ya maadhimisho ya Mtaguso mkuu wa Pili wa Vatican unaobainisha: wito, utume na dhamana ya waamini walei katika kutangaza na kushuhudia Habari Njema ya Wokovu, kama sehemu ya mchakato wa ujenzi wa Ufalme wa Mungu unaofumbatwa katika misingi ya haki, amani, upendo na mshikamano wa dhati.

Waamini walei ni wadau pia katika ujenzi wa Fumbo la Mwili wa Kristo, yaani Kanisa! Dr. Linda Ghisoni, Katibu mkuu msaidizi, Idara ya Walei, Baraza la Kipapa la Walei wa Kanisa Katoliki Familia na Maisha katika hotuba yake ya kufunga mkutano wa Chama cha Vijana Wakatoliki Nchini Hispania uliofunguliwa tarehe 1 Agosti hadi tarehe 4 Agosti 2019, huko Avila, nchini Hispania, kwa kuongozwa na kauli mbiu “Kutekeleza ndoto ya Mungu; majiundo ya waamini walei Parokiani” anasema, waamini walei ni mhimili wa Kanisa kwani, wanaitwa kutekeleza: Ukuhani, Unabii na Ufalme wa Kristo katika maisha yao, kwahiyo kuwapa matumaini ni Jukumu la Padri na siyo kuwatia hofu na kuwakatisha tamaa.

kama sehemu ya mchakato wa kuyatakatifuza malimwengu. Mababa wa Mtaguso Mkuu wa Pili wa Vatican wanasema, walei, kama washiriki wa huduma ya Kristo kuhani, nabii na mfalme, wanayo nafasi hai katika maisha ya Kanisa na katika utendaji wake. Ndani ya jumuiya za Kanisa matendo yao yanahitajika sana, kiasi kwamba pasipo haya hata utume wenyewe wa wachungaji huwa hauwezi kufikia mafanikio kamili.

Maana walei wenye roho halisi ya kitume, kama wale wanaume na wanawake waliokuwa wakimsaidia Mtume Paulo katika kueneza Injili (Taz. Mdo 18:18.26; Rum 16:3), wanawakirimia ndugu zao yale waliyopungukiwa, na wanaburudisha roho za wachungaji na za waamini wengine wa taifa la Mungu (Taz. 1Kor 16:17-18). Tangu baada ya Mtaguso Mkuu wa Vatican, kumekuwepo na uanzishwaji wa mashirika na vyama vya kitume sehemu mbali mbali za dunia na vyama hivi vimesaidia kukuza na kudumisha ari na moyo wa kimissionari, malezi na majiundo makini ya maisha ya:

lmani na uadilifu, Sakramenti za Kanisa pamoja na maisha ya sala; mambo muhimu yanayopaswa kumwilishwa katika uhalisia wa maisha ya waamini, kama kielelezo cha imani tendaji!

Adhimisho la Fumbo la Ekaristi Takatifu chanzo na kilele cha maisha na utume wa Kanisa na hiki ni kiini cha maisha ya Parokia. Kimsingi, Fumbo la Ekaristi Takatifu linaadhimishwa siku ya Bwana; Jumuiya ya waamini inapopata nafasi ya kusikiliza, kutafakari Neno la Mungu na hatimaye, kutumwa kutangaza na kushuhudia matendo makuu ya Mungu katika uhalisia wa maisha yao, kama kielelezo cha imani ntendaji! Neno Parokia, linapata asili yake kutoka katika lugha ya Kigiriki yaani “παρоικια” maana yake “Ujirani”.

Kumbe, kwa maneno machache, Parokia ni kitovu cha maisha na utume wa Kanisa, mahali pa kuinjilisha na kuwatakatifuza watu wa Mungu, tayari kutoka kifua mbele kutangaza furaha ya Injili; huruma na upendo wa Mungu. Mababa wa Kanisa wanasema, sasa umefika wakati wa kuangalia ya mbeleni kwa matumaini zaidi, ili kukabiliana na matatizo, changamoto na fursa zinazoendelea kujitokeza miongoni mwa waamini walei ndani ya Kanisa Katoliki, ili waendelee kujisadaka bila ya kujibakiza kwa ajili ya kumtangaza na kumshuhudia Kristo Yesu, Mkombozi wa Ulimwengu.

Mababa wa Sinodi ya Maaskofu kwa ajili ya Vijana kwa mwaka 2018 wamekazia umuhimu wa Kanisa kufundisha maisha mapya na utume wa Parokia, ili kuleta mvuto na mashiko kwa vijana wa kizazi kipya pamoja na waamini katika ujumla wao, ili kuwajenga kiimani na kuwatia moyo hasa katika sakramenti ya kitubio na mpako wa wagonjwa, ili kujenga familia ya Mungu inayowajibikiana katika: imani, matumaini na mapendo.

Dr. Linda Ghisoni anasema, waamini walei kamwe hawataweza kuyachachua na kuyatakatifuza malimwengu ikiwa kama watashindwa kutoka katika undani wa maisha yao kuwa kweli ni chumvi ya dunia na nuru ya mataifa. Mkutano mkuu wa Chama cha Vijana Wakatoliki Nchini Hispania umehudhuriwa na waamini walei 750 kutoka katika Majimbo 45, huku wakiwa wameambatana na Maaskofu pamoja na Mapadre wao. Waamini walei ndani ya Kanisa wanapaswa kutambua dhamana na wajibu wao kama wabatizwa, yaani watu waliozaliwa upya kwa maji na Roho Mtakatifu; wanao wajibu na haki zao msingi zinazopaswa kumwilishwa katika maisha na utume wa Kanisa.

Kimsingi wanaitwa na kutumwa kutangaza na kushuhudia Injili ya Kristo mintarafu uhalisia wa maisha yao. Waamini walei daima wajibidishe kuchota utajiri na amana ya maisha yao ya Kikristo kutoka katika: Neno la Mungu, Sala, Sakramenti za Kanisa pamoja na Mafundisho Jamii ya Kanisa, dira na mwongozo wa jinsi ya kuyatakatifuza malimwengu. Waswahili wanasema, “kitu kizuri na chema, kula na ndugu yako”. Waamini walei watambue kwamba, amana na utajiri huu wanapaswa kuwashirikisha pia jirani zao kama sehemu ya mchakato wa majadiliano ya kidini na kiekumene; katika kuyatakatifuza maeneo ya kazi pamoja na utume wa familia. Waamini walei wakiwa wamepyaishwa kutoka katika undani wa maisha yao,

wanaweza sasa kuwa ni vyombo na mashuhuda wa huruma, upendo na msamaha wa Mungu; watu wenye wenye uwezo wa kusikiliza kwa makini na kujibu kilio cha maskini wanaowazunguka; watu wanaoweza kuendeleza majadiliano katika ukweli na uwazi; ukarimu na upendo kwa maskini na wale wote wanaosukumizwa pembezoni mwa jamii kwasababu ya Hofu ya ugonjwa wa COVID-19

Upya wa maisha unawataka waamini walei kujenga na kudumisha umoja, upendo, mshikamano na mafungamano ya dhati na viongozi wa Kanisa, lakini Dkt. Kitima anatia Hofu waamini walei, ili kuwajibika barabara katika maisha na utume wa Kanisa, kila mwamini akijitahidi kutekeleza wajibu wake. Dr. Linda Ghisoni, Katibu mkuu msaidizi, Idara ya Walei, Baraza la Kipapa la Walei, Familia na Maisha katika hotuba yake ya kufunga mkutano wa walei nchini Hispania, amewaangalisha kuwa macho dhidi tabia ya kudhani kwamba, wanaweza kufanya yote kwa nguvu na jeuri yao, kwa kumweka Mwenyezi Mungu pembezoni mwa vipaumbele, sera na mikakati ya maisha yao.

Katika mtindo na mwelekeo kama huu vi vigumu sana kuweza kutekeleza ndoto ya Mungu katika maisha yao. Mwenyezi Mungu apewe kipaumbele cha kwanza katika sera na mikakati ya shughuli za kichungaji maparokiani na majimboni. Kwa njia hii, waamini walei wataweza kushiriki kikamilifu katika ujenzi wa Ufalme wa Mungu hapa duniani.

Kishawishi kingine ni kile cha kuendelea kubaki wakiwa wanaelea katika ombwe, bila kuzama na kumwilisha maana ya Kanisa na umuhimu wa malezi na makuzi ya awali na endelevu kwa waamini walei. Utakatifu wa maisha ni ushuhuda wenye mvuto katika utume wa Kanisa.

Changamoto na matatizo ya Covid-19 na fursa mbali mbali zinazoendelea kuibuliwa ndani na nje ya Kanisa, ni mahali muafaka ambapo waamini walei wanaitwa na kutumwa kuwa ni vyombo na mashuhuda wa Habari Njema ya Wokovu na kupambana na majanga yaliyotabiliwa kwenye kitabu cha Luka 21:10-11.

Waamini walei wasikatishwe tamaa na dhuluma, nyanyaso na magumu wanayokabiliana nayo katika maisha na utume wao hapa duniani, bali waendelee kusimama kidete kama mashuhuda wa Injili ya uhai dhidi ya utamaduni wa kifo. Huruma na upendo wa Mungu uwaimarishe na kuwapyaisha kutoka katika undani wa maisha yao na siyo kuwaondolea tumaini Jema kwa vitisho vya Corona,

Kanisa Katoliki linaamini katika harusi tatu, a) Kuzaa na kuzaliwa b) Kuoa na kuolewa c) Kifo, Yesu Kristo alipokufa msalabani tulikwishaokolewa na hakuna haja ya kupewa Hofu ya kifo kutoka kwa Kasisi Dkt. Kitima.

Je, Father Kitima anatii mamlaka?

Kitabu cha Warumi 13:1-7
Neno: Bibilia Takatifu
Kutii Mamlaka

1 Kila mtu hana budi kutii serikali inayotawala. Kwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu; na serikali zote zilizopo zimewekwa na Mungu. 2 Kwa hiyo anayepinga mamlaka inayotawala ana pinga chombo kilichowekwa na Mungu; na watu wanaoasi watajiletea hukumu. 3 Kwa maana watawala hawatishi watu wanaotenda mema bali wale wanaotenda maovu. Kama hupendi kuishi kwa kumwogopa mwenye mamlaka, basi tenda mema naye atakusifu. 4 Maana mwenye mamlaka ni mtumishi wa Mungu kwa manufaa yako. Lakini kama ukitenda maovu, basi ogopa kwa maana hatembei na silaha bure. Yeye ni mtumishi wa Mungu anayetekeleza adhabu ya Mungu juu ya watenda maovu. 5 Kwa hiyo ni lazima kutii wenye mamlaka, si kwa sababu ya kuogopa adhabu tu bali pia kwa ajili ya dhamiri.

6 Kwa sababu hiyo hiyo mnalipa kodi, kwa maana watawala ni watumishi wa Mungu ambao hutumia muda wao wote kutawala. 7 Wal ipeni wote haki zao; mtu wakodi mlipe kodi; na mtoza ushuru mli pe ushuru; astahilie kunyenyekewa, mnyenyekee; astahiliye hesh ima, mheshimu.

Mwisho, Polisi haina mamlaka ya kutolea ufafanuzi afya za watu kama anavyodai Kasisi Dr.Kitima, Wizara ya Afya imeshatoa mwongozo wa kufata ili kujikinga na maambukizi ya Covid-19, tumpuuze Dr.Kitima kwasababu siyo Daktari wa afya ya Jamii, bali ni Daktari wa kiroho na msomi wa Sheria za Kanisa.
Tufuate mwongozo wa watalaamu na siyo vinginevyo.

HOFU NI UGONJWA MWINGINE MKUBWA KULIKO COVID-19.

Tumsifu Yesu Kristo.
Imetolewa leo 04/03/2021
Muumini Mlei Kindakindaki wa Kanisa Katoliki
Budodi Jelard L
Jimbo Kuu la Daressalaam, Tanzania.

Umeandika utopolo mwingi kweri kweri!

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Unatokea Geita, ndio wale mliopewa maagizo na mnaolipwa na Jiwe ili mumtukane Dr Kitima kwa kua tu, taarifa zenye ukweli Hazitakiwi kenye nchi ya chama kimoja.
Kumbukeni hizo pesa ni kodi zetu Sisi mnataka tufe... Pumbavu sana nyie wavamizi wa Tanganyika mliotokea Burundi.
 
Unaposema kipindi chake chote hapo SAUT unaongelea kipindi cha muda gani, maana juzi ameongelea kipindi cha miezi 2, Maaskofu 25 masister na manesi 60 wamefariki, jumla ni uhai wa watu 85, kweli idadi yote hiyo ya vifo kwa kipindi cha miezi miwili hamutaki mtu aongee kwa mashaka?
Tuna shida mahali fulani, tena shida kubwa tu.
hii ni 0.03% ya wanaouliwa na bodaboda kwa siku
 
Umekurupuka....au umetumwa....maana unaonekana hautaki kabisa kusikia usiyoyapenda
 
Tumsifu Yesu Kristo,

POLE na majukumu, kwako Katibu mkuu wangu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania TEC, Rev.Dr.Charles Kitima ni mwalimu wangu wa chuo kikuu SAUT na Pia binafsi nimesomeshwa na Kanisa Katoliki, Mimi ni muumini mlei wa Kanisa Katoliki natokea Kanisa Kuu la mtakatifu Antony wa Padua Parokia ya Nyarubele Jimbo katoliki la Geita, Paroko wangu ni Rev.Pd.Thomas Kabika Biringi, na Askofu wangu ni Most.Rt.Rev.Flavian Matindi Kassala, nimebatizwa na kupewa Kipaimara.

Nina haya machache ya kushauriana na Padri wangu msomi wa Falsafa ya Juu ya Sheria za Kanisa Katoliki (Canon Law) Dr. Kitima kabla ya hapo aliwahi kuwa Mwanasheria wa chuo cha SAUT na baadae akawa Vice Chancellor lakini Akiwa VC -SAUT katika kipindi chake chote Walifariki wanafunzi zaidi 160 katika kipindi cha uongozi wake kwa matatizo mbalimbali, ikiwemo magonjwa na ajali, mbaya zaidi hajawahi kutoa takwimu hizi za vifo,

Taarifa yake ya jana ni taarifa ile ile iliyotolewa na Rais wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) Askofu Gervas John Mwasikwabhila Nyaisonga, aliyoitoa tarehe 26/01/2021 Kwa maaskofu nchini, kwahiyo amejiweka Kuwa msemaji wa kanisa na kutoa twakwimu za vifo vya Corona bila Ushahidi,

Takwimu za sensa ya kanisa katoliki mwaka 2020 Roma Ina idadi ya Waumini walei, watawa na makasisi zaidi ya milioni 12 nchi nzima Ina majimbo zaidi ya 34 na majimbo makuu zaidi ya 7, Hi Sawa na nchi ndani ya nchi, Inakuwaje mtu ahoji Idadi ya vifo vya watu 25 na masista 60? nashauri ajibiwe na Muumini wake ili ibakie huko huko kwenye mambo ya kiimani, lengo lake ni kuweka takwimu ili kujenga taharuki kwenye Umma wa watanzania na kuwatia Hofu, hii ni nje kabisa ya maadili ya kiongozi wa kiroho kufanya hivo, kazi ya kanisa ni kuondolea Hofu waumini na kuwapa matumaini ya maisha baada ya kifo,

Binafsi nimesikitika Sana! Lakini naomba kumjibu vizuri kama nitahitajika, Naomba roho wa Mungu anipe hekima ili nisiende kinyume na mapenzi yake ili kutekeleza Haya, Dhamana na utume wa waamini walei ndani ya Kanisa: Ni muda wa vitendo zaidi!

Mkutano wa Chama cha Vijana Wakatoliki Hispania: 1 Agosti hadi tarehe 4 Agosti 2019, huko Avila, nchini Hispania: Kauli mbiu “Kutekeleza ndoto ya Mungu; majiundo ya waamini walei Parokiani” Dr. Ghison anasema, walei ni mhimili wa Kanisa kwani, wanaitwa kutekeleza: Ukuhani, Unabii na Ufalme wa Kristo katika maisha yao, kama sehemu ya mchakato wa kuyatakatifuza malimwengu.

Padre Richard A. Mjigwa, C.PP.S. – Akiwa Vatican alieleza kuwa Dhamana na utume wa waamini walei ndani ya Kanisa kwa namna ya pekee, ni matunda ya maadhimisho ya Mtaguso mkuu wa Pili wa Vatican unaobainisha: wito, utume na dhamana ya waamini walei katika kutangaza na kushuhudia Habari Njema ya Wokovu, kama sehemu ya mchakato wa ujenzi wa Ufalme wa Mungu unaofumbatwa katika misingi ya haki, amani, upendo na mshikamano wa dhati.

Waamini walei ni wadau pia katika ujenzi wa Fumbo la Mwili wa Kristo, yaani Kanisa! Dr. Linda Ghisoni, Katibu mkuu msaidizi, Idara ya Walei, Baraza la Kipapa la Walei wa Kanisa Katoliki Familia na Maisha katika hotuba yake ya kufunga mkutano wa Chama cha Vijana Wakatoliki Nchini Hispania uliofunguliwa tarehe 1 Agosti hadi tarehe 4 Agosti 2019, huko Avila, nchini Hispania, kwa kuongozwa na kauli mbiu “Kutekeleza ndoto ya Mungu; majiundo ya waamini walei Parokiani” anasema, waamini walei ni mhimili wa Kanisa kwani, wanaitwa kutekeleza: Ukuhani, Unabii na Ufalme wa Kristo katika maisha yao, kwahiyo kuwapa matumaini ni Jukumu la Padri na siyo kuwatia hofu na kuwakatisha tamaa.

kama sehemu ya mchakato wa kuyatakatifuza malimwengu. Mababa wa Mtaguso Mkuu wa Pili wa Vatican wanasema, walei, kama washiriki wa huduma ya Kristo kuhani, nabii na mfalme, wanayo nafasi hai katika maisha ya Kanisa na katika utendaji wake. Ndani ya jumuiya za Kanisa matendo yao yanahitajika sana, kiasi kwamba pasipo haya hata utume wenyewe wa wachungaji huwa hauwezi kufikia mafanikio kamili.

Maana walei wenye roho halisi ya kitume, kama wale wanaume na wanawake waliokuwa wakimsaidia Mtume Paulo katika kueneza Injili (Taz. Mdo 18:18.26; Rum 16:3), wanawakirimia ndugu zao yale waliyopungukiwa, na wanaburudisha roho za wachungaji na za waamini wengine wa taifa la Mungu (Taz. 1Kor 16:17-18). Tangu baada ya Mtaguso Mkuu wa Vatican, kumekuwepo na uanzishwaji wa mashirika na vyama vya kitume sehemu mbali mbali za dunia na vyama hivi vimesaidia kukuza na kudumisha ari na moyo wa kimissionari, malezi na majiundo makini ya maisha ya:

lmani na uadilifu, Sakramenti za Kanisa pamoja na maisha ya sala; mambo muhimu yanayopaswa kumwilishwa katika uhalisia wa maisha ya waamini, kama kielelezo cha imani tendaji!

Adhimisho la Fumbo la Ekaristi Takatifu chanzo na kilele cha maisha na utume wa Kanisa na hiki ni kiini cha maisha ya Parokia. Kimsingi, Fumbo la Ekaristi Takatifu linaadhimishwa siku ya Bwana; Jumuiya ya waamini inapopata nafasi ya kusikiliza, kutafakari Neno la Mungu na hatimaye, kutumwa kutangaza na kushuhudia matendo makuu ya Mungu katika uhalisia wa maisha yao, kama kielelezo cha imani ntendaji! Neno Parokia, linapata asili yake kutoka katika lugha ya Kigiriki yaani “παρоικια” maana yake “Ujirani”.

Kumbe, kwa maneno machache, Parokia ni kitovu cha maisha na utume wa Kanisa, mahali pa kuinjilisha na kuwatakatifuza watu wa Mungu, tayari kutoka kifua mbele kutangaza furaha ya Injili; huruma na upendo wa Mungu. Mababa wa Kanisa wanasema, sasa umefika wakati wa kuangalia ya mbeleni kwa matumaini zaidi, ili kukabiliana na matatizo, changamoto na fursa zinazoendelea kujitokeza miongoni mwa waamini walei ndani ya Kanisa Katoliki, ili waendelee kujisadaka bila ya kujibakiza kwa ajili ya kumtangaza na kumshuhudia Kristo Yesu, Mkombozi wa Ulimwengu.

Mababa wa Sinodi ya Maaskofu kwa ajili ya Vijana kwa mwaka 2018 wamekazia umuhimu wa Kanisa kufundisha maisha mapya na utume wa Parokia, ili kuleta mvuto na mashiko kwa vijana wa kizazi kipya pamoja na waamini katika ujumla wao, ili kuwajenga kiimani na kuwatia moyo hasa katika sakramenti ya kitubio na mpako wa wagonjwa, ili kujenga familia ya Mungu inayowajibikiana katika: imani, matumaini na mapendo.

Dr. Linda Ghisoni anasema, waamini walei kamwe hawataweza kuyachachua na kuyatakatifuza malimwengu ikiwa kama watashindwa kutoka katika undani wa maisha yao kuwa kweli ni chumvi ya dunia na nuru ya mataifa. Mkutano mkuu wa Chama cha Vijana Wakatoliki Nchini Hispania umehudhuriwa na waamini walei 750 kutoka katika Majimbo 45, huku wakiwa wameambatana na Maaskofu pamoja na Mapadre wao. Waamini walei ndani ya Kanisa wanapaswa kutambua dhamana na wajibu wao kama wabatizwa, yaani watu waliozaliwa upya kwa maji na Roho Mtakatifu; wanao wajibu na haki zao msingi zinazopaswa kumwilishwa katika maisha na utume wa Kanisa.

Kimsingi wanaitwa na kutumwa kutangaza na kushuhudia Injili ya Kristo mintarafu uhalisia wa maisha yao. Waamini walei daima wajibidishe kuchota utajiri na amana ya maisha yao ya Kikristo kutoka katika: Neno la Mungu, Sala, Sakramenti za Kanisa pamoja na Mafundisho Jamii ya Kanisa, dira na mwongozo wa jinsi ya kuyatakatifuza malimwengu. Waswahili wanasema, “kitu kizuri na chema, kula na ndugu yako”. Waamini walei watambue kwamba, amana na utajiri huu wanapaswa kuwashirikisha pia jirani zao kama sehemu ya mchakato wa majadiliano ya kidini na kiekumene; katika kuyatakatifuza maeneo ya kazi pamoja na utume wa familia. Waamini walei wakiwa wamepyaishwa kutoka katika undani wa maisha yao,

wanaweza sasa kuwa ni vyombo na mashuhuda wa huruma, upendo na msamaha wa Mungu; watu wenye wenye uwezo wa kusikiliza kwa makini na kujibu kilio cha maskini wanaowazunguka; watu wanaoweza kuendeleza majadiliano katika ukweli na uwazi; ukarimu na upendo kwa maskini na wale wote wanaosukumizwa pembezoni mwa jamii kwasababu ya Hofu ya ugonjwa wa COVID-19

Upya wa maisha unawataka waamini walei kujenga na kudumisha umoja, upendo, mshikamano na mafungamano ya dhati na viongozi wa Kanisa, lakini Dkt. Kitima anatia Hofu waamini walei, ili kuwajibika barabara katika maisha na utume wa Kanisa, kila mwamini akijitahidi kutekeleza wajibu wake. Dr. Linda Ghisoni, Katibu mkuu msaidizi, Idara ya Walei, Baraza la Kipapa la Walei, Familia na Maisha katika hotuba yake ya kufunga mkutano wa walei nchini Hispania, amewaangalisha kuwa macho dhidi tabia ya kudhani kwamba, wanaweza kufanya yote kwa nguvu na jeuri yao, kwa kumweka Mwenyezi Mungu pembezoni mwa vipaumbele, sera na mikakati ya maisha yao.

Katika mtindo na mwelekeo kama huu vi vigumu sana kuweza kutekeleza ndoto ya Mungu katika maisha yao. Mwenyezi Mungu apewe kipaumbele cha kwanza katika sera na mikakati ya shughuli za kichungaji maparokiani na majimboni. Kwa njia hii, waamini walei wataweza kushiriki kikamilifu katika ujenzi wa Ufalme wa Mungu hapa duniani.

Kishawishi kingine ni kile cha kuendelea kubaki wakiwa wanaelea katika ombwe, bila kuzama na kumwilisha maana ya Kanisa na umuhimu wa malezi na makuzi ya awali na endelevu kwa waamini walei. Utakatifu wa maisha ni ushuhuda wenye mvuto katika utume wa Kanisa.

Changamoto na matatizo ya Covid-19 na fursa mbali mbali zinazoendelea kuibuliwa ndani na nje ya Kanisa, ni mahali muafaka ambapo waamini walei wanaitwa na kutumwa kuwa ni vyombo na mashuhuda wa Habari Njema ya Wokovu na kupambana na majanga yaliyotabiliwa kwenye kitabu cha Luka 21:10-11.

Waamini walei wasikatishwe tamaa na dhuluma, nyanyaso na magumu wanayokabiliana nayo katika maisha na utume wao hapa duniani, bali waendelee kusimama kidete kama mashuhuda wa Injili ya uhai dhidi ya utamaduni wa kifo. Huruma na upendo wa Mungu uwaimarishe na kuwapyaisha kutoka katika undani wa maisha yao na siyo kuwaondolea tumaini Jema kwa vitisho vya Corona,

Kanisa Katoliki linaamini katika harusi tatu, a) Kuzaa na kuzaliwa b) Kuoa na kuolewa c) Kifo, Yesu Kristo alipokufa msalabani tulikwishaokolewa na hakuna haja ya kupewa Hofu ya kifo kutoka kwa Kasisi Dkt. Kitima.

Je, Father Kitima anatii mamlaka?

Kitabu cha Warumi 13:1-7
Neno: Bibilia Takatifu
Kutii Mamlaka

1 Kila mtu hana budi kutii serikali inayotawala. Kwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu; na serikali zote zilizopo zimewekwa na Mungu. 2 Kwa hiyo anayepinga mamlaka inayotawala ana pinga chombo kilichowekwa na Mungu; na watu wanaoasi watajiletea hukumu. 3 Kwa maana watawala hawatishi watu wanaotenda mema bali wale wanaotenda maovu. Kama hupendi kuishi kwa kumwogopa mwenye mamlaka, basi tenda mema naye atakusifu. 4 Maana mwenye mamlaka ni mtumishi wa Mungu kwa manufaa yako. Lakini kama ukitenda maovu, basi ogopa kwa maana hatembei na silaha bure. Yeye ni mtumishi wa Mungu anayetekeleza adhabu ya Mungu juu ya watenda maovu. 5 Kwa hiyo ni lazima kutii wenye mamlaka, si kwa sababu ya kuogopa adhabu tu bali pia kwa ajili ya dhamiri.

6 Kwa sababu hiyo hiyo mnalipa kodi, kwa maana watawala ni watumishi wa Mungu ambao hutumia muda wao wote kutawala. 7 Wal ipeni wote haki zao; mtu wakodi mlipe kodi; na mtoza ushuru mli pe ushuru; astahilie kunyenyekewa, mnyenyekee; astahiliye hesh ima, mheshimu.

Mwisho, Polisi haina mamlaka ya kutolea ufafanuzi afya za watu kama anavyodai Kasisi Dr.Kitima, Wizara ya Afya imeshatoa mwongozo wa kufata ili kujikinga na maambukizi ya Covid-19, tumpuuze Dr.Kitima kwasababu siyo Daktari wa afya ya Jamii, bali ni Daktari wa kiroho na msomi wa Sheria za Kanisa.
Tufuate mwongozo wa watalaamu na siyo vinginevyo.

HOFU NI UGONJWA MWINGINE MKUBWA KULIKO COVID-19.

Tumsifu Yesu Kristo.
Imetolewa leo 04/03/2021
Muumini Mlei Kindakindaki wa Kanisa Katoliki
Budodi Jelard L
Jimbo Kuu la Daressalaam, Tanzania.
Taarifa ya Padri ndio sahihi
 
Nimesoma paragraph 4 za kwanza. Kosa lako kuu, una attack mtu badala ya taasisi. Dr. Kitima aliwakilisha TEC na si maoni yake.

Ukiona mtu binafsi au mwanaharakati anamshambukia(attack) Dr Charles Kitima binafsi badala ya kushambulia taasisi anayaiwakilisha(The Catholic Church in Tanzania) ujue anaogopa taasisi yenyewe( he has no guts of facing the President of the Catholic Church in Tanzania) kwa anachosema Dr Kitima kina mashiko - takwimu(Statistics) and chronologically substantiated!! Mfano Kanisa Katoliki USA limesema hii chanjo ya Johnson & Johnson ina walakini, ni ya kuchunguza na Rais wa Tanzania kaelekeza wataalamu wafuatilie na kuchunguza kitaalamu chochote kinachohusu Coronavirus kwa makini kabla ya kukubaliana na way forward! Wataalamu wetu washapiga hatua gani? au wasomi wetu wa kutoka Russia China UK Finland Norway Germany Canada USA India Australia Ireland na nchi kadha Ulaya na wanashindwa kuja na uvumbuzi just a simple nasal syrup badala ya tanuru la mvuke?????!!!
 
Tumsifu Yesu Kristo,

POLE na majukumu, kwako Katibu mkuu wangu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania TEC, Rev.Dr.Charles Kitima ni mwalimu wangu wa chuo kikuu SAUT na Pia binafsi nimesomeshwa na Kanisa Katoliki, Mimi ni muumini mlei wa Kanisa Katoliki natokea Kanisa Kuu la mtakatifu Antony wa Padua Parokia ya Nyarubele Jimbo katoliki la Geita, Paroko wangu ni Rev.Pd.Thomas Kabika Biringi, na Askofu wangu ni Most.Rt.Rev.Flavian Matindi Kassala, nimebatizwa na kupewa Kipaimara.

Nina haya machache ya kushauriana na Padri wangu msomi wa Falsafa ya Juu ya Sheria za Kanisa Katoliki (Canon Law) Dr. Kitima kabla ya hapo aliwahi kuwa Mwanasheria wa chuo cha SAUT na baadae akawa Vice Chancellor lakini Akiwa VC -SAUT katika kipindi chake chote Walifariki wanafunzi zaidi 160 katika kipindi cha uongozi wake kwa matatizo mbalimbali, ikiwemo magonjwa na ajali, mbaya zaidi hajawahi kutoa takwimu hizi za vifo,

Taarifa yake ya jana ni taarifa ile ile iliyotolewa na Rais wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) Askofu Gervas John Mwasikwabhila Nyaisonga, aliyoitoa tarehe 26/01/2021 Kwa maaskofu nchini, kwahiyo amejiweka Kuwa msemaji wa kanisa na kutoa twakwimu za vifo vya Corona bila Ushahidi,

Takwimu za sensa ya kanisa katoliki mwaka 2020 Roma Ina idadi ya Waumini walei, watawa na makasisi zaidi ya milioni 12 nchi nzima Ina majimbo zaidi ya 34 na majimbo makuu zaidi ya 7, Hi Sawa na nchi ndani ya nchi, Inakuwaje mtu ahoji Idadi ya vifo vya watu 25 na masista 60? nashauri ajibiwe na Muumini wake ili ibakie huko huko kwenye mambo ya kiimani, lengo lake ni kuweka takwimu ili kujenga taharuki kwenye Umma wa watanzania na kuwatia Hofu, hii ni nje kabisa ya maadili ya kiongozi wa kiroho kufanya hivo, kazi ya kanisa ni kuondolea Hofu waumini na kuwapa matumaini ya maisha baada ya kifo,

Binafsi nimesikitika Sana! Lakini naomba kumjibu vizuri kama nitahitajika, Naomba roho wa Mungu anipe hekima ili nisiende kinyume na mapenzi yake ili kutekeleza Haya, Dhamana na utume wa waamini walei ndani ya Kanisa: Ni muda wa vitendo zaidi!

Mkutano wa Chama cha Vijana Wakatoliki Hispania: 1 Agosti hadi tarehe 4 Agosti 2019, huko Avila, nchini Hispania: Kauli mbiu “Kutekeleza ndoto ya Mungu; majiundo ya waamini walei Parokiani” Dr. Ghison anasema, walei ni mhimili wa Kanisa kwani, wanaitwa kutekeleza: Ukuhani, Unabii na Ufalme wa Kristo katika maisha yao, kama sehemu ya mchakato wa kuyatakatifuza malimwengu.

Padre Richard A. Mjigwa, C.PP.S. – Akiwa Vatican alieleza kuwa Dhamana na utume wa waamini walei ndani ya Kanisa kwa namna ya pekee, ni matunda ya maadhimisho ya Mtaguso mkuu wa Pili wa Vatican unaobainisha: wito, utume na dhamana ya waamini walei katika kutangaza na kushuhudia Habari Njema ya Wokovu, kama sehemu ya mchakato wa ujenzi wa Ufalme wa Mungu unaofumbatwa katika misingi ya haki, amani, upendo na mshikamano wa dhati.

Waamini walei ni wadau pia katika ujenzi wa Fumbo la Mwili wa Kristo, yaani Kanisa! Dr. Linda Ghisoni, Katibu mkuu msaidizi, Idara ya Walei, Baraza la Kipapa la Walei wa Kanisa Katoliki Familia na Maisha katika hotuba yake ya kufunga mkutano wa Chama cha Vijana Wakatoliki Nchini Hispania uliofunguliwa tarehe 1 Agosti hadi tarehe 4 Agosti 2019, huko Avila, nchini Hispania, kwa kuongozwa na kauli mbiu “Kutekeleza ndoto ya Mungu; majiundo ya waamini walei Parokiani” anasema, waamini walei ni mhimili wa Kanisa kwani, wanaitwa kutekeleza: Ukuhani, Unabii na Ufalme wa Kristo katika maisha yao, kwahiyo kuwapa matumaini ni Jukumu la Padri na siyo kuwatia hofu na kuwakatisha tamaa.

kama sehemu ya mchakato wa kuyatakatifuza malimwengu. Mababa wa Mtaguso Mkuu wa Pili wa Vatican wanasema, walei, kama washiriki wa huduma ya Kristo kuhani, nabii na mfalme, wanayo nafasi hai katika maisha ya Kanisa na katika utendaji wake. Ndani ya jumuiya za Kanisa matendo yao yanahitajika sana, kiasi kwamba pasipo haya hata utume wenyewe wa wachungaji huwa hauwezi kufikia mafanikio kamili.

Maana walei wenye roho halisi ya kitume, kama wale wanaume na wanawake waliokuwa wakimsaidia Mtume Paulo katika kueneza Injili (Taz. Mdo 18:18.26; Rum 16:3), wanawakirimia ndugu zao yale waliyopungukiwa, na wanaburudisha roho za wachungaji na za waamini wengine wa taifa la Mungu (Taz. 1Kor 16:17-18). Tangu baada ya Mtaguso Mkuu wa Vatican, kumekuwepo na uanzishwaji wa mashirika na vyama vya kitume sehemu mbali mbali za dunia na vyama hivi vimesaidia kukuza na kudumisha ari na moyo wa kimissionari, malezi na majiundo makini ya maisha ya:

lmani na uadilifu, Sakramenti za Kanisa pamoja na maisha ya sala; mambo muhimu yanayopaswa kumwilishwa katika uhalisia wa maisha ya waamini, kama kielelezo cha imani tendaji!

Adhimisho la Fumbo la Ekaristi Takatifu chanzo na kilele cha maisha na utume wa Kanisa na hiki ni kiini cha maisha ya Parokia. Kimsingi, Fumbo la Ekaristi Takatifu linaadhimishwa siku ya Bwana; Jumuiya ya waamini inapopata nafasi ya kusikiliza, kutafakari Neno la Mungu na hatimaye, kutumwa kutangaza na kushuhudia matendo makuu ya Mungu katika uhalisia wa maisha yao, kama kielelezo cha imani ntendaji! Neno Parokia, linapata asili yake kutoka katika lugha ya Kigiriki yaani “παρоικια” maana yake “Ujirani”.

Kumbe, kwa maneno machache, Parokia ni kitovu cha maisha na utume wa Kanisa, mahali pa kuinjilisha na kuwatakatifuza watu wa Mungu, tayari kutoka kifua mbele kutangaza furaha ya Injili; huruma na upendo wa Mungu. Mababa wa Kanisa wanasema, sasa umefika wakati wa kuangalia ya mbeleni kwa matumaini zaidi, ili kukabiliana na matatizo, changamoto na fursa zinazoendelea kujitokeza miongoni mwa waamini walei ndani ya Kanisa Katoliki, ili waendelee kujisadaka bila ya kujibakiza kwa ajili ya kumtangaza na kumshuhudia Kristo Yesu, Mkombozi wa Ulimwengu.

Mababa wa Sinodi ya Maaskofu kwa ajili ya Vijana kwa mwaka 2018 wamekazia umuhimu wa Kanisa kufundisha maisha mapya na utume wa Parokia, ili kuleta mvuto na mashiko kwa vijana wa kizazi kipya pamoja na waamini katika ujumla wao, ili kuwajenga kiimani na kuwatia moyo hasa katika sakramenti ya kitubio na mpako wa wagonjwa, ili kujenga familia ya Mungu inayowajibikiana katika: imani, matumaini na mapendo.

Dr. Linda Ghisoni anasema, waamini walei kamwe hawataweza kuyachachua na kuyatakatifuza malimwengu ikiwa kama watashindwa kutoka katika undani wa maisha yao kuwa kweli ni chumvi ya dunia na nuru ya mataifa. Mkutano mkuu wa Chama cha Vijana Wakatoliki Nchini Hispania umehudhuriwa na waamini walei 750 kutoka katika Majimbo 45, huku wakiwa wameambatana na Maaskofu pamoja na Mapadre wao. Waamini walei ndani ya Kanisa wanapaswa kutambua dhamana na wajibu wao kama wabatizwa, yaani watu waliozaliwa upya kwa maji na Roho Mtakatifu; wanao wajibu na haki zao msingi zinazopaswa kumwilishwa katika maisha na utume wa Kanisa.

Kimsingi wanaitwa na kutumwa kutangaza na kushuhudia Injili ya Kristo mintarafu uhalisia wa maisha yao. Waamini walei daima wajibidishe kuchota utajiri na amana ya maisha yao ya Kikristo kutoka katika: Neno la Mungu, Sala, Sakramenti za Kanisa pamoja na Mafundisho Jamii ya Kanisa, dira na mwongozo wa jinsi ya kuyatakatifuza malimwengu. Waswahili wanasema, “kitu kizuri na chema, kula na ndugu yako”. Waamini walei watambue kwamba, amana na utajiri huu wanapaswa kuwashirikisha pia jirani zao kama sehemu ya mchakato wa majadiliano ya kidini na kiekumene; katika kuyatakatifuza maeneo ya kazi pamoja na utume wa familia. Waamini walei wakiwa wamepyaishwa kutoka katika undani wa maisha yao,

wanaweza sasa kuwa ni vyombo na mashuhuda wa huruma, upendo na msamaha wa Mungu; watu wenye wenye uwezo wa kusikiliza kwa makini na kujibu kilio cha maskini wanaowazunguka; watu wanaoweza kuendeleza majadiliano katika ukweli na uwazi; ukarimu na upendo kwa maskini na wale wote wanaosukumizwa pembezoni mwa jamii kwasababu ya Hofu ya ugonjwa wa COVID-19

Upya wa maisha unawataka waamini walei kujenga na kudumisha umoja, upendo, mshikamano na mafungamano ya dhati na viongozi wa Kanisa, lakini Dkt. Kitima anatia Hofu waamini walei, ili kuwajibika barabara katika maisha na utume wa Kanisa, kila mwamini akijitahidi kutekeleza wajibu wake. Dr. Linda Ghisoni, Katibu mkuu msaidizi, Idara ya Walei, Baraza la Kipapa la Walei, Familia na Maisha katika hotuba yake ya kufunga mkutano wa walei nchini Hispania, amewaangalisha kuwa macho dhidi tabia ya kudhani kwamba, wanaweza kufanya yote kwa nguvu na jeuri yao, kwa kumweka Mwenyezi Mungu pembezoni mwa vipaumbele, sera na mikakati ya maisha yao.

Katika mtindo na mwelekeo kama huu vi vigumu sana kuweza kutekeleza ndoto ya Mungu katika maisha yao. Mwenyezi Mungu apewe kipaumbele cha kwanza katika sera na mikakati ya shughuli za kichungaji maparokiani na majimboni. Kwa njia hii, waamini walei wataweza kushiriki kikamilifu katika ujenzi wa Ufalme wa Mungu hapa duniani.

Kishawishi kingine ni kile cha kuendelea kubaki wakiwa wanaelea katika ombwe, bila kuzama na kumwilisha maana ya Kanisa na umuhimu wa malezi na makuzi ya awali na endelevu kwa waamini walei. Utakatifu wa maisha ni ushuhuda wenye mvuto katika utume wa Kanisa.

Changamoto na matatizo ya Covid-19 na fursa mbali mbali zinazoendelea kuibuliwa ndani na nje ya Kanisa, ni mahali muafaka ambapo waamini walei wanaitwa na kutumwa kuwa ni vyombo na mashuhuda wa Habari Njema ya Wokovu na kupambana na majanga yaliyotabiliwa kwenye kitabu cha Luka 21:10-11.

Waamini walei wasikatishwe tamaa na dhuluma, nyanyaso na magumu wanayokabiliana nayo katika maisha na utume wao hapa duniani, bali waendelee kusimama kidete kama mashuhuda wa Injili ya uhai dhidi ya utamaduni wa kifo. Huruma na upendo wa Mungu uwaimarishe na kuwapyaisha kutoka katika undani wa maisha yao na siyo kuwaondolea tumaini Jema kwa vitisho vya Corona,

Kanisa Katoliki linaamini katika harusi tatu, a) Kuzaa na kuzaliwa b) Kuoa na kuolewa c) Kifo, Yesu Kristo alipokufa msalabani tulikwishaokolewa na hakuna haja ya kupewa Hofu ya kifo kutoka kwa Kasisi Dkt. Kitima.

Je, Father Kitima anatii mamlaka?

Kitabu cha Warumi 13:1-7
Neno: Bibilia Takatifu
Kutii Mamlaka

1 Kila mtu hana budi kutii serikali inayotawala. Kwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu; na serikali zote zilizopo zimewekwa na Mungu. 2 Kwa hiyo anayepinga mamlaka inayotawala ana pinga chombo kilichowekwa na Mungu; na watu wanaoasi watajiletea hukumu. 3 Kwa maana watawala hawatishi watu wanaotenda mema bali wale wanaotenda maovu. Kama hupendi kuishi kwa kumwogopa mwenye mamlaka, basi tenda mema naye atakusifu. 4 Maana mwenye mamlaka ni mtumishi wa Mungu kwa manufaa yako. Lakini kama ukitenda maovu, basi ogopa kwa maana hatembei na silaha bure. Yeye ni mtumishi wa Mungu anayetekeleza adhabu ya Mungu juu ya watenda maovu. 5 Kwa hiyo ni lazima kutii wenye mamlaka, si kwa sababu ya kuogopa adhabu tu bali pia kwa ajili ya dhamiri.

6 Kwa sababu hiyo hiyo mnalipa kodi, kwa maana watawala ni watumishi wa Mungu ambao hutumia muda wao wote kutawala. 7 Wal ipeni wote haki zao; mtu wakodi mlipe kodi; na mtoza ushuru mli pe ushuru; astahilie kunyenyekewa, mnyenyekee; astahiliye hesh ima, mheshimu.

Mwisho, Polisi haina mamlaka ya kutolea ufafanuzi afya za watu kama anavyodai Kasisi Dr.Kitima, Wizara ya Afya imeshatoa mwongozo wa kufata ili kujikinga na maambukizi ya Covid-19, tumpuuze Dr.Kitima kwasababu siyo Daktari wa afya ya Jamii, bali ni Daktari wa kiroho na msomi wa Sheria za Kanisa.
Tufuate mwongozo wa watalaamu na siyo vinginevyo.

HOFU NI UGONJWA MWINGINE MKUBWA KULIKO COVID-19.

Tumsifu Yesu Kristo.
Imetolewa leo 04/03/2021
Muumini Mlei Kindakindaki wa Kanisa Katoliki
Budodi Jelard L
Jimbo Kuu la Daressalaam, Tanzania.
Pumbaf
 
Hao mapadri na masista walikuwa hawavai barakoa? Waliipata wapi hiyo korona? Wanapumuliana hukohuko kanisani? Waliambukizana wakiwa wapi? Kama tatizo ni waumini si wafunge ibada zote ili kujikinga?

Kwanini matamko yao wasiyatolee kwenye ibada zao wakati wa matangazo? Kama wanaamini katika Mungu kwa nini hatusikii wakihamasisha watu kuingia katika maombi na kuchukua tahadhari kama raisi alivyotamka? Mbona hatukuwahi kuwasikia wakitutamgazia mapadri na masista waliokufa kwa UKIMWI? Au hivyo sio vifo?

Vifo vingi vinatokea Tanzania wanakaa kimya. Hivi hawa watu hawajui kwamba jamii ikiingia katika hofu kubwa, madaktari na manesi nao wataingiwa na hofu na kuwaogopa hata wagonjwa wa malaria na hivyo watu watakufa hovyo kwa magonjwa mengine? Hivi wanajua kwamba uhai wa mtanzania unategemea sana uhusiano mzuri na daktari?

Wamwache raisi afikiri namna sahihi ya kukabiliana na hilo tatizo endapo akijiridhisha kwamba lipo. Hata raisi akitangaza lockdown hao masista na mapadri wana uwezo wa kuishi ndani ya majumba yao bila shida. Maisha yao sio yetu. Ebu muacheni raisi wetu, yeye anaijua nchi yake, anayajua maisha watanzania, anatujua tulivyo. Kelele zenu zisije zikamtumbukuza shimoni alafu nyinyi wenyewe mukaaza kumzomea.
Kilangila.
 

Attachments

Hao mapadri na masista walikuwa hawavai barakoa? Waliipata wapi hiyo korona? Wanapumuliana hukohuko kanisani? Waliambukizana wakiwa wapi? Kama tatizo ni waumini si wafunge ibada zote ili kujikinga?

Kwanini matamko yao wasiyatolee kwenye ibada zao wakati wa matangazo? Kama wanaamini katika Mungu kwa nini hatusikii wakihamasisha watu kuingia katika maombi na kuchukua tahadhari kama raisi alivyotamka? Mbona hatukuwahi kuwasikia wakitutamgazia mapadri na masista waliokufa kwa UKIMWI? Au hivyo sio vifo?

Vifo vingi vinatokea Tanzania wanakaa kimya. Hivi hawa watu hawajui kwamba jamii ikiingia katika hofu kubwa, madaktari na manesi nao wataingiwa na hofu na kuwaogopa hata wagonjwa wa malaria na hivyo watu watakufa hovyo kwa magonjwa mengine? Hivi wanajua kwamba uhai wa mtanzania unategemea sana uhusiano mzuri na daktari?

Wamwache raisi afikiri namna sahihi ya kukabiliana na hilo tatizo endapo akijiridhisha kwamba lipo. Hata raisi akitangaza lockdown hao masista na mapadri wana uwezo wa kuishi ndani ya majumba yao bila shida. Maisha yao sio yetu. Ebu muacheni raisi wetu, yeye anaijua nchi yake, anayajua maisha watanzania, anatujua tulivyo. Kelele zenu zisije zikamtumbukuza shimoni alafu nyinyi wenyewe mukaaza kumzomea.
Umeandika kama headless chicken,
 
Tumsifu Yesu Kristo,

POLE na majukumu, kwako Katibu mkuu wangu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania TEC, Rev.Dr.Charles Kitima ni mwalimu wangu wa chuo kikuu SAUT na Pia binafsi nimesomeshwa na Kanisa Katoliki, Mimi ni muumini mlei wa Kanisa Katoliki natokea Kanisa Kuu la mtakatifu Antony wa Padua Parokia ya Nyarubele Jimbo katoliki la Geita, Paroko wangu ni Rev.Pd.Thomas Kabika Biringi, na Askofu wangu ni Most.Rt.Rev.Flavian Matindi Kassala, nimebatizwa na kupewa Kipaimara.

Nina haya machache ya kushauriana na Padri wangu msomi wa Falsafa ya Juu ya Sheria za Kanisa Katoliki (Canon Law) Dr. Kitima kabla ya hapo aliwahi kuwa Mwanasheria wa chuo cha SAUT na baadae akawa Vice Chancellor lakini Akiwa VC -SAUT katika kipindi chake chote Walifariki wanafunzi zaidi 160 katika kipindi cha uongozi wake kwa matatizo mbalimbali, ikiwemo magonjwa na ajali, mbaya zaidi hajawahi kutoa takwimu hizi za vifo,

Taarifa yake ya jana ni taarifa ile ile iliyotolewa na Rais wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) Askofu Gervas John Mwasikwabhila Nyaisonga, aliyoitoa tarehe 26/01/2021 Kwa maaskofu nchini, kwahiyo amejiweka Kuwa msemaji wa kanisa na kutoa twakwimu za vifo vya Corona bila Ushahidi,

Takwimu za sensa ya kanisa katoliki mwaka 2020 Roma Ina idadi ya Waumini walei, watawa na makasisi zaidi ya milioni 12 nchi nzima Ina majimbo zaidi ya 34 na majimbo makuu zaidi ya 7, Hi Sawa na nchi ndani ya nchi, Inakuwaje mtu ahoji Idadi ya vifo vya watu 25 na masista 60? nashauri ajibiwe na Muumini wake ili ibakie huko huko kwenye mambo ya kiimani, lengo lake ni kuweka takwimu ili kujenga taharuki kwenye Umma wa watanzania na kuwatia Hofu, hii ni nje kabisa ya maadili ya kiongozi wa kiroho kufanya hivo, kazi ya kanisa ni kuondolea Hofu waumini na kuwapa matumaini ya maisha baada ya kifo,

Binafsi nimesikitika Sana! Lakini naomba kumjibu vizuri kama nitahitajika, Naomba roho wa Mungu anipe hekima ili nisiende kinyume na mapenzi yake ili kutekeleza Haya, Dhamana na utume wa waamini walei ndani ya Kanisa: Ni muda wa vitendo zaidi!

Mkutano wa Chama cha Vijana Wakatoliki Hispania: 1 Agosti hadi tarehe 4 Agosti 2019, huko Avila, nchini Hispania: Kauli mbiu “Kutekeleza ndoto ya Mungu; majiundo ya waamini walei Parokiani” Dr. Ghison anasema, walei ni mhimili wa Kanisa kwani, wanaitwa kutekeleza: Ukuhani, Unabii na Ufalme wa Kristo katika maisha yao, kama sehemu ya mchakato wa kuyatakatifuza malimwengu.

Padre Richard A. Mjigwa, C.PP.S. – Akiwa Vatican alieleza kuwa Dhamana na utume wa waamini walei ndani ya Kanisa kwa namna ya pekee, ni matunda ya maadhimisho ya Mtaguso mkuu wa Pili wa Vatican unaobainisha: wito, utume na dhamana ya waamini walei katika kutangaza na kushuhudia Habari Njema ya Wokovu, kama sehemu ya mchakato wa ujenzi wa Ufalme wa Mungu unaofumbatwa katika misingi ya haki, amani, upendo na mshikamano wa dhati.

Waamini walei ni wadau pia katika ujenzi wa Fumbo la Mwili wa Kristo, yaani Kanisa! Dr. Linda Ghisoni, Katibu mkuu msaidizi, Idara ya Walei, Baraza la Kipapa la Walei wa Kanisa Katoliki Familia na Maisha katika hotuba yake ya kufunga mkutano wa Chama cha Vijana Wakatoliki Nchini Hispania uliofunguliwa tarehe 1 Agosti hadi tarehe 4 Agosti 2019, huko Avila, nchini Hispania, kwa kuongozwa na kauli mbiu “Kutekeleza ndoto ya Mungu; majiundo ya waamini walei Parokiani” anasema, waamini walei ni mhimili wa Kanisa kwani, wanaitwa kutekeleza: Ukuhani, Unabii na Ufalme wa Kristo katika maisha yao, kwahiyo kuwapa matumaini ni Jukumu la Padri na siyo kuwatia hofu na kuwakatisha tamaa.

kama sehemu ya mchakato wa kuyatakatifuza malimwengu. Mababa wa Mtaguso Mkuu wa Pili wa Vatican wanasema, walei, kama washiriki wa huduma ya Kristo kuhani, nabii na mfalme, wanayo nafasi hai katika maisha ya Kanisa na katika utendaji wake. Ndani ya jumuiya za Kanisa matendo yao yanahitajika sana, kiasi kwamba pasipo haya hata utume wenyewe wa wachungaji huwa hauwezi kufikia mafanikio kamili.

Maana walei wenye roho halisi ya kitume, kama wale wanaume na wanawake waliokuwa wakimsaidia Mtume Paulo katika kueneza Injili (Taz. Mdo 18:18.26; Rum 16:3), wanawakirimia ndugu zao yale waliyopungukiwa, na wanaburudisha roho za wachungaji na za waamini wengine wa taifa la Mungu (Taz. 1Kor 16:17-18). Tangu baada ya Mtaguso Mkuu wa Vatican, kumekuwepo na uanzishwaji wa mashirika na vyama vya kitume sehemu mbali mbali za dunia na vyama hivi vimesaidia kukuza na kudumisha ari na moyo wa kimissionari, malezi na majiundo makini ya maisha ya:

lmani na uadilifu, Sakramenti za Kanisa pamoja na maisha ya sala; mambo muhimu yanayopaswa kumwilishwa katika uhalisia wa maisha ya waamini, kama kielelezo cha imani tendaji!

Adhimisho la Fumbo la Ekaristi Takatifu chanzo na kilele cha maisha na utume wa Kanisa na hiki ni kiini cha maisha ya Parokia. Kimsingi, Fumbo la Ekaristi Takatifu linaadhimishwa siku ya Bwana; Jumuiya ya waamini inapopata nafasi ya kusikiliza, kutafakari Neno la Mungu na hatimaye, kutumwa kutangaza na kushuhudia matendo makuu ya Mungu katika uhalisia wa maisha yao, kama kielelezo cha imani ntendaji! Neno Parokia, linapata asili yake kutoka katika lugha ya Kigiriki yaani “παρоικια” maana yake “Ujirani”.

Kumbe, kwa maneno machache, Parokia ni kitovu cha maisha na utume wa Kanisa, mahali pa kuinjilisha na kuwatakatifuza watu wa Mungu, tayari kutoka kifua mbele kutangaza furaha ya Injili; huruma na upendo wa Mungu. Mababa wa Kanisa wanasema, sasa umefika wakati wa kuangalia ya mbeleni kwa matumaini zaidi, ili kukabiliana na matatizo, changamoto na fursa zinazoendelea kujitokeza miongoni mwa waamini walei ndani ya Kanisa Katoliki, ili waendelee kujisadaka bila ya kujibakiza kwa ajili ya kumtangaza na kumshuhudia Kristo Yesu, Mkombozi wa Ulimwengu.

Mababa wa Sinodi ya Maaskofu kwa ajili ya Vijana kwa mwaka 2018 wamekazia umuhimu wa Kanisa kufundisha maisha mapya na utume wa Parokia, ili kuleta mvuto na mashiko kwa vijana wa kizazi kipya pamoja na waamini katika ujumla wao, ili kuwajenga kiimani na kuwatia moyo hasa katika sakramenti ya kitubio na mpako wa wagonjwa, ili kujenga familia ya Mungu inayowajibikiana katika: imani, matumaini na mapendo.

Dr. Linda Ghisoni anasema, waamini walei kamwe hawataweza kuyachachua na kuyatakatifuza malimwengu ikiwa kama watashindwa kutoka katika undani wa maisha yao kuwa kweli ni chumvi ya dunia na nuru ya mataifa. Mkutano mkuu wa Chama cha Vijana Wakatoliki Nchini Hispania umehudhuriwa na waamini walei 750 kutoka katika Majimbo 45, huku wakiwa wameambatana na Maaskofu pamoja na Mapadre wao. Waamini walei ndani ya Kanisa wanapaswa kutambua dhamana na wajibu wao kama wabatizwa, yaani watu waliozaliwa upya kwa maji na Roho Mtakatifu; wanao wajibu na haki zao msingi zinazopaswa kumwilishwa katika maisha na utume wa Kanisa.

Kimsingi wanaitwa na kutumwa kutangaza na kushuhudia Injili ya Kristo mintarafu uhalisia wa maisha yao. Waamini walei daima wajibidishe kuchota utajiri na amana ya maisha yao ya Kikristo kutoka katika: Neno la Mungu, Sala, Sakramenti za Kanisa pamoja na Mafundisho Jamii ya Kanisa, dira na mwongozo wa jinsi ya kuyatakatifuza malimwengu. Waswahili wanasema, “kitu kizuri na chema, kula na ndugu yako”. Waamini walei watambue kwamba, amana na utajiri huu wanapaswa kuwashirikisha pia jirani zao kama sehemu ya mchakato wa majadiliano ya kidini na kiekumene; katika kuyatakatifuza maeneo ya kazi pamoja na utume wa familia. Waamini walei wakiwa wamepyaishwa kutoka katika undani wa maisha yao,

wanaweza sasa kuwa ni vyombo na mashuhuda wa huruma, upendo na msamaha wa Mungu; watu wenye wenye uwezo wa kusikiliza kwa makini na kujibu kilio cha maskini wanaowazunguka; watu wanaoweza kuendeleza majadiliano katika ukweli na uwazi; ukarimu na upendo kwa maskini na wale wote wanaosukumizwa pembezoni mwa jamii kwasababu ya Hofu ya ugonjwa wa COVID-19

Upya wa maisha unawataka waamini walei kujenga na kudumisha umoja, upendo, mshikamano na mafungamano ya dhati na viongozi wa Kanisa, lakini Dkt. Kitima anatia Hofu waamini walei, ili kuwajibika barabara katika maisha na utume wa Kanisa, kila mwamini akijitahidi kutekeleza wajibu wake. Dr. Linda Ghisoni, Katibu mkuu msaidizi, Idara ya Walei, Baraza la Kipapa la Walei, Familia na Maisha katika hotuba yake ya kufunga mkutano wa walei nchini Hispania, amewaangalisha kuwa macho dhidi tabia ya kudhani kwamba, wanaweza kufanya yote kwa nguvu na jeuri yao, kwa kumweka Mwenyezi Mungu pembezoni mwa vipaumbele, sera na mikakati ya maisha yao.

Katika mtindo na mwelekeo kama huu vi vigumu sana kuweza kutekeleza ndoto ya Mungu katika maisha yao. Mwenyezi Mungu apewe kipaumbele cha kwanza katika sera na mikakati ya shughuli za kichungaji maparokiani na majimboni. Kwa njia hii, waamini walei wataweza kushiriki kikamilifu katika ujenzi wa Ufalme wa Mungu hapa duniani.

Kishawishi kingine ni kile cha kuendelea kubaki wakiwa wanaelea katika ombwe, bila kuzama na kumwilisha maana ya Kanisa na umuhimu wa malezi na makuzi ya awali na endelevu kwa waamini walei. Utakatifu wa maisha ni ushuhuda wenye mvuto katika utume wa Kanisa.

Changamoto na matatizo ya Covid-19 na fursa mbali mbali zinazoendelea kuibuliwa ndani na nje ya Kanisa, ni mahali muafaka ambapo waamini walei wanaitwa na kutumwa kuwa ni vyombo na mashuhuda wa Habari Njema ya Wokovu na kupambana na majanga yaliyotabiliwa kwenye kitabu cha Luka 21:10-11.

Waamini walei wasikatishwe tamaa na dhuluma, nyanyaso na magumu wanayokabiliana nayo katika maisha na utume wao hapa duniani, bali waendelee kusimama kidete kama mashuhuda wa Injili ya uhai dhidi ya utamaduni wa kifo. Huruma na upendo wa Mungu uwaimarishe na kuwapyaisha kutoka katika undani wa maisha yao na siyo kuwaondolea tumaini Jema kwa vitisho vya Corona,

Kanisa Katoliki linaamini katika harusi tatu, a) Kuzaa na kuzaliwa b) Kuoa na kuolewa c) Kifo, Yesu Kristo alipokufa msalabani tulikwishaokolewa na hakuna haja ya kupewa Hofu ya kifo kutoka kwa Kasisi Dkt. Kitima.

Je, Father Kitima anatii mamlaka?

Kitabu cha Warumi 13:1-7
Neno: Bibilia Takatifu
Kutii Mamlaka

1 Kila mtu hana budi kutii serikali inayotawala. Kwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu; na serikali zote zilizopo zimewekwa na Mungu. 2 Kwa hiyo anayepinga mamlaka inayotawala ana pinga chombo kilichowekwa na Mungu; na watu wanaoasi watajiletea hukumu. 3 Kwa maana watawala hawatishi watu wanaotenda mema bali wale wanaotenda maovu. Kama hupendi kuishi kwa kumwogopa mwenye mamlaka, basi tenda mema naye atakusifu. 4 Maana mwenye mamlaka ni mtumishi wa Mungu kwa manufaa yako. Lakini kama ukitenda maovu, basi ogopa kwa maana hatembei na silaha bure. Yeye ni mtumishi wa Mungu anayetekeleza adhabu ya Mungu juu ya watenda maovu. 5 Kwa hiyo ni lazima kutii wenye mamlaka, si kwa sababu ya kuogopa adhabu tu bali pia kwa ajili ya dhamiri.

6 Kwa sababu hiyo hiyo mnalipa kodi, kwa maana watawala ni watumishi wa Mungu ambao hutumia muda wao wote kutawala. 7 Wal ipeni wote haki zao; mtu wakodi mlipe kodi; na mtoza ushuru mli pe ushuru; astahilie kunyenyekewa, mnyenyekee; astahiliye hesh ima, mheshimu.

Mwisho, Polisi haina mamlaka ya kutolea ufafanuzi afya za watu kama anavyodai Kasisi Dr.Kitima, Wizara ya Afya imeshatoa mwongozo wa kufata ili kujikinga na maambukizi ya Covid-19, tumpuuze Dr.Kitima kwasababu siyo Daktari wa afya ya Jamii, bali ni Daktari wa kiroho na msomi wa Sheria za Kanisa.
Tufuate mwongozo wa watalaamu na siyo vinginevyo.

HOFU NI UGONJWA MWINGINE MKUBWA KULIKO COVID-19.

Tumsifu Yesu Kristo.
Imetolewa leo 04/03/2021
Muumini Mlei Kindakindaki wa Kanisa Katoliki
Budodi Jelard L
Jimbo Kuu la Daressalaam, Tanzania.
Kila nikijaribu kusoma sikuelewi. Sijui umetumia lugha ngumu sana au ni tatizo la mantiki?
 
Kutukosya isoni malafyale.
Uka Nkirisiti?
Kunkana Jesu?
Kighune!
Ujeesu jhoope asimeenye syosa, kangi jho kyaala. Asimeenyi inyali syoosa niinunu syoosa, tuungabhajhobha fiijgho abhaangi, bafwaanee bho bhanyali fiijho kikolo, tukeete ni syitu.
 
Nini ambacho hujaelewa kwenye hoja yangu?

Dr Kitima ni kiongozi wa juu kabisa wa kanisa katoliki. Miongoni mwa mikusanyiko mikubwa (ambayo ni hatarishi kwa ugonjwa huu) tuliyonayo ni mikusanyiko ya kidini kupitia maadhimisho ya misa, mafunndisho, jumuiya nk. Sasa taasisi ambayo inaongoza kukusanya watu wengi (waite waumini) na inaamini katika kuchukua tahadhari za kujikinga na korona lakini haitaki kufanya hivyo! Lakini ana kifua cha kutoka nje na kumlaumu mwingine kwa nini hachukui tahadhari! Hawezi kukwepa lawama.

Hata vifo vya mapadre na masista (Mwenyezi Mungu awalaze mahali pema peponi) kwa kipimio chake hicho hicho wengine wanaweza wakasema yeye na uongozi wa kanisa ndio wamesababisha vifo hivyo kwa kushindwa kutekeleza hatua za tahadhari kwa makusudi katika mazingira wanayofanyia kazi (ya kikanisa) ambayo wanawajibika nayo.
Nakubaliana na wewe kwa sehemu, lakini ukitaka kuwa mkweli utakubaliana nami kwamba serikali yenyewe imekuwa ikiwafitinisha viongozi wa kanisa katoliki kuhusiana na hatua za kuchukua kujikinga na Covid. Rejea kauli ya Rais alipokuwa St. Peter Oysterbay hivi karibuni. Tangazo la Dr. Kitima lina maana ya zaidi unayoiona. Yuko kwenye reli!
 
Tumsifu Yesu Kristo,

POLE na majukumu, kwako Katibu mkuu wangu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania TEC, Rev.Dr.Charles Kitima ni mwalimu wangu wa chuo kikuu SAUT na Pia binafsi nimesomeshwa na Kanisa Katoliki, Mimi ni muumini mlei wa Kanisa Katoliki natokea Kanisa Kuu la mtakatifu Antony wa Padua Parokia ya Nyarubele Jimbo katoliki la Geita, Paroko wangu ni Rev.Pd.Thomas Kabika Biringi, na Askofu wangu ni Most.Rt.Rev.Flavian Matindi Kassala, nimebatizwa na kupewa Kipaimara.

Nina haya machache ya kushauriana na Padri wangu msomi wa Falsafa ya Juu ya Sheria za Kanisa Katoliki (Canon Law) Dr. Kitima kabla ya hapo aliwahi kuwa Mwanasheria wa chuo cha SAUT na baadae akawa Vice Chancellor lakini Akiwa VC -SAUT katika kipindi chake chote Walifariki wanafunzi zaidi 160 katika kipindi cha uongozi wake kwa matatizo mbalimbali, ikiwemo magonjwa na ajali, mbaya zaidi hajawahi kutoa takwimu hizi za vifo,

Taarifa yake ya jana ni taarifa ile ile iliyotolewa na Rais wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) Askofu Gervas John Mwasikwabhila Nyaisonga, aliyoitoa tarehe 26/01/2021 Kwa maaskofu nchini, kwahiyo amejiweka Kuwa msemaji wa kanisa na kutoa twakwimu za vifo vya Corona bila Ushahidi,

Takwimu za sensa ya kanisa katoliki mwaka 2020 Roma Ina idadi ya Waumini walei, watawa na makasisi zaidi ya milioni 12 nchi nzima Ina majimbo zaidi ya 34 na majimbo makuu zaidi ya 7, Hi Sawa na nchi ndani ya nchi, Inakuwaje mtu ahoji Idadi ya vifo vya watu 25 na masista 60? nashauri ajibiwe na Muumini wake ili ibakie huko huko kwenye mambo ya kiimani, lengo lake ni kuweka takwimu ili kujenga taharuki kwenye Umma wa watanzania na kuwatia Hofu, hii ni nje kabisa ya maadili ya kiongozi wa kiroho kufanya hivo, kazi ya kanisa ni kuondolea Hofu waumini na kuwapa matumaini ya maisha baada ya kifo,

Binafsi nimesikitika Sana! Lakini naomba kumjibu vizuri kama nitahitajika, Naomba roho wa Mungu anipe hekima ili nisiende kinyume na mapenzi yake ili kutekeleza Haya, Dhamana na utume wa waamini walei ndani ya Kanisa: Ni muda wa vitendo zaidi!

Mkutano wa Chama cha Vijana Wakatoliki Hispania: 1 Agosti hadi tarehe 4 Agosti 2019, huko Avila, nchini Hispania: Kauli mbiu “Kutekeleza ndoto ya Mungu; majiundo ya waamini walei Parokiani” Dr. Ghison anasema, walei ni mhimili wa Kanisa kwani, wanaitwa kutekeleza: Ukuhani, Unabii na Ufalme wa Kristo katika maisha yao, kama sehemu ya mchakato wa kuyatakatifuza malimwengu.

Padre Richard A. Mjigwa, C.PP.S. – Akiwa Vatican alieleza kuwa Dhamana na utume wa waamini walei ndani ya Kanisa kwa namna ya pekee, ni matunda ya maadhimisho ya Mtaguso mkuu wa Pili wa Vatican unaobainisha: wito, utume na dhamana ya waamini walei katika kutangaza na kushuhudia Habari Njema ya Wokovu, kama sehemu ya mchakato wa ujenzi wa Ufalme wa Mungu unaofumbatwa katika misingi ya haki, amani, upendo na mshikamano wa dhati.

Waamini walei ni wadau pia katika ujenzi wa Fumbo la Mwili wa Kristo, yaani Kanisa! Dr. Linda Ghisoni, Katibu mkuu msaidizi, Idara ya Walei, Baraza la Kipapa la Walei wa Kanisa Katoliki Familia na Maisha katika hotuba yake ya kufunga mkutano wa Chama cha Vijana Wakatoliki Nchini Hispania uliofunguliwa tarehe 1 Agosti hadi tarehe 4 Agosti 2019, huko Avila, nchini Hispania, kwa kuongozwa na kauli mbiu “Kutekeleza ndoto ya Mungu; majiundo ya waamini walei Parokiani” anasema, waamini walei ni mhimili wa Kanisa kwani, wanaitwa kutekeleza: Ukuhani, Unabii na Ufalme wa Kristo katika maisha yao, kwahiyo kuwapa matumaini ni Jukumu la Padri na siyo kuwatia hofu na kuwakatisha tamaa.

kama sehemu ya mchakato wa kuyatakatifuza malimwengu. Mababa wa Mtaguso Mkuu wa Pili wa Vatican wanasema, walei, kama washiriki wa huduma ya Kristo kuhani, nabii na mfalme, wanayo nafasi hai katika maisha ya Kanisa na katika utendaji wake. Ndani ya jumuiya za Kanisa matendo yao yanahitajika sana, kiasi kwamba pasipo haya hata utume wenyewe wa wachungaji huwa hauwezi kufikia mafanikio kamili.

Maana walei wenye roho halisi ya kitume, kama wale wanaume na wanawake waliokuwa wakimsaidia Mtume Paulo katika kueneza Injili (Taz. Mdo 18:18.26; Rum 16:3), wanawakirimia ndugu zao yale waliyopungukiwa, na wanaburudisha roho za wachungaji na za waamini wengine wa taifa la Mungu (Taz. 1Kor 16:17-18). Tangu baada ya Mtaguso Mkuu wa Vatican, kumekuwepo na uanzishwaji wa mashirika na vyama vya kitume sehemu mbali mbali za dunia na vyama hivi vimesaidia kukuza na kudumisha ari na moyo wa kimissionari, malezi na majiundo makini ya maisha ya:

lmani na uadilifu, Sakramenti za Kanisa pamoja na maisha ya sala; mambo muhimu yanayopaswa kumwilishwa katika uhalisia wa maisha ya waamini, kama kielelezo cha imani tendaji!

Adhimisho la Fumbo la Ekaristi Takatifu chanzo na kilele cha maisha na utume wa Kanisa na hiki ni kiini cha maisha ya Parokia. Kimsingi, Fumbo la Ekaristi Takatifu linaadhimishwa siku ya Bwana; Jumuiya ya waamini inapopata nafasi ya kusikiliza, kutafakari Neno la Mungu na hatimaye, kutumwa kutangaza na kushuhudia matendo makuu ya Mungu katika uhalisia wa maisha yao, kama kielelezo cha imani ntendaji! Neno Parokia, linapata asili yake kutoka katika lugha ya Kigiriki yaani “παρоικια” maana yake “Ujirani”.

Kumbe, kwa maneno machache, Parokia ni kitovu cha maisha na utume wa Kanisa, mahali pa kuinjilisha na kuwatakatifuza watu wa Mungu, tayari kutoka kifua mbele kutangaza furaha ya Injili; huruma na upendo wa Mungu. Mababa wa Kanisa wanasema, sasa umefika wakati wa kuangalia ya mbeleni kwa matumaini zaidi, ili kukabiliana na matatizo, changamoto na fursa zinazoendelea kujitokeza miongoni mwa waamini walei ndani ya Kanisa Katoliki, ili waendelee kujisadaka bila ya kujibakiza kwa ajili ya kumtangaza na kumshuhudia Kristo Yesu, Mkombozi wa Ulimwengu.

Mababa wa Sinodi ya Maaskofu kwa ajili ya Vijana kwa mwaka 2018 wamekazia umuhimu wa Kanisa kufundisha maisha mapya na utume wa Parokia, ili kuleta mvuto na mashiko kwa vijana wa kizazi kipya pamoja na waamini katika ujumla wao, ili kuwajenga kiimani na kuwatia moyo hasa katika sakramenti ya kitubio na mpako wa wagonjwa, ili kujenga familia ya Mungu inayowajibikiana katika: imani, matumaini na mapendo.

Dr. Linda Ghisoni anasema, waamini walei kamwe hawataweza kuyachachua na kuyatakatifuza malimwengu ikiwa kama watashindwa kutoka katika undani wa maisha yao kuwa kweli ni chumvi ya dunia na nuru ya mataifa. Mkutano mkuu wa Chama cha Vijana Wakatoliki Nchini Hispania umehudhuriwa na waamini walei 750 kutoka katika Majimbo 45, huku wakiwa wameambatana na Maaskofu pamoja na Mapadre wao. Waamini walei ndani ya Kanisa wanapaswa kutambua dhamana na wajibu wao kama wabatizwa, yaani watu waliozaliwa upya kwa maji na Roho Mtakatifu; wanao wajibu na haki zao msingi zinazopaswa kumwilishwa katika maisha na utume wa Kanisa.

Kimsingi wanaitwa na kutumwa kutangaza na kushuhudia Injili ya Kristo mintarafu uhalisia wa maisha yao. Waamini walei daima wajibidishe kuchota utajiri na amana ya maisha yao ya Kikristo kutoka katika: Neno la Mungu, Sala, Sakramenti za Kanisa pamoja na Mafundisho Jamii ya Kanisa, dira na mwongozo wa jinsi ya kuyatakatifuza malimwengu. Waswahili wanasema, “kitu kizuri na chema, kula na ndugu yako”. Waamini walei watambue kwamba, amana na utajiri huu wanapaswa kuwashirikisha pia jirani zao kama sehemu ya mchakato wa majadiliano ya kidini na kiekumene; katika kuyatakatifuza maeneo ya kazi pamoja na utume wa familia. Waamini walei wakiwa wamepyaishwa kutoka katika undani wa maisha yao,

wanaweza sasa kuwa ni vyombo na mashuhuda wa huruma, upendo na msamaha wa Mungu; watu wenye wenye uwezo wa kusikiliza kwa makini na kujibu kilio cha maskini wanaowazunguka; watu wanaoweza kuendeleza majadiliano katika ukweli na uwazi; ukarimu na upendo kwa maskini na wale wote wanaosukumizwa pembezoni mwa jamii kwasababu ya Hofu ya ugonjwa wa COVID-19

Upya wa maisha unawataka waamini walei kujenga na kudumisha umoja, upendo, mshikamano na mafungamano ya dhati na viongozi wa Kanisa, lakini Dkt. Kitima anatia Hofu waamini walei, ili kuwajibika barabara katika maisha na utume wa Kanisa, kila mwamini akijitahidi kutekeleza wajibu wake. Dr. Linda Ghisoni, Katibu mkuu msaidizi, Idara ya Walei, Baraza la Kipapa la Walei, Familia na Maisha katika hotuba yake ya kufunga mkutano wa walei nchini Hispania, amewaangalisha kuwa macho dhidi tabia ya kudhani kwamba, wanaweza kufanya yote kwa nguvu na jeuri yao, kwa kumweka Mwenyezi Mungu pembezoni mwa vipaumbele, sera na mikakati ya maisha yao.

Katika mtindo na mwelekeo kama huu vi vigumu sana kuweza kutekeleza ndoto ya Mungu katika maisha yao. Mwenyezi Mungu apewe kipaumbele cha kwanza katika sera na mikakati ya shughuli za kichungaji maparokiani na majimboni. Kwa njia hii, waamini walei wataweza kushiriki kikamilifu katika ujenzi wa Ufalme wa Mungu hapa duniani.

Kishawishi kingine ni kile cha kuendelea kubaki wakiwa wanaelea katika ombwe, bila kuzama na kumwilisha maana ya Kanisa na umuhimu wa malezi na makuzi ya awali na endelevu kwa waamini walei. Utakatifu wa maisha ni ushuhuda wenye mvuto katika utume wa Kanisa.

Changamoto na matatizo ya Covid-19 na fursa mbali mbali zinazoendelea kuibuliwa ndani na nje ya Kanisa, ni mahali muafaka ambapo waamini walei wanaitwa na kutumwa kuwa ni vyombo na mashuhuda wa Habari Njema ya Wokovu na kupambana na majanga yaliyotabiliwa kwenye kitabu cha Luka 21:10-11.

Waamini walei wasikatishwe tamaa na dhuluma, nyanyaso na magumu wanayokabiliana nayo katika maisha na utume wao hapa duniani, bali waendelee kusimama kidete kama mashuhuda wa Injili ya uhai dhidi ya utamaduni wa kifo. Huruma na upendo wa Mungu uwaimarishe na kuwapyaisha kutoka katika undani wa maisha yao na siyo kuwaondolea tumaini Jema kwa vitisho vya Corona,

Kanisa Katoliki linaamini katika harusi tatu, a) Kuzaa na kuzaliwa b) Kuoa na kuolewa c) Kifo, Yesu Kristo alipokufa msalabani tulikwishaokolewa na hakuna haja ya kupewa Hofu ya kifo kutoka kwa Kasisi Dkt. Kitima.

Je, Father Kitima anatii mamlaka?

Kitabu cha Warumi 13:1-7
Neno: Bibilia Takatifu
Kutii Mamlaka

1 Kila mtu hana budi kutii serikali inayotawala. Kwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu; na serikali zote zilizopo zimewekwa na Mungu. 2 Kwa hiyo anayepinga mamlaka inayotawala ana pinga chombo kilichowekwa na Mungu; na watu wanaoasi watajiletea hukumu. 3 Kwa maana watawala hawatishi watu wanaotenda mema bali wale wanaotenda maovu. Kama hupendi kuishi kwa kumwogopa mwenye mamlaka, basi tenda mema naye atakusifu. 4 Maana mwenye mamlaka ni mtumishi wa Mungu kwa manufaa yako. Lakini kama ukitenda maovu, basi ogopa kwa maana hatembei na silaha bure. Yeye ni mtumishi wa Mungu anayetekeleza adhabu ya Mungu juu ya watenda maovu. 5 Kwa hiyo ni lazima kutii wenye mamlaka, si kwa sababu ya kuogopa adhabu tu bali pia kwa ajili ya dhamiri.

6 Kwa sababu hiyo hiyo mnalipa kodi, kwa maana watawala ni watumishi wa Mungu ambao hutumia muda wao wote kutawala. 7 Wal ipeni wote haki zao; mtu wakodi mlipe kodi; na mtoza ushuru mli pe ushuru; astahilie kunyenyekewa, mnyenyekee; astahiliye hesh ima, mheshimu.

Mwisho, Polisi haina mamlaka ya kutolea ufafanuzi afya za watu kama anavyodai Kasisi Dr.Kitima, Wizara ya Afya imeshatoa mwongozo wa kufata ili kujikinga na maambukizi ya Covid-19, tumpuuze Dr.Kitima kwasababu siyo Daktari wa afya ya Jamii, bali ni Daktari wa kiroho na msomi wa Sheria za Kanisa.
Tufuate mwongozo wa watalaamu na siyo vinginevyo.

HOFU NI UGONJWA MWINGINE MKUBWA KULIKO COVID-19.

Tumsifu Yesu Kristo.
Imetolewa leo 04/03/2021
Muumini Mlei Kindakindaki wa Kanisa Katoliki
Budodi Jelard L
Jimbo Kuu la Daressalaam, Tanzania.
Daaah! Hizi ndizo akili za mtu aliyesoma SAUT !!!.
 
Hauna namba zake ukamtumia huo ujumbe ?

Au ujumbe unakwenda kwa mwingine kwa mgongo wa unayemtumia ?
Ndizo thread ninazoita za kiumbea. Kama kweli anataka kumtumia ujumbe huo basi aupeleke kwa muhusika moja kwa moja, siyo kuweka hapa kwenye forum kama vile ni mada ya kujadili.
 
Back
Top Bottom