Waraka wa wazi kwa Dkt. Kitima

Waraka wa wazi kwa Dkt. Kitima

Mkuu,kile ni chuo,kuna watu wengi! Ndiyo ajali ilishawahi tokea,ikagharimu maisha ya watu,wasichana wanafariki kwa kujifungua, au wanatoa mimba! Hilo ni kosa la Kitima?? Kwan UDSM au Mzumbe au SUA hawafariki?? Wengine wanafariki wakiwa likizo makwao huko! Hilo nalo kosa la Kitima kweli?? Wanafunzi wanaenda kuoga ziwani wanazama kwenye maji,hili nalo kosa la Kitima kweli??
Nakuelewa haya unayosema hapa kuhusu kulaumu chuo kwa kila kifo cha mwanafunzi kinachotokea. Lakini bado sikubali hata kwa sekunde moja, kwamba chuo chochote kile, iwe UDSM, Dodoma au wapi, kiasi kikubwa hicho cha wanafunzi kufa kwa sababu yoyote ile ni kasoro kubwa sana katika mfumo, si wa vyuo tu, bali katika jamii.

Kuoa mimba, kwa mfano, hakutakiwi kuwa hatari kiasi hicho, kwa hiyo, hiyo ni kasoro katika mfumo mzima katika jamii, na sio wajibu wa chuo kuzuia vifo kama hivyo.
 
Nimekusoma,jambo lililonisikitisha mimi,ni wewe ambae ni dhahiri,unaugua ugonjwa wa sifa na utukufu,ukudhani kwamba kwakuwa ulisoma ndani ya ukatoliki,basi na wewe sasa ni sawa na padri au askofu wa kikatoliki.

Kama una ugomvi na padri yoyote yule mkatoliki,katafute njia nyingine ya kuutatua ugomvi huo,na siyo kuja hapa,na kutuletea vifungu vya biblia na maneno ya baadhi ya viongozi wa kidini.

Ni wazi ndani ya kanisa la kikatoliki hao maaskofu na mapadri wanapigana vita wenyewe kwa wenyewe,na najua fika kuwa fr kitima anachukiwa sana na baadhi ya maaskofu na mapdri,na hao maaskofu ndio waliokutuma wewe uje hapa kusema hayo maneno,aibu kubwa kwako na hao waliokutuma
 
Na muda si muda mtaruhusu chanjo iingie nchini haya yote mnajifaragua tu.
 
Moja kati ya thread ya kipumbavu mwaka huu

Wazungu wanasema "Truth is biggest enemy in the kingdom of lie"

Hata biblia imesema ukweli utatuweka huru, sasa wewe umeandika maneno mengi halafu yote ya kipumbavu na ya kipuuzi hayana mashiko wala hoja yoyote ya msingi. Acheni watu waseme ukweli, kazi ya kanisa ni kuongoza watu kiroho hata kimwili pia ndio maana kanisa linajenga mashule, hospitali n.k

Always is good to be smart but don't too smart for your own good.
 
Huna adabu!! Fr Kitima hakumshambulia mtu,alikuja na hoja/tatizo la kiafya linaloshambulia jamii..akataja na takwimu za vifo kwa kipindi tajwa(mapadre na masista) ambao ana mamlaka nao. Chanzo cha vifo vinafanana...pumzi... Mwisho alikuja na wazo la namna ya kupata suluhu/tunatokaje..

Wewe muumini sana wa Kanisa Katoliki unatuambia tumpuuze Padre Kitima (na Maaskofu,maana aliongea kama Mtendaji mkuu wa TEC).

Kanisa halina nguvu ya dola kulazimisha wananchi wafuate mwongozo wa afya...
 
Ndugu Mlei,
Nimeusoma waraka wako. Mimi kwa unyenyekevu mkubwa bado naungana na Padri Dkt. Charles Kitima. Mosi, yeye ndiye Msemaji/Mtendaji Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania. Padri Kitima ametoa takwimu kupata pa kuanzia kuhimiza waumini kuchukua tahadhari, kujikinga wenyewe na wengine kwani kutunza uhai ulio zawadi kutoka kwa Mungu Mwenyezi ni jukumu la kila Mwanadamu. Tumsifu Yesu Kristo.
 
Huna weledi wa kujilinganisha na Kitima wewe hata kama unajiita mkatoliki mkatoliki jina tu wewe Wakubwa wa Kanisa Kama kina Rwaichi walishasema mambo mazito kuhusu Corona wewe ni nani hata upinge , mpuuzi mkubwa wwe Corona ipo na inaua sana Mapadre wanakufa mno na Masista ulitaka wakae kimya kuogopa yule Mungu wenu wa Chattle stupid fellow kwenye hili mmechemsha sana
 
Niliposoma tu kuwa muandishi anatoka Geita, moja kwa moja nikajua utakachoandika ni utetezi wa utashi wa Rais kwenye huu ugonjwa. Hizo porojo nyingine ni ili kuhalalisha utetezi wako kwenye msimamo wa Rais dhidi ya msimamo wa kanisa.
 
Umeamua kuandika yote yaliyomo kichwani mwako, bila mpangilio wowote, kiasi cha kushindwa hata kuonesha ni nini unataka kusema wala kuwakilisha

Your aeticle is worth for non_professionals, may be nice for the fools.
 
Maelezo mareefu ya kupinga alichosema Dr. Kitima hayatuondolei tatizo kubwa lililo mblele yetu. Ukweli ni kuwa watu wanakufa and in big numbers, kwa kinachotwa matatizo ya kupumua. Kwa wenzetu, wanasayansi wamekuja na njia ya kisayansi ya kupambana na hili tatizo, hapa kwetu ni wanasiasa.
 
Mleta mada ni mwanafunzi usiye na adabu, mwalimu ni kama mzazi umetoa wapi uhalali wa kumsema mwl au mzazi hadharani tena hata bila kutafuta faragha ili akupe ufafanuzi?
Kuna kila dalili umekuwa driven na tamaa za tumbo lako kwamba ufikiriwe uwe msaidizi wa Dr Abbas. Kama ulibahatika kupata elimu tena kutoka kanisa kongwe Katoliki hakika umenajisi kanisa, wewe utakuwa mamluki (Mercenary) kutoka kwa shetani na kwa taarifa yako Dr. Kitima katimiza wajibu wake kwa Mwenyezi Mungu nawe endelea kumtumikia shetani.
 
POLE na majukumu, kwako Katibu mkuu wangu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania TEC, Rev.Dr.Charles Kitima ni mwalimu wangu wa chuo kikuu SAUT na Pia binafsi nimesomeshwa na Kanisa Katoliki, Mimi ni muumini mlei wa Kanisa Katoliki natokea Kanisa Kuu la mtakatifu Antony wa Padua Parokia ya Nyarubele Jimbo katoliki la Geita, Paroko wangu ni Rev.Pd.Thomas Kabika Biringi, na Askofu wangu ni Most.Rt.Rev.Flavian Matindi Kassala, nimebatizwa na kupewa Kipaimara.
Kumbe uko jimbo la Geita,Parokia ya Nyarubele.
Muumini Mlei Kindakindaki wa Kanisa Katoliki
Budodi Jelard L
Jimbo Kuu la Daressalaam, Tanzania.
Na wakati huohuo uko Jimbo kuu la Dar es salaam. Basi sawa.
 
watu 25 na masista 60?
Ili na wewe uende sawa Kitakwimu ungetaja idadi ya mapadri &masista wote wa RC ndio ulinganishe na vifo vyao.i.e mapadri 25 &masista 60.Badala ya kulinganisha idadi ya waumini wote wa RC kwa vifo vya mapadri na masista!
 
Unaposema kipindi chake chote hapo SAUT unaongelea kipindi cha muda gani, maana juzi ameongelea kipindi cha miezi 2, Maaskofu 25 masister na manesi 60 wamefariki, jumla ni uhai wa watu 85, kweli idadi yote hiyo ya vifo kwa kipindi cha miezi miwili hamutaki mtu aongee kwa mashaka?
Tuna shida mahali fulani, tena shida kubwa tu.
Lakini hata kabla ya covid makasisi kanisa katoliki wamekufa sana. Wana kundi kubwa la waathirika wa ukimwi, na kama sasa wanakufa ni kwa kupungukiwa kinga za mwili. Hawawezi kuwa wamekufa tu eti kwa sababu ya korona. Watawa wao wengine hufa kwa kutoa mimba pia.

Kitima awe mkweli, tatizo halisimami kwa covid pekee. Wako wanaouawa kwa kutembea na wake za watu. Covid isiwe kisingizio cha wao kufa.
 
Back
Top Bottom