Jibu ni jepesi sana. Maaskofu inaelekea hawajui kuwa sheria haimfungi au kumkataza mtu kuhama chama kimoja kwenda kingine. Ni tashi la kinadamu na sheria vilevile. Povu lote hili hawajalitoa alipohama Nyalandu.Nanukuu" Kama maendeleo hayana CHAMA iweje MTU ajiuzulu nafas yake ya uongozi kujiunga chama kingine ili kuleta maendeleo"? salamu hizi zimekua wazi na ukweli so wahusika wajitafakari.
Binafsi nichukue fursa hii kwanza kumuomba Mungu msamaha wa dhati na pili niwaombe msamaha wapakwa mafuta wake yaani viongozi wa dini hapa nchini (hususani Wakatoliki & KKKT).
Nilikuwa ni miongoni mwa watu waliokuwa wanawalaani na kuwaponda sana kwa kukalia kimya mambo yanayoendelea nchini kwetu. Nimegundua kumbe nilikuwa nime-underestimate hekima ya ki-Mungu ambayo imepandwa ndani ya mioyo na nafsi zenu.
Mungu awabariki sana enyi wateule wake!
Mhh ukisikia kanisa kukengeuka ndio huku??Mkuu heshimu Imani za watu. Acha Fallacy of generalization.
Safi sana ,uko sawa,sikiliza ushahidi kamiliView attachment Lowassa_Aomba_Kura_kanisani_KKKT_Tabora.mp4Kanisa la kiinjiri la kilutheri Tanzania (KKKT)
Historia inajionesha na inanionesha yafuatayo,
Mwaka 1995 umoja wa wachungaji wa KKKT waliungana kuwa against CCM
Mwaka 2000 waliungana kuwa against CCM na CUF pia
Mwaka 2005 nikiwa na mazungumzo na askofu wa kanda moja sitaitaja alitamka sentence ambayo mpaka leo huwa siamini kama ilitankwa na kiongozi mkubwa namna ile,
Sitataja jina ila nitataja aliyoyasema,
Rais asiye mlutheri amewabania sana kupitisha mali zao bandari kwa tax exemption, na akasema makanisa ya Roma yanapendelewa mno,
Akaenda mbali na kusema kwamba wenda Rais akiwa mlutheri kuna unafuu utapatikana,
Akaendelea leo hii Roman hawalipi kodi na wanaruhusiwa kupata msaada toka nje kwa kupitia mgongo wa serikali,
Wanapata scholarships za serikali kwa mgongo wa roman kumbe ni serikAli imegharamia,
Leo hii shule nyingi za binafsi zinazomilikiwa na lutheran zinawekewa figisu na serikali,
Kwakweli mimi kama mlutheri niliogopa sana nkasema kama kiongozi mkubwa wa dini anasema haya??
Siku moja nikawa natokea kanisa kuu nikawa ndani ya gari la askofu tukielekea Nyumbani kwa waziri mkuu mwaka 2012 , ndani ya gari la askofu nikaona majarida mbali mbali ya CHADEMA na kuna kitabu cha kampeni juu kina picha ya Dr slaa na watu waliokwenda kwenye mkutano wa hadhara,
Nilivyoona kile kitabu nikaanza kukiangalia, Askofu akasema
"huyu bwana alishinda sema wakamuibia kura na Tutasimama naye japo ingependeza zaid akagombea mtu ambaye ni wa kwetu, maana na huyu akiingia atafanya yale yale" anasema askofu,
Nikapata picha kwamba hawa viongozi wa dini wanakosea kuonesha pande zao za siasa wao walipaswa wakae mbali,
Tokea siku hiyo niliona kwamba KKKT ina choko choko za chini chini
Ila watanzania hatujali sana bora tupate raia w watanzania siyo rais wa wadini
Naipenda KKKT ila kuna sehemu wanakosea
Pia hata rushwa ya ngono
Mchungaji KKKT jela kwa rushwa ya ngono
Cc Rutashubanyuma
Note nisihusishwe na CCM , sijawahi kuwa mwana CCM
ndugu, wapakwa mafuta wameshasema.Ukisikia udicteta ndiyo huu watu 27 wamekaa na kuja na waraka unaopingana na matakwa ya wanyonge ambao wamekuwa wakinyonywa mda wa miaka nenda rudi. Watu hawa wamefanya haya kwa nafasi zao ili hali tunaona kanisa likikengeuka, Manisa limegeuka daraja LA kuvushia madawa na uasi was ikiwemo taasisi wanazoziongoza
Mhh ukisikia kanisa kukengeuka ndio huku??
Huyu ndio mdini wa kupiga risasi hadharaniView attachment Lowassa_Aomba_Kura_kanisani_KKKT_Tabora.mp4Wewe siyo mlutheri bali useme wewe ni ccm, tena ccm mpumbavu asiyejua nini anafanya.
Mpuuzi kama wewe ndiyo unatakiwa kupigwa ata risasi hadharani kuleta udini kwa mgongo wa ccm. Ulizaliwa usiku nini?? Shithole mkubwa.
Hivi na wewe Marinda hunaKanisa la kiinjiri la kilutheri Tanzania (KKKT)
Historia inajionesha na inanionesha yafuatayo,
Mwaka 1995 umoja wa wachungaji wa KKKT waliungana kuwa against CCM
Mwaka 2000 waliungana kuwa against CCM na CUF pia
Mwaka 2005 nikiwa na mazungumzo na askofu wa kanda moja sitaitaja alitamka sentence ambayo mpaka leo huwa siamini kama ilitankwa na kiongozi mkubwa namna ile,
Sitataja jina ila nitataja aliyoyasema,
Rais asiye mlutheri amewabania sana kupitisha mali zao bandari kwa tax exemption, na akasema makanisa ya Roma yanapendelewa mno,
Akaenda mbali na kusema kwamba wenda Rais akiwa mlutheri kuna unafuu utapatikana,
Akaendelea leo hii Roman hawalipi kodi na wanaruhusiwa kupata msaada toka nje kwa kupitia mgongo wa serikali,
Wanapata scholarships za serikali kwa mgongo wa roman kumbe ni serikAli imegharamia,
Leo hii shule nyingi za binafsi zinazomilikiwa na lutheran zinawekewa figisu na serikali,
Kwakweli mimi kama mlutheri niliogopa sana nkasema kama kiongozi mkubwa wa dini anasema haya??
Siku moja nikawa natokea kanisa kuu nikawa ndani ya gari la askofu tukielekea Nyumbani kwa waziri mkuu mwaka 2012 , ndani ya gari la askofu nikaona majarida mbali mbali ya CHADEMA na kuna kitabu cha kampeni juu kina picha ya Dr slaa na watu waliokwenda kwenye mkutano wa hadhara,
Nilivyoona kile kitabu nikaanza kukiangalia, Askofu akasema
"huyu bwana alishinda sema wakamuibia kura na Tutasimama naye japo ingependeza zaid akagombea mtu ambaye ni wa kwetu, maana na huyu akiingia atafanya yale yale" anasema askofu,
Nikapata picha kwamba hawa viongozi wa dini wanakosea kuonesha pande zao za siasa wao walipaswa wakae mbali,
Tokea siku hiyo niliona kwamba KKKT ina choko choko za chini chini
Ila watanzania hatujali sana bora tupate raia w watanzania siyo rais wa wadini
Naipenda KKKT ila kuna sehemu wanakosea
Pia hata rushwa ya ngono
Mchungaji KKKT jela kwa rushwa ya ngono
Cc Rutashubanyuma
Note nisihusishwe na CCM , sijawahi kuwa mwana CCM
Siyo watanzania bali ni KKKT ndani ya Chadema!!Usipotoshe ujumbe wa waraka huu; hiki ni kilio cha WATANZANIA wanaominywa uhuru wao wa kujiamulia mambo yao wenyewe!! Wananchi wanataka KATIBA WANAYOITAKA WAO lakini wanakataliwa eti haimo kwenye ilani ya ccm, kwani katiba ya nchi na ilani ya chama tawala vina uhusiano gani?Inakuwaje leo bunge ambalo ndio muwakilishi wa wananchi linakuwa chini ya EXECUTIVE kwa kupewa maelekezo ya jinsi ya kufanya kazi zake? Magufuli anajifanya kwenda kusali kila jumapili lakini ni mnafiki asiyestahili kuombewa na waumini wote nchini.
You think you are wise....sasa tukaneni sana, msaidieni Magufuli kutukana maaskofu, maana ndivyo kichaa chenu kinavyowatuma, msaidieni kuwasingizia makuhani, tukaneni matusi yote mliyo nayo britaniccaKanisa la kiinjiri la kilutheri Tanzania (KKKT)
Historia inajionesha na inanionesha yafuatayo,
Mwaka 1995 umoja wa wachungaji wa KKKT waliungana kuwa against CCM
Mwaka 2000 waliungana kuwa against CCM na CUF pia
Mwaka 2005 nikiwa na mazungumzo na askofu wa kanda moja sitaitaja alitamka sentence ambayo mpaka leo huwa siamini kama ilitankwa na kiongozi mkubwa namna ile,
Sitataja jina ila nitataja aliyoyasema,
Rais asiye mlutheri amewabania sana kupitisha mali zao bandari kwa tax exemption, na akasema makanisa ya Roma yanapendelewa mno,
Akaenda mbali na kusema kwamba wenda Rais akiwa mlutheri kuna unafuu utapatikana,
Akaendelea leo hii Roman hawalipi kodi na wanaruhusiwa kupata msaada toka nje kwa kupitia mgongo wa serikali,
Wanapata scholarships za serikali kwa mgongo wa roman kumbe ni serikAli imegharamia,
Leo hii shule nyingi za binafsi zinazomilikiwa na lutheran zinawekewa figisu na serikali,
Kwakweli mimi kama mlutheri niliogopa sana nkasema kama kiongozi mkubwa wa dini anasema haya??
Siku moja nikawa natokea kanisa kuu nikawa ndani ya gari la askofu tukielekea Nyumbani kwa waziri mkuu mwaka 2012 , ndani ya gari la askofu nikaona majarida mbali mbali ya CHADEMA na kuna kitabu cha kampeni juu kina picha ya Dr slaa na watu waliokwenda kwenye mkutano wa hadhara,
Nilivyoona kile kitabu nikaanza kukiangalia, Askofu akasema
"huyu bwana alishinda sema wakamuibia kura na Tutasimama naye japo ingependeza zaid akagombea mtu ambaye ni wa kwetu, maana na huyu akiingia atafanya yale yale" anasema askofu,
Nikapata picha kwamba hawa viongozi wa dini wanakosea kuonesha pande zao za siasa wao walipaswa wakae mbali,
Tokea siku hiyo niliona kwamba KKKT ina choko choko za chini chini
Ila watanzania hatujali sana bora tupate raia w watanzania siyo rais wa wadini
Naipenda KKKT ila kuna sehemu wanakosea
Pia hata rushwa ya ngono
Mchungaji KKKT jela kwa rushwa ya ngono
Cc Rutashubanyuma
Note nisihusishwe na CCM , sijawahi kuwa mwana CCM
Usitishe watu, kama unamwaga mwaga tuuKaka unaponiona hapa nimefika ngazi za juu za KKKT na kipindi cha kina Alex malasusa ungekuwa umeshaanza kujitambua ningekwambia, pia mi kufika hatua ya kukaa meza moja ofisi kuu Luther house na kina Mwombeki, malasusa, Johson na wengine hujui this is next level? Mbaya zaid katia kampeni za mwaka 1995 nimeambatana nao mpaka wanaenda kwa mzee mrema, mwaka 2000 vivyo hivyo, ukibisha ntamwaga ugali hapa ohoooo
Haya kachukue buku 7 yako hapo Lumumba.Kanisa la kiinjiri la kilutheri Tanzania (KKKT)
Historia inajionesha na inanionesha yafuatayo,
Mwaka 1995 umoja wa wachungaji wa KKKT waliungana kuwa against CCM
Mwaka 2000 waliungana kuwa against CCM na CUF pia
Mwaka 2005 nikiwa na mazungumzo na askofu wa kanda moja sitaitaja alitamka sentence ambayo mpaka leo huwa siamini kama ilitankwa na kiongozi mkubwa namna ile,
Sitataja jina ila nitataja aliyoyasema,
Rais asiye mlutheri amewabania sana kupitisha mali zao bandari kwa tax exemption, na akasema makanisa ya Roma yanapendelewa mno,
Akaenda mbali na kusema kwamba wenda Rais akiwa mlutheri kuna unafuu utapatikana,
Akaendelea leo hii Roman hawalipi kodi na wanaruhusiwa kupata msaada toka nje kwa kupitia mgongo wa serikali,
Wanapata scholarships za serikali kwa mgongo wa roman kumbe ni serikAli imegharamia,
Leo hii shule nyingi za binafsi zinazomilikiwa na lutheran zinawekewa figisu na serikali,
Kwakweli mimi kama mlutheri niliogopa sana nkasema kama kiongozi mkubwa wa dini anasema haya??
Siku moja nikawa natokea kanisa kuu nikawa ndani ya gari la askofu tukielekea Nyumbani kwa waziri mkuu mwaka 2012 , ndani ya gari la askofu nikaona majarida mbali mbali ya CHADEMA na kuna kitabu cha kampeni juu kina picha ya Dr slaa na watu waliokwenda kwenye mkutano wa hadhara,
Nilivyoona kile kitabu nikaanza kukiangalia, Askofu akasema
"huyu bwana alishinda sema wakamuibia kura na Tutasimama naye japo ingependeza zaid akagombea mtu ambaye ni wa kwetu, maana na huyu akiingia atafanya yale yale" anasema askofu,
Nikapata picha kwamba hawa viongozi wa dini wanakosea kuonesha pande zao za siasa wao walipaswa wakae mbali,
Tokea siku hiyo niliona kwamba KKKT ina choko choko za chini chini
Ila watanzania hatujali sana bora tupate raia w watanzania siyo rais wa wadini
Naipenda KKKT ila kuna sehemu wanakosea
Pia hata rushwa ya ngono
Mchungaji KKKT jela kwa rushwa ya ngono
Cc Rutashubanyuma
Note nisihusishwe na CCM , sijawahi kuwa mwana CCM
Huwezi kuwa KKKT wewe, sema wewe wazazi wako ni waumini wa KKKT, KKKT ni kanisa sio mtuKanisa la kiinjiri la kilutheri Tanzania (KKKT)
Historia inajionesha na inanionesha yafuatayo,
Mwaka 1995 umoja wa wachungaji wa KKKT waliungana kuwa against CCM
Mwaka 2000 waliungana kuwa against CCM na CUF pia
Mwaka 2005 nikiwa na mazungumzo na askofu wa kanda moja sitaitaja alitamka sentence ambayo mpaka leo huwa siamini kama ilitankwa na kiongozi mkubwa namna ile,
Sitataja jina ila nitataja aliyoyasema,
Rais asiye mlutheri amewabania sana kupitisha mali zao bandari kwa tax exemption, na akasema makanisa ya Roma yanapendelewa mno,
Akaenda mbali na kusema kwamba wenda Rais akiwa mlutheri kuna unafuu utapatikana,
Akaendelea leo hii Roman hawalipi kodi na wanaruhusiwa kupata msaada toka nje kwa kupitia mgongo wa serikali,
Wanapata scholarships za serikali kwa mgongo wa roman kumbe ni serikAli imegharamia,
Leo hii shule nyingi za binafsi zinazomilikiwa na lutheran zinawekewa figisu na serikali,
Kwakweli mimi kama mlutheri niliogopa sana nkasema kama kiongozi mkubwa wa dini anasema haya??
Siku moja nikawa natokea kanisa kuu nikawa ndani ya gari la askofu tukielekea Nyumbani kwa waziri mkuu mwaka 2012 , ndani ya gari la askofu nikaona majarida mbali mbali ya CHADEMA na kuna kitabu cha kampeni juu kina picha ya Dr slaa na watu waliokwenda kwenye mkutano wa hadhara,
Nilivyoona kile kitabu nikaanza kukiangalia, Askofu akasema
"huyu bwana alishinda sema wakamuibia kura na Tutasimama naye japo ingependeza zaid akagombea mtu ambaye ni wa kwetu, maana na huyu akiingia atafanya yale yale" anasema askofu,
Nikapata picha kwamba hawa viongozi wa dini wanakosea kuonesha pande zao za siasa wao walipaswa wakae mbali,
Tokea siku hiyo niliona kwamba KKKT ina choko choko za chini chini
Ila watanzania hatujali sana bora tupate raia w watanzania siyo rais wa wadini
Naipenda KKKT ila kuna sehemu wanakosea
Pia hata rushwa ya ngono
Mchungaji KKKT jela kwa rushwa ya ngono
Cc Rutashubanyuma
Note nisihusishwe na CCM , sijawahi kuwa mwana CCM
Kaka unaponiona hapa nimefika ngazi za juu za KKKT na kipindi cha kina Alex malasusa ungekuwa umeshaanza kujitambua ningekwambia, pia mi kufika hatua ya kukaa meza moja ofisi kuu Luther house na kina Mwombeki, malasusa, Johson na wengine hujui this is next level? Mbaya zaid katia kampeni za mwaka 1995 nimeambatana nao mpaka wanaenda kwa mzee mrema, mwaka 2000 vivyo hivyo, ukibisha ntamwaga ugali hapa ohoooo
Siyo watanzania bali ni KKKT ndani ya Chadema!
Nyie watu ni wapumbaf sanaKanisa la kiinjiri la kilutheri Tanzania (KKKT)
Historia inajionesha na inanionesha yafuatayo,
Mwaka 1995 umoja wa wachungaji wa KKKT waliungana kuwa against CCM
Mwaka 2000 waliungana kuwa against CCM na CUF pia
Mwaka 2005 nikiwa na mazungumzo na askofu wa kanda moja sitaitaja alitamka sentence ambayo mpaka leo huwa siamini kama ilitankwa na kiongozi mkubwa namna ile,
Sitataja jina ila nitataja aliyoyasema,
Rais asiye mlutheri amewabania sana kupitisha mali zao bandari kwa tax exemption, na akasema makanisa ya Roma yanapendelewa mno,
Akaenda mbali na kusema kwamba wenda Rais akiwa mlutheri kuna unafuu utapatikana,
Akaendelea leo hii Roman hawalipi kodi na wanaruhusiwa kupata msaada toka nje kwa kupitia mgongo wa serikali,
Wanapata scholarships za serikali kwa mgongo wa roman kumbe ni serikAli imegharamia,
Leo hii shule nyingi za binafsi zinazomilikiwa na lutheran zinawekewa figisu na serikali,
Kwakweli mimi kama mlutheri niliogopa sana nkasema kama kiongozi mkubwa wa dini anasema haya??
Siku moja nikawa natokea kanisa kuu nikawa ndani ya gari la askofu tukielekea Nyumbani kwa waziri mkuu mwaka 2012 , ndani ya gari la askofu nikaona majarida mbali mbali ya CHADEMA na kuna kitabu cha kampeni juu kina picha ya Dr slaa na watu waliokwenda kwenye mkutano wa hadhara,
Nilivyoona kile kitabu nikaanza kukiangalia, Askofu akasema
"huyu bwana alishinda sema wakamuibia kura na Tutasimama naye japo ingependeza zaid akagombea mtu ambaye ni wa kwetu, maana na huyu akiingia atafanya yale yale" anasema askofu,
Nikapata picha kwamba hawa viongozi wa dini wanakosea kuonesha pande zao za siasa wao walipaswa wakae mbali,
Tokea siku hiyo niliona kwamba KKKT ina choko choko za chini chini
Ila watanzania hatujali sana bora tupate raia w watanzania siyo rais wa wadini
Naipenda KKKT ila kuna sehemu wanakosea
Pia hata rushwa ya ngono
Mchungaji KKKT jela kwa rushwa ya ngono
Cc Rutashubanyuma
Note nisihusishwe na CCM , sijawahi kuwa mwana CCM