Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,034
- 144,388
Mhariri wa gazeti hili amefanya kile ambacho hata mimi jana nilishauri Wahariri wakifanye kwa kuripoti waraka wa Lema kwa Raisi katika magazeti yao.Inawezekana kabisa Mhariri hakuona hata ushauri wangu ila kafanya hivyo kwa utashi wake ila kwa vyovyote vile bado nampongeza kwa kuona umuhimu wa kufanya hivyo katika chombo chake cha habari.
Ushauri kwa Wahariri wa Magazeti nchini
Leo gazeti la Mtanzania habari kuhusu waraka huo ndio habari kuu katika gazeti hilo.
Nampongeza Mhariri kwasababu ni wazi ule waraka haukupaswa kuishia mitandaoni tu na ulipaswa kuripotiwa pia na vyombo vya habari.
Asante Mhariri.
Ushauri kwa Wahariri wa Magazeti nchini
Leo gazeti la Mtanzania habari kuhusu waraka huo ndio habari kuu katika gazeti hilo.
Nampongeza Mhariri kwasababu ni wazi ule waraka haukupaswa kuishia mitandaoni tu na ulipaswa kuripotiwa pia na vyombo vya habari.
Asante Mhariri.