Askari Muoga
JF-Expert Member
- Oct 22, 2015
- 6,112
- 4,663
ni pm upo wizara gani ishu walio rudishwa mwezi wa NNE ni wale wenye applicant number ila kwa wale ambao awana applicant no bado utumishi awajatoa maelekezoIshu hyo Ni kweli mm binafsi tangu mwezi wa NNE nilifanya hvyo lakini imekuwa kimya tena hakuna cha kuitwa wala nn???
Bado so cjui au ndo nmepigwa changa la macho!!mh ujapata check no
Nicheck no . yangu 0763500398.ni pm upo wizara gani ishu walio rudishwa mwezi wa NNE ni wale wenye applicant number ila kwa wale ambao awana applicant no bado utumishi awajatoa maelekezo
unge uliziaNicheck no . yangu 0763500398.
Nipo wizara ya afya
Alieshiba hajui mwenye njaa na wala hajui maumivu na uchungu wa asie na kazi .. Hakika mwenyezi Mungu ndo anajua. HR wengine ukimuuliza hata kwa polite way namna gani huwa wanahisi unawasumbua vile kumbe mtu unashida ...unge ulizia
HahahahahahaahMnaotaka sosi subirini chilli, watu tushajaza mikataba,hii ni taarifa kama unawajua wapo vijijini au waliuza simu waambie wawahi maofisini kwao
pole ndivyo walivyo ma hrAlieshiba hajui mwenye njaa na wala hajui maumivu na uchungu wa asie na kazi .. Hakika mwenyezi Mungu ndo anajua. HR wengine ukimuuliza hata kwa polite way namna gani huwa wanahisi unawasumbua vile kumbe mtu unashida ...
Acha tu Mungu mwema atatenda mwenyewe siku yangu ikifika
Nimejitahidi kujaribu kuulizia lskini aliekupigia simu tena hapokei na wala msg hajibu ..
Hakika Mungu anamuona haya Ni mapito tu ....
Umeitwa kada gani?Namshukuru Mungu nimeitwa Tayar nipo l
Kazini
AfyaUmeitwa kada gani?
Vijana wote waliosimamishwa Ajira mwezi June mwaka Jana baada ya tamko la Mh. Rais na ambao hamjapewa taarifa yoyote mpaka sasa nawashauri muwasumbue au muende mkawaone waajiri wenu kwani waraka wa kuwarudisha ushatoka,mnasainishwa mkataba mpya unaoanza tarehe 1/4/2017,
Kuchelewa kwako ndo kusahaulika kwako,
Natumai Ujumbe umefika!
Ok, umeriport June? Umesainishwa mkataba Mpya? Wamekupa hela kujikimu tena? Maana wengne wamerdshwa nakusainishwa mikataba mipya bila hayo mengine!Afya
acha uongo kwa makundi kivipi bwana kama hujui kitu kaa kimyaWanaita kurudi kazini lakini kwa makundi makundi serikali haina pesa kuruhusu watu wote waingie kazini kwa wakati mmoja.Hivyo kuweni na subira ndugu zanguni
Sasa unanibishia mkuu ama?au una stress ndugu yangu? Maana sio kwa povu hilo. Narudia tena watu wameshaanza kuitwa kazini kwa awamu...we ukibisha wala sikushikii kiboko kukulazimishaacha uongo kwa makundi kivipi bwana kama hujui kitu kaa kimya
Sasa kama upo kazini mkuu mbona ukapanic sana asee? Ulinishangaza sana ila nikajua tu tiari ushavurugwaPole mm nipo kazini