Waraka wa kupinga mkataba wa bandari za Tanganyika na kampuni ya DPW umesomwa kwa mara ya pili

Mshana Jr

Platinum Member
Aug 19, 2012
269,638
697,929
Misa za Jumapili ya leo kwenye makanisa mbalimbali nchini zimemalizika kwa kusomwa kwa mara ya pili waraka wa kupinga mkataba wenye walakini mkubwa wa uwekezaji kati ya bandari za Tanganyika na kampuni ya DPW

Kikubwa kilichoonekana kwenye hizo misa nchini kote ni ongezeko la wageni na waumini.. Ishara ya kwamba moto wa waraka unazidi kushika kasi kwenye mbuga kavu

Pamoja na watu wenye nia ovu ya kutaka kunasibisha huu waraka na udini lakini TEC hawajarudi nyuma wa wamesisistiza wataendelea na ratiba yao ya kuusoma kwa wiki nne zilizobaki

Wenye uelewa finyu na mawazo kimo cha mbilikimo wameelewa kupuyanga kwa kujadili watu, imani na taasisi huku wakishindwa kabisa kujibu walau mstari moja tu wa hoja za waraka!

Tutegemee vioja zaidi
Tutegemee vitisho zaidi
Tutegemee ujinga zaidi ... Maana bado wiki 4 kukamilisha ratiba ya kusomwa kwa waraka
 
Misa za Jumapili ya leo kwenye makanisa mbalimbali nchini zimemalizika kwa kusomwa kwa mara ya pili waraka wa kupinga mkataba wenye walakini mkubwa wa uwekezaji kati ya bandari za Tanganyika na kampuni ya DPW

Kikubwa kilichoonekana kwenye hizo misa nchini kote ni ongezeko la wageni na waumini.. Ishara ya kwamba moto wa waraka unazidi kushika kasi kwenye mbuga kavu

Pamoja na watu wenye nia ovu ya kutaka kunasibisha huu waraka na udini lakini TEC hawajarudi nyuma wa wamesisistiza wataendelea na ratiba yao ya kuusoma kwa wiki nne zilizobaki

Wenye uelewa finyu na mawazo kimo cha mbilikimo wameelewa kupuyanga kwa kujadili watu, imani na taasisi huku wakishindwa kabisa kujibu walau mstari moja tu wa hoja za waraka!

Tutegemee vioja zaidi
Tutegemee vitisho zaidi
Tutegemee ujinga zaidi ... Maana bado wiki 4 kukamilisha ratiba ya kusomwa kwa waraka
Hata wange usoma kila siku naona chama kimasha fanya maamuzi hakiwezi kuumbishwa na kanisa katoliki ya Tanzania isio fika hat 20% ila RC wanacho kitafuta walipata achana na state hapa Africa
 
Misa za Jumapili ya leo kwenye makanisa mbalimbali nchini zimemalizika kwa kusomwa kwa mara ya pili waraka wa kupinga mkataba wenye walakini mkubwa wa uwekezaji kati ya bandari za Tanganyika na kampuni ya DPW

Kikubwa kilichoonekana kwenye hizo misa nchini kote ni ongezeko la wageni na waumini.. Ishara ya kwamba moto wa waraka unazidi kushika kasi kwenye mbuga kavu

Pamoja na watu wenye nia ovu ya kutaka kunasibisha huu waraka na udini lakini TEC hawajarudi nyuma wa wamesisistiza wataendelea na ratiba yao ya kuusoma kwa wiki nne zilizobaki

Wenye uelewa finyu na mawazo kimo cha mbilikimo wameelewa kupuyanga kwa kujadili watu, imani na taasisi huku wakishindwa kabisa kujibu walau mstari moja tu wa hoja za waraka!

Tutegemee vioja zaidi
Tutegemee vitisho zaidi
Tutegemee ujinga zaidi ... Maana bado wiki 4 kukamilisha ratiba ya kusomwa kwa waraka
Hakuna anayejali,hizo zama zimepita
 
Misa za Jumapili ya leo kwenye makanisa mbalimbali nchini zimemalizika kwa kusomwa kwa mara ya pili waraka wa kupinga mkataba wenye walakini mkubwa wa uwekezaji kati ya bandari za Tanganyika na kampuni ya DPW

Kikubwa kilichoonekana kwenye hizo misa nchini kote ni ongezeko la wageni na waumini.. Ishara ya kwamba moto wa waraka unazidi kushika kasi kwenye mbuga kavu

Pamoja na watu wenye nia ovu ya kutaka kunasibisha huu waraka na udini lakini TEC hawajarudi nyuma wa wamesisistiza wataendelea na ratiba yao ya kuusoma kwa wiki nne zilizobaki

Wenye uelewa finyu na mawazo kimo cha mbilikimo wameelewa kupuyanga kwa kujadili watu, imani na taasisi huku wakishindwa kabisa kujibu walau mstari moja tu wa hoja za waraka!

Tutegemee vioja zaidi
Tutegemee vitisho zaidi
Tutegemee ujinga zaidi ... Maana bado wiki 4 kukamilisha ratiba ya kusomwa kwa waraka
Hao teec ni mmbwa kama mmbwa wengine, serikali haiyumbishwi na hao kundi la masshoga
 
Hata wange usoma kila siku naona chama kimasha fanya maamuzi hakiwezi kuumbishwa na kanisa katoliki ya Tanzania isio fika hat 20% ila RC wanacho kitafuta walipata achana na state hapa Africa
Hakuna shida kwakuwa wanausoma kwenye makanisa yao na kwa ratiba waliyojiwekea hivyo nao hawatabadili kitu
 
Misa za Jumapili ya leo kwenye makanisa mbalimbali nchini zimemalizika kwa kusomwa kwa mara ya pili waraka wa kupinga mkataba wenye walakini mkubwa wa uwekezaji kati ya bandari za Tanganyika na kampuni ya DPW

Kikubwa kilichoonekana kwenye hizo misa nchini kote ni ongezeko la wageni na waumini.. Ishara ya kwamba moto wa waraka unazidi kushika kasi kwenye mbuga kavu

Pamoja na watu wenye nia ovu ya kutaka kunasibisha huu waraka na udini lakini TEC hawajarudi nyuma wa wamesisistiza wataendelea na ratiba yao ya kuusoma kwa wiki nne zilizobaki

Wenye uelewa finyu na mawazo kimo cha mbilikimo wameelewa kupuyanga kwa kujadili watu, imani na taasisi huku wakishindwa kabisa kujibu walau mstari moja tu wa hoja za waraka!

Tutegemee vioja zaidi
Tutegemee vitisho zaidi
Tutegemee ujinga zaidi ... Maana bado wiki 4 kukamilisha ratiba ya kusomwa kwa waraka
Mungu yupo na atasimama daima
 
Back
Top Bottom