jouneGwalu
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 2,687
- 1,780
Hizi nyaraka sasa.....
Kweli imeandikwa vizuri, na mtu anaejua anachofanya,
Ila nikitafakari "miaka 50 ya kutawala, pamoja na utajiri wote wa nchi na amani mnayodai mmetupatia... na umasikini huu wa kutisha unaoendelea kwa watu wa nchi hii na nchi kusimama bila kusonga (labda kusonga kurudi nyuma)" nashindwa kujizuia kuona maandishi yote hayo ni TAKATAKA TU
Kweli imeandikwa vizuri, na mtu anaejua anachofanya,
Ila nikitafakari "miaka 50 ya kutawala, pamoja na utajiri wote wa nchi na amani mnayodai mmetupatia... na umasikini huu wa kutisha unaoendelea kwa watu wa nchi hii na nchi kusimama bila kusonga (labda kusonga kurudi nyuma)" nashindwa kujizuia kuona maandishi yote hayo ni TAKATAKA TU