OgwaluMapesa
JF-Expert Member
- May 24, 2008
- 10,942
- 428
Huu waraka wa Husein Bashe nimeupata face Book
by Hussein Bashe on Wednesday, April 13, 2011 at 11:16am
WARAKA WANGU KWA CC NA SEKRETARIETI MPYA CHAMA
Kwanza nianze kwa kuwapongeza kwa uteuzi mliopata na kuwatakia kila kheri kwa imani hiyo mlopewa na NEC ya chama chetu .
Pili nitumie fursa hii kumpongeza Mwenyekiti kwa kuendesha kikao ambacho leo kimetuletea PICHA mpya ya vijana na Wazeee katika CC na Sekretariet ya chama na kuzaliwa upya kwa ccm kwa maana ya HISTORIA KUANDIKWA kutokana na maamuzi yaliyofikiwa Dodoma.
Ningependa kutumia nafasi hii kuwaambia viongozi wetu sasa ni wakati wa chama kukabiliana na changamoto zinazotukabili hatua hii, ya sura mpya haijamaliza bado matatizo yanayotukabili kama chama kinachoongoza taifa hili,na msirudie makosa yaliyofanyika toka kipindi cha 1995 mpaka leo ya chama kubaki na kufanya siasa za PERSONALITIES na kuacha siasa za ISSUE na Nguvu nyingi kuzipeleka katika Formular ya Character assasination ambayo kwa muda mrefu imekiumiza chama na kutufanya kufika hapa tulipo leo ambapo viongozi wote wachama walichafuka na kukosa heshima katika PUBLIC jambo ambalo lilitugharimu kwa Muda Mrefu.
NAPE na JANUARY ni uwakilishi wa vijana katika nafasi nyeti mlizopewa na mnawakilisha vijana wengi,binafsi nina imani kubwa na nyie bcs sina shaka juu ya uwezo wenu wa kusimamia mambo magumu hata kama wengine hawayapendi,changamoto kubwa mlionayo na kuthibitisha matendo yenu yaendane na vijana wa sasa,mawazo yenu yaendane na vijana wa sasa,fikra na issues mtakazo simamia zifananne na ziwakilishe asilimia 60 ama 70 ya watu wa nchi hii ambao ni VIJANA,msiishi kama waliotangulia hatutarajii na nyie kuiendesha CCM kwa mfumo wa NIDHAMU YA WOGA,ama mfumo wa kiuchaguzi uchaguzi jambo ambalo limekiumiza chama chetu kwa kiwango kikubwa January IDARA YAKO INAITWA IDARA YA SIASA NA MAMBO YA NJE alikukabidhi majukumu alijikita mambo ya nje na kuacha fuction ya siasa.
CC na Sekretariet huu ni wakati wa kuisimamia SEREKALI ili itimize matarajio ya watanzania wengi,mnawajibu wa kuhakikisha mkataba wetu na watanzania ambao ni ilani ya uchaguzi inasimamiwa na inatekelezwa umefika wakati sasa wa chama kuwa kiranja mkuu wa serekali kwani tuloshinda ni ccm na serekali ni AGENT wa chama kutekeleza yale ambayo tuliwaahidi watanzania,its a high time muwe na utaratibu wa ku evaluate serekali na msisite kumshauri RAIS kumwambia hapa waziri flani hatekelezi wajaibu wake NEC iwe sehemu ya kuevaluate perfomance ya serekali kila QTR mfumo wa utendaji usiwe wa KI IYENA IYENA the world has changed na Variables zimebadilika sana,CC lazima iwe THINK TANK chama na si vikao vya kuchuja wagombea na kupitisha yale ambayo mwenyekiti anataka ama anashauri,lazima dhana ya kuhoji ichukue nafasi chama lazima kikemee pale serekali inapokosea msisite kuiambia serekali hili hapana halikuwa sehemu ya AHADI zetu LAZIMA kila jambo chama kiwe na uhakika serekali inapotaka kutekeleza imejiandaa kulitekeleza tusikosee ku hanlde issue kama tulivyokosea ku HANDLE issue ya katiba, na hapa nipongeze uamuzi wa kufuta HATI ya DHARURA ktk sheria hii inayohusu mchakato wa katiba.
Chama kina tatizo kubwa la COMMUNICATION STRATEGY we hope JANUARY na NAPE mtabadili mfumo wetu wa kujibu mambo kwa mzaha na kejeli ma na mazoea muubadili ili HOJA ZIJIBIWE KWA HOJA, NAPE usirudie wala kufanya makosa ya kuwatumia watu wasio kuwa na HESHIMA kwenda ktk PUBLIC kujibu hoja yoyte inayohitaji THINKING, usiruhusu jambo litakalo haribu heshima ya chama kwa hoja tu MBONA WAO WANATUZOMEA NA SISI TUKUSANYE WATOTO WAKAZOMEE ,now CCM must act obave diry politics bcs dhamana ya nchii hii ipo mikononi mwetu si lazima kujibu tusi kwa tusi.
CC na Sekretariet,mnajukumu la kuibana serekali na kuisimamia kuhakiksha uchumi unakua,ajira zinapatikana,mfumuko wa bei unatafutiwa njia za kuudhibiti,mawaziri wanafanya kazi na kutoka LIKIZO,wanasimamia majukumu yao na kufanya maamuzi magumu bila kusubiri kila JAMBO mpaka RAIS alitolee majibu,lazima kuwepo PERFOMANCE APPRISSAL system ambayo chama kitatumia kupima utendaji wa mawakala wake ambao ni serekali,leo bei ya mafuta imepanda,vyakula vimepanda,thamani ya shilingi inashuka,maisha yanakuwa magumu kwa watanzania wengi,sekta ya elimu inachangamoto nyingi za kisera,na kimfumo,chama kinahitaji WELEDI katika kusimamia serekali na hilo ni jukumu ambalo lazima mlifanye.
Mnawajibu wa kusimamia PARTY COCUS ili bunge litumike katika ubora wake na wabunge wetu muwanoe ili kukidhi standards za kusimamia hoja na ilani ya chama.
Nidhamu hasa kwa watendaji katika ngazi za wilaya na mikoa ni wajibu wenu kuhakikisha huko chini tatizo la RUSHWA ndani ya mfumo mzima wa chama linakwisha vijana wengi wanashindwa kukipenda chama chetu kwa kuwa huko chini kuna MIUNGU WATU,ni lazima CONCEPT ya utumishi ichukue nafasi ili wenyeviti wetu na makatibu wetu wasiwe wafalme wasimamie COUNCIOUL ili zitekeleze ilani ya uchaguzi kwani HUO NDIO MKATABA WETU NA WATANZANIA.
Mwisho niwaombe CCM IMEUMIA SANA KWA POLITICS ZA CHARACTER ASSASINATION ,POLITICS ZA PERSONALITIES na kuacha kusimamia mambo ya msingi yanayowaumiza watanzania wengi,RUSHWA,(UFISADI),Tatizo la UADILIFU,UKOSEFU WA UZALENDO,ni udhaifu wetu wa kutosimamia MAADILI YA VIONGOZI na hasa tulipofuta AZIMIO LA ARUSHA,hatuna GUIDELINE juu ya maadili ya VIONGOZI na wanachama,umefika wakati wa chama kulitazama upya AZIMIO LA ARUSHA ambalo tuliamua kulifuta na kulizika chama kiamue kulitazama tena kulirudisha pia kufanya mabadiliko pale tunapoona linahitaji,but MSINGI wa azimio la arusha TUNAUHITAJI TENA.
Mwigulu una mzigo mkubwa wa ku reforme mfumo wetu wa uchumi ndani ya chama ni wajibu wako kupitia idara yako kuzifanyia audit mali za ccm ili ktk ngazi za wilaya,mikoa,kata,na mashina tuwe na uwezo wa kiuchumi kuondokana na tabia ya kutegemea wafadhili na wafanyabiashara mawilayani na mikoani ili kuwapa uwezo watendaji wetu na viongozi kufanya maamuzi yanayohusu mustakabali wa chama chetu.
Politics ni uchumi if we are weak economically na sisi kutegemea RUZUKU CCM tutakuwa na hali mbaya ni wajibu wako kufufua miradi iliyowahi kufa na kuisimamia kiukamilifu ,tunaviwanja vingi ni wakati wa kuanzisha Strategic ptnership na mashirika kama NHC na mengine ili kuwekeza ktk real estate, ALL IN ALL LAZIMA MZEE UPAMBANE . ALL THE BEST
Niwatakie kila la kheri ktika utekelezaji wenu wa majukumu na mfahamu kuwa matarajio ya wana ccm ni kubwa sana ninawaombea kwa mungu kila la kheri MUNGU IBARIKI TANZANIA.MUNGU IBARIKI CC
by Hussein Bashe on Wednesday, April 13, 2011 at 11:16am
WARAKA WANGU KWA CC NA SEKRETARIETI MPYA CHAMA
Kwanza nianze kwa kuwapongeza kwa uteuzi mliopata na kuwatakia kila kheri kwa imani hiyo mlopewa na NEC ya chama chetu .
Pili nitumie fursa hii kumpongeza Mwenyekiti kwa kuendesha kikao ambacho leo kimetuletea PICHA mpya ya vijana na Wazeee katika CC na Sekretariet ya chama na kuzaliwa upya kwa ccm kwa maana ya HISTORIA KUANDIKWA kutokana na maamuzi yaliyofikiwa Dodoma.
Ningependa kutumia nafasi hii kuwaambia viongozi wetu sasa ni wakati wa chama kukabiliana na changamoto zinazotukabili hatua hii, ya sura mpya haijamaliza bado matatizo yanayotukabili kama chama kinachoongoza taifa hili,na msirudie makosa yaliyofanyika toka kipindi cha 1995 mpaka leo ya chama kubaki na kufanya siasa za PERSONALITIES na kuacha siasa za ISSUE na Nguvu nyingi kuzipeleka katika Formular ya Character assasination ambayo kwa muda mrefu imekiumiza chama na kutufanya kufika hapa tulipo leo ambapo viongozi wote wachama walichafuka na kukosa heshima katika PUBLIC jambo ambalo lilitugharimu kwa Muda Mrefu.
NAPE na JANUARY ni uwakilishi wa vijana katika nafasi nyeti mlizopewa na mnawakilisha vijana wengi,binafsi nina imani kubwa na nyie bcs sina shaka juu ya uwezo wenu wa kusimamia mambo magumu hata kama wengine hawayapendi,changamoto kubwa mlionayo na kuthibitisha matendo yenu yaendane na vijana wa sasa,mawazo yenu yaendane na vijana wa sasa,fikra na issues mtakazo simamia zifananne na ziwakilishe asilimia 60 ama 70 ya watu wa nchi hii ambao ni VIJANA,msiishi kama waliotangulia hatutarajii na nyie kuiendesha CCM kwa mfumo wa NIDHAMU YA WOGA,ama mfumo wa kiuchaguzi uchaguzi jambo ambalo limekiumiza chama chetu kwa kiwango kikubwa January IDARA YAKO INAITWA IDARA YA SIASA NA MAMBO YA NJE alikukabidhi majukumu alijikita mambo ya nje na kuacha fuction ya siasa.
CC na Sekretariet huu ni wakati wa kuisimamia SEREKALI ili itimize matarajio ya watanzania wengi,mnawajibu wa kuhakikisha mkataba wetu na watanzania ambao ni ilani ya uchaguzi inasimamiwa na inatekelezwa umefika wakati sasa wa chama kuwa kiranja mkuu wa serekali kwani tuloshinda ni ccm na serekali ni AGENT wa chama kutekeleza yale ambayo tuliwaahidi watanzania,its a high time muwe na utaratibu wa ku evaluate serekali na msisite kumshauri RAIS kumwambia hapa waziri flani hatekelezi wajaibu wake NEC iwe sehemu ya kuevaluate perfomance ya serekali kila QTR mfumo wa utendaji usiwe wa KI IYENA IYENA the world has changed na Variables zimebadilika sana,CC lazima iwe THINK TANK chama na si vikao vya kuchuja wagombea na kupitisha yale ambayo mwenyekiti anataka ama anashauri,lazima dhana ya kuhoji ichukue nafasi chama lazima kikemee pale serekali inapokosea msisite kuiambia serekali hili hapana halikuwa sehemu ya AHADI zetu LAZIMA kila jambo chama kiwe na uhakika serekali inapotaka kutekeleza imejiandaa kulitekeleza tusikosee ku hanlde issue kama tulivyokosea ku HANDLE issue ya katiba, na hapa nipongeze uamuzi wa kufuta HATI ya DHARURA ktk sheria hii inayohusu mchakato wa katiba.
Chama kina tatizo kubwa la COMMUNICATION STRATEGY we hope JANUARY na NAPE mtabadili mfumo wetu wa kujibu mambo kwa mzaha na kejeli ma na mazoea muubadili ili HOJA ZIJIBIWE KWA HOJA, NAPE usirudie wala kufanya makosa ya kuwatumia watu wasio kuwa na HESHIMA kwenda ktk PUBLIC kujibu hoja yoyte inayohitaji THINKING, usiruhusu jambo litakalo haribu heshima ya chama kwa hoja tu MBONA WAO WANATUZOMEA NA SISI TUKUSANYE WATOTO WAKAZOMEE ,now CCM must act obave diry politics bcs dhamana ya nchii hii ipo mikononi mwetu si lazima kujibu tusi kwa tusi.
CC na Sekretariet,mnajukumu la kuibana serekali na kuisimamia kuhakiksha uchumi unakua,ajira zinapatikana,mfumuko wa bei unatafutiwa njia za kuudhibiti,mawaziri wanafanya kazi na kutoka LIKIZO,wanasimamia majukumu yao na kufanya maamuzi magumu bila kusubiri kila JAMBO mpaka RAIS alitolee majibu,lazima kuwepo PERFOMANCE APPRISSAL system ambayo chama kitatumia kupima utendaji wa mawakala wake ambao ni serekali,leo bei ya mafuta imepanda,vyakula vimepanda,thamani ya shilingi inashuka,maisha yanakuwa magumu kwa watanzania wengi,sekta ya elimu inachangamoto nyingi za kisera,na kimfumo,chama kinahitaji WELEDI katika kusimamia serekali na hilo ni jukumu ambalo lazima mlifanye.
Mnawajibu wa kusimamia PARTY COCUS ili bunge litumike katika ubora wake na wabunge wetu muwanoe ili kukidhi standards za kusimamia hoja na ilani ya chama.
Nidhamu hasa kwa watendaji katika ngazi za wilaya na mikoa ni wajibu wenu kuhakikisha huko chini tatizo la RUSHWA ndani ya mfumo mzima wa chama linakwisha vijana wengi wanashindwa kukipenda chama chetu kwa kuwa huko chini kuna MIUNGU WATU,ni lazima CONCEPT ya utumishi ichukue nafasi ili wenyeviti wetu na makatibu wetu wasiwe wafalme wasimamie COUNCIOUL ili zitekeleze ilani ya uchaguzi kwani HUO NDIO MKATABA WETU NA WATANZANIA.
Mwisho niwaombe CCM IMEUMIA SANA KWA POLITICS ZA CHARACTER ASSASINATION ,POLITICS ZA PERSONALITIES na kuacha kusimamia mambo ya msingi yanayowaumiza watanzania wengi,RUSHWA,(UFISADI),Tatizo la UADILIFU,UKOSEFU WA UZALENDO,ni udhaifu wetu wa kutosimamia MAADILI YA VIONGOZI na hasa tulipofuta AZIMIO LA ARUSHA,hatuna GUIDELINE juu ya maadili ya VIONGOZI na wanachama,umefika wakati wa chama kulitazama upya AZIMIO LA ARUSHA ambalo tuliamua kulifuta na kulizika chama kiamue kulitazama tena kulirudisha pia kufanya mabadiliko pale tunapoona linahitaji,but MSINGI wa azimio la arusha TUNAUHITAJI TENA.
Mwigulu una mzigo mkubwa wa ku reforme mfumo wetu wa uchumi ndani ya chama ni wajibu wako kupitia idara yako kuzifanyia audit mali za ccm ili ktk ngazi za wilaya,mikoa,kata,na mashina tuwe na uwezo wa kiuchumi kuondokana na tabia ya kutegemea wafadhili na wafanyabiashara mawilayani na mikoani ili kuwapa uwezo watendaji wetu na viongozi kufanya maamuzi yanayohusu mustakabali wa chama chetu.
Politics ni uchumi if we are weak economically na sisi kutegemea RUZUKU CCM tutakuwa na hali mbaya ni wajibu wako kufufua miradi iliyowahi kufa na kuisimamia kiukamilifu ,tunaviwanja vingi ni wakati wa kuanzisha Strategic ptnership na mashirika kama NHC na mengine ili kuwekeza ktk real estate, ALL IN ALL LAZIMA MZEE UPAMBANE . ALL THE BEST
Niwatakie kila la kheri ktika utekelezaji wenu wa majukumu na mfahamu kuwa matarajio ya wana ccm ni kubwa sana ninawaombea kwa mungu kila la kheri MUNGU IBARIKI TANZANIA.MUNGU IBARIKI CC