figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,890
Wakuu,
Huu ni Waraka namba moja wa chama. Bado ntaweka hapa namba mbili. Na nitakuwa na-update kila kinachojiri.
“Mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu” Methali hii inajidhihirisha, kumezuka shutuma kubwa dhidi yetu ya kile wanachokiita usaliti. Mara baada ya kupokea viongozi wa vyama na wanachama mbalimbali kutoka katika vyama vyao na kujiunga na chama chetu cha NCCR-Mageuzi.
Hayo yote yanaibuka baada ya kuona wimbi kubwa la watu wanaimba wimbo wa UTU, UTU, UTU.
Kuhama chama kimoja na kwenda kingine si jambo geni ulimwenguni kote ikizingatia kila mmoja ana haki na uhuru wa kujiunga na chama chochote cha siasa anachokipenda. Lakini pia NCCR-Mageuzi hapo nyuma ilipoteza wanachama wengi waliohamia kwenye vyama hivyo hivyo ambavyo leo wanatuita wasaliti na sisi hatukuwahi kulalamika".
Huu ni Waraka namba moja wa chama. Bado ntaweka hapa namba mbili. Na nitakuwa na-update kila kinachojiri.
Sisi tunahukumiwa kwa lipi? - Ndugu James Mbatia
“Mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu” Methali hii inajidhihirisha, kumezuka shutuma kubwa dhidi yetu ya kile wanachokiita usaliti. Mara baada ya kupokea viongozi wa vyama na wanachama mbalimbali kutoka katika vyama vyao na kujiunga na chama chetu cha NCCR-Mageuzi.
Hayo yote yanaibuka baada ya kuona wimbi kubwa la watu wanaimba wimbo wa UTU, UTU, UTU.
Kuhama chama kimoja na kwenda kingine si jambo geni ulimwenguni kote ikizingatia kila mmoja ana haki na uhuru wa kujiunga na chama chochote cha siasa anachokipenda. Lakini pia NCCR-Mageuzi hapo nyuma ilipoteza wanachama wengi waliohamia kwenye vyama hivyo hivyo ambavyo leo wanatuita wasaliti na sisi hatukuwahi kulalamika".