Waraka Mwl Shukia kwa Mwigulu Nchemba

Waraka Mwl Shukia kwa Mwigulu Nchemba

Kikwete anampongeza, ndugai anamsifu, kuna wabunge maccm wakiona amesimama basi ni makofi to. Naona sio yeye tu wakumlaumu bali wate wanaoshadidia kila ovu alifanyalo.
Wewe mwenyewe hewa tu huna jipya ungekuwa usafiri ungekuwa baiskel.
 
Mimi mbona naona kinyume chake? Au wenzetu mmelala usingizi bado?
Hivi mnapopita mitaani mmevaa yale mashati yenu mnapozomewa inamaanisha nini?
Mwigulu ni virus mkuu. Mtakapokuja jitambua, Tanzania itakuwa chini ya utawala wa wananchi.
Hakuna nchi ambayo inatawaliwa na wananchi bali wananchi huchagua mtu au watu wa kuwaongoza kwa niaba yao.
 
"Mwisho wa ubaya ni aibu" Take that Mr Nchemba usiwe km mbunge wa viti maalum hawana la kupoteza....
 
mwigulu sijui ameathiriwa na mdudu gani maana utafikiri hakusoma! anajigamba ni first class labda za kuiba mtihani maana sioni akili za kuzaliwa na zo pale. mtu mwenye asili huwa anatumia sana busara si lugha za kunuka na akili legelege kama zake
 
Amekuwa dekio. Linaingia ndani muda wa kudeki tu! Likishatumika tupa njee huko. Awaulize akina Tambwe hiza wako wapi sasa hivi. Nape Nae kacheck upepo amepunguza speed. Nyie bado vjana fanyeni mambo ya Msingi achaneni na sifa mbovu.
 
Salaams,

Kila kukicha ni wewe na kila uchao unavuma kwa mambo ambayo hayana msingi na wala hayana mwelekeo wa kuiendeleza Iramba Magharibi. Yawezekana umesahau jukumu lako kama mbunge wetu matokeo yake unafanya kazi za CCM na serikali ndani ya Bunge. Kumbuka kuwa wewe haupo bungeni kuiwakilisha serikali, au usalama wa taifa au CCM, upo bungeni kwa niaba ya wana Iramba Magharibi. Mengi unayozungumza bungeni ni yale uliyonayo kichwani mwako na si yale ambayo wana Iramba wamekutuma.

Huna sifa za kuwa mwakilishi wa wana Iramba. Ulipoteuliwa na wana CCM kugombea ubunge wana iramba wengi walidhani wamepata mtu wa kuisogeza Iramba. Niliwaskitikia sana wana Iramba wenzangu kwa kuwa na mtazamo huo. Ni kwa sababu walikuwa hawakujui. Mie niliyepata kukufahamu japo kidogo nilisikitika sana. Nakumbuka ulipokuwa UDSM kipindi kile cha mgomo wa kushinikiza marehem Mkili atolewe magereza, kila uliposimama kutoa hoja watu walikuzomea na kukutaka ukae chini. Si kwa sababu walikuwa wankuchukua, ila kwa sababu hukuwa na uwezo wa kujenga hoja za kushawishi watu. Hilo liko wazi, watanzania walio wengi wanakuzomea kila uzungumzapo bungeni. Sidhani kama hiyo ni sifa nzuri kwa kiongozi mzuri.

Umekuwa ukihusishwa na mambo mengi ya hovyo, wahenga walisema lisemwalo lipo.... Sidhani sana kama unajitambua na unatambua uyafanyayo. Wakati mwingine huwa nafikiri huenda yale maisha yako ya kukaa porini kwa muda mrefu ukichunga ng'ombe yaliathiri ukuaji wako kiakili kiasi kwamba hujitambui, huwezi kujenga hoja zikashawishi watu, ukatumiwa na wenzako kwa kila aina ya jambo lisilojema na wewe ukalibebea bango pasipo tafakuri ya kutosha. Ama kwa hakika umekuwa limbukieni wa kila jambo. Kumbuka cheo ni dhamana, na hukuzaliwa kuwa kiongozi milele. Muda wako utakwisha watakuja wengine nao watapita. Ni vema sasa ukatumia muda huu kufanya mambo ambayo watu watakukumbuka nayo kwa wema.

Ulikuwa mchunga ng'ombe hebu kumbuka kufanya mambo ambayo yatawasaidia wale wachunga ng'ombe uliowaacha wanataabika. Think wider, achana na ulimbukeni wa kisiasa na kulewa vimadaraka ulivyo navyo. Jitambue kuwa wenzako wanakutumia, ukichujuka watakumwaga. Si unajua mwisho wa vuvuzela ni nini.

Shukia

Seconded Shukia, kudos Shukia, kauli yako msumari, kama Lameck the parrot ana chembe chembe za grey matter(ubongo/akili) amekuelewa, la hasha let him go to the dogs 'cause that's where he belongs! Asante Shukia
 
Sidhani kama anahitaji attention ya GT's...CCM walimfurahia mwanzo wakidhani sasa wanaweza kukabiliana na hoja za Lisu...sasa hivi washajua kuwa wamepata dafu mwenzao ...
 
Sidhani kama anahitaji attention ya GT's...CCM walimfurahia mwanzo wakidhani sasa wanaweza kukabiliana na hoja za Lisu...sasa hivi washajua kuwa wamepata dafu mwenzao ...
Sasa mkuu ni na wewe hewa kweli lisu anahoja gani zaidi ya kukaa anaomba miongozo na utaratibu,lisu mnapswa kumtibu kwanza ule ugonjwa wake vinginevyo mnajikaanga kwa mafuta yenu wenyewe.
 
Salaams,

Kila kukicha ni wewe na kila uchao unavuma kwa mambo ambayo hayana msingi na wala hayana mwelekeo wa kuiendeleza Iramba Magharibi. Yawezekana umesahau jukumu lako kama mbunge wetu matokeo yake unafanya kazi za CCM na serikali ndani ya Bunge. Kumbuka kuwa wewe haupo bungeni kuiwakilisha serikali, au usalama wa taifa au CCM, upo bungeni kwa niaba ya wana Iramba Magharibi. Mengi unayozungumza bungeni ni yale uliyonayo kichwani mwako na si yale ambayo wana Iramba wamekutuma.

Huna sifa za kuwa mwakilishi wa wana Iramba. Ulipoteuliwa na wana CCM kugombea ubunge wana iramba wengi walidhani wamepata mtu wa kuisogeza Iramba. Niliwaskitikia sana wana Iramba wenzangu kwa kuwa na mtazamo huo. Ni kwa sababu walikuwa hawakujui. Mie niliyepata kukufahamu japo kidogo nilisikitika sana. Nakumbuka ulipokuwa UDSM kipindi kile cha mgomo wa kushinikiza marehem Mkili atolewe magereza, kila uliposimama kutoa hoja watu walikuzomea na kukutaka ukae chini. Si kwa sababu walikuwa wankuchukua, ila kwa sababu hukuwa na uwezo wa kujenga hoja za kushawishi watu. Hilo liko wazi, watanzania walio wengi wanakuzomea kila uzungumzapo bungeni. Sidhani kama hiyo ni sifa nzuri kwa kiongozi mzuri.

Umekuwa ukihusishwa na mambo mengi ya hovyo, wahenga walisema lisemwalo lipo.... Sidhani sana kama unajitambua na unatambua uyafanyayo. Wakati mwingine huwa nafikiri huenda yale maisha yako ya kukaa porini kwa muda mrefu ukichunga ng'ombe yaliathiri ukuaji wako kiakili kiasi kwamba hujitambui, huwezi kujenga hoja zikashawishi watu, ukatumiwa na wenzako kwa kila aina ya jambo lisilojema na wewe ukalibebea bango pasipo tafakuri ya kutosha. Ama kwa hakika umekuwa limbukieni wa kila jambo. Kumbuka cheo ni dhamana, na hukuzaliwa kuwa kiongozi milele. Muda wako utakwisha watakuja wengine nao watapita. Ni vema sasa ukatumia muda huu kufanya mambo ambayo watu watakukumbuka nayo kwa wema.

Ulikuwa mchunga ng'ombe hebu kumbuka kufanya mambo ambayo yatawasaidia wale wachunga ng'ombe uliowaacha wanataabika. Think wider, achana na ulimbukeni wa kisiasa na kulewa vimadaraka ulivyo navyo. Jitambue kuwa wenzako wanakutumia, ukichujuka watakumwaga. Si unajua mwisho wa vuvuzela ni nini.

Shukia
Ushauri wa bure kutka kwa mchunga ng'ombe, kama hatomuelewa mchunga ng'ombe sisi wanywa mbege atatuelewa huyu?
 
Wakati wa kujenga nyumba hakuna kitu cha muhimu kama karai la kubebea nzege. Hata hivyo, nyumba ikashaisha, na ikawekwa maru maru nzuri sana,karai inageuka kuwa takataka. Haitakiwa tena hata nje ya ukuta wa Nyumba. Kuhusu Mwigulu na ccm nadhani mmenisoma.
 
mwigulu sijui ameathiriwa na mdudu gani maana utafikiri hakusoma! anajigamba ni first class labda za kuiba mtihani maana sioni akili za kuzaliwa na zo pale. mtu mwenye asili huwa anatumia sana busara si lugha za kunuka na akili legelege kama zake

Kama alishiriki kumwaga damu ya binadamu mwenzake na kufuru aliyofanya ya kuapa uongo ndani ya bunge kwa jina la Maulana; hakika hiyo damu haitamwacha salama na majibu yake atayapata hapa hapa duniani
 
Longola Mayu!
Mwigulu kilio hichi cha watu kitakugharimu,badilika ndugu yangu.
Siasa si kama unavyo fanya,jilinganishe na wanasiasa wengine ukibaini tofauti zirekebishe.
Tofauti na hapo utaangukia pua.
 
NA OLE MUMNG'OE KUCHA NA MENO HUYO MWL.KAKUPA ZA USO.wewe ENDELEA KUCHUKUA WAKE ZA WATU.
 
Back
Top Bottom