Waraka mwingine wa Mwigamba kwa Rais JK

Issue si u-CCM wake;bali ni ubora wa hoja zake!
Nani aliyekwambia kazi ya kukosoa na kusahihisha viongozi wetu ni ya CHADEMA pekee?
Shivji ni chama gani?Warioba je?
Jambo la muhimu hapa ni kuwa Mwigamba yupo sahihi kihoja;chama chake si muhimu kwangu!

Mtoa hoja ya kumuhusisha mwigamba na uccm haina mashiko.

Mwigamba ni mwanachama mfu wa ccm.
 
Mkuu ushauri wako ni mzuri lakini tatizo lipo hapo kwenye ushauri kazi ya kumpigia mbuzi gitaa acheze siyo kazi ya kitoto other wise na wewe uwechizi.

Mkuu usiumize kichwa chako kabisa kuwashauri hao vimbora wa ccm.
 
JK kupokea ushauri ni sawa na kumvua Chenge gamba, haiwezekani. Na hizi ndio anaita kelele za mlango hazimzuii mwenye nyumba kupata usingizi.
 
Mwanakili90 naomba u-edit maandishi yako ili yawe katika mpangilio rafiki kwa wasomaji.
 
Kama wanaakili ya kufikiri na kuona mbali watafanyia kazi ushauri huu!kama ni makopo yamejazana magogon watasema ni uchochezi
 
Hayo ni maono yako lakini c maono ya watanzania wengine,, wakati rais anaahidi hayo alitegemea pia nguvu na ushirikiano wa wadau wa maendeleo ambao ni wananchi, sasa wewe umechangia nn?

Kama cyo kuendeleza uchochezi kwa serikali iliyomadaraki kwa njia halali?. Sipende waraka wako mm kama mm couz ni hatari kwa waliowengi vilevile Tambua hvy jitafakari.
 
Huyu Mwigamba si ni Mccm mkubwa tu huko Tabora? kamchambua boss wake? kumbe wanakuwa wanamshabikia tu ili wale lakini hawapendi madudu yake? kweli watamkimbia kama gbabo alivyokimbiwa siku mambo yakiwa mabaya

Mwigamba si mccm kama unavyosema. Na wala hajawahi kuishi tabora kama unavyosema. Huyu ni samson mwigamba m/kiti wa cdm mkoa wa arusha.
 
Kama ana ubavu wa kuwaza walau kidogo juu ya "kazi yake ya uprezidaa" atakuwa amekusoma.

Tatizo ambalo nimekuwa nikiendelea kulisoma kwa viongozi wa Tz ni "kutojali kwa kutokutafakari kabla ya kufanya jambo lolote", ili kuthibitisha hilo walikuja na "motto" mbalimbali ambayo haijawahi kukaribiana na wafanyayo. Kali ya motto hizo ni hii ya sasa, eti "TUMETHUBUTU, TUMEWEZA NA TUNASONGA MBELE".

"Msemo" huu huwa unanishangaza kila niusikiapo na kila niuonapo. Yaani wamethubutu nini? Wameweza nini? Na wanasonga mbele wapi (i.e in which direction)? Je ni kina nani hao?

Maana halisi ya msemo huu kwa mtizamo wangu ni; "yale tumeamua, tunafanya vile tunataka na yanakwenda vile tulivyopanga, hatuhitaji ushauri wowote na hakuna anayeweza kutushauri kwakuwa hajui analotakiwa kutushauri na tunayafanya yote sawia"-Hii ni "hatari ya danger".
 
Hayo ni maono yako lakini c maono ya watanzania wengine,, wakati rais anaahidi hayo alitegemea pia nguvu na ushirikiano wa wadau wa maendeleo ambao ni wananchi, sasa wewe umechangia nn? Kama cyo kuendeleza uchochezi kwa serikali iliyomadaraki kwa njia halali?. Sipende waraka wako mm kama mm couz ni hatari kwa waliowengi vilevile Tambua hvy jitafakari.

Kwa hiyo ina maana hajapata nguvu na ushirikiano wa wananchi siyo???
  • Hivi unafikiri kujenga uwanja wa ndege unahitaji ngu na ushirikiano au pesa??
  • Hivi kununua meli unahitaji ushikiano au pesa??
Ina maana wakati anatoa hizo ahadi hakujuwa watu wake wakoje??
 
Kwa hiyo ina maana hajapata nguvu na ushirikiano wa wananchi siyo???
  • Hivi unafikiri kujenga uwanja wa ndege unahitaji ngu na ushirikiano au pesa??
  • Hivi kununua meli unahitaji ushikiano au pesa??
Ina maana wakati anatoa hizo ahadi hakujuwa watu wake wakoje??

pesa inatoka wapi kama cyo kufanyakazi ? Au kama mnavyodai hela za walipa kodi kama msipo fanya kazi hy kodi italipwa na nani?,, ndy maana mmekuwa mkishinikiza migomo na maandamano ili upande mmoja wa utekelezaji ukwame,. Mfano ukiiahidi familia yako kuwa baada ya mavuno tutajenga nyumba, inapotokea kinyume inakuwaje?
 
pesa inatoka wapi kama cyo kufanyakazi ? Au kama mnavyodai hela za walipa kodi kama msipo fanya kazi hy kodi italipwa na nani?,, ndy maana mmekuwa mkishinikiza migomo na maandamano ili upande mmoja wa utekelezaji ukwame,. Mfano ukiiahidi familia yako kuwa baada ya mavuno tutajenga nyumba, inapotokea kinyume inakuwaje?

Uongozi sio sehemu ya majaribio,ni mahala pa kutenda kwa uadilifu yale uliyo ahidi.
 
ameahidi kwamba hadi kufikia 2015 jeshi letu litakuwa la kisasa zaidi, sa sijui ana maanisha nini au ndo maandalizi na mbwembwe za kutisha raia wasijitokeze kupiga na kulinda kura zao ili kurahisisha kazi?
 
Huyu JK anafanana na mti aina ya Ashok maarufu Dar es Salaam kama mu ashoki. Miti hii huwezi kufanya kuni za kupikia, huwezi kutengeneza mbao za fenicha, huwezi kutumia kama miti ya kujengea nyumba. Haiwezi hata kutumika kwa kivuli zaidi ya kuwa pambo la nyumba na kuwa makazi ya nyoka wa kijani. Hivyo ndivyo Raisi wenu muliyemchagua kwa kura nyingi alivyo, ni kama mti wa mu ashoki.

Hii ya Makazi ya nyoka wa kijani imetulia sana coz ni full uhalisia (Asomae na afahamu)
 
JK ni chaguo la mungu la CCM KUMFIA MKONONI mwake hivyo kinachofanyika sasa ni kutimiza unabii wa maaskofu waloutoa jangwani 2005
 
Mkuu nakubaliana na mengi uliosema,lakini kusema mzee mkapa hakufanya lolote zaidi ya kujenga uwanja wa taifa nazani umefanya makala yako ionekane ni ya kiasa zaidi,kwana mwazno kabisa wa makala umeonesha jinsi wakatai wa mkapa hali ya uchumi has amfumuko wa bei ilikuwaje,kuja kusema tena hakuna mkapa alichofanya inachnaganya na kutia mashaka.hongera,mengine yamezingatiwa!
 
Kikwete is one of useless President ever, in history of our country. Useless useless sitaki hata kumsikia huyu Fisadi. anazidi kuiboa nchi yetu kila siku. I wish revolution could push him away. I HATE HIM, BECAUSE HE DESTROY MY COUNTRY, we better off without him.
 
Back
Top Bottom