Waraka mwingine wa Mwigamba kwa Rais JK

Sheria kandamizi ya uchochezi inanikumbusha hadithi moja adimu ya zamani sana kuhusu mfalme aliyetaka kushonewa nguo, fundi akamtapeli mpaka katoto kakasema mfalme mbona huna nguo!!!!!!!!

Mwanakijiji, tumwagie hiyo story Kama unaikumbuka.
 
Hayo ni maono yako lakini c maono ya watanzania wengine,, wakati rais anaahidi hayo alitegemea pia nguvu na ushirikiano wa wadau wa maendeleo ambao ni wananchi, sasa wewe umechangia nn?

Kama cyo kuendeleza uchochezi kwa serikali iliyomadaraki kwa njia halali?. Sipende waraka wako mm kama mm couz ni hatari kwa waliowengi vilevile Tambua hvy jitafakari.
"Mkuu, ushirikiano na wadau wa maendeleo ambao ni wananchi"??? Kwa hiyo wamemnyima ushirikiano sasa hivi??,rais hajui uwezo wa anao waongoza??? Nini vyanzo vya fedha vya rais anavyo tegemea kutekeleza utitiri wa ahadi, maana alihaidi madaraja hata pasipo na dimbwi achilia mbali mto
 
EWURA yatarajiwa kutangaza bei mpya ya UMEME LEO,huu ni muendelezo wa maisha bora
 
pesa inatoka wapi kama cyo kufanyakazi ? Au kama mnavyodai hela za walipa kodi kama msipo fanya kazi hy kodi italipwa na nani?,, ndy maana mmekuwa mkishinikiza migomo na maandamano ili upande mmoja wa utekelezaji ukwame,. Mfano ukiiahidi familia yako kuwa baada ya mavuno tutajenga nyumba, inapotokea kinyume inakuwaje?

Yaleyale ya kutegemea pesa ya mfanyakazi (PAYE) ijenge nchi. Hivi wale ma-investor aliokuwa anawatafutaga majuu wameishia wapi?? Naona hata na safari zimepungua. Kodi yetu yote inaishia kwa mafisadi na wafanyakazi wachache wa TRA. Kama angekuwa anamalengo na anaipenda nchi hii hivi kweli angetumia Tshs 60 billion kufanya sherehe za Uhuru wakati nchi haina hata umeme?? Kama waliweza kupata billion 60 za sherehe wewe hushangai kwanini leo wanashindwa kupata billion 100 za kujenga daraja Kigamboni kwa miaka 4 mpaka wachukuwe mafao ya wazee wetu wastaafu?? Hizo billion 60 zingeweza kujenga shule ngapi au hospitali ngapi?? Halafu mnataka kusingizia wananchi??
 
basi msimalize kusema kama kusikia amesikia sie huku twafa na njaa maana mulo mmoja sasa haupo tena bado nusu mwaka tu tuwe kama somalia, Marekani wajiaandae kutupa dona wao wachukue kale ka nchi ka wanaokataa ushauri wa kupiga mbizi, tunashindia machungwa na miogo machungwa yakiisha sijui kifuatacho, mikopo tulioambiwa tuifuate SACCOS imekuwa gamba la nne, kila siku tunauziwa hata tulichovuna kwani sisi wenye maduka ya rejereja wananchi sukali hawanunui tena mchele pia, kilichobaki ni kununua unga robo na kununua limau ya kukamulia kwenye uji ili watoto wanywe uji tu walale, haya ndiyo maisha bora ya JK tuliyojitakia kwa Rais chaguo la MUNGu kama alivyosema PENGO KUBWA la WAkilisto
 
Ujumbe mzuri huu naamini imeshakwenda,japo najua wanaweza wakauficha wapambe wake,ila sikio la kufa halisikii dawa
 
Ushauri uwa ni mzuri pale unapokuwa umetolewa kwa mtu msikivu. Sasa basi baada ya kugundua kuwa Mh kikwete hashauriki ya nini kupoteza muda ndg yangu Mwigamba. "Kumbe Ryaro wa Ryaro una hakili sana" haya ni maneno yaliyosikika toka kwa rafiki yangu akiniunga mkono mara tu baada ya kumlaumu kwa kile nilichokiona kuwa yeye mwenyewe hakujitendea haki. Hii ni baada ya kuonyesha commets za kumsupport mpizani wetu kimaslahi. Kwenye Siasa Kama wote tutakuwa na mitazamo, fikira na strategies za kiuongozi basi hapana sababu ya kuwepo na oppositions. mwigamba haukupaswa kumwamsha aliyelala na hili ni kosa ktk strategies za kuboresha upinzani ulio Imara wenye malengo ya kushika dola ifikapo 2015. Nilimweza rafiki ya
 
Huyu Mwigamba si ni Mccm mkubwa tu huko Tabora? kamchambua boss wake? kumbe wanakuwa wanamshabikia tu ili wale lakini hawapendi madudu yake? kweli watamkimbia kama gbabo alivyokimbiwa siku mambo yakiwa mabaya
Kama sikosei Samson Mwigamba ni m/kiti aw CDM Mkoa wa Arusha na sio mccm huko Tabora
 
Kalamu ya Mwigamba ni mwiba mkali sana kwa Serikali hii ya kufikirika.
Tatizo la sisi watanzania jamaa akianza kucheka nasi tunacheka sijui
tunaelekea wapi maana kila mahali mambo hayaendi sijajua mwisho
utakuwaaje kama hatujaanza chapana sijui. Hapa tulipo ni pagumu
mno na jamaa na serekeli yake sidhani wana mpango mkakati wa
kuokoa hii hali watu wamechoka vibaya sana hawa washauri wake
sijajua wanamshauri nini la msingi huyu ******, nachoona ni
wingi wa magari kwenye misafara utadhani amepindua nchi,
Mwigamba kamshauri akae atafakari ahadi zake na sijajua aliyemuaminisha
kuwa zitatekelezeka ni yule aliyekuwa akikaa magomeni ambaye
hatunaye au ni nani, wewe mtu ameshidwa kjenga barabara za mitaani
anakambia atajenga flying over hii ni ajabu sana ****** kaa chini
na hao wa CCM wako then mjue mtoke vipi
 
Hivi ni kina nani wanamshauri raisi?Jana mnaoshauri muwe na huruma na waTZ wenzenu.
 
Kalamu ya Mwigamba ni mwiba mkali sana kwa Serikali hii ya kufikirika.
Tatizo la sisi watanzania jamaa akianza kucheka nasi tunacheka sijui
tunaelekea wapi maana kila mahali mambo hayaendi sijajua mwisho
utakuwaaje kama hatujaanza chapana sijui. Hapa tulipo ni pagumu
mno na jamaa na serekeli yake sidhani wana mpango mkakati wa
kuokoa hii hali watu wamechoka vibaya sana hawa washauri wake
sijajua wanamshauri nini la msingi huyu ******, nachoona ni
wingi wa magari kwenye misafara utadhani amepindua nchi,
Mwigamba kamshauri akae atafakari ahadi zake na sijajua aliyemuaminisha
kuwa zitatekelezeka ni yule aliyekuwa akikaa magomeni ambaye
hatunaye au ni nani, wewe mtu ameshidwa kjenga barabara za mitaani
anakambia atajenga flying over hii ni ajabu sana ****** kaa chini
na hao wa CCM wako then mjue mtoke vipi

Mwigamba, wewe kweli ni mwamme wa Shoka. Tungekuwa na wanaume kama wewe 10 tu Tanzania ingefika mbali. Ubovu mashoga kibao hata sisi wanawake tuna ma.kende zaidi yao. Kazi kujikomba kwa huyo bab Riz1. Mwigamba, mungu akupe uhai na maisha marefu, Tanznaia inakuhitaji sana
 
maisha ya neema ndiyo hayo. nasikia hata mishahara ni kwa msururu mwezi huu, kama foleni za maji vile.
 
Viva Mwigamba, Ushauri mzuri japo JK anakiburi sana. Ushauri umefika, kazi kwake, kama anafikiri atamaliza huu muhura wa mwisho bila lolote kutokea, kazi kwake. Tunamuangalia sana na madudu anayoyafanya.
 
Ndg yangu jk hashauriki huyu ni miongon mwa akina siambiliki nayeye mwenyewe alishadhihirisha hli pale alipoanguka akasema nimeshauriwa nipumzike nikapuuzia. Je unadhan atakusikiliza? Japo ushauri wako niwakisomi, waswahili walisema sikio lakufa halisikii dawa, mwache mwisho wa uongoz wake nimwsho wa chama chake na nimwanzo waukomboz wakwel kupitia CDM

kumbe jamaa ni asili yake!
 
Ujumbe mzuri sana lkn nani wa kusikiliza? Hii serikali yetu imebaki ya sherehe na safari na hakuna kingine zaidi. Wkt mwingine huwa njiuliza swali mmoja ambalo kamwe sijapata jibu lake; kwamba hivi rais wetu ana washauri ambao ni wataalamu ktk nyanja mbalimbali? Hakika kama taifa tumepwaya sana.
 
mwigamba, wewe kweli ni mwamme wa shoka. Tungekuwa na wanaume kama wewe 10 tu tanzania ingefika mbali. Ubovu mashoga kibao hata sisi wanawake tuna ma.kende zaidi yao. Kazi kujikomba kwa huyo bab riz1. Mwigamba, mungu akupe uhai na maisha marefu, tanznaia inakuhitaji sana

jichod mambo!
Kwanza nikupongeze kwa kujitokeza na kuchangia kwenye jukwaa la siasa, kwani kwenye hili jukwaa ni adimu sana kuwakuta dada zetu wakichangia mada.
 
Back
Top Bottom