Ngambo Ngali
JF-Expert Member
- Apr 17, 2009
- 3,517
- 1,360
Sheria kandamizi ya uchochezi inanikumbusha hadithi moja adimu ya zamani sana kuhusu mfalme aliyetaka kushonewa nguo, fundi akamtapeli mpaka katoto kakasema mfalme mbona huna nguo!!!!!!!!
Mwanakijiji, tumwagie hiyo story Kama unaikumbuka.
Mwanakijiji, tumwagie hiyo story Kama unaikumbuka.