Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 71
kwa mwenye akili atajua kuwa kikwete kafanya mengi mazuri yanayoonekana lakini kwa mwenye chuki moyoni ataona mapungufu pekee.machache mazuri ni haya;
1.shule za sekondari kila kata.
2.ongezeko la vyuo vikuu nchini sambamba na ongezeko la graduates kila mwaka.
3.uhuru wa kutoa maoni mf.kutukana hapa JF kama sisi tunavotukana pamoja na mwigamba.
4.kuendeleza kujenga barabara za lami kuunganisha makao makuu ya mikoa hata wilaya kote nchini.
5.kutoa kipaumbele katika uongozi kwa vijana na wanawake katika maeneo nyeti serikalini.
AU MNATAKA AWALETEE CHAKULA MAJUMBANI KWENU NDIO MTARIDHIKA?hiyo haiwezekani,tufanye kazi tuache kulalamika.
1.shule za sekondari kila kata.
2.ongezeko la vyuo vikuu nchini sambamba na ongezeko la graduates kila mwaka.
3.uhuru wa kutoa maoni mf.kutukana hapa JF kama sisi tunavotukana pamoja na mwigamba.
4.kuendeleza kujenga barabara za lami kuunganisha makao makuu ya mikoa hata wilaya kote nchini.
5.kutoa kipaumbele katika uongozi kwa vijana na wanawake katika maeneo nyeti serikalini.
AU MNATAKA AWALETEE CHAKULA MAJUMBANI KWENU NDIO MTARIDHIKA?hiyo haiwezekani,tufanye kazi tuache kulalamika.