Waraka maalum kwenda kwa waziri wa mambo ya ndani kuelezea ukabila uliokithiri idara ya uhamiaji

Ni kweli ndugu zangu wachaga wamesoma, lakini mwandika waraka amelamikia vitu vingi zaidi ya usomi. Kwa nini tumebase kujadili elimu tu na siyo hoja nyingine kam upendeleo wa vituo vya kazi. Kwanini wajazwe kwenye vituo vyenye fursa, inamana wanaokaa vituo visivo na fursa ndiyo siyo wasomi.
Kwenye point ya kwamba mtu akionekana ni kikwazo kwao ni rahisi kuondolewa katika nafasi husika hii naweza kuilinganisha na tukio lilomtokea aliyekuwa chief Acc. Mbilo aliyeanzisha mfumo wa kulipia bank ili kudhibiti uwizi wa maksanyo na ambapo alifanikiwa kuwabana wezi, hatimaye alifanyiwa mizengwe na kuhamishiwa Mbinga kuwa mhasibu wa kawaida.

Hiyo ni mizengwe ya watu binafsi which has nothing to do with uchaga! Hivi unadhani watu wote wanaweza kulingana manake sielewi which scale do you use kumake your judgment? is it universally accepted?
 
TBL,CRDB,TRA,Uhamiaji,PSPF,Police (ngazi za maamuzi, RPCs,RCOs,RTOs,DPOs,DTOs,Wakuu wa vituo)wamejaa hawa wanaojiita wajasilia mali, sijui wanajasilia nini huko!!!
Na bado, mpaka mlie.
Hiyo ndio kazi ya CCM, wamejaribu, wameweza na wanasonga mbele.

Chini ya utawala wa CCM Wachaga ndio wateule wa nchi yetu na 'mfumo Kristo' ndio sera rasmi, yaani Wachaga ni kama 'wana wa Israel' na Tanzania ndio nchi yao ya ahadi!!
 
Hakuna pa kukimbilia Tanzania yetu hii, ukabila & udini mmhhhh utatumaliza!!
Hakuna kukimbilia popote, tumekuwa na amani na utulivu toka tunapata uhuru chini ya CCM inayohubiri na kupalilia Udini na Ukabila miaka yoyote.
 
Huyo waziri mnaemlalamikia na yeye ni mwanamtandao mzuri.Tanzania bila wachaga haiwezekani !
 
Mkuu usishangae kwani kiukweli asilimia kubwa ya wachaga ni wakristu na hao uliosema ni wawili tu siyo wachaga, hao ni wapare!
Kwani kwenye wajumbe wa mchakato wa katiba mpya walioteuliwa kutoka zenj kuna wakristu wangapi?
Hakuna aliyelalamika kwakuwa hali halisi inajulikana na tukiendelea kuangalia wateule au wafanyakazi wa idara yeyote kwa kuangalia ukabila na udini tutaishia pabaya!

We mgeni hapa JF?
 
Tunako elekea si kuzuri,haya yote ni matokeo ya kupuuza,misingi tuloachiwa na !BABA waitafa mungu ibariki tanzania
 
Hata hujui ulichokiandikia hapa, Idara ya Uhamiaji,usomi unatazamwa kwa lens la Kichagga,ukiwa umesoma hata Nje ya nchi na ukiwa kabila tofauti na mchagga bado hujasoma, wasomi wengi wanatoka makabila mengine wameshaikimbia Idara ya Uhamiaji, wengi wameenda NIDA, na maeneo mengine.
Kigezo cha kusoma kimekuwa kikitumika sana kutetea uozo wa ukabila katika nchi hii,hiki kilikuwa kigezo cha zamani sana, mpaka sasa wasomi ni wengi na kazi ni chache mtaani, logically inamaana watu wanaopata kazi sasa ni wasomi wachache kati ya wasomi wengi. Kwa kazi chache kama za Uhamiaji zikitangazwa watu wote wanaopeleka CV zao wanakuwa wasomi, no matter ni wachagga au makabila mengine kwa kuwa labour reserve ni kubwa sana, vijana wengi wanavyeti hawana kazi
Hili swala la kuamua wachagga wengi wapangiwe Makao makuu ya Uhamiaji, Namanga, Tunduma, JKNIA, KIA, Horiri na kwenye sehemu nyeti zinazohusika na kupandisha watu vyeo ni swala la ukabila tu, wala halina usomi wowote
Nimependa mchango wako kwa kuwa ulichokiandika ndiyo ukweli wenyewe!
 
Mbona NECTA udini kibao....bado hamchukui hatua? tuacheni wachaga tupumue....kwanza tulisoma zamani na tunapi.....ga kazi
 
usisahau na Wachagga waliorundikana MUHAS na KCMC pia mabenki CRDB, NMB pia Bank M maana pia ni upendeleo hawana sifa stahiki...
 
Hivi tatizo ni ukabila au upendeleo? Kwa sababu ukabila unaweza kuwa subset ya upendeleo. Unaweza kuwa umependelewa kwa misingi ya urafiki na isionekane kwenye jina la ukoo wako, lakini je, is it ok kupendeleana?

Kama tunavumilia kupendeleana kwa misingi mingine (ujirani, ushemeji, undugu, uschool mate,udini, umahaba, rushwa) basi hakuna sababu ya kulalamikia ukabila. Ukiataka kupiga vita ukabila ni lazima upinge upendeleo wa namna zote hizo, sio kupinga pale unapoona wewe umezidiwa tu!

Sasa swali kwenu, je ni wangapi kati yenu mmepata kazi na vyeo hapo mlipo bila aina fulani ya upendeleo?
 
haya mangi umeeleweka..tumeshawaacha wachagga wenzio waendelee kupendeleana
baadaye sana lazima mtaunganisha na udini hapa,watanzania ni walalamishi hadi wanakera,kama ishu iko hivyo huyu mwandishi nafac kapata wapi,yani akasinzie oficn afu ategemee kupandishwa cheo....never on earth,bahati nzuri hao anaowalalamikia baadhi nawajua vizuri......ni wafanyakazi wazuri mno so waachwe wafanye kazi
 
Ukabila ni mbaya sana

Siku mchaga akiwa raisi wa Tanzania,mpaka Majogoo watanyang'anywa Kazi zao za kuwika Alfajiri

jaribu kufanya utafiti, nenda chuo chochote kusanya watu kumi, trust me 6 wanatoka kilimanjato, unategemea nini
 
someni acheni uvivu mshike nafasi izo, uhamiaji walianzaga na udini sasa naona ukabila
ole wetu tz/africa maendeleo kwetu ndoto tu-sidhanan kama jamii moja tu ndo kila kitu kama h
akuna maksud flan-vipaj tunaua kisa ukabila-mizimu tusipoicha tusahau maendeleo
 
Haya ndio yale ya kuhoji DINI au KABILA aliyokuwa akiyapinga Mw Nyerere enzi za uhai wake.
Mwalimu has gone away with his precious legacy of unity.

wakati unalete hizo tuhuma na majina ungeweka pia wasifu waona uzoefu wao ili kujiridhisha kwamba huna chuki binafsi dhidi ya wachaga. maana hii dhambi inaweza ikahamia kwenye Udini, Ukanda, Ukoo, uschoolmate, U agemate, Usharika etc maana hiyo dhambi haiishagi ati..
 
jaribu kufanya utafiti, nenda chuo chochote kusanya watu kumi, trust me 6 wanatoka kilimanjato, unategemea nini

Kwa hiyo unamaanisha asilimia sitini ya wasomi Tanzania ni kabila moja tu. Makabila yaliyobaki yanachechezea asilimia 40. Hata wakikuyu kenya hawajafika huko.
 
Back
Top Bottom