Waraka kutoka Iringa: Sababu za Tundu Lissu kumshambulia Rais Magufuli hizi hapa...

Pole kwa kuporeza muda wako kuandika upuuzi.

Nimesoma paragraph nne za mwanzo.

Unatuambia sababu za kuvunjwa nkataba zipo wizarani wananchi wazifuatilie.

But mwanzoni umesema wewe ulifuatilia sana hii issue.

Sasa sitaku kukutukana ila kiufupi stori yako ni ya kutunga.

Na upo shallow sana uvccm wewe
Kumtukana mtu ni rahisi sana kwa sababu ndio upeo wa fikra zenu unapoishia.
FACT: Kesi nyingi za madai tunashindwa kwa sababu kweli wapo watz wenzetu wanakuwa double- agents kusaidia upande wa pili ili nchi ikishindwa, wao wanavuna mgao huku wakiiacha nchi ikipata hasara kubwa. Na ndio waliojazana humu JF pamoja na vilaza wasiojua kinachoendelea kujaza mashudu na harufu mbaya kutetea wezi hawa. JPM yuko Serikalini zaidi miaka 20 anaijua hii michezo.
 
....wewe umo kwenye kamati !?
Maana unayoya comment ni kama umesaini wewe hayo makubaliano.

..hukusikia Prof.Kabudi na Kigogo wa barrick wakitoa mrejesho wa kumaliza mazungumzo na walichokubaliana?

..maelezo hayo waliyatoa mbele ya Raisi Ikulu na matangazo yalikuwa live on TV.
 
..hukusikia Prof.Kabudi na Kigogo wa barrick wakitoa mrejesho wa kumaliza mazungumzo na walichokubaliana?

..maelezo hayo waliyatoa mbele ya Raisi Ikulu na matangazo yalikuwa live on TV.
Miloni 700 kama 'good will' (good faith)
Showing your serious committed with talks.
Hayo unao andika ni yako !
 
01 Aprili, 2018
Waraka Kutoka Iringa

Kwanza nawatakia heri ya Pasaka Ndugu zangu Watanzania wote.

Nimeamua kuandika waraka huu, baada ya kusoma andiko la Tundu Lissu kuhusu mgogoro kati ya Serikali ya Tanzania na Kampuni ya Stirling Civil Engineering Limited uliosababisha ndege iliyonunuliwa na Serikali kushikiliwa nchini Canada na juzi tarehe 30 Machi, 2018 tukapata taarifa ya Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Ikulu Ndg. Gerson Msigwa kwamba imeachiwa na ipo njiani inakuja Tanzania.

Kwanza naomba niweke wazi kuwa mimi ni miongoni mwa waandishi wa habari waliofuatilia kwa ukaribu sana mgogoro huu na kwa sababu nilikuwa naandikia magazeti ya Ulaya inawezekana wengi wanaweza kuwa hawajui kilichotokea.

Nitawaambia mchezo wote ulivyofanyika lakini mapema kabisa naomba niweke wazi kuwa Tundu Lissu anawapotosha Watanzania, na anachokifanya hakina hata chembe ya uzalendo na badala yake anakuwa hana tofauti na wasioitakia mema Tanzania.

Tundu Lissu anasema Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli alivunja mkataba kati ya Serikali na Stirling Civil Engineering Ltd wakati akiwa Waziri wa Ujenzi enzi hizo na hivyo kuwa ndio sababu ya nchi kujikuta inaingia katika mgogoro na gharama za kulipa fedha nyingi baada ya kampuni ya Stirling Civil Engineering Ltd kushinda katika mahakama za kimataifa, SIO KWELI HATA KIDOGO!

UKWELI ni kwamba Mkataba wa ujenzi wa barabara ya Bagamoyo hadi Wazohill (Dar es Salaam) yenye urefu wa kilometa 43 HAUKUVUNJWA kama anavyodai Tundu Lissu. Taarifa hizi zipo pale Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano.
Naomba na kuwaasa waandishi wa habari wa Tanzania nendeni mkazitafute muwaambie Watanzania ukweli.

Na pia Watanzania wajue kuwa Serikali ya Tanzania Kupitia Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Ujenzi) haikuingia mkataba na kampuni ya Stirling Civil Engineering Ltd, bali iliingia mkataba na kampuni ya Impresa Ing. Fortunato Federici S.p.A (IFF) ambayo baada ya kufilisika iliuzwa kwa kampuni ya Stirling Civil Engineering Ltd. Kipindi kampuni ya Impresa Ing. Fortunato Federici S.p.A (IFF) inauzwa ujenzi wa mradi huo wa barabara ulikuwa umeshakamilika na IFF ilikuwa imeshalipwa fedha zake.

Kampuni ya Stirling Civil Engineering Ltd ilikuja wakati wa mgogoro wa malipo kwenye mahakama za usuluhishi. NASISITIZA Kwa kifupi hata siku moja Stirling Civil Engineering Ltd haikuwahi kufanya kazi za ujenzi wa barabara ya Bagamoyo - Wazohill (Kilometa 43).

Tatu kilicholeta madai haya makubwa ambayo sina hakika kama kuja kwa ndege hii yamelipwa ama hayajalipwa au kama yamelipwa yamelipwa Shilingi ngapi, ni mchezo mchafu uliofanywa na kampuni ya IFF kutaka kuwaibia Watanzania kwa kupitia michezo ya kisheria.

Ndugu zangu nataka kuwaambia hawa jamaa walitengeneza mchezo wa kuiba hela za Watanzania, na walifanya hivyo kwa sababu ndani ya Serikali na kwa baadhi ya Watanzania wenzetu walikuwa wanashirikiana nao na walikuwa wakiwapa kila walichohitaji ilimradi washinde kesi na walipwe fedha nyingi ambazo hawastahili.

Narudia mchezo huu ulikuwa unafanywa na Watanzania wenzetu waliotaka kupata mgao wa fedha baada ya kampuni ya IFF kufanikiwa kushinda kesi.

Sasa kama unataka kujua mchezo ulichezwaje soma hapa chini ndipo uone kwa nini nasema Tundu Lissu anawapotosha Watanzania.

Mradi huu wa ujenzi wa barabara ya Bagamoyo - Wazohill (Kilometa 43) ulianza mwaka 1999, ulifadhiliwa na Umoja wa Ulaya (EU) na gharama zake zilikuwa ni Shilingi Bilioni 11.5 na baadaye malipo yaliongezwa hadi kufikia Bilioni 11.8.

Barabara hii ilijengwa na ikakamilika, wakati huo Waziri wa Ujenzi alikuwa Mama Anna Abdallah na Naibu Waziri alikuwa John Pombe Magufuli.

Kwa mujibu wa taratibu za ujenzi, baada ya ujenzi kukamilika wataalamu kutoka Wizara ya Ujenzi wakati huo walikwenda kukagua kazi na baada ya kukagua wakabaini kuwa katika kipande cha kilometa 12 kinachoanzia Bagamoyo hadi karibu ya Mapinga kimejengwa kwa kutumia kifusi kisichofaa ambacho kama kingeachwa barabara ingeharibika vibaya ndani ya muda mfupi.

Baada ya kubaini hivyo ndipo wataalamu wakamtaka Mkandarasi arudie kazi katika eneo lote ambalo limebainika kuwa ametumia kifusi kisichofaa.

Mkandarasi huyu kampuni ya IFF akaanza kukataa kurudia sehemu hiyo na kukawa na mvutano mkubwa kati yake na wataalamu wa kutoka Wizara ya Ujenzi (Tanzania), ikalazimu atafutwe Mtaalamu huru (Independent Consultant) atakayeamua kama ni kweli eneo hilo limejengwa kwa kifusi kisichofaa ama laa, na nakumbuka ikapatikana kampuni ya Kenya ikiitwa Gibbs kwa ajili ya kufanya tathimini hiyo.

Kampuni ya Gibbs baada ya kufanya kazi yake ikakubaliana na wataalamu wa Wizara ya Ujenzi (Tanzania) kuwa eneo hilo la kilometa 12 limejengwa chini ya kiwango na ni sahihi Mkandarasi anapaswa kurudia kazi hiyo. Baada ya hapo Mkandarasi kampuni ya IFF ilikubali na ikarudia kazi hiyo.

Cha ajabu baada ya kurudia kazi hiyo kampuni ya IFF ikaibuka na madai mengine 9, yote yakiwa na lengo moja tu la kutaka ilipwe upya.

Mara hii kampuni ya IFF ikawa inadai ilipwe fedha nyingine ambazo zinalingana na malipo yote ya mradi wote wa kilometa 43 licha ya kwamba ilikuwa imerudia kazi katika sehemu iliyojenga chini ya kiwango na ni kilometa 12 tu.

Hapo ndipo mgogoro mkubwa ukaanza, wataalamu wa Tanzania kutoka Wizara ya Ujenzi wakisema mkandarasi hapaswi kulipwa na mkandarasi akidai anapaswa kulipwa kwa kazi aliyoifanya kurudia katika eneo alilokosea.

Mgogoro huu ukapelekea Mkandarasi kuamua kufungua kesi kwenye Mahakama ya kimataifa ya usuluhishi wa migogoro (Arbitration) nchini Ufaransa.

Nakumbuka mwishoni mwa mwaka 2005 ilikuwa mwezi Oktoba, Mahakama ya usuluhishi ilitupilia mbali mapingamizi yote ya Serikali yaliyopelekwa na Wizara ya Ujenzi kwa wakati huo na ikaitambua kampuni ya Stirling kuwa ndiye mdai badala ya IFF na kwamba malipo yote yaelekezwe Stirling Civil Engineering Ltd. Hapa ndipo Kampuni ya Stirling ilipoingia.

Wakati kesi ikiwa kwenye Arbitration Serikali ikaamua kesi hiyo iondolewe Wizara ya Ujenzi na ikawa chini ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG).

Nakumbuka wakati huo Mwanasheria Mkuu wa Serikali alikuwa Andrew Chenge.

Andrew Chenge akaamua kuwa Serikali itafute Mwanasheria wa kujitegemea ili asimame badala ya Serikali, na akapewa hiyo kazi Nimrod Mkono kupitia kampuni yake ya Mkono & Co. Advocates.

Mwaka 2005 kulikuwa na Uchaguzi Mkuu na Rais wa nchi akachaguliwa Jakaya Kikwete na Andrew Chenge aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali akawa ameshinda ubunge huko Bariadi Magharibi na mwaka 2006 akateuliwa kuwa Waziri wa Miundombinu.

Lakini kabla Andrew Chenge hajateuliwa kuwa Waziri wa Miundombinu Rais Mstaafu Kikwete alikuwa amemteua Bazil Mramba kuwa Waziri katika Wizara hiyo na alidumu kwa muda mfupi sana.

Katika Kipindi hiki ambacho Rais Mstaafu Jakaya Kikwete ndio alikuwa ameingia madarakani, Mhe. Magufuli alikuwa ameondoka Wizara ya Ujenzi na akapelekwa Wizara ya Ardhi ma Maendeleo ya Makazi.

Mwaka 2006 baada ya Andrew Chenge kuwa Waziri Mpya wa Miundombinu, alipofika akakutana tena na kesi ya Stirling Civil Engineering ambayo alishughulika nayo akiwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali.

Nakumbuka nilichukua uamuzi mgumu wa kwenda kuwahoji viongozi wa Serikali katika mazingira yaliyokuwa na hatari kubwa kwangu, niliogopa kwa sababu nilikuwa najua mchezo wa kupiga hela ulivyokuwa umechorwa.

Nikiwa nadodosadodosa nikagundua kuwa Waziri Andrew Chenge ndiye aliyelazimisha kwamba kesi hiyo iondolewe kwenye mahakama ya usuluhishi na pande mbili zizungumze nje ya mahakama (Amicable settlement)

Andrew Chenge alifanya hivyo ilihali akijua kabisa kuwa kesi hiyo kwa wakati huo ilikuwa imeshaondolewa Wizara ya Miundombinu na kupelekwa Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali, na pia tayari ilikuwa imepangiwa Mwanasheria wa Kujitegemea wa kuitetea Serikali ambaye ni Mkono & Co. Advocates.

Nilipofuatilia zaidi niligundua kuwa katika kesi iliyokuwa ikiendelea huko Ufaransa kwenye mahakama ya usuluhishi Serikali ilikuwa inaelekea kushinda kwa sababu Mkandarasi Stirling Civil Engineering Ltd hakuwa na hoja.

Pamoja na yote haya Andrew Chenge aliamua kumfuata Mwanasheria Mkuu wa Serikali na kumtaka waifute kesi hiyo huko kwenye Arbitration ili yafanyika mazungumzo ya nje ya mahakama (Amicable settlement) ili kulimaliza jambo hilo (Nadhani hapo mnanipata jinsi dili lilivyokuwa linapangwa)

Kwa kufanya hivyo ikalazimu Mwanasheria aliyekuwa akiitetea Tanzania alipwe fedha zake kwa sababu kibarua kilikuwa kimekwisha kutokana na pande zinazopingana zinakwenda kwenye mazungumzo ya nje ya mahakama.

Kwa hiyo Nimrod Mkono na Kampuni yake ya Mkono & Co. Advocates wakajizolea kiasi kikubwa cha fedha kutoka Serikali ya Tanzania na mpaka leo sijajua walilipwa shilingi ngapi ili waachane na kesi waliyokuwa wakiisimamia baada ya pande hizo kuamua kuzungumza nje ya mahakama.

BALAA likaja wakati wa Mazungumzo kati ya kampuni ya Stirling na Serikali (Mwanasheria Mkuu wa Serikali), pande hizi hawakuelewana na matokeo yake kampuni ya Stirling ikaamua kwenda kuendelea na kesi kwenye Mahakama ya Kimataifa (Arbitration).

Mkandarasi kampuni ya Stirling alipoamua kwenda kwenye Arbitration Mwanasheria Mkuu wa Serikali wakati huo akiwa Johnson Mwanyika akamuomba tena Nimrod Mkono kupitia kampuni yake ya Mkono & Co. Advocates aiwakilishe Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Miundombinu (Ujenzi) lakini Mkono akakataa kwa maelezo kuwa muda umepita sana, hapo ndipo Mwanasheria Mkuu wa Serikali akabaki pekee yake akihangaika kupambana na Mkandarasi Stirling Civil Engineering Ltd.

Kutokana na kutupiana mpira huko uwakilishi wa Serikali ya Tanzania uliendelea kuwa dhaifu na matokeo yake kampuni Stirling Civil Engineering ikashinda na kudai ilipwe Shilingi takribani Bilioni zaidi ya 50. Hii ni baada ya kupiga mahesabu yake ya fedha ilizokuwa inadai pamoja na riba ya asilimia 8 kwa kila mwaka.

Baada ya hukumu hiyo kukaanza kutupiana mpira wa nani alipe fedha hizo kati ya Hazina ama Wizara ya Miundombinu. Hazina inataka Wizara ilipe na Wizara inataka Hazina ilipe.

Wakati huu aliyekuwa Waziri wa Miundombinu Andrew Chenge alikuwa ameondolewa na Waziri wa Miundombinu alikuwa ni Dk. Shukuru Kawambwa ambaye taarifa nilizozipata ni kuwa alitakiwa apeleke waraka katika Baraza la Mawaziri ili kutoa taarifa ya kushindwa katika kesi hiyo na kuomba idhini ya Baraza la Mawaziri ambalo Mwenyekiti wake ni Rais, lilidhie kulipwa kwa fedha hizo Shilingi Bilioni 50.

Ilisemekana Dk Kawambwa alikataa kubeba jukumu hilo na hivyo hakuandika waraka wala hakuwasilisha chochote katika Baraza la Mawaziri.

Pia kukawa na taarifa kuwa walikuwepo baadhi ya vigogo ndani ya Serikali ambao walikuwa wakishinikiza fedha hizo zilipwe na pia kulikuwa na taarifa kuwa kulikuwa na kundi la watu (Vigogo) ambao walikuwa wanajiandaa kunufaika baada ya fedha hizo kulipwa.

Kukabaki na ukimywa huo usiokuwa na maamuzi mpaka Mwaka 2010 ambapo John Pombe Magufuli alirudishwa kuwa Waziri wa Ujenzi. Akakutana na jambo hili nae akitakiwa asimamie mchakato wa kuhakikisha fedha hiyo inalipwa.

Magufuli kwa wakati huo akiwa Waziri wa Ujenzi alishauona mchezo mchafu wote uliofanyika wa kupiga hela na hakutaka kabisa kujihusisha na kashfa ya kupigwa kwa fedha nyingine nyingi.

Kwa hivyo jambo hili likawa limebaki hivyo na kwa kuwa mimi nilistaafu Uandishi wa Habari mwaka 2014 sikuweza kufuatilia yaliyoendelea baada ya hapo hadi nilipoanza kusoma kwenye mitandao ya kijamii na kusikia wanasiasa wanasema Magufuli amesababisha nchi itakiwe kulipa fedha nyingi kwa Stirling Civil Engineering Ltd.

Nilipuuzia niliposoma mahali mara ya kwanza, baadaye nikamsikia Tundu Lissu anaongea kwa kejeli tena kwa kumtukana Rais, nikasema kwa kuwa Serikali ina mkono mrefu na taarifa zipo ipo siku itazitoa na Watanzania wataujua ukweli.

Nimeona leo niandike kwa sababu naona Watanzania wanataka kuaminishwa uongo. Tundu Lissu anataka kumsingizia Rais Magufuli bila sababu ya msingi.

Mimi ningeelewa zaidi kama Tundu Lissu angefukunyua kujua Edward Lowassa alivyoshiriki kwenye jambo hili pamoja na wenzake akina Chenge, Nimrod Mkono na Mramba? Maana kuna taarifa kuwa kuna mchezo ulifanywa na watu hao ndio maana yalifanyika maamuzi ya hovyo ya kuisababishia Serikali hasara kubwa sana.

Mwisho nawaomba waandishi wa habari, fanyeni jukumu lenu msiache watu wanapotosha umma. Jukumu la waandishi wa habari liwe pia ni kuiepusha jamii na madhara yanayoweza kuepukika kwa wananchi kupata taarifa sahihi.

Msibaki kusubiri nani kasema nini chunguzeni mjue, huu mgogoro upo wazi kabisa, hata mkiwapata wafanyakazi wastaafu wa Wizara ya Ujenzi watawaambia. Hata baadhi ya waliopo ofisini sasa wanajua watawaambia, muulizeni Waziri wa Ujenzi au Katibu Mkuu wanajua jambo hili.

Msiache wanasiasa ndio wawe wanaendesha utoaji taarifa na habari kwa wananchi, mtakuwa mmeiacha jamii inalishwa habari na watu ambao wana maslahi tofauti kabisa.

Tundu Lissu ni mwanasiasa, shida yake kubwa ni kuhakikisha chama chake kinashika dola na njia mojawapo ni hii ya kuwafanya wananchi waichukie Serikali, wawachukie viongozi na mwisho wa siku waiondoe Serikali na kumweka yeye na chama chake. Sasa waandishi wa habari mkikaa kimya manaake mmekubali kuwa jukumu la habari sasa mmewakabidhi watu wengine.

Naamini kwa ninachokielewa kuhusu mgogoro wa Stirling Civil Engineering Ltd na Serikali wengi mtakuwa mmejua uhalisia ulivyo.

Jioni Njema.

Mwandishi wa Makala hii ni Mwandishi wa Habari Mstaafu.
Aliwahi kufanya kazi kwenye magazeti ya Serikali na baadaye akafanya kazi na Gazeti la Mfanyakazi na mwishowe ameandikia Magazeti ya matatu ya Ulaya. Kwa sasa anaishi Mbeya.
Ungeelezea mahali Lowasa aliposhiriki. Kuliko kumtaja kimafumbomafumbo

Na kwanini JPM hajakanusha ushiriki wake hadharani.
Badala yake anatumia Bunduki katika kumkabili Tundu Lisu.

Na je mbona Mafisadi hawajashtakiwa hata mmoja?
Ukijibu haya nitakuelewa Zaidi.

Nje ya Hapo, najua maisha ya Kustahafu ni Magumu sana. Pole
 
  • Thanks
Reactions: AWM
Miloni 700 kama 'good will' (good faith)
Showing your serious committed with talks.
Hayo unao andika ni yako !

..million 700 is just to " sex up " the numbers.

..ni USD 300 million kwa deni la USD 190 billion.

..ukitaka kutumia hiyo millioni 700 ya madafu, deni linabadilika na kuwa trillioni.
 
01 Aprili, 2018
Waraka Kutoka Iringa

Kwanza nawatakia heri ya Pasaka Ndugu zangu Watanzania wote.

Nimeamua kuandika waraka huu, baada ya kusoma andiko la Tundu Lissu kuhusu mgogoro kati ya Serikali ya Tanzania na Kampuni ya Stirling Civil Engineering Limited uliosababisha ndege iliyonunuliwa na Serikali kushikiliwa nchini Canada na juzi tarehe 30 Machi, 2018 tukapata taarifa ya Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Ikulu Ndg. Gerson Msigwa kwamba imeachiwa na ipo njiani inakuja Tanzania.

Kwanza naomba niweke wazi kuwa mimi ni miongoni mwa waandishi wa habari waliofuatilia kwa ukaribu sana mgogoro huu na kwa sababu nilikuwa naandikia magazeti ya Ulaya inawezekana wengi wanaweza kuwa hawajui kilichotokea.

Nitawaambia mchezo wote ulivyofanyika lakini mapema kabisa naomba niweke wazi kuwa Tundu Lissu anawapotosha Watanzania, na anachokifanya hakina hata chembe ya uzalendo na badala yake anakuwa hana tofauti na wasioitakia mema Tanzania.

Tundu Lissu anasema Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli alivunja mkataba kati ya Serikali na Stirling Civil Engineering Ltd wakati akiwa Waziri wa Ujenzi enzi hizo na hivyo kuwa ndio sababu ya nchi kujikuta inaingia katika mgogoro na gharama za kulipa fedha nyingi baada ya kampuni ya Stirling Civil Engineering Ltd kushinda katika mahakama za kimataifa, SIO KWELI HATA KIDOGO!

UKWELI ni kwamba Mkataba wa ujenzi wa barabara ya Bagamoyo hadi Wazohill (Dar es Salaam) yenye urefu wa kilometa 43 HAUKUVUNJWA kama anavyodai Tundu Lissu. Taarifa hizi zipo pale Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano.
Naomba na kuwaasa waandishi wa habari wa Tanzania nendeni mkazitafute muwaambie Watanzania ukweli.

Na pia Watanzania wajue kuwa Serikali ya Tanzania Kupitia Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Ujenzi) haikuingia mkataba na kampuni ya Stirling Civil Engineering Ltd, bali iliingia mkataba na kampuni ya Impresa Ing. Fortunato Federici S.p.A (IFF) ambayo baada ya kufilisika iliuzwa kwa kampuni ya Stirling Civil Engineering Ltd. Kipindi kampuni ya Impresa Ing. Fortunato Federici S.p.A (IFF) inauzwa ujenzi wa mradi huo wa barabara ulikuwa umeshakamilika na IFF ilikuwa imeshalipwa fedha zake.

Kampuni ya Stirling Civil Engineering Ltd ilikuja wakati wa mgogoro wa malipo kwenye mahakama za usuluhishi. NASISITIZA Kwa kifupi hata siku moja Stirling Civil Engineering Ltd haikuwahi kufanya kazi za ujenzi wa barabara ya Bagamoyo - Wazohill (Kilometa 43).

Tatu kilicholeta madai haya makubwa ambayo sina hakika kama kuja kwa ndege hii yamelipwa ama hayajalipwa au kama yamelipwa yamelipwa Shilingi ngapi, ni mchezo mchafu uliofanywa na kampuni ya IFF kutaka kuwaibia Watanzania kwa kupitia michezo ya kisheria.

Ndugu zangu nataka kuwaambia hawa jamaa walitengeneza mchezo wa kuiba hela za Watanzania, na walifanya hivyo kwa sababu ndani ya Serikali na kwa baadhi ya Watanzania wenzetu walikuwa wanashirikiana nao na walikuwa wakiwapa kila walichohitaji ilimradi washinde kesi na walipwe fedha nyingi ambazo hawastahili.

Narudia mchezo huu ulikuwa unafanywa na Watanzania wenzetu waliotaka kupata mgao wa fedha baada ya kampuni ya IFF kufanikiwa kushinda kesi.

Sasa kama unataka kujua mchezo ulichezwaje soma hapa chini ndipo uone kwa nini nasema Tundu Lissu anawapotosha Watanzania.

Mradi huu wa ujenzi wa barabara ya Bagamoyo - Wazohill (Kilometa 43) ulianza mwaka 1999, ulifadhiliwa na Umoja wa Ulaya (EU) na gharama zake zilikuwa ni Shilingi Bilioni 11.5 na baadaye malipo yaliongezwa hadi kufikia Bilioni 11.8.

Barabara hii ilijengwa na ikakamilika, wakati huo Waziri wa Ujenzi alikuwa Mama Anna Abdallah na Naibu Waziri alikuwa John Pombe Magufuli.

Kwa mujibu wa taratibu za ujenzi, baada ya ujenzi kukamilika wataalamu kutoka Wizara ya Ujenzi wakati huo walikwenda kukagua kazi na baada ya kukagua wakabaini kuwa katika kipande cha kilometa 12 kinachoanzia Bagamoyo hadi karibu ya Mapinga kimejengwa kwa kutumia kifusi kisichofaa ambacho kama kingeachwa barabara ingeharibika vibaya ndani ya muda mfupi.

Baada ya kubaini hivyo ndipo wataalamu wakamtaka Mkandarasi arudie kazi katika eneo lote ambalo limebainika kuwa ametumia kifusi kisichofaa.

Mkandarasi huyu kampuni ya IFF akaanza kukataa kurudia sehemu hiyo na kukawa na mvutano mkubwa kati yake na wataalamu wa kutoka Wizara ya Ujenzi (Tanzania), ikalazimu atafutwe Mtaalamu huru (Independent Consultant) atakayeamua kama ni kweli eneo hilo limejengwa kwa kifusi kisichofaa ama laa, na nakumbuka ikapatikana kampuni ya Kenya ikiitwa Gibbs kwa ajili ya kufanya tathimini hiyo.

Kampuni ya Gibbs baada ya kufanya kazi yake ikakubaliana na wataalamu wa Wizara ya Ujenzi (Tanzania) kuwa eneo hilo la kilometa 12 limejengwa chini ya kiwango na ni sahihi Mkandarasi anapaswa kurudia kazi hiyo. Baada ya hapo Mkandarasi kampuni ya IFF ilikubali na ikarudia kazi hiyo.

Cha ajabu baada ya kurudia kazi hiyo kampuni ya IFF ikaibuka na madai mengine 9, yote yakiwa na lengo moja tu la kutaka ilipwe upya.

Mara hii kampuni ya IFF ikawa inadai ilipwe fedha nyingine ambazo zinalingana na malipo yote ya mradi wote wa kilometa 43 licha ya kwamba ilikuwa imerudia kazi katika sehemu iliyojenga chini ya kiwango na ni kilometa 12 tu.

Hapo ndipo mgogoro mkubwa ukaanza, wataalamu wa Tanzania kutoka Wizara ya Ujenzi wakisema mkandarasi hapaswi kulipwa na mkandarasi akidai anapaswa kulipwa kwa kazi aliyoifanya kurudia katika eneo alilokosea.

Mgogoro huu ukapelekea Mkandarasi kuamua kufungua kesi kwenye Mahakama ya kimataifa ya usuluhishi wa migogoro (Arbitration) nchini Ufaransa.

Nakumbuka mwishoni mwa mwaka 2005 ilikuwa mwezi Oktoba, Mahakama ya usuluhishi ilitupilia mbali mapingamizi yote ya Serikali yaliyopelekwa na Wizara ya Ujenzi kwa wakati huo na ikaitambua kampuni ya Stirling kuwa ndiye mdai badala ya IFF na kwamba malipo yote yaelekezwe Stirling Civil Engineering Ltd. Hapa ndipo Kampuni ya Stirling ilipoingia.

Wakati kesi ikiwa kwenye Arbitration Serikali ikaamua kesi hiyo iondolewe Wizara ya Ujenzi na ikawa chini ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG).

Nakumbuka wakati huo Mwanasheria Mkuu wa Serikali alikuwa Andrew Chenge.

Andrew Chenge akaamua kuwa Serikali itafute Mwanasheria wa kujitegemea ili asimame badala ya Serikali, na akapewa hiyo kazi Nimrod Mkono kupitia kampuni yake ya Mkono & Co. Advocates.

Mwaka 2005 kulikuwa na Uchaguzi Mkuu na Rais wa nchi akachaguliwa Jakaya Kikwete na Andrew Chenge aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali akawa ameshinda ubunge huko Bariadi Magharibi na mwaka 2006 akateuliwa kuwa Waziri wa Miundombinu.

Lakini kabla Andrew Chenge hajateuliwa kuwa Waziri wa Miundombinu Rais Mstaafu Kikwete alikuwa amemteua Bazil Mramba kuwa Waziri katika Wizara hiyo na alidumu kwa muda mfupi sana.

Katika Kipindi hiki ambacho Rais Mstaafu Jakaya Kikwete ndio alikuwa ameingia madarakani, Mhe. Magufuli alikuwa ameondoka Wizara ya Ujenzi na akapelekwa Wizara ya Ardhi ma Maendeleo ya Makazi.

Mwaka 2006 baada ya Andrew Chenge kuwa Waziri Mpya wa Miundombinu, alipofika akakutana tena na kesi ya Stirling Civil Engineering ambayo alishughulika nayo akiwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali.

Nakumbuka nilichukua uamuzi mgumu wa kwenda kuwahoji viongozi wa Serikali katika mazingira yaliyokuwa na hatari kubwa kwangu, niliogopa kwa sababu nilikuwa najua mchezo wa kupiga hela ulivyokuwa umechorwa.

Nikiwa nadodosadodosa nikagundua kuwa Waziri Andrew Chenge ndiye aliyelazimisha kwamba kesi hiyo iondolewe kwenye mahakama ya usuluhishi na pande mbili zizungumze nje ya mahakama (Amicable settlement)

Andrew Chenge alifanya hivyo ilihali akijua kabisa kuwa kesi hiyo kwa wakati huo ilikuwa imeshaondolewa Wizara ya Miundombinu na kupelekwa Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali, na pia tayari ilikuwa imepangiwa Mwanasheria wa Kujitegemea wa kuitetea Serikali ambaye ni Mkono & Co. Advocates.

Nilipofuatilia zaidi niligundua kuwa katika kesi iliyokuwa ikiendelea huko Ufaransa kwenye mahakama ya usuluhishi Serikali ilikuwa inaelekea kushinda kwa sababu Mkandarasi Stirling Civil Engineering Ltd hakuwa na hoja.

Pamoja na yote haya Andrew Chenge aliamua kumfuata Mwanasheria Mkuu wa Serikali na kumtaka waifute kesi hiyo huko kwenye Arbitration ili yafanyika mazungumzo ya nje ya mahakama (Amicable settlement) ili kulimaliza jambo hilo (Nadhani hapo mnanipata jinsi dili lilivyokuwa linapangwa)

Kwa kufanya hivyo ikalazimu Mwanasheria aliyekuwa akiitetea Tanzania alipwe fedha zake kwa sababu kibarua kilikuwa kimekwisha kutokana na pande zinazopingana zinakwenda kwenye mazungumzo ya nje ya mahakama.

Kwa hiyo Nimrod Mkono na Kampuni yake ya Mkono & Co. Advocates wakajizolea kiasi kikubwa cha fedha kutoka Serikali ya Tanzania na mpaka leo sijajua walilipwa shilingi ngapi ili waachane na kesi waliyokuwa wakiisimamia baada ya pande hizo kuamua kuzungumza nje ya mahakama.

BALAA likaja wakati wa Mazungumzo kati ya kampuni ya Stirling na Serikali (Mwanasheria Mkuu wa Serikali), pande hizi hawakuelewana na matokeo yake kampuni ya Stirling ikaamua kwenda kuendelea na kesi kwenye Mahakama ya Kimataifa (Arbitration).

Mkandarasi kampuni ya Stirling alipoamua kwenda kwenye Arbitration Mwanasheria Mkuu wa Serikali wakati huo akiwa Johnson Mwanyika akamuomba tena Nimrod Mkono kupitia kampuni yake ya Mkono & Co. Advocates aiwakilishe Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Miundombinu (Ujenzi) lakini Mkono akakataa kwa maelezo kuwa muda umepita sana, hapo ndipo Mwanasheria Mkuu wa Serikali akabaki pekee yake akihangaika kupambana na Mkandarasi Stirling Civil Engineering Ltd.

Kutokana na kutupiana mpira huko uwakilishi wa Serikali ya Tanzania uliendelea kuwa dhaifu na matokeo yake kampuni Stirling Civil Engineering ikashinda na kudai ilipwe Shilingi takribani Bilioni zaidi ya 50. Hii ni baada ya kupiga mahesabu yake ya fedha ilizokuwa inadai pamoja na riba ya asilimia 8 kwa kila mwaka.

Baada ya hukumu hiyo kukaanza kutupiana mpira wa nani alipe fedha hizo kati ya Hazina ama Wizara ya Miundombinu. Hazina inataka Wizara ilipe na Wizara inataka Hazina ilipe.

Wakati huu aliyekuwa Waziri wa Miundombinu Andrew Chenge alikuwa ameondolewa na Waziri wa Miundombinu alikuwa ni Dk. Shukuru Kawambwa ambaye taarifa nilizozipata ni kuwa alitakiwa apeleke waraka katika Baraza la Mawaziri ili kutoa taarifa ya kushindwa katika kesi hiyo na kuomba idhini ya Baraza la Mawaziri ambalo Mwenyekiti wake ni Rais, lilidhie kulipwa kwa fedha hizo Shilingi Bilioni 50.

Ilisemekana Dk Kawambwa alikataa kubeba jukumu hilo na hivyo hakuandika waraka wala hakuwasilisha chochote katika Baraza la Mawaziri.

Pia kukawa na taarifa kuwa walikuwepo baadhi ya vigogo ndani ya Serikali ambao walikuwa wakishinikiza fedha hizo zilipwe na pia kulikuwa na taarifa kuwa kulikuwa na kundi la watu (Vigogo) ambao walikuwa wanajiandaa kunufaika baada ya fedha hizo kulipwa.

Kukabaki na ukimywa huo usiokuwa na maamuzi mpaka Mwaka 2010 ambapo John Pombe Magufuli alirudishwa kuwa Waziri wa Ujenzi. Akakutana na jambo hili nae akitakiwa asimamie mchakato wa kuhakikisha fedha hiyo inalipwa.

Magufuli kwa wakati huo akiwa Waziri wa Ujenzi alishauona mchezo mchafu wote uliofanyika wa kupiga hela na hakutaka kabisa kujihusisha na kashfa ya kupigwa kwa fedha nyingine nyingi.

Kwa hivyo jambo hili likawa limebaki hivyo na kwa kuwa mimi nilistaafu Uandishi wa Habari mwaka 2014 sikuweza kufuatilia yaliyoendelea baada ya hapo hadi nilipoanza kusoma kwenye mitandao ya kijamii na kusikia wanasiasa wanasema Magufuli amesababisha nchi itakiwe kulipa fedha nyingi kwa Stirling Civil Engineering Ltd.

Nilipuuzia niliposoma mahali mara ya kwanza, baadaye nikamsikia Tundu Lissu anaongea kwa kejeli tena kwa kumtukana Rais, nikasema kwa kuwa Serikali ina mkono mrefu na taarifa zipo ipo siku itazitoa na Watanzania wataujua ukweli.

Nimeona leo niandike kwa sababu naona Watanzania wanataka kuaminishwa uongo. Tundu Lissu anataka kumsingizia Rais Magufuli bila sababu ya msingi.

Mimi ningeelewa zaidi kama Tundu Lissu angefukunyua kujua Edward Lowassa alivyoshiriki kwenye jambo hili pamoja na wenzake akina Chenge, Nimrod Mkono na Mramba? Maana kuna taarifa kuwa kuna mchezo ulifanywa na watu hao ndio maana yalifanyika maamuzi ya hovyo ya kuisababishia Serikali hasara kubwa sana.

Mwisho nawaomba waandishi wa habari, fanyeni jukumu lenu msiache watu wanapotosha umma. Jukumu la waandishi wa habari liwe pia ni kuiepusha jamii na madhara yanayoweza kuepukika kwa wananchi kupata taarifa sahihi.

Msibaki kusubiri nani kasema nini chunguzeni mjue, huu mgogoro upo wazi kabisa, hata mkiwapata wafanyakazi wastaafu wa Wizara ya Ujenzi watawaambia. Hata baadhi ya waliopo ofisini sasa wanajua watawaambia, muulizeni Waziri wa Ujenzi au Katibu Mkuu wanajua jambo hili.

Msiache wanasiasa ndio wawe wanaendesha utoaji taarifa na habari kwa wananchi, mtakuwa mmeiacha jamii inalishwa habari na watu ambao wana maslahi tofauti kabisa.

Tundu Lissu ni mwanasiasa, shida yake kubwa ni kuhakikisha chama chake kinashika dola na njia mojawapo ni hii ya kuwafanya wananchi waichukie Serikali, wawachukie viongozi na mwisho wa siku waiondoe Serikali na kumweka yeye na chama chake. Sasa waandishi wa habari mkikaa kimya manaake mmekubali kuwa jukumu la habari sasa mmewakabidhi watu wengine.

Naamini kwa ninachokielewa kuhusu mgogoro wa Stirling Civil Engineering Ltd na Serikali wengi mtakuwa mmejua uhalisia ulivyo.

Jioni Njema.

Mwandishi wa Makala hii ni Mwandishi wa Habari Mstaafu.
Aliwahi kufanya kazi kwenye magazeti ya Serikali na baadaye akafanya kazi na Gazeti la Mfanyakazi na mwishowe ameandikia Magazeti ya matatu ya Ulaya. Kwa sasa anaishi Mbeya.
Leo ni siku ya wajinga pia wewe ni mmoja wapo
 
01 Aprili, 2018
Waraka Kutoka Iringa

Kwanza nawatakia heri ya Pasaka Ndugu zangu Watanzania wote.

Nimeamua kuandika waraka huu, baada ya kusoma andiko la Tundu Lissu kuhusu mgogoro kati ya Serikali ya Tanzania na Kampuni ya Stirling Civil Engineering Limited uliosababisha ndege iliyonunuliwa na Serikali kushikiliwa nchini Canada na juzi tarehe 30 Machi, 2018 tukapata taarifa ya Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Ikulu Ndg. Gerson Msigwa kwamba imeachiwa na ipo njiani inakuja Tanzania.

Kwanza naomba niweke wazi kuwa mimi ni miongoni mwa waandishi wa habari waliofuatilia kwa ukaribu sana mgogoro huu na kwa sababu nilikuwa naandikia magazeti ya Ulaya inawezekana wengi wanaweza kuwa hawajui kilichotokea.

Nitawaambia mchezo wote ulivyofanyika lakini mapema kabisa naomba niweke wazi kuwa Tundu Lissu anawapotosha Watanzania, na anachokifanya hakina hata chembe ya uzalendo na badala yake anakuwa hana tofauti na wasioitakia mema Tanzania.

Tundu Lissu anasema Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli alivunja mkataba kati ya Serikali na Stirling Civil Engineering Ltd wakati akiwa Waziri wa Ujenzi enzi hizo na hivyo kuwa ndio sababu ya nchi kujikuta inaingia katika mgogoro na gharama za kulipa fedha nyingi baada ya kampuni ya Stirling Civil Engineering Ltd kushinda katika mahakama za kimataifa, SIO KWELI HATA KIDOGO!

UKWELI ni kwamba Mkataba wa ujenzi wa barabara ya Bagamoyo hadi Wazohill (Dar es Salaam) yenye urefu wa kilometa 43 HAUKUVUNJWA kama anavyodai Tundu Lissu. Taarifa hizi zipo pale Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano.
Naomba na kuwaasa waandishi wa habari wa Tanzania nendeni mkazitafute muwaambie Watanzania ukweli.

Na pia Watanzania wajue kuwa Serikali ya Tanzania Kupitia Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Ujenzi) haikuingia mkataba na kampuni ya Stirling Civil Engineering Ltd, bali iliingia mkataba na kampuni ya Impresa Ing. Fortunato Federici S.p.A (IFF) ambayo baada ya kufilisika iliuzwa kwa kampuni ya Stirling Civil Engineering Ltd. Kipindi kampuni ya Impresa Ing. Fortunato Federici S.p.A (IFF) inauzwa ujenzi wa mradi huo wa barabara ulikuwa umeshakamilika na IFF ilikuwa imeshalipwa fedha zake.

Kampuni ya Stirling Civil Engineering Ltd ilikuja wakati wa mgogoro wa malipo kwenye mahakama za usuluhishi. NASISITIZA Kwa kifupi hata siku moja Stirling Civil Engineering Ltd haikuwahi kufanya kazi za ujenzi wa barabara ya Bagamoyo - Wazohill (Kilometa 43).

Tatu kilicholeta madai haya makubwa ambayo sina hakika kama kuja kwa ndege hii yamelipwa ama hayajalipwa au kama yamelipwa yamelipwa Shilingi ngapi, ni mchezo mchafu uliofanywa na kampuni ya IFF kutaka kuwaibia Watanzania kwa kupitia michezo ya kisheria.

Ndugu zangu nataka kuwaambia hawa jamaa walitengeneza mchezo wa kuiba hela za Watanzania, na walifanya hivyo kwa sababu ndani ya Serikali na kwa baadhi ya Watanzania wenzetu walikuwa wanashirikiana nao na walikuwa wakiwapa kila walichohitaji ilimradi washinde kesi na walipwe fedha nyingi ambazo hawastahili.

Narudia mchezo huu ulikuwa unafanywa na Watanzania wenzetu waliotaka kupata mgao wa fedha baada ya kampuni ya IFF kufanikiwa kushinda kesi.

Sasa kama unataka kujua mchezo ulichezwaje soma hapa chini ndipo uone kwa nini nasema Tundu Lissu anawapotosha Watanzania.

Mradi huu wa ujenzi wa barabara ya Bagamoyo - Wazohill (Kilometa 43) ulianza mwaka 1999, ulifadhiliwa na Umoja wa Ulaya (EU) na gharama zake zilikuwa ni Shilingi Bilioni 11.5 na baadaye malipo yaliongezwa hadi kufikia Bilioni 11.8.

Barabara hii ilijengwa na ikakamilika, wakati huo Waziri wa Ujenzi alikuwa Mama Anna Abdallah na Naibu Waziri alikuwa John Pombe Magufuli.

Kwa mujibu wa taratibu za ujenzi, baada ya ujenzi kukamilika wataalamu kutoka Wizara ya Ujenzi wakati huo walikwenda kukagua kazi na baada ya kukagua wakabaini kuwa katika kipande cha kilometa 12 kinachoanzia Bagamoyo hadi karibu ya Mapinga kimejengwa kwa kutumia kifusi kisichofaa ambacho kama kingeachwa barabara ingeharibika vibaya ndani ya muda mfupi.

Baada ya kubaini hivyo ndipo wataalamu wakamtaka Mkandarasi arudie kazi katika eneo lote ambalo limebainika kuwa ametumia kifusi kisichofaa.

Mkandarasi huyu kampuni ya IFF akaanza kukataa kurudia sehemu hiyo na kukawa na mvutano mkubwa kati yake na wataalamu wa kutoka Wizara ya Ujenzi (Tanzania), ikalazimu atafutwe Mtaalamu huru (Independent Consultant) atakayeamua kama ni kweli eneo hilo limejengwa kwa kifusi kisichofaa ama laa, na nakumbuka ikapatikana kampuni ya Kenya ikiitwa Gibbs kwa ajili ya kufanya tathimini hiyo.

Kampuni ya Gibbs baada ya kufanya kazi yake ikakubaliana na wataalamu wa Wizara ya Ujenzi (Tanzania) kuwa eneo hilo la kilometa 12 limejengwa chini ya kiwango na ni sahihi Mkandarasi anapaswa kurudia kazi hiyo. Baada ya hapo Mkandarasi kampuni ya IFF ilikubali na ikarudia kazi hiyo.

Cha ajabu baada ya kurudia kazi hiyo kampuni ya IFF ikaibuka na madai mengine 9, yote yakiwa na lengo moja tu la kutaka ilipwe upya.

Mara hii kampuni ya IFF ikawa inadai ilipwe fedha nyingine ambazo zinalingana na malipo yote ya mradi wote wa kilometa 43 licha ya kwamba ilikuwa imerudia kazi katika sehemu iliyojenga chini ya kiwango na ni kilometa 12 tu.

Hapo ndipo mgogoro mkubwa ukaanza, wataalamu wa Tanzania kutoka Wizara ya Ujenzi wakisema mkandarasi hapaswi kulipwa na mkandarasi akidai anapaswa kulipwa kwa kazi aliyoifanya kurudia katika eneo alilokosea.

Mgogoro huu ukapelekea Mkandarasi kuamua kufungua kesi kwenye Mahakama ya kimataifa ya usuluhishi wa migogoro (Arbitration) nchini Ufaransa.

Nakumbuka mwishoni mwa mwaka 2005 ilikuwa mwezi Oktoba, Mahakama ya usuluhishi ilitupilia mbali mapingamizi yote ya Serikali yaliyopelekwa na Wizara ya Ujenzi kwa wakati huo na ikaitambua kampuni ya Stirling kuwa ndiye mdai badala ya IFF na kwamba malipo yote yaelekezwe Stirling Civil Engineering Ltd. Hapa ndipo Kampuni ya Stirling ilipoingia.

Wakati kesi ikiwa kwenye Arbitration Serikali ikaamua kesi hiyo iondolewe Wizara ya Ujenzi na ikawa chini ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG).

Nakumbuka wakati huo Mwanasheria Mkuu wa Serikali alikuwa Andrew Chenge.

Andrew Chenge akaamua kuwa Serikali itafute Mwanasheria wa kujitegemea ili asimame badala ya Serikali, na akapewa hiyo kazi Nimrod Mkono kupitia kampuni yake ya Mkono & Co. Advocates.

Mwaka 2005 kulikuwa na Uchaguzi Mkuu na Rais wa nchi akachaguliwa Jakaya Kikwete na Andrew Chenge aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali akawa ameshinda ubunge huko Bariadi Magharibi na mwaka 2006 akateuliwa kuwa Waziri wa Miundombinu.

Lakini kabla Andrew Chenge hajateuliwa kuwa Waziri wa Miundombinu Rais Mstaafu Kikwete alikuwa amemteua Bazil Mramba kuwa Waziri katika Wizara hiyo na alidumu kwa muda mfupi sana.

Katika Kipindi hiki ambacho Rais Mstaafu Jakaya Kikwete ndio alikuwa ameingia madarakani, Mhe. Magufuli alikuwa ameondoka Wizara ya Ujenzi na akapelekwa Wizara ya Ardhi ma Maendeleo ya Makazi.

Mwaka 2006 baada ya Andrew Chenge kuwa Waziri Mpya wa Miundombinu, alipofika akakutana tena na kesi ya Stirling Civil Engineering ambayo alishughulika nayo akiwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali.

Nakumbuka nilichukua uamuzi mgumu wa kwenda kuwahoji viongozi wa Serikali katika mazingira yaliyokuwa na hatari kubwa kwangu, niliogopa kwa sababu nilikuwa najua mchezo wa kupiga hela ulivyokuwa umechorwa.

Nikiwa nadodosadodosa nikagundua kuwa Waziri Andrew Chenge ndiye aliyelazimisha kwamba kesi hiyo iondolewe kwenye mahakama ya usuluhishi na pande mbili zizungumze nje ya mahakama (Amicable settlement)

Andrew Chenge alifanya hivyo ilihali akijua kabisa kuwa kesi hiyo kwa wakati huo ilikuwa imeshaondolewa Wizara ya Miundombinu na kupelekwa Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali, na pia tayari ilikuwa imepangiwa Mwanasheria wa Kujitegemea wa kuitetea Serikali ambaye ni Mkono & Co. Advocates.

Nilipofuatilia zaidi niligundua kuwa katika kesi iliyokuwa ikiendelea huko Ufaransa kwenye mahakama ya usuluhishi Serikali ilikuwa inaelekea kushinda kwa sababu Mkandarasi Stirling Civil Engineering Ltd hakuwa na hoja.

Pamoja na yote haya Andrew Chenge aliamua kumfuata Mwanasheria Mkuu wa Serikali na kumtaka waifute kesi hiyo huko kwenye Arbitration ili yafanyika mazungumzo ya nje ya mahakama (Amicable settlement) ili kulimaliza jambo hilo (Nadhani hapo mnanipata jinsi dili lilivyokuwa linapangwa)

Kwa kufanya hivyo ikalazimu Mwanasheria aliyekuwa akiitetea Tanzania alipwe fedha zake kwa sababu kibarua kilikuwa kimekwisha kutokana na pande zinazopingana zinakwenda kwenye mazungumzo ya nje ya mahakama.

Kwa hiyo Nimrod Mkono na Kampuni yake ya Mkono & Co. Advocates wakajizolea kiasi kikubwa cha fedha kutoka Serikali ya Tanzania na mpaka leo sijajua walilipwa shilingi ngapi ili waachane na kesi waliyokuwa wakiisimamia baada ya pande hizo kuamua kuzungumza nje ya mahakama.

BALAA likaja wakati wa Mazungumzo kati ya kampuni ya Stirling na Serikali (Mwanasheria Mkuu wa Serikali), pande hizi hawakuelewana na matokeo yake kampuni ya Stirling ikaamua kwenda kuendelea na kesi kwenye Mahakama ya Kimataifa (Arbitration).

Mkandarasi kampuni ya Stirling alipoamua kwenda kwenye Arbitration Mwanasheria Mkuu wa Serikali wakati huo akiwa Johnson Mwanyika akamuomba tena Nimrod Mkono kupitia kampuni yake ya Mkono & Co. Advocates aiwakilishe Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Miundombinu (Ujenzi) lakini Mkono akakataa kwa maelezo kuwa muda umepita sana, hapo ndipo Mwanasheria Mkuu wa Serikali akabaki pekee yake akihangaika kupambana na Mkandarasi Stirling Civil Engineering Ltd.

Kutokana na kutupiana mpira huko uwakilishi wa Serikali ya Tanzania uliendelea kuwa dhaifu na matokeo yake kampuni Stirling Civil Engineering ikashinda na kudai ilipwe Shilingi takribani Bilioni zaidi ya 50. Hii ni baada ya kupiga mahesabu yake ya fedha ilizokuwa inadai pamoja na riba ya asilimia 8 kwa kila mwaka.

Baada ya hukumu hiyo kukaanza kutupiana mpira wa nani alipe fedha hizo kati ya Hazina ama Wizara ya Miundombinu. Hazina inataka Wizara ilipe na Wizara inataka Hazina ilipe.

Wakati huu aliyekuwa Waziri wa Miundombinu Andrew Chenge alikuwa ameondolewa na Waziri wa Miundombinu alikuwa ni Dk. Shukuru Kawambwa ambaye taarifa nilizozipata ni kuwa alitakiwa apeleke waraka katika Baraza la Mawaziri ili kutoa taarifa ya kushindwa katika kesi hiyo na kuomba idhini ya Baraza la Mawaziri ambalo Mwenyekiti wake ni Rais, lilidhie kulipwa kwa fedha hizo Shilingi Bilioni 50.

Ilisemekana Dk Kawambwa alikataa kubeba jukumu hilo na hivyo hakuandika waraka wala hakuwasilisha chochote katika Baraza la Mawaziri.

Pia kukawa na taarifa kuwa walikuwepo baadhi ya vigogo ndani ya Serikali ambao walikuwa wakishinikiza fedha hizo zilipwe na pia kulikuwa na taarifa kuwa kulikuwa na kundi la watu (Vigogo) ambao walikuwa wanajiandaa kunufaika baada ya fedha hizo kulipwa.

Kukabaki na ukimywa huo usiokuwa na maamuzi mpaka Mwaka 2010 ambapo John Pombe Magufuli alirudishwa kuwa Waziri wa Ujenzi. Akakutana na jambo hili nae akitakiwa asimamie mchakato wa kuhakikisha fedha hiyo inalipwa.

Magufuli kwa wakati huo akiwa Waziri wa Ujenzi alishauona mchezo mchafu wote uliofanyika wa kupiga hela na hakutaka kabisa kujihusisha na kashfa ya kupigwa kwa fedha nyingine nyingi.

Kwa hivyo jambo hili likawa limebaki hivyo na kwa kuwa mimi nilistaafu Uandishi wa Habari mwaka 2014 sikuweza kufuatilia yaliyoendelea baada ya hapo hadi nilipoanza kusoma kwenye mitandao ya kijamii na kusikia wanasiasa wanasema Magufuli amesababisha nchi itakiwe kulipa fedha nyingi kwa Stirling Civil Engineering Ltd.

Nilipuuzia niliposoma mahali mara ya kwanza, baadaye nikamsikia Tundu Lissu anaongea kwa kejeli tena kwa kumtukana Rais, nikasema kwa kuwa Serikali ina mkono mrefu na taarifa zipo ipo siku itazitoa na Watanzania wataujua ukweli.

Nimeona leo niandike kwa sababu naona Watanzania wanataka kuaminishwa uongo. Tundu Lissu anataka kumsingizia Rais Magufuli bila sababu ya msingi.

Mimi ningeelewa zaidi kama Tundu Lissu angefukunyua kujua Edward Lowassa alivyoshiriki kwenye jambo hili pamoja na wenzake akina Chenge, Nimrod Mkono na Mramba? Maana kuna taarifa kuwa kuna mchezo ulifanywa na watu hao ndio maana yalifanyika maamuzi ya hovyo ya kuisababishia Serikali hasara kubwa sana.

Mwisho nawaomba waandishi wa habari, fanyeni jukumu lenu msiache watu wanapotosha umma. Jukumu la waandishi wa habari liwe pia ni kuiepusha jamii na madhara yanayoweza kuepukika kwa wananchi kupata taarifa sahihi.

Msibaki kusubiri nani kasema nini chunguzeni mjue, huu mgogoro upo wazi kabisa, hata mkiwapata wafanyakazi wastaafu wa Wizara ya Ujenzi watawaambia. Hata baadhi ya waliopo ofisini sasa wanajua watawaambia, muulizeni Waziri wa Ujenzi au Katibu Mkuu wanajua jambo hili.

Msiache wanasiasa ndio wawe wanaendesha utoaji taarifa na habari kwa wananchi, mtakuwa mmeiacha jamii inalishwa habari na watu ambao wana maslahi tofauti kabisa.

Tundu Lissu ni mwanasiasa, shida yake kubwa ni kuhakikisha chama chake kinashika dola na njia mojawapo ni hii ya kuwafanya wananchi waichukie Serikali, wawachukie viongozi na mwisho wa siku waiondoe Serikali na kumweka yeye na chama chake. Sasa waandishi wa habari mkikaa kimya manaake mmekubali kuwa jukumu la habari sasa mmewakabidhi watu wengine.

Naamini kwa ninachokielewa kuhusu mgogoro wa Stirling Civil Engineering Ltd na Serikali wengi mtakuwa mmejua uhalisia ulivyo.

Jioni Njema.

Mwandishi wa Makala hii ni Mwandishi wa Habari Mstaafu.
Aliwahi kufanya kazi kwenye magazeti ya Serikali na baadaye akafanya kazi na Gazeti la Mfanyakazi na mwishowe ameandikia Magazeti ya matatu ya Ulaya. Kwa sasa anaishi Mbeya.

Yaani ni full contradictions!

Mara hawajavunja,mara baadae walivunja sababu ya....

Bullshit!

Mijitu yenye akili fupi ni rahisi sana kuyashika!
 
Wewe in mpumbavu,sio mjinga tuu,soma tens maelezo Mara ya oil th en utoe coment
 
..million 700 is just to " sex up " the numbers.

..ni USD 300 million kwa deni la USD 190 billion.

..ukitaka kutumia hiyo millioni 700 ya madafu, deni linabadilika na kuwa trillioni.
Kama USD 300 mil ndio mbadala wa 190 bil, mazungumzo ni ya nini !?
 
..waTanzania tuna tatizo na kutokusoma kwa umakini.

..Ni rahisi sana kuchotwa akili zetu.

..mleta mada amethibitisha madai ya TL.

..mwandishi amesema ujenzi ulianza mwaka 1999. Vilevile amesema serekali ilishindwa kesi mwaka 2005.

..Magufuli alikuwa waziri wa Ujenzi kati ya Nov 2000 na Dec 2005.

..Sasa sioni ni namna gani atakwepa kuwajibika kwa kushindwa kumsimamia mkandarasi, kuvunja mkataba bila kufuata taratibu na kuisababishia serekali hasara.

..Magufuli anahusika. Alianza kusema TL, na mwandishi mstaafu amethibitisha.
Hawa wezi walio withdraw kesi mara kuzirejesha kwa maslahi yao, wewe umewaweka fungu gani?
Anyway, hivi waziri anapovunja ama kukataa figisu za kilaji kwa maslahi ya nchi, bado tu anakuwa anamakosa?
Maana kilakitu mwandishi kakiweka wazi.
 
Hawa wezi walio withdraw kesi mara kuzirejesha kwa maslahi yao, wewe umewaweka fungu gani?
Anyway, hivi waziri anapovunja ama kukataa figisu za kilaji kwa maslahi ya nchi, bado tu anakuwa anamakosa?
Maana kilakitu mwandishi kakiweka wazi.

..nia njema na maslahi ya nchi huwa ni kichaka tu watu wanataka kukitumia kuhalalisha mambo yao.

..suala hilo lilikwenda MAHAKAMANI na kila upande ulikuwa na uwakilishi na ulijua nini kinaendelea.

..Mahakama iliamua kuwa mkataba ulivunjwa kimakosa.

..Rufani ilikatwa na serekali, na bado ikaonekana mkataba ulivunjwa bila kufuata sheria.

..Katika mazingira hayo huwezi kujificha kwenye kichaka cha "maslahi ya taifa." Aliyevunja mkataba ameitia nchi hasara.
 
Kuna wakati fulani wakati nikiwa nasafiri safiri na Vasco Da Gama masikio yangu yakiwahi kunasa mazungumzo ya deal hili lakini msimuliaji alikuwa kalewa sana niliambulia kusikia Nimrod Mkono keshavuta mkwanja wake Chenge keshamegewa na sasa mpira unaendelea Chenge akiwa anatafuta mtu wa kumvalisha koti lenye chawa

Leo walau nimepata picha japo kwa uhafifu . Hata kama Tundu Lissu anamsema vibaya Magufuli ni kweli lazima Magufuli asemwe vibaya kama hao kina Chenge, Shukuru na kadhalika wenzao kwanini asilifichue hilo alilolikuta?

Kisheria mkandarasi hawezi kukurupuka na kukimbilia kufungua kesi ya kipuzi kama ulivyojaribu kudonoa juu kwa juu nachotaka kuamini kesi ya msingi ikikuwepo ila upotoshaji wa kuisimamia kesi hii ndio uliosimuliwa wewe hujapatiwa kiini chake .

Je sheria zetu zilikuwa zinasemaje kwa mkandarasi aliyekiuka masharti ya viwango vya ujenzi?

Kama sheria ilikuwa imesimama kidete angefunguaje kesi huko kwa kimataifa . Upigaji wa hili dili ulianzia kwenye uendeshaji wa kesi yenyewe kuwa lazima watu washibe kwanza kisha mwishoni serikali ilipe.

Umemuonea Tundu Lissu bure kabisa hajakosea kumuweka magufuli kwenye hilo sufuria la wapishi kwa sababu na yeye alipika tangu akiwa naibu waziri hadi alipokuja kukutana nalo mezani likiwa limeshawiva. Umempachika hadi Lowasa jamani yaani Lowasa anaingizwa kwa lazima kabisa hapo

Tuondoleeni hii mikosi na nuksi za kufunika kombe mwanaharamu apite. Mwanaharamu wenu kasimama sasa yuko mjengoni na deni limefikia mikononi je alikwepa nini na sasa yuko nalo wapi . U wapi usafi wake kwenye hili. Unajaribu kumuosha Magufuli hawezi kutakata humu kwenye sakata la issue hii kajaa tele kwenye . USIMTOE MAGU AMENASA hapa
 
..nia njema na maslahi ya nchi huwa ni kichaka tu watu wanataka kukitumia kuhalalisha mambo yao.

..suala hilo lilikwenda MAHAKAMANI na kila upande ulikuwa na uwakilishi na ulijua nini kinaendelea.

..Mahakama iliamua kuwa mkataba ulivunjwa kimakosa.

..Rufani ilikatwa na serekali, na bado ikaonekana mkataba ulivunjwa bila kufuata sheria.

..Katika mazingira hayo huwezi kujificha kwenye kichaka cha "maslahi ya taifa." Aliyevunja mkataba ameitia nchi hasara.
....daah ! We jamaa kama una maslahi nayo hii issue. Maana unaambiwa mpaka Mkono alivuta zakutosha, alipoambiwa arudi tena akachomoa. Watu wakaiacha kesi hewani !
Unajitia kuelezeea !
 
Back
Top Bottom