Waraka: Kanisa Katoliki laandaa waumini uchaguzi 2010

Status
Not open for further replies.
Huwa sivutiwi sana na siasa za bongo,
wengi wa wanasiasa wetu ni blabla nyingi na wanapenda saaana kuvaa ngozi za kondo. Mbaya zaidi ni waoga saana kuukabili ukweli.

Hivi hatujiulizi michakato inayotumika kupata viongozi huko mbelembele?!

Namuheshimu sana Mkubwa, Mh..ila naimani kuu na Kanisa katoliki. Kwanza tu, mpaka kufikia hatua ya kuitwa Padri, ni enough kipimo of maturity, hasa kwa swala zima la busara. Hii ikiwemo uchambuzi wa mambo.

Hivi, sisi waafrika tutaishi kwa kuukimbia ukweli mpaka lini?????????

Kunadhambi yeyote tunapopewa mwanga wa kuchambua mchele ni upi na chuya ni zipi????

Nini hasa umuhimu ya vyombo vya dini? Kwanini basi huwa tunaomba dini ihubiri amani na utulivu kipindi cha chaguzi???

Nimesikitika saana wale wanaotaka kuliachia jukumu serikali kupitia tume na vyombo vingine vya serikali, hii ndiyo sababu miji inatushinda kuwa misafi, tukisubiri serikali iingilie kati.

Kila la kheri,
 
1% of brain usage - hatari

Mkuu hayo maneno a barubaru...unaweza ukashundwa kuamini kama aliyeyasema kichwani kuna ubongo uliokamilika au la!

Lakini hata nahivyo ndio mtazamo wake ulivyo...so tumsamehe bure tu!
 
Waraka huu umepatikana tarehe 29 June 2009,ulikuwa ukisemwa kuwa upo zamani na sasa umetiwa mkononi. Hizi ni hila za kanisa kwa Tanzania nzima mafanikio waliyoyapata huko Tanganyika sasa wanayaelekza Zanzibar lakini wameumbuka na hila zao mbaya sana za kujidai kutaka kusaidia na kutoa misaada ,ni aibu ilioje kwa wakiristo kuwa na mipango iliyovishwa ngozi ya kondoo ,yaani imejulikana hata ile mihadhara ya waislamu wao ndio sababu ya kuzuiwa na wakiwatumia wanaowaita watu wao ndani ya serikali ,huu ni ukweli uliokuja juu ,kila Muislamu anatakiwa afahamu na ikiwezekana nakala zipelekwe misikitini ili kuzidi kuuamsha umma wa Uislamu juu ya ubaya wa waliokuwa wakiwaona ni ndugu zao wanaopaswa kuishi pamoja ,kama ilivyokuwa imezoeleka ,kumbe ndugu zao hao wana mikakati ya siri..
___________________________________Endelea.....!

CONTENT REMOVED BY Invisible... NOT ACCEPTABLE AT ALL! WARAKA HALISI UPO KWENYE 1ST Post
hii ni aibu kwa Wakristo ,hizi ni mbinu ambazo zimeshafanyika huko Tanganyika na zinaendelea kufanyika na sasa na kwa miaka mingi zimekuwa zinaelekezwa Zanzibar na siku hizi imekuwa sio siri tena hata makanisa yanaingilia shughuli za serikali kwa kisingizio cha kuleta huduma nzuri ,kumbe nyuma ya pazia ni mbinu za kuiteka Tanzania ila hamtafanikiwa kwani huku peke yake ni tosha kuwa mumeumbuka na mtazidi kuumbuka hadi mshindwe na mlegee.
 
Waraka huu umepatikana tarehe 29 June 2009,ulikuwa ukisemwa kuwa upo zamani na sasa umetiwa mkononi. Hizi ni hila za kanisa kwa Tanzania nzima mafanikio waliyoyapata huko Tanganyika sasa wanayaelekza Zanzibar lakini wameumbuka na hila zao mbaya sana za kujidai kutaka kusaidia na kutoa misaada ,ni aibu ilioje kwa wakiristo kuwa na mipango iliyovishwa ngozi ya kondoo ,yaani imejulikana hata ile mihadhara ya waislamu wao ndio sababu ya kuzuiwa na wakiwatumia wanaowaita watu wao ndani ya serikali ,huu ni ukweli uliokuja juu ,kila Muislamu anatakiwa afahamu na ikiwezekana nakala zipelekwe misikitini ili kuzidi kuuamsha umma wa Uislamu juu ya ubaya wa waliokuwa wakiwaona ni ndugu zao wanaopaswa kuishi pamoja ,kama ilivyokuwa imezoeleka ,kumbe ndugu zao hao wana mikakati ya siri..
___________________________________Endelea.....!



Wapendwa katika Bwana

Ndugu Wakristo umefika wakati tumeonelea kuwa ipo haja ya kuwaelezeni machache ili kuona maendeleo yetu na mafanikio tuliokwisha yapata hapa Zanzibar, yanaendelezwa na hayarudi nyuma kwa namna yoyote. Hapana shaka kuwa munaelewa kuwa idadi yetu hadi sasa bado ni ndogo sana na wengi wetu tungali katika kiwango na hadhi ya wahamiaji na sio Wazanzibari kama wanavyosema wenyewe.


MAFANIKIO YETU
Kabla kugusia yale ambayo tunahisi ndio lengo la waraka huu hapana budi kuwatajieni mambo machache ambayo tumefanikiwa kuyapata hadi sasa. Pamoja na jitihada zetu za muda mrefu bado tunapaswa tumsifu Bwana kwa msaada wake mkubwa kwetu dhidi ya maadui zetu. Tunaamini kuwa kupitia nguvu za Roho Mtakatifu, Bwana atatupa ushindi na mafanikio makuu zaidi ya haya na atawafumba macho maadui zetu wazidi kulala ili mipango yetu yote ya kuibadilisha Zanzibar kidemografia ifanikiwe katika kipindi kifupi kijacho. Mafanikio yetu yameenea katika kila upande - katika uchumi, siasa, huduma za serikali, umiliki wa ardhi, ujenzi, elimu, n.k

1. Nafasi yetu kwa upande wa elimu imekua ya kuridhisha kupitia nafasi za serikali. Hivi sasa ni rahisi na limekua jambo la kawaida katika kila matangazo ya wito wa masomo kusikia majina ya Wakristo. Kati ya vijana saba hadi kumi, ni lazima upate vijana wawili hadi watatu kutoka katika makanisa yetu.

2. Sambamba na matangazo ya elimu vijana wetu wamekuwa wanapata nafasi nyingi za ajira katika Serikali ya Zanzibar. Hali ya kutoelewana kisiasa baina ya Wazanzibari imetoa mwanya kwetu kuingiza vijana wa Kikristo wenye asili ya bara kwa wingi kwani wamekuwa wanaaminika zaidi kuliko vijana wa Zanzibar

3. Hali tulioieleza juu imetuwezesha kuwa na Wakirsto wengi katika nafasi za juu serikalini na katika chama tawala.Hali hii ni lazima iendelezwe katika ngazi zote kwani imekuwa ikitusaidia hasa katika kiwango cha masheha na kamati zao kwani huku ndiko kunako mambo mengi ya kila siku.

4. Tumepata fursa ya kutumia Taasisi za serikali kwa uendeshaji wa ibada zetu hali hii imefanya tuzidi kukubaliwa na Waislamu na kuvumiliwa na inaweza kutupa nafasi ya kuwavuta katika NENO LA BWANA.

5. Kwa upande wa mashamba (vijijini) tumepata wasaa mzuri wa kununua ardhi toka kwa Waislamu ambao hadi sasa bado hawajashtuka. Ardhi hizi zimetuwezesha kujenga makanisa kadhaa mabayo hapo awali hayakuwepo.

6. Idadi ya skuli na vituo vyetu vimeongezeka kwa hali ya kuridhisha. Skuli hizi nikuanzia kwa watoto wadogo hadi vituo kama hichi kilichopo Mji Mkongwe (Stone Town Youth Centre) na zinafanya kazi vizuri katika kupandikiza mila za Kikristo.

7. Sera ziliopo hivi sasa kwa upande wa uingiaji na utokaji Zanzibar imetusaidia sana katika uingiaji wetu (Wakristo) kutoka Bara na hivyo kusaidia kufuta ile imani ya kuwa Zanzibar ni kisiwa cha Waislamu na eti Wazanzibari kwa zaidi ya aslimia 99 ni Waislamu.

8. Ujaji wa Wakristo kwa wingi kutoka bara umewezesha kuongezeka kwa idadi ya mabaa na klabu za pombe.

9. Kujiingiza kwetu katika Taasisi za dola katika ngazi za mitaa kumetuwezesha kupata nafasi ya kutangaza Ukristo kwa njia ya mihadhara.

10. Tumefanikiwa kupata viwanja vingi katika maeneo ya Mjini ambayo yangali mapya. Maeneo haya ni kama Tomondo, Mombasa, Mwanakwerekwe, n.k. ambayo tayari tumeshajenga makanisa yetu ingawaje kwa sasa hayajawa na waumini wengi wa kuyatumia na bado yanaonekana ni matupu.

Ndugu wapendwa katika bwana,
Mafanikio hayo yasitufanye tuka lewa na kusahau jukumu la kanisa la kuona kuwa utawala wa Bwana unashuka Zanzibar haraka iwezekanavyo. Kosa lolote tutakalofanya hivi sasa litaweza kuturudisha hatua kadhaa na huenda nafasi hii tulionayo hivi sasa tusiipate kwa karne mpya ijayo. Mambo ya kufanya yanayotukabili ili kuimarisha nafasi yetu na kuona yale tuliokwisha yapata hayatutoki na kuyafanyia dira kwa karne ijayo ni haya yafuatayo:

Tusahau tafauti zetu dhidi ya adui

Ingawaje tupo madhehebu nyingi lakini tunawajibika kuelewa kuwa Waislamu na Uislamu wao ni adui yetu namba moja ambaye hatutofaulu kupambana nae mmoja mmoja. Uislamu hapa Zanzibar ni dini iliofungamana na mila na utamaduni hivyo kila itakapowezekana tusahau tafauti zetu ndogo ndogo na hata kubwa kukabiliana nao, vyenginevyo tutarudi kama wakati wa Karume

Tuhakikishe tunapata ardhi
Hii ni mbinu kongwe katika usambazaji wa Ukristo. Wazee wetu walipoleta Ukristo Zanzibar na katika Afrika jitihada waliyofanya ni kupata ardhi kubwa kwa ajili ya ujenzi wa maeneo yetu majengo ya hospitali shule zahanati vituo vya chekechea makanisa n.k. Tunahitaji ardhi kubwa ili kuziweka huduma hizo mahala pamoja kwa ajili ya kueneza injili ya bwana na Muokozi wetu.

Tununue nyumba na viwanja kwa ujenzi wa makanisa
Inaonesha Waislamu wenye siasa kali na baadhi ya watendaji kwenye sirikali wameanza kushtuka na ongezeko kubwa la makanisa katika kisiwa cha Unguja. Kuna dalili kuwa tunaweza kupata ugumu katika kupata viwanja kwa ajili ya makanisa. Njia tunayoweza kuitumia kwa muda huu ni kununuwa viwanja vitupu au nyumba za Waislamu kwa bei kubwa itayowashawishi kuviuza na baadae tutaweza kuvijenga au kugeuza nyumba hizo kuwa makanisa.

Tujenga shule na hospitali kwa wingi
Hizi ni taasisi pekee ambazo tunaweza kuzitumia kueneza neno la Bwana kwa Waislamu walio wengi hapa Zanzibar. Kwa kutumia umasikini unaowakabili wengi ya Wazanzibari na uchache wa huduma hizo tunaweza kujitangaza vizuri, tujitahidi kutoa huduma nzuri kuweka vifaa vya kisasa kuweka bei ndogo kuweka upendo ili vituo vya Waislamu au hata vile vya serikali visiweze kuvikaribia vyetu. Shule ni sehemu muhimu ya kupandikiza mafundisho yetu, zaidi kwa watoto wadogo (Nursery).

Tunadai muda zaidi katika Vyombo vya habari (Tv na Redio)
Kwa muda mrefu sasa uislamu na waislamu wamehodhi vombo hivi vya habari mbali na kuwa siku ya ijumaa ambayo yote humilikiwa na vipindi vya kiislamu vyombo hivyo hutenga siku nyengine kadhaa kwa vipindi vya kiislamu na hata kuthubutu kutia adhana kila wakati wa sala hali hii inaudhi na inatoa picha ya wazi ya serikali kupendelea uislam ingawaje inadai kuwa haina dini. Wakati wa kusherehekea miaka 25 ya TVZ tulizungumzia suala hili lakini inaonekana halikupata mtu wa kulifanyia kazi. Sasa tuhakikishe kuwa ukristo unapata muda zaidi katika vyombo hivyo au uislam nao upunguziwe nafasi.

Tuongeze mihadhara ya wazi
Wakati Waislam wamezuiliwa kufanya mihadhara ya wazi, sisi tujitahidi kuhakikisha kuwa mihadhara yetu inaongezeka kwa kiwango kikubwa. Kwa kuwa Waislamu hawahudhurii mihadhara hiyo, lazima tuone wakristo wa Mjini na Mashamba wanahamasishwa na kupatiwa nyenzo ili kuhudhuria. Vipaza sauti vitumike kuhakikisha kuwa neno la bwana linafika kila pahala. Mihadhara ifanyike karibu na nyumba, misikiti na kwenye viwanja vya wazi.

Tuendelee kutumia shule na sehemu za Umma
Ili kuwafanya waislamu watuzoee na kuondosha chuki yao kwetu ni lazima kuendelea kutumia mashule na sehemu za Umma zilizo wazi kwa mambo yetu ya ibada kwa kipindi kirefu hali hii inaweza kuwafanya washindwe kuona tafauti kati yetu na wao.

Tufanye suala la uhamiaji Zanzibar kuwa jepesi
Uzoefu unaonesha kuwa ni jambo gumu kuwabatiza Wazanzibari waislamu. Hali hii inafanya ongezeko la wakristo kuwa dogo au halipo kabisa ukitoa wale wanaozaliwa katika familia za kikristo.
Njia pekee ya kuhakikisha ongezeko la makanisa na Taasisi zetu ni kuongezeka kwa wakristo. Jambo hili litawezekana kwa kuingiza Wakristo wengi kutoka Tanzania Bara au wapagani ambao tutaweza kuwabatiza kwa kutumia udugu wetu wa kikabila au asili ya Bara.
Kwa kuwatumia ndugu zetu waliomo serikalini (SMZ au SMT) tuhakikishe kuwa suala la uhamiaji linabakia wazi na rahisi na linaendelea kwa kila hali
.

Tuzuie jaribio lolote la kadi za uraia au vitambulisho
Wakristo tunapaswa kuelewa kuwa iwapo serikali ya Zanzibar itaamua kufanya cho chote ili kuwa na vitambulisho au kadi za uraia kwa wazanzibari pekee basi jambo hilo litaathiri sana mipango yetu ya muda mrefu kwa Zanzibar.Jitihada zozote za kuiimarisha Zanzibar kama Zanzibar na nje ya Utanzania ni lazima tuelewe kuwa Uislamu utapata nguvu na kuwa tishio kwa hapa Zanzibar na hata Bara.Iwapo tutawajibika kuunga mkono ni kadi za Uraia na vitambulisho vya Watanzania kwa Ujumla na sio Zanzibar peke yake.

Tujipenyeze Vyamani na kushika nafasi muhimu
Lazima tuelewe kuwa chama cho chote cha siasa kinalenga kukamata serikali ili kiweze kutekeleza yale yanayoaminika kuwa ni mazuri kwa chama hicho. Tunapozungumzia vyama vya siasa kwa Zanzibar tunahusisha zaidi kwenye CCM na CUF. Watu wetu wamefaulu kuingia kwa wingi katika chama tawala na katika jumuia zake.

Tupenyeze wenzetu serikalini
Sambamba na suala tulilolielekeza juu hatuna budi kusomesha vijana wetu na kuhakikisha kuwa tunatumia kila njia na ushawishi ili kuwaingiza serikalini na hasa katika sehemu muhimu. Hii itarahisisha kuungwa mkono mipango yetu na kupunguzwa vikwazo kwa mikakati yetu.

Tuunge mkono sera za utalii
Hadi sasa wengi wa watalii wanaoingia Zanzibar hutokea nchi za Kikristo. Desturi za watalii hupingana na zile za Kizanzibari na hata za Kiislamu. Watalii wanasaidia kuongezeka kwa mabaa na vivazi ambavyo waislamu wanataka visivaliwe hasa na wanawake

Tujenge mabaa na kuongeza pombe
Waislamu wengi huchukia pombe na huweza kuhama iwapo duka la pombe au baa ipo karibu nao. Waislamu hatari ni wale wanaosoma na kupata muda wa kujishughulisha na dini yao. Pombe ni kitu ambacho humtoa Muislamu katika Uislamu wa vitendo na kumkaribisha na Ukristo.

Tuwafuate Wakristo waliosilimu ili warudie Ukristo
Watu wa aina hii wanakuwa bado hawajatulia na mara nyingi huwemo katika matatizo.. Pana haja ya kuwalenga watu hawa ili kuwarudisha kabla hawajatulia au kupata elimu nzuri. Matatizo yao ndipo mahala pa kuanzia ili Bwana awateremshie roho ya utulivu. Uzima wa Ukristo ni kuwa na wafuasi wengi kadiri iwezekanavyo.

Tuwafuate wanawake kwa misaada
Jumuiya zisizo za kiserikali zinaungwamkono duniani kote na hasa zile za wanawake na watoto tujiweke pamoja ili tuweze kuwavutia wanawake kwa jina la kuwasaidia.


Tuongeze vituo vya mafunzo ya kikristo

Kituo cha vijana cha mji mkongwe (Stone Town Youth Centre) kimekuwa kikifanya kazi yake vizuri kwani hadi sasa lengo lake la ndani bali (bado) halijaeleweka na vijana wanaohudhuria hapo kwa shughuli mbali mbali, jitihada zifanyike ili kuwa na vituo vya aina hii katika maeneo mengine. Lengo kuu liwe ni vijana na wanawake bila ya kuonesha dalili za kidini.


Tuwaowe wanawake wao kwa kusilimu kimajina

Jitihada za makusudi zifanyike ili kila itakapowezekana kuwaoa wanawake wa Kiislamu ili tuweze kuwabatiza baadae, njia nzuri iwapo patakuwa na ugumu ni kusilimu kiuongo ili kuruhusiwa kuwaoa wanawake wao.


Tuanzishe NGOS na sisi tuwe viongozi

Kwa hivi sasa wafadhili wengi wameonesha hamu ya kuzisaidia ngos moja kwa moja badala ya serikali ni lazima tujitahidi kuunda jumuiya zetu ambazo zitawashirikisha waislam lakini uongozi wa juu ni lazima uwe mikononi mwetu. Hii itatuwezesha kuona sera zetu na malengo yetu yanatekelezwa kwa kivuli hicho.


Tujenge ukaribu na viongozi ili kuwadhibiti waislam

Mambo yetu mengi yamekuwa yanakwenda vizuri katika maeneo mbali mbali baada ya wenzetu kuwemo katika kamati za masheha na matawi ya vyama na kamati za maendeleo za maeneo mbalimbali. Hali hii ni lazima iongezeke ili udhibiti wa shughuli za waislam uwe mzuri zaidi na wakati huo huo kuona kuwa mambo yetu yanakwenda yakiwa na baraka ya vyombo vya dola na vyama vya siasa. “Tujenge ukaribu na viongozi ili kuwadhibiti waislam”.


Tuwachonganishe mashehe wenye msimamo mkali

Mashehe wenye msimamo mkali wamekuwa ni tatizo kwa ukristo kwani wana wafuwasi wengi na wamekuwa wakisema wazi na kushutumu maendeleo yetu. Mashehe hao ni lazima wachonganishwe na serikali ili hali ikiruhusu wazuiliwe kuendesha shughuli zao. Wakati tukifanya hivyo hatuna budi kuwaunga mkono mashehe wote ambo wamekuwa wakitusaidia kwa njia mbali mbali

Tulenge kuifuta tabligh

Pamoja na kuwa tabligh sio hatari moja kwa moja kwa ukristo lakini bado inastahili kupigwa vita kwa sababu ni aina pekee ya mihadhara ya waislamu inayoruhusiwa humu Zanzibar. Tabligh inaweza kuwazindua baadhi ya waislam ambao ni vyema kubaki bila ya kuzinduliwa.


Tudai turudishiwe taasisi zetu

Serikali ya Zanzibar bado inaonekana kuwa ngumu kurudisha katika milki ya makanisa ardhi na taasisi zetu. Dalili za huko nyuma zilionekana nzuri kwani tulifanikiwa kupata hospitali yetu ya Welezo na eneo la kiungani hata hivyo panakuwepo ugumu wa kurudishiwa shule zetu. Kwa kuwatumia wenzetu waliomo serikalini na baraza la wawakilishi lazima tuzidishe harakati na madai ya taasisi zote zilizobaki.


Tulete waumini kutoka mashamba kujaza makanisa

Hivi sasa pameibuka wasi wasi kuhusiana na wingi wa makanisa ambayo hayajapata waumini wa kuyajaza. Ili kuficha dosari hii na hoja kadhaa utaratibu uliopo hivi sasa chini ya baadhi ya makanisa ni lazima uungwe mkono. Wakristo wahamiaji wengi hufikia mashamba hivyo pawekwe na utaratibu wa kuwaleta mjini ili kujaza makanisa.


NENO LA MWISHO

Wapendwa katika Bwana.

Miongozo hii ni mikubwa na inaweza kuwatisha baadhi ya waumini wa kikristo hasa wale ambao bado hawajampokea Roho Mtakatifu vizuri. Hata hivyo kwa uwezo wa Bwana Mungu wetu ni mpango rahisi. Suala la muhimu ni haya kufahamika na kila mkiristo apendae kumtumikia Bwana. Pia hatuna budi kuishukuru awamu ya nne ya serikali ya mapinduzi ambao imefungua milango kwa ukristo na kushuhudia ongezeko la makanisa.

Bwana awe nasi!

------------------------------------------------------------------------

hii ni aibu kwa Wakristo ,hizi ni mbinu ambazo zimeshafanyika huko Tanganyika na zinaendelea kufanyika na sasa na kwa miaka mingi zimekuwa zinaelekezwa Zanzibar na siku hizi imekuwa sio siri tena hata makanisa yanaingilia shughuli za serikali kwa kisingizio cha kuleta huduma nzuri ,kumbe nyuma ya pazia ni mbinu za kuiteka Tanzania ila hamtafanikiwa kwani huku peke yake ni tosha kuwa mumeumbuka na mtazidi kuumbuka hadi mshindwe na mlegee.
 
Ogopa sana watu au taasisi au chama cha siasa au serikali inayo shindwa au kataa kuelimisha uma kwa kuogopa kuondolewa madarakani. Maanake uma ubaki na kutoelewa ili uendelee kudanganywa, kutawaliwa kiujanja ujanja na kuibiwa kiujanja, kwa mwendo huu hakuna maendeleo, umasikini, magonjwa na umbumbumbu vitaendelea kutawala. Madhehebu ya dini yanapojenga shule au hospitali au hotel mbona hakuna malalamishi? Kwani kwenye shule za taasisi za dini hakuna somo la uraia? Mbona tungepata maendeleo ya haraka kama kila dhehebu lingetoa somo la uraia kwa waumini wake, nilitegemea serikali ikosoe kama somo la uraia linatolewa kinyume na umoja wa Taifa. Tunachotaka ni maendeleo na maendeleo hayapatikani bila elimu. Elimu anaitoa nani si jambo la msingi hapa, Shekh au Askofu au Pagan kama anaweza kuisaidia hii Serikali yetu hii iliyolala kutupatia sisi raia wake somo la kuhusu uchaguzi mbona serikali itakuwa imesaidiwa sana. Pole mzee Kingunge naona umepitiwa tu au kawaone hao marafiki zako waliotoa waraka huo wakusaidie kukuelewesha zaidi maana elimu haina mwisho
 
.............................................
Tulete waumini kutoka mashamba kujaza makanisa

Hivi sasa pameibuka wasi wasi kuhusiana na wingi wa makanisa ambayo hayajapata waumini wa kuyajaza. Ili kuficha dosari hii na hoja kadhaa utaratibu uliopo hivi sasa chini ya baadhi ya makanisa ni lazima uungwe mkono. Wakristo wahamiaji wengi hufikia mashamba hivyo pawekwe na utaratibu wa kuwaleta mjini ili kujaza makanisa.


NENO LA MWISHO

Wapendwa katika Bwana.

Miongozo hii ni mikubwa na inaweza kuwatisha baadhi ya waumini wa kikristo hasa wale ambao bado hawajampokea Roho Mtakatifu vizuri. Hata hivyo kwa uwezo wa Bwana Mungu wetu ni mpango rahisi. Suala la muhimu ni haya kufahamika na kila mkiristo apendae kumtumikia Bwana. Pia hatuna budi kuishukuru awamu ya nne ya serikali ya mapinduzi ambao imefungua milango kwa ukristo na kushuhudia ongezeko la makanisa.

Bwana awe nasi!

------------------------------------------------------------------------

hii ni aibu kwa Wakristo ,hizi ni mbinu ambazo zimeshafanyika huko Tanganyika na zinaendelea kufanyika na sasa na kwa miaka mingi zimekuwa zinaelekezwa Zanzibar na siku hizi imekuwa sio siri tena hata makanisa yanaingilia shughuli za serikali kwa kisingizio cha kuleta huduma nzuri ,kumbe nyuma ya pazia ni mbinu za kuiteka Tanzania ila hamtafanikiwa kwani huku peke yake ni tosha kuwa mumeumbuka na mtazidi kuumbuka hadi mshindwe na mlegee.

Wewe un afaaa sana kutunga HADITHI, nitakupeleka kwa SHIGONGO......
BTW style yako ya kuchambua na kuwasilisha HOJA nimeipenda umekaa na kufikiria vizuri
 
Wengi wangependa kuona waraka unasomwa. Hata mie niko mbioni kuandaa waraka wangu. Wangu utakuwa tofauti kidogo. Hautamung'unya maneno utataja aina zoote za ufisadi na wahusika wa ufisadi. Utagusa ufisadi serikali, kwenye vyama vya siasa, mashirika yasiyo ya kiserikali na makundi mbalimbali ya jamii kama vile dini nk. Huu ndio utakuwa waraka wangu kwa Watanzania.
Pia katika kumjibu Kingunge kubwa si kumshambulia na kumuombea mabaya na kuonyesha jazba zetu. Yeye ametoa hoja kwa kuonyesha pssible effects za Waraka. Nasi tujibu hoja na kumuonyesha zile si effects. Mf kazungumzia tishio la amani, kuongeza mgawanyiko nk. Sie wana JF tunasemaje?
Possible effects gani alizoziona? anataka amani gani? na mgawanyiko anaosema upi? wakati ulishaonyeshwa na yeye mwenyewe kuwatetea Mafisadi! Tunachokisema ile ILANI haina tatizo na ni muda wake muafaka kila mmoja ausome hata kama hajui kusoma awe nao tu na atasomewa,hakuna jazba katika hili, ila ni onyo tu kuwa wakiendelea na tabia hii ya kuzuia watu wasisemee ufisadi na tukishindwa kuwaambia basi MAWE YATANYANYUKA NA KUONGEA!!!
Ndaga,
 
Tanzania haina dini lakini watanzania wana dini zao,dini ya Kingunge siifahamu sasa mpagani huyu asituharibie nchi yetu.Viongozi wa dini itisheni maombi mumuombee Kingunge aokoke ili asiishie vibaya uzeeni.

Na unadhani kwa muono huu wewe ndio unalinda nchi yetu zaidi ya huyu unayemuona MPAGANI?

Labda NCHI YETU ina tafsiri tofauti na ninayoijua mimi..

omarilyas
 
Sasa nawe mkuu mwiba haya maneno unayatoa wapi? ....Maneno hayo yamejaaa uchochezi tu hayana maana yoyote ile ya kujenga mkuu!
 
Kwa nini Kingunge anaogopa viongozi waadilifu? Hili ndio swali kubwa la kujiuliza. Nimechukua muda wa kusoma waraka wa Wakatoliki na kugundua kwamba hawa jamaa wana nia njema sana kwa taifa hili: Tupate viongozi waadilifu bila kujali wanatoka dini gani au kabila gani. What's wrong with that you Pagan? Hivi si ndio kizee hiki hiki kilichowahi kupinga kuanzishwa kwa mfumo wa vyama vingi kikisema eti nchi itaingia kwenye machafuko? Ebo! Muda wako ule wa mambo ya 'kufikirika' umepita mzee, hebu rudi kwenu Kilwa ukalee wajukuu na vilembwe! Huu ni wakati wa dot.com
 
Huyu MWIBA naye katokea wapi tena? Au ndio Kingunge huyo huyo? Wakristo sio wajinga wa kuweza kuandika upuuzi kama huo. Hizo tungo zako wapelekee wenzako wenye level kama yako ya kufikiri, usilete uchochezi usiokuwa na maana. Moderator, are you there???
 
Nilimshangaa Fisadi mkuu KINGUNGE NGOMBALEMWILO kulishambulia Kanisa katoliki lilipotoa taratibu ya kuwafundisha washiriki wake jinsi ya kutochagua mafisadi katika uchaguzi ujao mwakani (2010) . Katika uchaguzi ujao tunataka kupata akina DANILE, YUSUFU wa nyakati hizi, wenye tabia kama ya akina DANIEL , MUSA NA YUSUFU waliotajwa kwenye Biblia na Quran.

Hatutaki Mawaziri Makanjnnja, Hatutaki mbabaishaji, Hatutaki rais Msanii, Hatutaki rais ama waziri mhuni. Hatutaki Kiongozi wan chi anayelinda mafisadi, Hatutaki Kiongozi wa nchi anayeishi angani, Hatutaki kiongozi KINYONGA anayesema hiki leo , kesho anasema hiki, Hatutaki Kiongozi anayerubuni NCHI WAHISANI KUTOA FEDHA ZA MISAADA KUNEEMESHA MAFISADI AKIWEMO YEYE NA MKE WAKE huku Watanzania maskini wakifa kwa kukosa Tsh 1000/- ya kununua dawa ama kukosa Tsh 5000/- za kumwona Daktari, ama kukosa nauli Tsh 500/- kkwenda hopitali, huku mafisadi yakiishi kama yapo peponi. Watoto wa Maskini wanasoma katika SECONDARI ZA YEBO YEBO Huku watoto wa Mafisadi wakiwapo wa Karumekenge (JK) wakisoma ughaibuni. Watoto wa maskini walipa kodi wakikosa shule kwa kukosa fedha ya kulipia ada secondary na vyuo vikuu Huku watot wa mafisadi wakitanua MAJUU. Huku mafisadi wametunza feddha zao nje ya nchi zikinufaisha UCHUMI WA MATAIFA YA MAGHARIBI.

Huu UPUUZI na UNYAMA ndio unautetea KINGUNGE?. Kwamba Watanzania wasifundishwe kuleta MAPINDUZI YA AMANI YA KUWANYIMA KURA MAFISADI HAWA MWAKANI????. KINGUNGE WATU WAMEKUDHARAU KUPITA UKOMO.

KIBABUUUUUU KAMA WEWE TULITEGEMEA UWE UMEACHA UONGOZI WOWOTE MAANA UMESHAFIKIA KWENYE UMRI WA KUANZA KUVIA KUFIKIRI (MENTAL LITHERGY).

Kingunge umesahau kuwa wewe ni fisadi wa kutupwa kama ifuatavyo:

(1) Wewe ulilipotezea taifa mwelekeo na kuliwekea rais ALIYEFULIA KICHWANI. . Kingunge umesahau kuwa ulifanya hivyo baada ya kuhongwa dola million moja za Kimareakani mwaka 2005 ili umpitishe Karumekenge(JK). Fehda hiyo ni sawa na TSH Tsh billion 14 ambazo zingeweza kusomesha watoto wa maskini wapatao 20000 katika secondari. KIBABU WEEEEEE, Hiyo ndiyo misingi ya kujenga umoja wa kitaifa unaoupigia kerere na kulilaumu Kanisa Katoliki linapotaka kuelimisha Watanzania Walete Mapinduzi ya amani mwakani (2010) . KIBABU uwage na aibu kama busara haipo. Yaani kama busara imekuishia as per too being aged, basi tunakusihi UWE NA AIBU.

(2) KINGUNGE ukiwa umejiunga na ufisadi na upiga debe wa ufisadi huku ukiimba umoja wa kitaifa(AIBU) Unalipotezea taifa hili zaidi ya Tsh billion 980 kwa mwaka kupitia kampuni yako ya ulinzi jijini na kampuni ya kituo cha ushuru wa mabasi ya stand ya Ubungo (UBUNGO TERMINAL) uliyohongwa na KARUMEKENGE (JK) Baada ya kufanikisha kumwingiza madarakan kuanzia faulo na rafu ulizochangia kuanzia kwenye kura za maoni ambazo ULIFANIKISHA KUMG’OA NA KUMCHAFUA DR. AHAMED SALIM . Hivyo ulihongwa kwanza dolla 1,000,000/- kabla ya kuingia kwenye kinyang’anyilo cha sakata la kura za maoni. Na uliahidiwa kupewa kampuni ya ulinzi jijini na UBUNGO TERMINAL. Hivyo wewe kingunde ni tapeli na fisadi la kutupwa. Tunakuomba kama ukanushe tukuanike zaidi maana hiiltuliyotoa ni WARM-UP tu ya ufisadi wako.

KWA HIYO KIBABU TUNAKUOMBA UNYAMAZE KABISA , UWAACHE WATANZANIA WAELIMISHANE JNISI YA KULETA MAPINDUZI YA KWELI ILI KILA MTANZANIA AFAIDI KWA MATUNDA YA RASILIMALI TELE MNAZOZICHEZEA NA MAFISADI.

Kingnge kumbe wewe ni wa ovyo. Unatetea mafisadi na kuucheza ufisadi na kudai Roman Catholic Move ya kuelimisha watu kwa amani juu ya ufisadi wenu na jinsi ya kuwang’oa kwa amani , wewe unaona ni kupoteza amani. Hujui kuwa chanzo ya CIVIL WARS huwa ni mafisadi wachache (5% ya taifa )kumiliki mali ya taifa na kuwaacha maskini wengi (95%) wakiishi kama wako jehanamu?

KINGUNGE NAKUKUMBUSHIA MAFISADI WANAOITAFUNA NCHI HII NA KUELEKEA UVUJAJI WA AMANI BAADAYE NI HAWA WAFUATAO:

(i) A..F. Magoma Mhasibu feki SUA .
Alilip[otezea taifa hili zaidi ya Tsh millioni 21,532,000,000/-kati ya mwaka 1995 na 2009.
Pinda na Karumekenge (JK Mrisho) wnalifahamu hilo. Wamelilea na kulilinda

(ii) PROFESA PETER MSOLLA –WIZARA:SAYANSI NA TEKNOLOGIA
Kalipotezea taifa zaidi ya Tsh 30,569,176,000/- tangu akiwa SUA hadi hapo alipo.Baba wa mafisadi (JK) analifahamu hilo)i.e. Mkitaka details tunazo.

(iii) DR. JUMA NGASONGWA
Alilipotezea taifa hili zaidi ya Tsh billioni 45 kifisadi kupitia wanyama pori na misitu yetu akiwa waziri husika wakati wa awamu ya tatu

(iv) Ndugu KAPUYA
Kalipotezea taifa zaidi ya Tsh 35 billioni kwa ubia wake na mine za nzega na Arusha . Pia kwa bendi yake aliyodanganya kuwa ni ya jeshi akiwa waziri ya ulinzi.

Hili ni kanjanja ama fisadi ambalo lina mzizi mrefu wa urafiki na JK Tangu wakiwa kijiweni Kinondoni. Fisadi huyu ana kampuni ya madini Nzega na Arusha ambay humwingizia zaidi ya billoni 200 kwa mwaka, kinyume cha katiba ya nchi. Alitumia ndege ya jeshi kuzalishia mali za familia yake, alianzisha bendi iliyokuwa inamzalishia fedha rukuku kwa wiki (Millioni 1.5) akiwa waziri wa ulinzi, bendi hiyo ilipandikizwa kama chombo cha jeshi la wananchi akachota VIJISENTI MABILLIONI. Huyu naye hafai kushika nafasi hiyo. Anatakiwa akamatwe na kufilisiwa

(v)ROSTAM AZIZ. Huyu ni kanjanja hatari sana, alilifirisi taifa hili kwa biahsahra haramu aliyofanya mkataba wa kibishara na Japan ambao hazitozwi ushuru, Ameipotezea nchi yetu zaidi ya billioni 200. Ni mwasisi wa wizi wa fedha za BOT kupitia EPA akitumia kampuni feki na mufilisi ya KAGODA (Billioni 40) akishirikiana na fisadi lililokubuhu- Benjamin Mkapa. Ni rafiki kipenzi cha mzee Kanjanja /cheka cheka Huenda dili hilo ni lao. Anamilki makampuni makampuni manane, lakini yale saba jina anayamilki kijasusi kwani jina lake halipo. Makampuni hayo ni haya yafuatayo:
Africa Tanneries Limited
Tanzania Leather Industries Limited
Wember Hunting Safari Limited
Tanzania Packages Manufacturers Limited
Dowans
Kamppuni ya kagoda
Isenegeja Limited (ijulikanayo kama THE NEW HAGARI LIMITED –NHL) iliyonunua Magazeti ya The African, Dimba, Bingwa, Rai, Mtanzania na chuo cha uandishi wa habari (MAMET)

(vi) MEGHJI
Alilifirisi taifa zaidi ya Tsh billion 20 kwa vitalu vya uwindaji haramu vya wanyama pori akiwa waziri husika wa wizara hiyo. Pia humo ailikuwa na vitaru haramu vya familia yake pia na vya ndugu zake. Karumekenge analifahamu hilo , lakini kutokana na maslahi binafsi amekauka.

(vii) KINGUNGE NGOMBALEMWILO
Huyu amelipotezea taifa hili zaidi ya Tsh 130 billion kupitia kampuni yake ya ulinzi jijini na kampuni ya kituo cha ushuru wa mabasi ya stand ya Ubungo (UBUNGO TERMINAL) aliyohongwa na KARUMEKENGE (JK) Baada ya kufanikisha kumwingiza madarakan kuanzia faulo na rafu alizochangia kuanzia kwenye kura za maoni ambazo WALIFANIKISHA KUMG’OA NA KUMCHAFUA DR. AHAMED SALIM . Hivyo alihongwa kwanza dolla 100000/- kabla ya kuingia kwenye kinyang’anyilo cha sakata la kura za maoni. Na aliahidiwa kupewa kamuni ya ulinzi jijini na UBUNGO TERMINAL. Hivyo kingunde ni tapeli na fisadi la kutupwa.

(viii) ABDALLAH KIGODA
Kalipotezea taifa zaidi ya Tsh 6.1 trillion kwa sakata la EPA, RADA, MIKATABA MIBOVU YA MADINI, UUZAJI FISADISHI WA MASHIRIKA YA UMMA NA KUJIKABISHISHA KIWIRA AKIWA NA MRS MKAPA NA B.MKAPA.

(a)Wizi wa zaidi ya Tsh* Trillioni 5, 97 BOT kwenye kampeini za uraisi na ubunge zilizotuwekea rais mufilisi. Kigoda anatakiwa asimame kuelekea kizimbani na kujibu wizi huo ulioifilisi nchi* ikawa kama dampo la umasikini
(b) Uporaji fedha za* taia hili kupitia ununuzi wa rada feki Tsh 50 billioni ambayo akiwa na Mkapa na Mramba waliishupalia kama ruba
(c) Uuzwaji angamizi wa mashirika ya umma na viwanda kwa hila zote, kwani hata yale yaliyokuwa yakijiendesha kwa faida kubwa yaliuzwa kwa bei ya tupatupa (throw away prices)
(d) Kushiriki mikataba mibovu ya madini alilipotezea taifa zaidi ya Tsh mia tisa- kwa kipindi chote Hivyo huyu ni fisadi lililokubuhu.

(ix) Edward Hosea (TAKUKURU- Taasis ya kukuza na kurutubisha rushwa)
Kalipotezea taifa zaidi ya Tsh billion 298.2 kupitia kulinda RICHMOND, EPA (BOT), kuharalisha vitalu haramu vya uvunaji wanyama pori,kupitisha mikataba feki kama ya TICS, TRL, MIKATABA MIBOVU YA MADINI PAMOJA NA MADUDU MENGINE MENGI. Kanjanja hilo bado linakumbatiwana KARUMEKENGE na TARISHI WAKE (PINDA).

(A): Amekomba zaidi ya billioni 140 kwa kupokea rushwa nene na kutoa taarifa feki kwenye uchunguzi wa RICHMOND , sakata la Buzwagi, mikataba mibovu ya madini, sakata na hujuma za wahindi kupanga kwenye nyumba nzuri za National Housing kuliko wazawa, Sakata la DOWANS na hujuma nyingine nyingi. Ni fisadi anayetakiwa ajiuzuru mara moja.. Pia lilikuwa kwenye kamati ya kuchunguza wizi wa fedha za BOT (kupitia EPA), Je fisi anaweza kumchunguza fisi mwezie au kujihukumu mwenyewe? NEVER!!!!. Hiyo ni danganya tot
(B) Inaaminika kuwa amekuwa akila fedha hizo na wakubwa ama kupitisha miradi/ feki ya wakubwa kama vile TICS, TRL , Vitalu vya uvunaji wanyama pori na mikataba mingi ya kifisadi ndiyo maana bado anakumbatiwa na JK.. Huyu naye ni nyang’ao linalositahili kukamwatwa na kufilisiwa baada ya kuwekwa ndani/jeli kwa kesi inayofanana na ubakaji wa mali za umma.

(x) ANDREW CHENGE
Kalipotezea taifa zaidi ya Tsh trillion 133.7 kupitia yafuatayo> EPA, RADA FEKI, NDEGE FEKI YA RAIS, MIKATABA MIBOVU YA MADINI, UUZWAJI TUPATUPA WA MASHIRIKA YA UMMA, UFICHAJI FEDHA NJE YA NCHI, KULA RUSHWA NZITO NZITO KWA MATAPELI WA KIHINDI N.K.

(a) Akiwa mwanasheria mkuu wan chi, alihararisha wizi wa zaidi yaTsh Trillioni 133 BOT kwenye kampeini za uraisi na ubunge zilizotuwekea rais mufilisi. Chenge anatakiwa asimame kizimbani na kujibu wizi huo ulioifilisi nchi* ikawa kama dampo la umasikini
(b) Uporaji fedha za* taia hili kupitia ununuzi wa rada feki ununuzi wa Rada na Ndege ya feki ya rais Tsh 90 billioni kwa ujumla wake alishauri vibaya kwa maslahi yao (yeye, Mramba na Mkapa) badala yan maslahi ya taifa
(c) Uuzwaji angamizi wa mashirika ya umma na viwanda kwa hila zote, kwani hata yale yaliyokuwa yakijiendesha kwa faida kubwa alishauri yauzwe kwa bei ya tupatupa (throw away prices)
(d) Kushiriki mikataba mibovu ya madini kama vile Nzega gold mine, Geita gold mine, Buhemba gold mine, Bulyankulu ngold mine, Kahama mine , Buhemba mine, Melelani Tnzanzanite mine alilipotezea taifa zaidi ya Tsh Trillioni 18/- kwa kipindi chote .
(e) Imeficha fedha lukuku ndani na nje ya nchi kwa ufisadi wa kinyonyaji, hatufai.
(f) Inaaminika kuwa aliwahi kuizidi esrikali ya Tanzania zaidi ya billioni 15 na analielewa hilo. Hivyo huyu ni fisadi mufilisi, ni kibaka wa kodi za walala hoi. Kwa maneno mengine amekunywa damu ya watanzania na kuwaacha wakiwa na upungufu wa damu (anaemic natioi),Hana tofauti na vibaka wa viungo vya ALBINO.. Tunashauri akamatwe na kufirisiwa..

Karamagi, Lowassa na Msabaha wamelipotezea taifa zaidi ya Tsh 1,824,000,000/- kwa mwaka Kwa kukwepua Tsh 152,000,000/- kwa siku. Na hapo Kikwete anawasifia ni wahanga wa kisiasa. Bora wafirisiwe tu, maana tukisema wafikishwe mahakamani ni danganya toto tu. Maana kesi zao ni zile zile za kina MAHALU , Kesi Ambazo zimetawaliwa na kupigwa tarehe hata kama ushahidi uko wazi.Lowassa, Karamaji na Msabaha mnasubiri nini kuachia uongozi mlionano , maana kama ni kunuka ni mnuko wa uozo mbaya fisadishi. Pia Karamagi ndiye kingunge wa wizi wa mali ya taifa hili kwa kulipotezea takribani Tsh 205,596,500,400/- kwa kampuni yake ya TICS bandarini Dar-es salaam.

Masha, fisadi la EPA na vitambulisho vya kitaifa, anasemekana kuipotezea Tz zaidi ya billioni 40 kutokana na ufisadi wa EPA, pia ilikuwa amejiandaa kulipotezea Taifa zaidi ya Tsh 200,000,000,000/- kwa mkataba mufilisi wa vitambulisho vya taifa. Watanzania na Tanzania wanahujumiwa kila kukicha na mafisadi ambayo yanaishi kama yapo peponi. Is high time sasa tuwamulike kenge hawa.Hivi ni halali kenge ama mbweha kujichanganya na watanashati wa kimaadili? . Ama kweli ukijipaka harufu mbaya , harufu ya uozo ukakubali kujipaka kwa muda mrefu huwa inafikia wakati unaizoea unajisikia kama hunuki. Viongozi wa andamizi wa ngazi zote hadi kichwa cha state wamejipaka harufu ya ufisadi na kuvaa ufisadi hadi kutosikia harufu mbaya inayotoa kichefuchefu kwa kila mtanzania. Wanadai Chama ni kisafi isipokuwa wanachama wake ni mafisi. Hivi ukikuta baba mwenye nyumba, mkewe na watoto ni walevi, wagomvi, wezi , UTASEMA KUWA FAMILIA HIYO NI NZURI SANA ISIPOKUWA MWANAUME, MWANAMKE NA WATOTO TU NDIO WABAYA. Hapa nadhani hata taihira atkucheka kwani atakuwa nafuu kifikra.

(xi) Karamagi,
amelipotezea taifa zaidi ya Tsh 9,824,000,000 Kwa ufisadi wa RICHMOND, DOWANS na TICS akiwa. TICS ni wazi KATUMEKENGE amejifichamo

(xii)E. Lowassa
Amelipotezea taifa zaidi ya Tsh 1,824,000,000 Kwa mwaka wake wa RICHMOND

(xiii) Msabaha
Amelipotezea taifa zaidi ya Tsh 1,824,000,000 Kwa mwaka wake wa RICHMOND

(xiv) MASHA,-wizara ya wizi wa ndani
Amelipotezea taifa zaidi ya Tsh billion 458.7 kwa kampuni yake inayodaiwa ni kampuni ya jeshi la wana na sakata la vitambulisho fisdadishi vya taifa.

(xv) Pro/ MAGHEMBE
Amelipotezea taifa zaidi ya Tsh 130,000,000/- kwa kulea wauzaji wa mitihani ya NECTA na uuzaji wa vyeti bandia. Pia ameamua kujenga taifa la mazezeta kwa kuachia mitahani iliyovuja kutahini wanafunzi. He could the most dangerous figure in our national. Cha ajabu Karumekenge akisikia hayo anacheeeeekaaaa hovyo hvoyo (hopelessly).

Maghembe , waziri wa Elimu NA UFISADI
Ameruhusu watu waliochini yake kukwapua zaidi ya Tsh 80,000,000/- kwa kuuza mitihani ya kidato cha nne mwaka 2008.
(a) Alidanganya kuwa mitihani mingine haikuvuja isipokuwa mtihani wa Hisabati tu. Hii si kweli kwani mitihani yote ilikuwa imezagaa mithili ya maswali ya masomo kama Historia, Vivics, Geografia, Kiswahili yalikuwa yanafungiwa kwenye karatasi walizokuwa wakiuzia maandazi na vitumbua akina
(b) wanafunzi ambao hawakusoma masomo takribani Chemistry, Physics walipewa credits kwenye masomo hayo kwenye matokeo yao, wanafunzi ambao (e.g. Wilaya ya Serengeti), wanafunzi ambao hawakuwa na History walijikuta wana alama ya B ama C kwenye matokeo yao.
(C) Almost kila wilaya ilipewa mtihani wake tofauti, huku maghembe akinadi kuwa mitihani haikuvuja. YA Kama mitiani mingine haikuvuja , ni kwa nini sasa alisambaza mitihani tofauti kila wilaya ama mkoa nchini?.
(d) Wanafunzi ambao walifeli masomo yote walijikuta wameandikwa wamepasi masomo mawili au matatu. Inakuwaje mwanafunzi amefeli masomo yote saba ama manane (i.e. 8 Fs or 7Fs) anaandikiwa pass ya masomo mawili? Huu ni usanii wa hali ya juu sana.
(e)Inasemekana kwamba baada ya Maghembe na katibu wake kugundua kuwa mitihani yote imevuja, alichokifanya ni kutafua mbinu za kubaki madarakani. VIPI?. Ujanja aliotumia ni kuihakikisha shule nyingi zinafelishwa ili kuhakikisha uongo wake kuwa mitihani haikuvuja , pia aliiamrisha NECTA itoe namba tu kwenye matokea . Hivyo matokeao yakatoka kwenye internet yakiwa yana namba tu bila majina ya watahiniwa. Hii ilimsaidia kuficha uozo wake na uozo wa NECTA na Wizara yake kwa ujumla.Kutokana na hayo, hivi kwanini NECTA, KATIBU MKUU WA WIZARA HINYO NA MAGHEMBE WASIJIUZULU?

Otherwise, wanatujengea taifa la mazezeta. Kikwete na Pinda wamekauka, huenda wanapenda taifa liendeshwe kiukoo kwani watoto wao na wajukuu wao wako ACCESSIBLE KWENDA KUSOMA NJE ZA NCHI na kujiandaa kuja kutawala taifa hili kwa miaka nenda rudi (infinite time period) MAGHEMBE UNASUBIRI NINI KUJIUZURU?

(xvi) WILLIAM NGEREJA:
Ameeendela kulipotezea taifa Tsh 35,561,602,550/-Kwa mwaka kupitia kukumbatia ufisadi wa mikataba mibovu ya madini, utapeli wa vigogo wa TANESCO, DOWANS, IPTL, APR, KIWIRA POWER RESOURCE, SONGAS n.k.

Waziri wa Nishati na Madini anahusishwa na ufisadi kwa kukumbatia ama kufumbia ufisadi ufuatao:

(a) Takribani Tsh 798,950,604,900..75 zimekuwa zikipotea kwenye secta ya madini kwa kupitia mikataba mibovu na fisadishi ya madini yetu yanayoporwa na wachimbaji kutoka mataifa ya kibeberu. Ngereja analifahamu hilo lakini yeye amefumba macho na kujifanya haoini HUKU AKIFAIDI CHA JUU katika uharamia huo. Si rais ama Waziri mkuu anayejali ama kupata presha ya moyo ama matumbo. Wako kimya wakijua kuwa taifa hili either limelogwa hadi kuwa taifa la mambumbumbu ambayo hayasikitiki ama kuhoji juu ya uharamia huu ambao unatukfanya (80%) TUISHI MAISHA YA KUBAHATISHA AMA KUBANGAIZA HUKU WAHESHIMIWA HAWA WANAISHI MURUA KIASI CHA KUSHINDWA KUTOFAUTISHA KATI YA PEPONI PAO NA MAISHA YA PEPONI –MBINBUNI

(b) Takribani zaidi ya Tsh 700 millioni .kwa siku ama Tsh 255,500,000,000/- kwa mwaka zinasagwa kupitia TANESCO ambayo huwalipa wazalishaji feki wa umeme kwa kupitia mikataba ya makampuni feki na fisadishi wakiwemo marais wasitaafu. Hapa Dr. Rashidi –mkurugenzi mtendaji wa TANESCO wnashirikiana na Ngereja kuliangamiza taifa, otherwise kama wangekuwa wanafanya kazi kwa manufaa ya taifa hii wangekuwa wamepeleka hoja bungeni ya kuyafutia mikataba makampuni fisadishi haya, ama wangekuwa wametangaza kuacha kazi kwa kushindwa kuwajibika. Makampuni yanayolitafuna taifa hili kwa kuikaba koo TANESCO na watanzania kwa ujumla ni haya yafuatayo:

(i) IPTL hutafuna Tsh 5.6 billioni kwa mwezi (Tsh 3.8 billioni kwa gharama za uwekezaji na Tsh 1.8 billioni kwa kuitunza mitambo i.e. capacity charge) ,ama Tsh millioni 284 kwa siku. .Hapa haijalishi tumepata umeme ama hatujapata, tumetumia umeme ama hatujatumia!!!!, Mkataba huu fisadishi ulisainiwa mwaka 1995 na aliyekuwa wazairi Wizara ya Nishati na Madini wakati huo, sasa ni kingunge wa mambumbumbu wa taifa hili.
(ii) DOWANS dada RICHMOND inalipwa Tsh 156 millioni kwa siku ama Tsh 4,740,000,000/- kwa mwezi bila kujali uchakavu wa mitambo yao na bila kujali kutokuzalisha kwao umeme. Kuna kuwadi mmoja kutoka nchi za magharibi alitamuka wazi wazi kuwa watanzania toko kwenye dozi nzito iliyoroga viini vya kufikiri (centres of thinking and reasoning) BILA KUJALI KUWA HUYU NI MAAMUMA AMA NI PROFESA.
(iii) SONGAS yenye mkataba angamizi wa miaka 20 hupora Tsh 264 millioni kwa siku ama Tsh 7,928,000,000/- kwa mwezi bila kujari wamezalisha au hawakuzalisha umeme , lazima TANESCO walipe. Viongozi wa TANESCO ngazi za chini wakipiga kelele hushushwa vyeo ama kuhamishiwa porini, hivyo waliopo sasa wamenyamaza na kuwaachia watanzania waamue kama sauti ya umma. Masikini wana TANESCO hawa hawajui kuwa watanzania WAMEJIDHIRA.
(iv) ASTON POWER RESOURCES (APR) ya Mwanza hulipwa Tsh 76 millioni kwa siku ama Tsh 2,280,000,000/- kwa mwezi . Napo bado pana mgao wa umeme nchini
. (v) AGRECO hunyofoa na kufyonza Tsh 62 millioni kwa siku ama Tsh 1,860,000,000/- kwa mwezi, napo bado kuna mgawo wa umeme mkali, na bahati mbaya zaidi zaidi ya 89% ya Watanzania hawatumii umeme hasa vijijini ambako wanatumia vibatari ama vijinga vya moto, bado nao wanakumbwa na zahama hii ya kulipa kodi inayonufaisha mafisadi ya ndani na nje ya nchi.
(vi) KIWIRA POWER RESOURCE hufyonza na kufisadisha Tsh 300 millionni kwa silu ama kupora Tsh 9,000,000,000/- kwa mwezi bila haya. Kingunge wa kampuni hii hana aibu, kwani mwaka 1995 alipita nchi nzima akiwahadaa Watanzania , viongozi wa dini , hata Maaskofu wake kuwa yeye ni msafi (clean) na angepambana na rushwa na wala rushwa , kumbe alikuwa akivuna laana tu , kwani kudanganya umma masikini kama huu wa kitanzania , pia ukadanganya viongozi wako wa dini ni kuvuna laana ambayo inafukuta,

(c ) Ngereja bila aibu amesikika akiipigia filimbi DOWANS kwamba richa ya ukweli wa wazi wazi kuwa vifaa vya DOWANS ni vichakavu, yeye ameishupalia esrikali ivinunue ili kulinusuru taifa hili na giza akidai kuwa mabwawa yetu yamekauka. JAMANI , HATA MWEHU HUWA NA AKIBA YA FIKIRA YA KUJUA SASA NI WAKATI WA MASIKA AMBAPO KUNA MVUA YA KUTOSHA. Hili nalo linafaa kuwashawishi Ngereja na Rashidi kuachia ngazi ili taifa liweze kutembea kimwelekeo wa kusaka maendeleo ya umma .

(d) Ngereja alisema wazi kwa Watanzania kwamba Serikali imeendelea kunadi kuwa mtaji inayowekeza serikali kwa suala la umeme ni Tsh 50 millioni kumbe kinyemela zinatolewa Tsh 36,000,000,000/- .
Kwa hiyo kutokana na hujuma hizo ambazo Ngereja amezikumbatia ama kuzinyamazia huku taifa likiporwa kila kukicha , anakuwa ni sehemu ya ufisadi akishirikiana na Fisadi Dr. Rashid wa TANESCO, wote hawa wawili hawastahili kuendela na nyasifa hizo.

(xvii) BENJAMINI MKAPA
Kalipotezea taifa zaidi ya Tsh Trillion 98.5 kwa miaka yake akiwa ikulu kwa miaka 10 (1995-2005) kwa kupitia uanzishaji wa EPA,, Kampuni zake (ANGEN, fosnik, TANPOWER,) Ndege feki ya rais, RADA, utupaji wa mashirika ya umma, kushiriki mikataba mibovu ya madini kwa masrahi yake binafsi,kuweka rais pandikizi-karumekenge, kuendelea kuienzi kampuni angamizi ya ITPL

(xix) WASIRA-Waziri wa kilimo na chakula.
Alikiua kilimo tangu miaka ya sitini kwa kujali maslahi yake binafsi. Ikiwemo kula fedha ya mbolea ya ruzuku waka 2008. Sasa amekiua kilimo kwa kusambaza mbolea angamizi ya Minjingu hufanya mimea ivie ama kuzuia kukua ikichanganywa na mbolea zingine kama vile CAN, TAP, TSP,SA, UREA. Mbolea ya minjingu imewaliza wakulima wengi.

(xx) MWANYIKA , MWANASHERIA MKUU TANZANIA,
Amekomba zaidi ya billioni 987 kwa kupokea rushwa nene na kutoa taarifa feki kwenye uchunguzi wa RICHMOND , sakata la Buzwagi, mikataba mibovu ya madini, sakata na hujuma za wahindi kupanga kwenye nyumba nzuri za National Housing kuliko wazawa, Sakata la DOWANS na hujuma nyingine nyingi. Ni fisadi anayetakiwa ajiuzuru mara moja.. Pia lilikuwa kwenye kamati ya kuchunguza wizi wa fedha za BOT (kupitia EPA), Je fisi anaweza kumchunguza fisi mwezie au kujihukumu mwenyewe? NEVER!!!!. Hiyo ni danganya tot(B) Inaaminika kuwa amekuwa akila fedha hizo na wakubwa ama kupitisha miradi/ feki ya wakubwa kama vile TICS, TRL

Ameifilisi nchi kwa kusaini mikataba FISADISHI alimradi tu akajari masilahi yeke binafsi. e,g,BOT, RADA, RICHMOND, DOWANS, UNUNUZI WA NDEGE YA RAIS, ubinafishaji TRL, IPTL . Alilipotezea taifa zaidi ya Trillioni 15. ANASTAHILI AKAMATWE NA KUTIWA NDANI. LAKINI KIKWETE BADO ANAWAIMBISHA HALELUYA . It is too un-Islamic and un-Godliness.

(xxi) WIZARA YA MAENDELEO YA MIFUGO NA UVUVI/UVIVU
imeoza mpaka kwenye visigino tukisema imeoza hadi kichwani tutakosea. Hebu fikiria , Botswana ina ng’ombe millioni tatu na nusu , lakini inaingiza pato la taifa kiasi cha 80% GDP. Tanzania ina ng’ombe 18.5 million, lakini inaingiza pato la taifa kwa asilimia 4.9% tu. Hivi pinda huoni kuwa hapo panahitaji kusambaratishwa na kuundwa upya. Kumtoa Diallo peke yake haikutosha, mimi nachukulia kuwa ilikuwa chuki ya kibinafsi kati ya diallo na bosi wako. Maana aliacha mapapa yanayotafunafedha za walipa kodi kwa kudai wanatuma mamia ya millioni kila mwaka kudai zinakwenda kuboresha sherehe kama vile
(a)maonyesho ya nane nane
(b)wiki za maziwa
(c)maonyesho ya sabasaba
(d) Safari za nje ya nchi za makatibu wakuu. Kurugenzi, na marafiki wa vigogo hao waliopo wizarani.

Nasema kuwa Safari hizo zote matunda yake ni ziro kama sio kwenda kupata mitaji haramu na material fisadishi. Kwani mifugo na mfugaji mwenyewe wamebaki vile vile kama miaka ya 1820 AD. Sehemu zingine ambazo zinatafuna fedha ni makongamano, washa na seminar zailizoanza tangu miaka ya 60 lakini hadi leo mifugo imebaki hafifu isiyokidhi soko la nje.

Wafugaji wamekuwa wakimbizi ndani ya nchi yao , wakifukuzwa kila wanapokwenda bila kutengewa eneo maalumu.?. Ihefu?, Kilombero?, Kilosa?) na kuhamishiwa kwenyhe kanda za ndolobo kama vile Lindi ili mifugo yetu isiweze kuwa na thamani ya soko la nje. Ndugu pinda anayajua haya na bosi wake Karumekenge. Lakini kutokana na ufinyu wa akili zao, wameshindwa kuivunja wizara hiyo ama kuiweka chini ya WIZARA YA ULINZI, yaani iwe ”WIZARA YA ULINZI NA MAENDELEO YA MIFUGO”, na kuwang’oa VINGUNGE WALIOPO HAPO KWA NAFASI ZA UKATIBU MKUU AMA KURUGENZI FISADISHI. Hapo ndipo Mifugo ingezalisha pato linaloeleweka..

Lakini Pinda akipelekewa matatizo hayo ANASHANGAA SHANGAA TU HUKU Bosi wake akiyasikia hayo anacheeeeekaaaa kama kichaa kaokota tambala chafu jalalani.

INATISHA! MASKINI TANZANIA UMEVAMIWA NA VIONGOZI MATAPELI, POLE SANA MTANZANIA!!!!!. Wizara hii ameipiga HATI CHAFU MKAGUZI WA MAHESABU YA TAIFA (CAG), YAANI AMEIPIGA ZIRO. WEWE PINDA HULIONI HILO? Kwa bahati mbaya zaidi , MAGUFULI AMEFUNGA KUFULI KWENYE MIFUGO, AMEJILKITA KWENYE SAMAKI PEKE YAKE. NILISHANGAA SIKU MOJA KUSIKIA KUWA AMEKAMATA KOKOLO ZA UVUVI HARAMU KWENYE MADIMBWI YA SAMAKI HUKO ARUSHA. JE TUTAFIKA?

KWA KUFAFANUA ZAIDI , KINGUNGE TUANAKUPA MAELEZO YA KINA KIREFU KIASI CHA BAADHI YA MAFISADI TULIOWAORODHESHA HAPO JUU:

Ulikoma kukwepua fedha hizo baada ya Prof Peleka (DVC) wa SUA kumshitukia na kulazimisha vibarua wafungue akaunti mwaka 2008.

Ulaji wa Tsh 60,000,000/- kwa kingiza makonteina feki kati ya mwaka 2000 na 2004 . Hujuma hiyo ilikoma baada ya kumtapeli mama Fulani (jina tumelihifadhi) rafiki yake na mama Ana Mkapa . Mama huyo kwa kumtumia Anna Mkapa, polisi walifuatilia hadi kuyaona makonteina yake mawili hapo SUA. Magoma alishauri uongozi SUA wamtoe kafara mhasibu mmoja (Mr. Mkama) kwa kuwekwa mahabusu takribani mwezi mmoja, baadaye fedha hiyo hiyo ikatumika kuhonga polisi na Kumwacha huru Mr. Mkama mpaka leo.

(e) Wizi wa Tsh 442,000,000/- SUA Tarehe 22/4/2006 . Baadhi ya fedha hizo (400,000,000/- ) zilikuwa zimekusanywa kama Pet-cash , zingine Tsh 42,000,000/- zilkuwa malipo ya wafanyakazi, cha ajabu tarehe 22.4.2006 zikatangazwa Tsh 42,000,000/- tu , kwa maana kwamba zile Tsh 400,000,000/- ziliachwa kutangazwa makusudi ili kupunguza makali ya ufisadi huo. Magoma alikutwa na fedha zaidi ya Tsh 80,000,000/- nyumbani kwake siku hiyo ya tukio. Cha ajabu alikamatwa na wahasibu wenzie baadaye akaachiwa baada ya kumhonga polisi aliyekuwa anapeleleza kesi hiyo. Kikwete alipewa taarifa hizo , nafkiri alicheka cheka na baadaye kuunda safari ya kwenda Marekani (USA) kwa bosi wake. Fedha hizo aliongezakununua magari , kujengea majumba ya nguvu wake za watu (e.g. Mama nyabinyili, Mama Magafu, Mama Dowire,Mama demagera,Mama Ngokomwa, Mr Paulo Manumba) na kuvunja ndoa zao na nyingine nyingi ikiwemo ya Mama NICE(huyu ndiye mwenye hasara kwani hajajengewa nyumba, ameishia kuchezewa na kuvunja nyumba tu. Magoma anapractice enzi za Sodoma na Gomora ndani ya taifa linalojiita linafuata siasa za Ujamaa na Kujitegemea.

Wakuu wanafahamu , lakini wamekauka huenda kwa vile nao wana mchozo huo huo, TUSUBIR MUNGU ATOE ADHABU YA MITHILI YA SODOMA NA GOMORA AU ZAIDI KWA TAIFA HILI. Huwezi kuamini kwamba watoto wa masikini wanashindwa kwenda shule, ama masikini kufa majumbani au mbele ya Hospitali kwa kukosa fedha ya kumwona daktari (Tsh 10,000/-) na kukosa dawa huku wengine wanaishi maisha ya KUFURU

(f) Wizi wa Tsh 130,000,000/- Kwa ukarabati hewa na uwekaji furniture hewa wa nyumba anayotakiwa kuishi makamu wa chuo (Vice Chancellor (VC) . Hujuma hiyo ilifanyika mwaka wa fedha 2007/2008. Magoma na VC (Prof Monera) walibuni mradi huo kwa kudanganya kuwa waliingiza furniture mpya na kuikarabati nyumba hiyo. Kwa kweli nyumba hiyo ilikuwa na kila kitu, na ilikuwa haihitaji ukarabati wowote, Kwa hiyo huo ulikuwa ni ufisadi-hujumu. Taarifa hizo wanazo Pinda na Kikwete, wamejikaukia.

Mimi nawashangaa Watanzania wenzangu tumelogwa na nini, maana utakuta watu mitaani wakisifia utendaji wa Pinda ama Kikwete, je wanasifia kwa lipi iwapo wameachia fedha ambayo
(i) ingesomesha Watanzania bure hadi chuo kikuu bure imo mikononi mwa mafisadi as if yanaaishi miaka 500
(ii) Fedha ambayo ingewezesha watanzania watibiwe bure imo kwenye magodoro ya mafisadi
(iii) Fedha ambayo ingenunulia matrekta imefugwa kwenye akakunti za mafisadi Ulaya
(iv) Fedha ambayo ingenunulia mbolea ya wakulima wetu (peasants) imehifadhiwa kwenye mifuko ya wahujumu uchumi ndani na nje ya nchi
(v) Fedha ambayo ingeanzisha kilimo cha kumwagilia na ranchi kubwa za mfano Tanzania na Africa imefunikwa kwenye akaunti fisadishi nje na ndani ya nchi. Cha kushangaza zaidi, watu hawa wanawafahamu, tunawafahamu, tunapishana nao wakiwa kwenye mashangingi yao yaliyopora jasho la walipa kodi.
Tuamke tuyamulike mafisadi haya kwa kutoshabikia ziara zao,ama kwa kuandaa kura zetu vizuri kupigia kura ya NO NO NO KILA FISADI KATIKA NGAZI ZAO ZOTE ZA UNGOZI. NCHI ZA WENZETU HUWA YANAZOMEWA LICHA YA KUNYIMWA KURA.

(g) WIZI WA TSH 200,000,000.00 KATIKA UJENZI WA MGOROFA MAWILi (mabweni ya kulala wanafunzi) badala ya manne kati ya 2007/2008. Plan ya awali ilikuwa kujenga magorofa manne , baadaye Magoma akashauri wajenge gorofa mbili tu ambazo eti ziko modified. Hapo ndipo walikata Tsh 200,000,000/- wakaweka mfukoni na wakubwa wa chuo Gray Mgonja
(A) Alibariki na kuhisika na uporaji wa sh 17,857,616,400/- BOT kwenda kampuni yao ya *Tangold ltd akiwa mkurugenzi wa BOT pia hapo hapo akiwa mkurugenzi wa Tangold ltd kampuni ambyo hikuwa na usajili.
(B) Kunyamazia ufisadi wa uporaji wa trillioni za fedha BOT* kenda kwenye makampuni hewa akiwa mkurugenzi BOT. Pia liko kwenye kamati for determining the corrupt persons in Abusive thefty of BOT, Je fisi anaweka*kumhukumu fisi mwezie au kujihukumu mwenyewe? NEVER!!!!. Hiyo ni danganya toto ya Kikwete ambaye bado anafikiri anaongoza Watanzania wa miaka ya 1960s. Leo nadokeza tu.Mambo haya yanauzi sana
MAFISADI WENGINE NI :
WASIRA-Waziri wa kilimo na chakula. Alikiua kilimo tangu miaka ya sitini kwa kujali maslahi yake binafsi. Ikiwemo kula fedha ya mbolea ya ruzuku m
waka 2008. Sasa amekiua kilimo kwa kusambaza mbolea angamizi ya Minjingu.
-Anna Mkapa na ANBEN YAKE, ushauri mbaya kwa fisadi Mkapa
Sophia Simba , huyu hajui kile anachokifanya, yupo yupo tu kwa vile anakula na bosi wako
SHUKRU KAWAMBWA. MPWA WAKE NA KARUMECHENGE, Ameleta losi kwa Wizara tatu za Tsh 105 billion kwa kushindwa kusimamia watu waliochini yake. Na sasa yuko kwenye wizara ya nne. Yaani amezishindwa Wizara nne tangu azawadiwe uwaziri na Mjomba wake (Karumekenge). Ameshika wizara nne kwa muda wa miaka miwili na nusu tangu mwaka 2006 hadi 2009 na hakuna wizara inayotembea mara tu apewapo tapeli huyo wa ujomba.


Shikamooooooooo Shyyyyyyy!!!! Hujambo Shyyyyyyyy!!! Habari yako Shyyyyyy!!! Halafu eti watu wanatetea uozo. Acha wenye kuona na kusema na data kama Shy waseme, nao ni wakristo na waislam kwa makundi yao. Malasusa naye anakuja na waraka wake!!! Yaani mijitu fisadi inathubutu kusema halafu na watu wanathubutu kuwatetea hapa. Hizo data basi na wajitokeze hapa wakane kama hatujaleta facts (supporting documents hapa). JF JF nakupenda kwa moyo wote, nilalapo nakuota wewe, niamkapo ni heri mama we, JF JF, jina lako ni tamu sana.....
 
Huyu Mwiba ni atakuwa ni mmoja wa maustadh,tena sijui ametoka wapi kwani sisi wanaJF hatukumzoea. Isitoshe hoja zake ziko very 'immature' au shule itakuwa tatizo. kwa jinsi alivyobuni uongo na kutaka kuwapotosha Waislamu.Natumaini Waislamu Makini hawatapoteza mda wao hata kuusoma mara mbili.
 
Huo walaka sijauona ila Kingunge nae kaflook bse angeweza ata kutohoa sehemu ambayo anahisi ndo inaleta ayo mambo ya udini tungemwelewa.
Kumbuka maaskofu wameubariki tuu ila CPT ndo wameuandaa.
Alafu mambo kama hayo toka 1995 maparokiani washawai kupewa mwongoza namna ya kuwaelimisha waumini juu ya kuchagua viongozi bora though haukuwa effective.
Na ata Malawi juzi tuu kanisa lilitoa mwongozo.
CCM kwa nini hawataki watu waeleimishwe juu ya kupiga kula na kumchagua mtu anaewafaa wananchi.
Naliunga mkono Kanisa bse umaskini wa taifa letu watokana na viongozi wabovu hence mzigo kuvilemea vyombo vya dini,NGOS kulea the have not machafuko yakitokea wao ndio wa kubeba msalaba
 
Safi sana kwa mjadala kama huu, Huyu mzee anachoogopa ni nini????? Hivi kumshawishi mtu awe mwangalifu kuchagua kiongozi ajaye kuna kosa gani??
Mzee Kingunge sasa amefulia kisiasa, asogope kupokwa kukusanya ushuru wa Ubungo temino.
Kwanza wazee wa umri wa Kingunge wanatafuta nini katika uongozi wa nchi hii hadi leo?? nashauri huyu babu apumzike tu hana jipya
 
Mimi sioni tatizo kwani waraka haujabagua mtu kwa dini yake, ushauri tu ni kwamba uboreshwe zaidi ili watu waelewe haki zao za msingi kama kulipa kiingilio ubt ni haki ama la wakati air port jambo hilo lilishafutwa. Kingunge aliyefanya kazi na mwl nyerere sio huyu, huyu ni mwingine!
 
Mi nimeusoma, hauna shida ni hofu tu ya kutoaminiana kati ya dini tofauti. Mi nafikiri viongozi wa dini nyingine wausome nao watoe maoni yao ili taifa liwe na nia moja ya kuondosha ufisadi na kuleta Tz yenye matumanini.

Ni ukweli kuwa tupo ambapo hatustahili kuwapo but that can be changed in the ballot box.

Mungu ibariki Tz
 
Those who say religion has nothing to do with politics do not know what religion is.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom