Wapwa na mabinamu zangu nisaidieni kufanya uchaguzi

Mi naona za kike ni nzuri zaidi kwa sbb unakuwa unahisi km unapiga bare footed tu! Na hapo hazitakufrustrate wewe mchapaji!
 
Hahahaha! dada yangu anaipata habari yake kisawasawa. Rough Rider si ndio zile zenye vipelepele? Lol![/QUOTE]
prisaizili!huna hizo hujamvua kabisaaaaaaaaaaaaaa,na hamuwezi kuelewana.

huwezi amini shemeji,kwa sasa mechi za mchangani nimekuwa extra keafuli,na bila kuvaa zana sijapiga kicheche.

Hahaha! Bashee bana. Hapa nimezikosa baraka za mpwa Fidel. Yeye weekend huwa inaanza Alhamisi.
 
Mi naona za kike ni nzuri zaidi kwa sbb unakuwa unahisi km unapiga bare footed tu! Na hapo hazitakufrustrate wewe mchapaji!

Hili wazo lako ntalifikisha kwa mama mtoto wangu kama lilivyo. Naona lina mvuto flani.
 
Mimi sababu zangu za kuvaa kondomu ni hygen, kwa jinsi nilivyo bishoo huwa naona soo sana kuchafua mshedede na maji ya mule ndani ndio maana naweka water proof.

Lol! Mpwa! Hahahaha! water proof? I deserve kupata ufafanuzi.
 
Lol! Mpwa! Hahahaha! water proof? I deserve kupata ufafanuzi.

mpwa unajua ile sehemu basi kwakuwa wengi wametokea huko(isipokuwa wale wa kisu) si salama sana, watalaamu wanakwambia kuna bacteria wa kutisha mno, sisi tunaoweka midomo huko tukimaliza huwa tunatumia mouth wash sasa kwa wale wanaoloweka nanii zao kuna d..k wash kwani? ndio maana natumia ile miplastiki kujizuia nisichafuke.
 
mpwa unajua ile sehemu basi kwakuwa wengi wametokea huko(isipokuwa wale wa kisu) si salama sana, watalaamu wanakwambia kuna bacteria wa kutisha mno, sisi tunaoweka midomo huko tukimaliza huwa tunatumia mouth wash sasa kwa wale wanaoloweka nanii zao kuna d..k wash kwani? ndio maana natumia ile miplastiki kujizuia nisichafuke.

dah...kaazi kweli kweli mkuu! sasa bi mkubwa apo juu atakubali kweli haya mambo ya condom au utabadilika kama kwenye avatar?:D
 
Tumia FAMILIA. Kuna matangazo siku hizi ya kondomu aina hii. Wanasema hii ndiyo kondomu maalumu kwa wanandoa.
 
Mimi na huyu mlala pembeni yangu kihalali, tukiwa na akili timamu na bila ya kulazimishwa na mtu yeyote tukiwa na nia moja na bila ya kushawishiwa na mtu yeyote tumeamua kutumia kondom kama njia ya kufanya uzazi wa mpango. Tuko katika mtihani mzito wa kuamua aina ya kondom itakayotufaa katika zoezi hili. Hatujawahi kutumia kondom huko nyuma kwa pamoja (mi nlishawahi kutumia kwenye mechi za mchangani, sijui kama wife alishawahi kutumia. Naogopa kumuuliza nisije vunja ndoa yangu kwa wivu)

Nisaidieni ushauri hivi kondom ipi bomba kwa wanandoa. Ya kiume au ya kike? (Wife kama uko JF nisamehe na nakuomba usichangie lolote kwenye hii mada)

Pole sana mdogo wangu... wengi wa wazoefu huachia tu kwa nje ya goli!! Ina maana hiyo huwezi?
 
Tumia FAMILIA. Kuna matangazo siku hizi ya kondomu aina hii. Wanasema hii ndiyo kondomu maalumu kwa wanandoa.
hiyo bado!
tumia rafu raida kaka/dada!(sijajua kama wewe ni HE,au SHE)
 
mpwa unajua ile sehemu basi kwakuwa wengi wametokea huko(isipokuwa wale wa kisu) si salama sana, watalaamu wanakwambia kuna bacteria wa kutisha mno, sisi tunaoweka midomo huko tukimaliza huwa tunatumia mouth wash sasa kwa wale wanaoloweka nanii zao kuna d..k wash kwani? ndio maana natumia ile miplastiki kujizuia nisichafuke.

Mpwa umenivunjia mbavu zangu tatu. Lol! Hahahahaha!
 
Back
Top Bottom