Wapwa na mabinamu zangu nisaidieni kufanya uchaguzi

tatizo ni pale itakapobasti na hatojua kama imefanya ivo. ajaribu moja,mbili, tatu then aseto mwenyewe. sema mwana asikae sana kwenye zile za sh.100 unapewa tisa. sio.

Hivi kuna za mia? Lol! Haya mzoefu nishauri nitumie za shingapi?
 
Mimi na huyu mlala pembeni yangu kihalali, tukiwa na akili timamu na bila ya kulazimishwa na mtu yeyote tukiwa na nia moja na bila ya kushawishiwa na mtu yeyote tumeamua kutumia kondom kama njia ya kufanya uzazi wa mpango. Tuko katika mtihani mzito wa kuamua aina ya kondom itakayotufaa katika zoezi hili. Hatujawahi kutumia kondom huko nyuma kwa pamoja (mi nlishawahi kutumia kwenye mechi za mchangani, sijui kama wife alishawahi kutumia. Naogopa kumuuliza nisije vunja ndoa yangu kwa wivu)

Nisaidieni ushauri hivi kondom ipi bomba kwa wanandoa. Ya kiume au ya kike? (Wife kama uko JF nisamehe na nakuomba usichangie lolote kwenye hii mada)

Duh, kumbe na mbwembwe zote ushatiwa pingu wewe!!??:p:p;);):p
 
Duh, kumbe na mbwembwe zote ushatiwa pingu wewe!!??:p:p;);):p

Tayari kaka. Tena mshori wenyewe wa humuhumu jamvini. Si umeona watoto wa Beijing leo wamesepa? Wanamuogopa bi mkubwa. Binamu hujanishauri lakini? Ya kiume au ya kike?
 
Tayari kaka. Tena mshori wenyewe wa humuhumu jamvini. Si umeona watoto wa Beijing leo wamesepa? Wanamuogopa bi mkubwa. Binamu hujanishauri lakini? Ya kiume au ya kike?

Kudadadeki, we ngoja waitane waandae mabango tuone kama utapona... POWER TO THE PEOPLE MOVEMENT ON ITS WAY!!!

Run N***er run!~!!!!
 
Tayari kaka. Tena mshori wenyewe wa humuhumu jamvini. Si umeona watoto wa Beijing leo wamesepa? Wanamuogopa bi mkubwa. Binamu hujanishauri lakini? Ya kiume au ya kike?
Tunakuogopa? tukuogopee nini?Ni vile hatuzitumii hizo kondomu.Kanisani kwetu ni dhambi.Hivyo mimi binafsi sina uzoefu na sitaweza kukushauri vema.
 
Kudadadeki, we ngoja waitane waandae mabango tuone kama utapona... POWER TO THE PEOPLE MOVEMENT ON ITS WAY!!!

Run N***er run!~!!!!

Mpwa bado nasubiri ushauri wako. Najua una kauzoefu. Acha kunibania.
 
Tunakuogopa? tukuogopee nini?Ni vile hatuzitumii hizo kondomu.Kanisani kwetu ni dhambi.Hivyo mimi binafsi sina uzoefu na sitaweza kukushauri vema.

Hahahaha! Wife bwana, si nilikuomba usichangie hii mada? Imekuwaje tena?
 
Mpwa na ndg yangu chrispin nasikitika sana hutopata mchango wangu kwenye hili swala mimi ni mweupe kbs mwanangu......situmii kbs ila naona tangazo la SALAMA CONDOM kuna jamaa anavaa kikomedi anaingiza kichwa kwenye mdomo wa mamba

mweh kwani wewe umeoa ???:)
 
Chrispin wazo lako la kutumia Condoms kupanga uzazi wa mpango wewe na familia yako ni zuri sana ,kwani hizi njia nyingine kama masindano,vidonge ,yana athari zake
Ila Condom ya Kike mie sishauli maana hata wanavyofundisha utumiaji wake ni mgumu sana ..labda uwaone wataalam wa mambo ya uzazi wakupe ushauri zaidi
 
Mpwa ahsante kwa ushauri wako. Uzoefu kitu muhimu sana. hahahaha lol ultra thin. ultra thin. ultra thin. Nimeshaikariri hiyo.


haya ultra thin ...nbado unakaririiiiiiiiiiii..kuna ingine inaitwa durex feather lite..nzuri pia ( nilisoma kwenye kitabu fulani)))))))
 
Chrispin wazo lako la kutumia Condoms kupanga uzazi wa mpango wewe na familia yako ni zuri sana ,kwani hizi njia nyingine kama masindano,vidonge ,yana athari zake
Ila Condom ya Kike mie sishauli maana hata wanavyofundisha utumiaji wake ni mgumu sana ..labda uwaone wataalam wa mambo ya uzazi wakupe ushauri zaidi

Shukrani kwa ushauri mzuri. Kuna mtu aliniambia kondom ya kike moja unaweza kwenda mpaka raundi tatu bila kubadili tofauti na ya kiume. Zoezi la kuvaa na kuvua kila baada ya raundi linaletaga usumbufu kwenye kondom za kiume.
 
mweh kwani wewe umeoa ???:)

Bado! Niliwahi kubandika tangazo natafuta mchumba wala hakujitokeza matokeo yake walicheka picha yangu mpaka leo sina raha...embu first lady nitoe hata kama una mdogo wako ila urefu tulingane nasikia siku hizi tunapigwa naogopa iskute ni timbwili timbwili
 
Chrispin wazo lako la kutumia Condoms kupanga uzazi wa mpango wewe na familia yako ni zuri sana ,kwani hizi njia nyingine kama masindano,vidonge ,yana athari zake
Ila Condom ya Kike mie sishauli maana hata wanavyofundisha utumiaji wake ni mgumu sana ..labda uwaone wataalam wa mambo ya uzazi wakupe ushauri zaidi

Jamani kwanini usivoluntie kumwelekeza jinsi ya kutumia za kike halafu yeye atafikisha utaalamu kwa mamsapu!
 
haya ultra thin ...nbado unakaririiiiiiiiiiii..kuna ingine inaitwa durex feather lite..nzuri pia ( nilisoma kwenye kitabu fulani)))))))

Unakumbuka jina la hicho kitabu kitafaa kwa reference baadaye!
 
Jamani kwanini usivoluntie kumwelekeza jinsi ya kutumia za kike halafu yeye atafikisha utaalamu kwa mamsapu!

mie sijui

ila watu wa Amref/Angaza sometimez huwa wanapita na kutoa maelekezo ..sijajaribu masa ila nahisi kama mwanamke atakuwa not confotable
 
haya ultra thin ...nbado unakaririiiiiiiiiiii..kuna ingine inaitwa durex feather lite..nzuri pia ( nilisoma kwenye kitabu fulani)))))))

Nimekuelewa. Baada ya kuisoma uliifanyia practical? Durex feather lite ni ya kiume au ya kike? Nayo nimeshaikariri.
 
Shukrani kwa ushauri mzuri. Kuna mtu aliniambia kondom ya kike moja unaweza kwenda mpaka raundi tatu bila kubadili tofauti na ya kiume. Zoezi la kuvaa na kuvua kila baada ya raundi linaletaga usumbufu kwenye kondom za kiume.

kumbe weye unataka wepesi eeh maji ukiyavulia nguo huna budi kuyaoga ati hata round kumi vaaa !!!
 
Back
Top Bottom