umejuaje hayo yote??????? mbona unatuacha njia panda, kuna msemo mmoja wa kiswahili unasema "msifia mvua imemnyea".............
domo kaya avatar yako Mbaya kama kalumanzira vile
unajua avatar zinajieleza unapenda nini kwi kwi kwi teh teh teh teh
Mpwa mi situmii, hebu tumsuri Fidel na FL anc co....
swadakta mwanachamaHehehehe atumie rafu raider tu haina tofauti na kula kavu
swadakta mwanachamaHehehehe atumie rafu raider tu haina tofauti na kula kavu
Za kike sio kabisa kaka yangu yani inaeza ishilia humo ndani ikawa tabu baadaye tumia tu za kiume much safer
Mwambie na Masanilo abadilishe hiyo Avatar yake kwani toka lini maua yakamwagiliwa hivyo?Burn
afadhari umebadili hiyo Avatal lol
Mwambie na Masanilo abadilishe hiyo Avatar yake kwani toka lini maua yakamwagiliwa hivyo?
Mpwa utafaidi sana halafu ile Avatar yake kama ndivyo FL1 alivyo basi dunia hii kuna watu wanakula vitu vitamu kama asali mchanganyiko wa nyuki wakubwa na wadogo!!hahahaha mpwa acha hizo, hujui huyu FL1 ananizimikia! Najua ipo siku atanipa tunda la uzima!
Hata mimi hili huwa linaniudhi kwani mwenye jukumu la kuzuia UKIMWI na mimba ni mwanaume pekee?? Na ndio maana wanawake wa jinsi hii wakikutana na wanaume wababe wanapiga mtanange kavu kavu!! Kwanini nasema hivyo kwa sababu saa hizo ni saa tano halafu maduka yote na baadhi ya bar za karibu zimefungwa na wote wameshapiga mitungi kwahiyo no way out ndio zinakuja zile za ajli kazini au kama ni siku ya kufa hata ufanye nini utakufa tu! LOL!! Wanawake bebeni kondom ni kinga madhubuti!! By thw way umeme wa IPTL unawaka lini jamani?? Uuwwiii!! Uuuwiiii!! UUwiiii!! Silali giza tena nimekataaHivi kwa nini wanawake iwa hampendi kukumbuka condom? na jukumu la kubeba na kununua mnamwachia mwanaume kwa nini hivi?
kaka chris na wifi hongereni sanakwa uamuzi huo, ila napenda ufahamu kwamba condom zetu hizi huwa zinapasuka!! kwa hiyo unapofanya utafiti tafuta jina la ile imara kuliko zote,
Halafu mi huwa sipendagi uniite kaka. Ni vile tu hujuagi.
Mpwa utafaidi sana halafu ile Avatar yake kama ndivyo FL1 alivyo basi dunia hii kuna watu wanakula vitu vitamu kama asali mchanganyiko wa nyuki wakubwa na wadogo!!
hee! haya KAKA nimeweka herufi kubwa kabisa maana hizo herufi ndogo huzipendi, hazionyeshi msisitizo, au wewe una suggest nikuiteje?
Sidhani herufi ndizo anazoongelea huyu. mmmmmnh!
Sidhani herufi ndizo anazoongelea huyu. mmmmmnh!
Nikivaa mawani yangu, Kaka huwa inasomekaga Darling. Vipi unaipenda mawani yangu?