Ma-CCM, mabibi na mabwana.
Kumpongeza mgombea kwa kutambua jitihada zake binafsi za kupigania haki na uhuru kwa wananchi wa nchi hii, katika mazingira magumu ni jambo la kheri na lenye thawabu kubwa kwa mwenyezi Mungu.
Tundu Lissu kajitoa kupambana vilivyo. Pamoja vizingiti, kejeli, matusi na kubezwa kwake na wanaomchukia kwa sababu zao binafsi, amesimama imara.
"Tundu Lissu popote ulipo tambua kuwa haupo peke yako."
Alipo tupo. Tunafarijika naye tukiamini pasipo shaka kuwa ushindi ni dhahiri na umekaribia mno.
Anapoendelea na kampeni zake rasmi na akatambue kuwa hayuko peke yake. Nasi kwa upande wetu tunaendelea na kampeni zetu za ana kwa ana kwa wapendwa wetu, majirani zetu, wafanyakazi wenzetu nk, kuona kura zetu sote kwa kadri iwezekanavyo ni kwake.
Ni dhahiri kuwa nchi hii baada ya miaka 60, inastahili mabadiliko. Nchi hii inamhitaji mtu mwenye uthubutu kama Tundu Lissu kupokea kijiti kutoka kwa Magufuli. Nchi hii inahitaji chama kingine madarakani zaidi ya CCM.
Ewe Magufuli, CCM, polisi, tume, mahakama, nk mabadiliko ya hatamu za uongozi kwa mujibu wa katiba si uhaini. Ni jambo la afya tu kwa ustawi wetu sote.
Maisha hayawezi kuwa kwa mazoea tu kwa siku zote.
Ninawasilisha.
Kumpongeza mgombea kwa kutambua jitihada zake binafsi za kupigania haki na uhuru kwa wananchi wa nchi hii, katika mazingira magumu ni jambo la kheri na lenye thawabu kubwa kwa mwenyezi Mungu.
Tundu Lissu kajitoa kupambana vilivyo. Pamoja vizingiti, kejeli, matusi na kubezwa kwake na wanaomchukia kwa sababu zao binafsi, amesimama imara.
"Tundu Lissu popote ulipo tambua kuwa haupo peke yako."
Alipo tupo. Tunafarijika naye tukiamini pasipo shaka kuwa ushindi ni dhahiri na umekaribia mno.
Anapoendelea na kampeni zake rasmi na akatambue kuwa hayuko peke yake. Nasi kwa upande wetu tunaendelea na kampeni zetu za ana kwa ana kwa wapendwa wetu, majirani zetu, wafanyakazi wenzetu nk, kuona kura zetu sote kwa kadri iwezekanavyo ni kwake.
Ni dhahiri kuwa nchi hii baada ya miaka 60, inastahili mabadiliko. Nchi hii inamhitaji mtu mwenye uthubutu kama Tundu Lissu kupokea kijiti kutoka kwa Magufuli. Nchi hii inahitaji chama kingine madarakani zaidi ya CCM.
Ewe Magufuli, CCM, polisi, tume, mahakama, nk mabadiliko ya hatamu za uongozi kwa mujibu wa katiba si uhaini. Ni jambo la afya tu kwa ustawi wetu sote.
Maisha hayawezi kuwa kwa mazoea tu kwa siku zote.
Ninawasilisha.