Sijijui
JF-Expert Member
- Jan 14, 2018
- 7,879
- 8,800
Mchawi mpe mtoto akulelee wewe mjini.EL ni fisadi wa ukweli Ila wa kumfunga hayupo,hata huyu bush man wenu anayejitapa kupambana na ufisadi kwa EL kapiga magotiHakuna aliyeboa kama Tundu Lissu, kabisa alikuwa anatuambia wananchi et kama Lowassa fisadi mbona hajashtakiwa? anatumbia twende mahakamani.