Tetesi: Wapo wapi Lema na Sugu?

olimpio

JF-Expert Member
Apr 5, 2023
402
834
Seke seke la bandari linaficha mengi na makubwa yanayoendelea CHADEMA.
Nawaomba msichangie kwa mihemko , leo nawapa starter hii hapa chini.
Lema ana ugomvi mkubwa sana na viongozi wake ndani ya chama .Imepelekea Kugomea mikutano ya chadema inayoendelea nchini ya kudai Katiba mpya na kupinga bandari.
Lema alirudi nchini kwa msaada wa Rais Mstaafu JK ,ambaye alimuombea kwa mama Samia. Baada ya kurudi Lema aliingia makubaliano ya siri na baadhi ya viongozi waandamizi wa CCM akiwemo Rais Mstaafu .Makubaliano yalikua Lema afanye hisani kusaidia Upinzani usiitikise CCM hasa kwenye uchaguzi Mkuu ujao.

Hapo mwanzo serikali ilikua kwenye transition na watu wengi walikua hawajawa aligned sawa sawa , hivyo kuna watu serikalini waliwatonya akina Lissu juu ya uwepo wa watu wanaoandaliwa kuja kuwabomoa wapinzani kabla au nyakati za uchaguzi.
Mipango hio ikajulikana na tayari Lissu ambaye anajipanga kugombea tena urais 2025 akawataka wenzake wasimweke karibu LEMA. Kuna walioamini habari hizo na wengine hawakuamini.
Maafisa usalama wa serikali waliopo chadema kama S M na wenzake , waliieleza serikali kuhusu mipango ya kumtumia LEMA kujulikana .
Lema alianza kujitenga na Mikutano mingi akawa anaikwepa , Mbali na LEMA pindikizi jingine alikua ni SUGU ambaye yeye alihakikishiwa ubunge lakini kwa condition pia ya kurejeshewa hoteli yake iliyokuwa kwenye mgogoro na NEMC iitwayo hotel DESDERIA.
Toka SUGU aingie makubaliano hayo alianza kukwemba siasa za jino kwa jino na kuegemea zaidi kwenye mziki na kukusanya wanamziki wa kale wawe wanaimba ubalozi wa Ufaransa kila mwezi. Jambo hili lilimkasirisha sana Mbowe na Lissu.
Nimesema haya najua muda ni mwalimu na mwamuzi mzuri , siku sio nyingi mtasikia moto unawaka Chadema.

Sugu.jpg
Lema-Boy.png
 
Seke seke la bandari linaficha mengi na makubwa yanayoendelea CHADEMA.
Nawaomba msichangie kwa mihemko , leo nawapa starter hii hapa chini.
Lema ana ugomvi mkubwa sana na viongozi wake ndani ya chama .Imepelekea Kugomea mikutano ya chadema inayoendelea nchini ya kudai Katiba mpya na kupinga bandari.
Lema alirudi nchini kwa msaada wa Rais Mstaafu JK ,ambaye alimuombea kwa mama Samia. Baada ya kurudi Lema aliingia makubaliano ya siri na baadhi ya viongozi waandamizi wa CCM akiwemo Rais Mstaafu .Makubaliano yalikua Lema afanye hisani kusaidia Upinzani usiitikise CCM hasa kwenye uchaguzi Mkuu ujao.

Hapo mwanzo serikali ilikua kwenye transition na watu wengi walikua hawajawa aligned sawa sawa , hivyo kuna watu serikalini waliwatonya akina Lissu juu ya uwepo wa watu wanaoandaliwa kuja kuwabomoa wapinzani kabla au nyakati za uchaguzi.
Mipango hio ikajulikana na tayari Lissu ambaye anajipanga kugombea tena urais 2025 akawataka wenzake wasimweke karibu LEMA. Kuna walioamini habari hizo na wengine hawakuamini.
Maafisa usalama wa serikali waliopo chadema kama S M na wenzake , waliieleza serikali kuhusu mipango ya kumtumia LEMA kujulikana .
Lema alianza kujitenga na Mikutano mingi akawa anaikwepa , Mbali na LEMA pindikizi jingine alikua ni SUGU ambaye yeye alihakikishiwa ubunge lakini kwa condition pia ya kurejeshewa hoteli yake iliyokuwa kwenye mgogoro na NEMC iitwayo hotel DESDERIA.
Toka SUGU aingie makubaliano hayo alianza kukwemba siasa za jino kwa jino na kuegemea zaidi kwenye mziki na kukusanya wanamziki wa kale wawe wanaimba ubalozi wa Ufaransa kila mwezi. Jambo hili lilimkasirisha sana Mbowe na Lissu.
Nimesema haya najua muda ni mwalimu na mwamuzi mzuri , siku sio nyingi mtasikia moto unawaka Chadema.

View attachment 2743994View attachment 2743995
Ni tetesi?
 
Seke seke la bandari linaficha mengi na makubwa yanayoendelea CHADEMA.
Nawaomba msichangie kwa mihemko , leo nawapa starter hii hapa chini.
Lema ana ugomvi mkubwa sana na viongozi wake ndani ya chama .Imepelekea Kugomea mikutano ya chadema inayoendelea nchini ya kudai Katiba mpya na kupinga bandari.
Lema alirudi nchini kwa msaada wa Rais Mstaafu JK ,ambaye alimuombea kwa mama Samia. Baada ya kurudi Lema aliingia makubaliano ya siri na baadhi ya viongozi waandamizi wa CCM akiwemo Rais Mstaafu .Makubaliano yalikua Lema afanye hisani kusaidia Upinzani usiitikise CCM hasa kwenye uchaguzi Mkuu ujao.

Hapo mwanzo serikali ilikua kwenye transition na watu wengi walikua hawajawa aligned sawa sawa , hivyo kuna watu serikalini waliwatonya akina Lissu juu ya uwepo wa watu wanaoandaliwa kuja kuwabomoa wapinzani kabla au nyakati za uchaguzi.
Mipango hio ikajulikana na tayari Lissu ambaye anajipanga kugombea tena urais 2025 akawataka wenzake wasimweke karibu LEMA. Kuna walioamini habari hizo na wengine hawakuamini.
Maafisa usalama wa serikali waliopo chadema kama S M na wenzake , waliieleza serikali kuhusu mipango ya kumtumia LEMA kujulikana .
Lema alianza kujitenga na Mikutano mingi akawa anaikwepa , Mbali na LEMA pindikizi jingine alikua ni SUGU ambaye yeye alihakikishiwa ubunge lakini kwa condition pia ya kurejeshewa hoteli yake iliyokuwa kwenye mgogoro na NEMC iitwayo hotel DESDERIA.
Toka SUGU aingie makubaliano hayo alianza kukwemba siasa za jino kwa jino na kuegemea zaidi kwenye mziki na kukusanya wanamziki wa kale wawe wanaimba ubalozi wa Ufaransa kila mwezi. Jambo hili lilimkasirisha sana Mbowe na Lissu.
Nimesema haya najua muda ni mwalimu na mwamuzi mzuri , siku sio nyingi mtasikia moto unawaka Chadema.

View attachment 2743994View attachment 2743995

Haya mambo ya wanaume wenzako na wewe ni mwanaume yanakuhusu nini? Bora ungekuwa mwanamke ningekuelewa.
 
Seke seke la bandari linaficha mengi na makubwa yanayoendelea CHADEMA.
Nawaomba msichangie kwa mihemko , leo nawapa starter hii hapa chini.
Lema ana ugomvi mkubwa sana na viongozi wake ndani ya chama .Imepelekea Kugomea mikutano ya chadema inayoendelea nchini ya kudai Katiba mpya na kupinga bandari.
Lema alirudi nchini kwa msaada wa Rais Mstaafu JK ,ambaye alimuombea kwa mama Samia. Baada ya kurudi Lema aliingia makubaliano ya siri na baadhi ya viongozi waandamizi wa CCM akiwemo Rais Mstaafu .Makubaliano yalikua Lema afanye hisani kusaidia Upinzani usiitikise CCM hasa kwenye uchaguzi Mkuu ujao.

Hapo mwanzo serikali ilikua kwenye transition na watu wengi walikua hawajawa aligned sawa sawa , hivyo kuna watu serikalini waliwatonya akina Lissu juu ya uwepo wa watu wanaoandaliwa kuja kuwabomoa wapinzani kabla au nyakati za uchaguzi.
Mipango hio ikajulikana na tayari Lissu ambaye anajipanga kugombea tena urais 2025 akawataka wenzake wasimweke karibu LEMA. Kuna walioamini habari hizo na wengine hawakuamini.
Maafisa usalama wa serikali waliopo chadema kama S M na wenzake , waliieleza serikali kuhusu mipango ya kumtumia LEMA kujulikana .
Lema alianza kujitenga na Mikutano mingi akawa anaikwepa , Mbali na LEMA pindikizi jingine alikua ni SUGU ambaye yeye alihakikishiwa ubunge lakini kwa condition pia ya kurejeshewa hoteli yake iliyokuwa kwenye mgogoro na NEMC iitwayo hotel DESDERIA.
Toka SUGU aingie makubaliano hayo alianza kukwemba siasa za jino kwa jino na kuegemea zaidi kwenye mziki na kukusanya wanamziki wa kale wawe wanaimba ubalozi wa Ufaransa kila mwezi. Jambo hili lilimkasirisha sana Mbowe na Lissu.
Nimesema haya najua muda ni mwalimu na mwamuzi mzuri , siku sio nyingi mtasikia moto unawaka Chadema.

View attachment 2743994View attachment 2743995
Hivi hii ni tetesi au unauliza swali ujibiwe?
 
Lema na Sugu. Kwa kweli mleta mada ukimya wa hawa watu hasa kipindi hiki cha sakata la bandari unatia mashaka. Japo Sugu nilimwona mahakamani siku ya uamuzi wa kesi ya kupinga uuzwaji bandari mahakama kuu Mbeya (ambapo jaji aliahirisha ).

Where are they? Why are they so quiet and numb?

Tetesi kama za Lowasa kuhamia chadema na Dr. Slaa kuondoka chadema zilianza hivi hivi
 
Sugu haonekani kwenye kampeni za chama chake. Lazima kuna shida
Haiwezekani viongozi almost wote wa kamati kuu wako site yeye haonekani kuungana nao kuongeza nguvu
Nani anaonekana zaidi ya Lissu, yuko huko kaskazini anatafuta fujo mbona viongozi wenzake kimyaa. Lissu leo wazi anakiri na kuongea kila saa kuwa nchi za ulaya, sijui na mawasiliano nao mazuri, nitawatumia barua na mambo mengi ni kama tunatawaliwa na Ulaya. Sasa ni yeye anapiga kelele waarabu watatutawala iweje anatufanya tuwe wanyonge kama Ulaya ndio wanahaki ya kutuamulia mambo yetu? Yuko huko na viongozi wa wilaya tu wale members wakuu wa chama chake hakuna hata mmoja. Kwa kifupi huyu mtu ni hatari kuliko tunavyodhani, JPM kutaka kumfyeka huyu hakuwa mjinga anajuwa tusiyoyajuwa. Bahati mbaya Mama anaweka roho ya kimama, hapa angeteua ubunge Makonda akampa wizara ya mambo ya ndani shughuli tungeiona. Lissu ni kibaraka wa nchi za ulaya, period.
 
Lema anavizia kupata teuzi ya kuwa mwenyekiti wa bodi ya parole. Sugu hana tatizo lolote ni mwanaCCM mwenzetu kwenye mavazi ya CHADEMA. Hata mwenyekiti Mbowe ni mwanaCCM mtiifu. Kiufupi CHADEMA waliobaki labda ni Lissu na Mdude. Hawa wawili tatizo lao kubwa ni la kisaikolojia. Wakishapona watajiunga na chama kubwa baadae. Wengine kama Mnyika, Heche, Malisa, Yeriko Nyerere, Erythrocyte , Mshana Jr , Dawa ya Uvccm , ni wanaCCM waliopo CHADEMA kwa kazi maalum.
 
Lissu leo wazi anakiri na kuongea kila saa kuwa nchi za ulaya, sijui na mawasiliano nao mazuri, nitawatumia barua na mambo mengi ni kama tunatawaliwa na Ulaya. Sasa ni yeye anapiga kelele waarabu watatutawala iweje anatufanya tuwe wanyonge kama Ulaya ndio wanahaki ya kutuamulia mambo yetu?
Niliposema Lissu si "presidential material" mlininijia juu! Muyaone wenyewe Sasa, muache manung'uniko.
 
Seke seke la bandari linaficha mengi na makubwa yanayoendelea CHADEMA.
Nawaomba msichangie kwa mihemko , leo nawapa starter hii hapa chini.
Lema ana ugomvi mkubwa sana na viongozi wake ndani ya chama .Imepelekea Kugomea mikutano ya chadema inayoendelea nchini ya kudai Katiba mpya na kupinga bandari.
Lema alirudi nchini kwa msaada wa Rais Mstaafu JK ,ambaye alimuombea kwa mama Samia. Baada ya kurudi Lema aliingia makubaliano ya siri na baadhi ya viongozi waandamizi wa CCM akiwemo Rais Mstaafu .Makubaliano yalikua Lema afanye hisani kusaidia Upinzani usiitikise CCM hasa kwenye uchaguzi Mkuu ujao.

Hapo mwanzo serikali ilikua kwenye transition na watu wengi walikua hawajawa aligned sawa sawa , hivyo kuna watu serikalini waliwatonya akina Lissu juu ya uwepo wa watu wanaoandaliwa kuja kuwabomoa wapinzani kabla au nyakati za uchaguzi.
Mipango hio ikajulikana na tayari Lissu ambaye anajipanga kugombea tena urais 2025 akawataka wenzake wasimweke karibu LEMA. Kuna walioamini habari hizo na wengine hawakuamini.
Maafisa usalama wa serikali waliopo chadema kama S M na wenzake , waliieleza serikali kuhusu mipango ya kumtumia LEMA kujulikana .
Lema alianza kujitenga na Mikutano mingi akawa anaikwepa , Mbali na LEMA pindikizi jingine alikua ni SUGU ambaye yeye alihakikishiwa ubunge lakini kwa condition pia ya kurejeshewa hoteli yake iliyokuwa kwenye mgogoro na NEMC iitwayo hotel DESDERIA.
Toka SUGU aingie makubaliano hayo alianza kukwemba siasa za jino kwa jino na kuegemea zaidi kwenye mziki na kukusanya wanamziki wa kale wawe wanaimba ubalozi wa Ufaransa kila mwezi. Jambo hili lilimkasirisha sana Mbowe na Lissu.
Nimesema haya najua muda ni mwalimu na mwamuzi mzuri , siku sio nyingi mtasikia moto unawaka Chadema.

View attachment 2743994View attachment 2743995
Toa takataka zako hapa
 
Back
Top Bottom