Wapinzani wanapata wapi ripoti za TISS?

Wapinzani wanapata wapi ripoti za TISS?

Kumbe ni wwwe unaeleta siri zetu huku na kujigamba eeeh??? Tunavyoongea na wewe mtaani unadhani yote ni ya kweli? Chunga mdomo kijana rafiki yetu wa mtaani
Mimi nimekuwa napata taarifa nyingi hasa. Chanzo ni marafiki zangu waliopo nafasi za juu kabisa.

In short, katika wote hao, hakuna hata mmoja anayefurahia au kuunga mkono yanayoendelea. Siwezi nikatoka hadharani kutangaza, kwa sababu ya usalama wa kazi wa marafiki zangu maana nyingine ukizitoa tu, hata bila ya kutaja majina yao, itajulikana ni wao waliovujisha.

Tunajua maovu yote pamoja na yanayopangwa. Wengi wanasikitishwa sana na uwepo wa kikundi cha maharamia ndani ya taasisi, na kikundi hicho ambacho hakina mafunzo yoyote, ndicho kinachoaminiwa sana. Hicho ndicho cha watekaji, wapotezaji na watesaji. Uzuri, wote wanafahamika, na wanaongozwa na mtoto wa baba mwenye kujifanya mcha Mungu ilihali ni shetani wa mauaji, utekaji na utesaji.
 
Hakuna siri ya watu wawili
Kama sio mwaka jana basi ni mwaka juzi katika kampeni za ubunge katika Jimbo fulani jijini Dar baada ya mbunge kuhamia CCM nilimsikia kwa masikio yangu mwenyewe bwana Saed Kubenea akisema kuna ripoti ya TISS inasema Chadema wangeshinda ule uchaguzi na wanayo hiyo ripoti (wao wapinzani) cha ajabu huo uchaguzi Chadema walishindwa

Leo hii Zitto nae anasema kuna ripoti nyingine ya TISS inasema Magufuli atashindwa uchaguzi , swali ni Je hawa wapinzani wanapataje hizi ripoti sababu TISS wako ofisi ya Rais na ni chombo cha dola ambacho kinafanyia kazi gizani(duniani kote iko hivyo) na haitokei kikafanya kazi open

Wanapataje hizo ripoti? Hawaoni aibu kuwadanganya wananchi danganya toto ?
 
Hakuna siri ya watu wawili
Mkuu kweli hakuna Siri ya watu wawili ila hivi vyombo vya kijasusi Siri ndio uti wa mgongo wao, wafanyakazi wa vyombo taaluma na mafunzo yao imeegemea katika kuweka Siri, kufanya majukumu yao ya usiri yaani Siri Siri mpaka mwisho
 
Huwa wakilewa tu huku mtaani waanza kumwaaga ubuyu wote kwanza utasikia unajua mimi ni nani
 
Hii ripoti waliyonayo wapinzani ni ya Tanzania Interbank Settlement System (TISS)
Kwa kua unajua hivyo sawa jitahid uende shule vinginevyo utasuguliwa mtaro na polepole mpaka uote sugu shaur yako ohooooooo.
 
Kama sio mwaka jana basi ni mwaka juzi katika kampeni za ubunge katika Jimbo fulani jijini Dar baada ya mbunge kuhamia CCM nilimsikia kwa masikio yangu mwenyewe bwana Saed Kubenea akisema kuna ripoti ya TISS inasema Chadema wangeshinda ule uchaguzi na wanayo hiyo ripoti (wao wapinzani) cha ajabu huo uchaguzi Chadema walishindwa

Leo hii Zitto nae anasema kuna ripoti nyingine ya TISS inasema Magufuli atashindwa uchaguzi , swali ni Je hawa wapinzani wanapataje hizi ripoti sababu TISS wako ofisi ya Rais na ni chombo cha dola ambacho kinafanyia kazi gizani(duniani kote iko hivyo) na haitokei kikafanya kazi open

Wanapataje hizo ripoti? Hawaoni aibu kuwadanganya wananchi danganya toto ?


Meno ya mbwa hayaumani
 
Kama sio mwaka jana basi ni mwaka juzi katika kampeni za ubunge katika Jimbo fulani jijini Dar baada ya mbunge kuhamia CCM nilimsikia kwa masikio yangu mwenyewe bwana Saed Kubenea akisema kuna ripoti ya TISS inasema Chadema wangeshinda ule uchaguzi na wanayo hiyo ripoti (wao wapinzani) cha ajabu huo uchaguzi Chadema walishindwa

Leo hii Zitto nae anasema kuna ripoti nyingine ya TISS inasema Magufuli atashindwa uchaguzi , swali ni Je hawa wapinzani wanapataje hizi ripoti sababu TISS wako ofisi ya Rais na ni chombo cha dola ambacho kinafanyia kazi gizani(duniani kote iko hivyo) na haitokei kikafanya kazi open

Wanapataje hizo ripoti? Hawaoni aibu kuwadanganya wananchi danganya toto ?
Thibitisha haya maneno yako TISS ni idara nyeti hakuna mtu anaweza kupata information
 
Kama sio mwaka jana basi ni mwaka juzi katika kampeni za ubunge katika Jimbo fulani jijini Dar baada ya mbunge kuhamia CCM nilimsikia kwa masikio yangu mwenyewe bwana Saed Kubenea akisema kuna ripoti ya TISS inasema Chadema wangeshinda ule uchaguzi na wanayo hiyo ripoti (wao wapinzani) cha ajabu huo uchaguzi Chadema walishindwa

Leo hii Zitto nae anasema kuna ripoti nyingine ya TISS inasema Magufuli atashindwa uchaguzi , swali ni Je hawa wapinzani wanapataje hizi ripoti sababu TISS wako ofisi ya Rais na ni chombo cha dola ambacho kinafanyia kazi gizani(duniani kote iko hivyo) na haitokei kikafanya kazi open

Wanapataje hizo ripoti? Hawaoni aibu kuwadanganya wananchi danganya toto ?

TISS ya zamani siyo ya leo. Unaposema wanafanyia kazi gizani, hayo ni mawazo yako, lakini hujui kuwa hayo ya gizani yaweza wekwa nuruni?
Huko ndani wanatifuana wenyewe, hivyo si ajabu siri zikatoka wazi.
 
umenikumbusha Mzee flani nlimtwanga makofi alileta ujinga anajifanya usalama nikwamwambia labda usalama wa mama ako.
Acha upuuzi wewe huna uwezo wakupiga TISS umepiga mlevi mwezako
 
Kama sio mwaka jana basi ni mwaka juzi katika kampeni za ubunge katika Jimbo fulani jijini Dar baada ya mbunge kuhamia CCM nilimsikia kwa masikio yangu mwenyewe bwana Saed Kubenea akisema kuna ripoti ya TISS inasema Chadema wangeshinda ule uchaguzi na wanayo hiyo ripoti (wao wapinzani) cha ajabu huo uchaguzi Chadema walishindwa

Leo hii Zitto nae anasema kuna ripoti nyingine ya TISS inasema Magufuli atashindwa uchaguzi , swali ni Je hawa wapinzani wanapataje hizi ripoti sababu TISS wako ofisi ya Rais na ni chombo cha dola ambacho kinafanyia kazi gizani(duniani kote iko hivyo) na haitokei kikafanya kazi open

Wanapataje hizo ripoti? Hawaoni aibu kuwadanganya wananchi danganya toto ?
Jiulize kwanza swali dogo tu. MPINZANI NI NANI ukishajijibu hill swali utakuwa umeelewa. Sisi sote ni watanzania na hatulingani kimawazo ila Tanzania ni nchi yetu wote.
 
Akili za watz bado sana. Kwani wapinzani sio wananchi wa nchi hii? Tanzania kitu ambacho tunajua sana ni ukitimba, chuki na bureaucracies. Hao unaowataja ni usalama wa taifa.
under Magufuli regime na kwa fikra za Magufuli,wewe kama hauko ccm si Mtanzania
 
Kama sio mwaka jana basi ni mwaka juzi katika kampeni za ubunge katika Jimbo fulani jijini Dar baada ya mbunge kuhamia CCM nilimsikia kwa masikio yangu mwenyewe bwana Saed Kubenea akisema kuna ripoti ya TISS inasema Chadema wangeshinda ule uchaguzi na wanayo hiyo ripoti (wao wapinzani) cha ajabu huo uchaguzi Chadema walishindwa

Leo hii Zitto nae anasema kuna ripoti nyingine ya TISS inasema Magufuli atashindwa uchaguzi , swali ni Je hawa wapinzani wanapataje hizi ripoti sababu TISS wako ofisi ya Rais na ni chombo cha dola ambacho kinafanyia kazi gizani(duniani kote iko hivyo) na haitokei kikafanya kazi open

Wanapataje hizo ripoti? Hawaoni aibu kuwadanganya wananchi danganya toto ?
Mkuu unashangaa TISS kuvujisha siri, mimi nadhani ni mfumo mzima umekengeuka, mfano hata ma Dokta, viongozi wa dini,polisi nk peleka taarifa yako ya siri halafu uje unipe mrejesho
 
Waswahili hunena
"siri ni mali ya mtu mmoja"
Kijana wa kiume ukigongwa haiwezi kuwa siri tena labda umuue aliyekugonga muda huo huo, ila ukipiga punyeto inaweza kuwa siri yako..
Samurai wewe ni mshenzi sana ebu agizia chochote hapo nitalipia
 
Back
Top Bottom