Wapinzani wanapata wapi ripoti za TISS?

Wapinzani wanapata wapi ripoti za TISS?

Kama sio mwaka jana basi ni mwaka juzi katika kampeni za ubunge katika Jimbo fulani jijini Dar baada ya mbunge kuhamia CCM nilimsikia kwa masikio yangu mwenyewe bwana Saed Kubenea akisema kuna ripoti ya TISS inasema Chadema wangeshinda ule uchaguzi na wanayo hiyo ripoti (wao wapinzani) cha ajabu huo uchaguzi Chadema walishindwa

Leo hii Zitto nae anasema kuna ripoti nyingine ya TISS inasema Magufuli atashindwa uchaguzi , swali ni Je hawa wapinzani wanapataje hizi ripoti sababu TISS wako ofisi ya Rais na ni chombo cha dola ambacho kinafanyia kazi gizani(duniani kote iko hivyo) na haitokei kikafanya kazi open

Wanapataje hizo ripoti? Hawaoni aibu kuwadanganya wananchi danganya toto ?

Swali la msingi, tutathibitishaje kwamba yale anayosema zito mchumia tumbo ni amini na kweli??
 
Na umri huu sijawahi ona hata ukurasa mmoja wa nyaraka hata moja tu ilioandikwa na TISS
Mid niliiona nyaraka ya toss nilikuwa wakala Wa mgombea udiwani Wa chadema tulipomaliza kupiga kura ccm ilipata kura 4 na chadema tulipata kura 63 kutoka nje kubandika matokeo nikakuta ccm imeandikwa kura 437 na chadema kura 63 nikajuwa hii nyaraka ya tiss nikakimbia kurudi home
 
Boss MASAMILA Mbona Swali lako jepesi.
Kwani umeshindwa kujiuliza Dada wa Taifa alikuwa anapataga wapi Habari Moto Moto Tena kutoka Jikoni Tena za Motooo???!!!
Huko huko Jikoni Kuna Watu kwa Maslahi yao au Taifa wanavujisha Habari.

Wahenga wanasema .... Siri Ni ya Mtu mmoja tu .... Hakuna Siri ya Watu 2 au 3 au zaidi.

So jibu la Swali lako, Akina Kubenea, Zito na wengine, Wanapata habari kutoka kwa baadhi ya Watu wa TISS.


Kama sio mwaka jana basi ni mwaka juzi katika kampeni za ubunge katika Jimbo fulani jijini Dar baada ya mbunge kuhamia CCM nilimsikia kwa masikio yangu mwenyewe bwana Saed Kubenea akisema kuna ripoti ya TISS inasema Chadema wangeshinda ule uchaguzi na wanayo hiyo ripoti (wao wapinzani) cha ajabu huo uchaguzi Chadema walishindwa

Leo hii Zitto nae anasema kuna ripoti nyingine ya TISS inasema Magufuli atashindwa uchaguzi , swali ni Je hawa wapinzani wanapataje hizi ripoti sababu TISS wako ofisi ya Rais na ni chombo cha dola ambacho kinafanyia kazi gizani(duniani kote iko hivyo) na haitokei kikafanya kazi open

Wanapataje hizo ripoti? Hawaoni aibu kuwadanganya wananchi danganya toto ?
 
Kama sio mwaka jana basi ni mwaka juzi katika kampeni za ubunge katika Jimbo fulani jijini Dar baada ya mbunge kuhamia CCM nilimsikia kwa masikio yangu mwenyewe bwana Saed Kubenea akisema kuna ripoti ya TISS inasema Chadema wangeshinda ule uchaguzi na wanayo hiyo ripoti (wao wapinzani) cha ajabu huo uchaguzi Chadema walishindwa

Leo hii Zitto nae anasema kuna ripoti nyingine ya TISS inasema Magufuli atashindwa uchaguzi , swali ni Je hawa wapinzani wanapataje hizi ripoti sababu TISS wako ofisi ya Rais na ni chombo cha dola ambacho kinafanyia kazi gizani(duniani kote iko hivyo) na haitokei kikafanya kazi open

Wanapataje hizo ripoti? Hawaoni aibu kuwadanganya wananchi danganya toto ?
Ripoti ya wewe na mkeo chumbani mwenu usiku wa manane watu wanazipataje!
 
Kama sio mwaka jana basi ni mwaka juzi katika kampeni za ubunge katika Jimbo fulani jijini Dar baada ya mbunge kuhamia CCM nilimsikia kwa masikio yangu mwenyewe bwana Saed Kubenea akisema kuna ripoti ya TISS inasema Chadema wangeshinda ule uchaguzi na wanayo hiyo ripoti (wao wapinzani) cha ajabu huo uchaguzi Chadema walishindwa

Leo hii Zitto nae anasema kuna ripoti nyingine ya TISS inasema Magufuli atashindwa uchaguzi , swali ni Je hawa wapinzani wanapataje hizi ripoti sababu TISS wako ofisi ya Rais na ni chombo cha dola ambacho kinafanyia kazi gizani(duniani kote iko hivyo) na haitokei kikafanya kazi open

Wanapataje hizo ripoti? Hawaoni aibu kuwadanganya wananchi danganya toto ?
Nani kakuambia wafanyakazi wa TISS wametokea anga za juu hawana ndugu zao upande wa pili? Ni mazuzu tu hawajui jema na baya? Au wote ni wafuasi wa chama cha Hamza CCM?!
 
Kama sio mwaka jana basi ni mwaka juzi katika kampeni za ubunge katika Jimbo fulani jijini Dar baada ya mbunge kuhamia CCM nilimsikia kwa masikio yangu mwenyewe bwana Saed Kubenea akisema kuna ripoti ya TISS inasema Chadema wangeshinda ule uchaguzi na wanayo hiyo ripoti (wao wapinzani) cha ajabu huo uchaguzi Chadema walishindwa

Leo hii Zitto nae anasema kuna ripoti nyingine ya TISS inasema Magufuli atashindwa uchaguzi , swali ni Je hawa wapinzani wanapataje hizi ripoti sababu TISS wako ofisi ya Rais na ni chombo cha dola ambacho kinafanyia kazi gizani(duniani kote iko hivyo) na haitokei kikafanya kazi open

Wanapataje hizo ripoti? Hawaoni aibu kuwadanganya wananchi danganya toto ?
Umeiona Ile video ya rpc wa mkoa fulani? Itafute itakupa majibu ya maswali Yako! Kwa taarifa Yako ukifanya kitu unconsciously ipo siku isiyo na jina kitarudishwa kwenye conscious mind ili ukiseme kinavyotakiwa kuwa! Huo sio uchawi Bali brain chemistry inataka hivyo ili kuiweka nafsi huru! Hivyo ushishangae taarifa za gizani kusambaa Kwa watu!
 
Back
Top Bottom