Hata TISS -CCM nao ni TISS
..Yes.
..Na ripoti zao siyo za siri kama za Tiss.
..tatizo mnaingiza mambo yenu ya ccm ktk vyombo visivyostahili kuhusishwa na siasa.
Hata TISS -CCM nao ni TISS
Kama sio mwaka jana basi ni mwaka juzi katika kampeni za ubunge katika Jimbo fulani jijini Dar baada ya mbunge kuhamia CCM nilimsikia kwa masikio yangu mwenyewe bwana Saed Kubenea akisema kuna ripoti ya TISS inasema Chadema wangeshinda ule uchaguzi na wanayo hiyo ripoti (wao wapinzani) cha ajabu huo uchaguzi Chadema walishindwa
Leo hii Zitto nae anasema kuna ripoti nyingine ya TISS inasema Magufuli atashindwa uchaguzi , swali ni Je hawa wapinzani wanapataje hizi ripoti sababu TISS wako ofisi ya Rais na ni chombo cha dola ambacho kinafanyia kazi gizani(duniani kote iko hivyo) na haitokei kikafanya kazi open
Wanapataje hizo ripoti? Hawaoni aibu kuwadanganya wananchi danganya toto ?
HahaaHii ripoti waliyonayo wapinzani ni ya Tanzania Interbank Settlement System (TISS)
Kama sio mwaka jana basi ni mwaka juzi katika kampeni za ubunge katika Jimbo fulani jijini Dar baada ya mbunge kuhamia CCM nilimsikia kwa masikio yangu mwenyewe bwana Saed Kubenea akisema kuna ripoti ya TISS inasema Chadema wangeshinda ule uchaguzi na wanayo hiyo ripoti (wao wapinzani) cha ajabu huo uchaguzi Chadema walishindwa
Leo hii Zitto nae anasema kuna ripoti nyingine ya TISS inasema Magufuli atashindwa uchaguzi , swali ni Je hawa wapinzani wanapataje hizi ripoti sababu TISS wako ofisi ya Rais na ni chombo cha dola ambacho kinafanyia kazi gizani(duniani kote iko hivyo) na haitokei kikafanya kazi open
Wanapataje hizo ripoti? Hawaoni aibu kuwadanganya wananchi danganya toto ?

..hizo ni ripoti za TISS-CCM.
..TISS halisi hawezi kujihusisha na mambo aliyosema Zitto kuwa yako kwenye ripoti.
Double agents wapo kazini kila pande usikute mbowe anavijana wake watiifuKama sio mwaka jana basi ni mwaka juzi katika kampeni za ubunge katika Jimbo fulani jijini Dar baada ya mbunge kuhamia CCM nilimsikia kwa masikio yangu mwenyewe bwana Saed Kubenea akisema kuna ripoti ya TISS inasema Chadema wangeshinda ule uchaguzi na wanayo hiyo ripoti (wao wapinzani) cha ajabu huo uchaguzi Chadema walishindwa
Leo hii Zitto nae anasema kuna ripoti nyingine ya TISS inasema Magufuli atashindwa uchaguzi , swali ni Je hawa wapinzani wanapataje hizi ripoti sababu TISS wako ofisi ya Rais na ni chombo cha dola ambacho kinafanyia kazi gizani(duniani kote iko hivyo) na haitokei kikafanya kazi open
Wanapataje hizo ripoti? Hawaoni aibu kuwadanganya wananchi danganya toto ?
Kwenye vilabu vya mataputapu kila anayelewa anawatambia wenzie kwamba yeye ni TISS!
Ndiko wanakookotea huo udaku.

umenikumbusha Mzee flani nlimtwanga makofi alileta ujinga anajifanya usalama nikwamwambia labda usalama wa mama ako.Kama sio mwaka jana basi ni mwaka juzi katika kampeni za ubunge katika Jimbo fulani jijini Dar baada ya mbunge kuhamia CCM nilimsikia kwa masikio yangu mwenyewe bwana Saed Kubenea akisema kuna ripoti ya TISS inasema Chadema wangeshinda ule uchaguzi na wanayo hiyo ripoti (wao wapinzani) cha ajabu huo uchaguzi Chadema walishindwa
Leo hii Zitto nae anasema kuna ripoti nyingine ya TISS inasema Magufuli atashindwa uchaguzi , swali ni Je hawa wapinzani wanapataje hizi ripoti sababu TISS wako ofisi ya Rais na ni chombo cha dola ambacho kinafanyia kazi gizani(duniani kote iko hivyo) na haitokei kikafanya kazi open
Wanapataje hizo ripoti? Hawaoni aibu kuwadanganya wananchi danganya toto ?
Mimi nimekuwa napata taarifa nyingi hasa. Chanzo ni marafiki zangu waliopo nafasi za juu kabisa.Na umri huu sijawahi ona hata ukurasa mmoja wa nyaraka hata moja tu ilioandikwa na TISS
" Ukiuwa kwa upanga utauawa kwa upanga " unaambiwa hata waliomshambulia Lissu video za shambulio zitatolewa kabla ya uchaguzi , kaa mkao wa kulaKama sio mwaka jana basi ni mwaka juzi katika kampeni za ubunge katika Jimbo fulani jijini Dar baada ya mbunge kuhamia CCM nilimsikia kwa masikio yangu mwenyewe bwana Saed Kubenea akisema kuna ripoti ya TISS inasema Chadema wangeshinda ule uchaguzi na wanayo hiyo ripoti (wao wapinzani) cha ajabu huo uchaguzi Chadema walishindwa
Leo hii Zitto nae anasema kuna ripoti nyingine ya TISS inasema Magufuli atashindwa uchaguzi , swali ni Je hawa wapinzani wanapataje hizi ripoti sababu TISS wako ofisi ya Rais na ni chombo cha dola ambacho kinafanyia kazi gizani(duniani kote iko hivyo) na haitokei kikafanya kazi open
Wanapataje hizo ripoti? Hawaoni aibu kuwadanganya wananchi danganya toto ?
mwambie mkuu,cku hiz kama huna konekshen hata kwn mcba unatoka kapaHuna connection.
TISS nao ni watu nao wana mioyo na wana wake na wana wanaume habari husambaa kama moto. Wahenga walisema dunia haina siri.