Wapinzani walitaka kumlipa Rais Samia malipo ya ubaya waliofanyiwa na Magufuli 2015- 2021

Wapinzani walitaka kumlipa Rais Samia malipo ya ubaya waliofanyiwa na Magufuli 2015- 2021

Samia atosha tukutane2030

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
17,169
Reaction score
48,681
Unaposema mnyama fulani ana akili sana maana yake ni kwamba mnyama huyo ana uwezo wa kutunza kumbukumbu ipasavyo. Kinyume chake pia ni kweli.

Hii pia iko applicable kwa watu. Kama huna kumbukumbu basi wewe ni tahira.
Kuna watu si Matahira ila hujifanya matabira kwa makusudi.

Magufuli ndiye baba wa uharibifu wa Demokrasia Tanzania iliyojengwa kwa muda mwingi.
Hotuba zake za awali alifuta kabisa shuguli za kisiasa kwa vyama vyote ilhali yeye na team yake akiwemo Polepole walikuwa hawalali kujinadi wao na CCM kiujumla.

Wapinzani kila walipoinuka walikutana na buti la askari. Ilifika wakati mpaka vikao vya ndani CHADEMA wakinaliza tu nje kuna gari ya polisi yenye maelekezo kutoka juu watu wanapelekwa central.
2019 akaunajisi uchaguzi wote wa local government.

2020 wagombea udiwani na ubunge wa CCM wakajizolea vyeo baada ya wapinzani kuambiwa hawajui kuandika majina yao.

Uchaguzi wa serikali za mitaa 2024 wapinzani hawakujipanga vizuri wenyewe, 2025 wakasusia uchaguzi mkuu wakiamini wazungu wana nguvu ya kuweza kuamua juu ya Tanzania kwamba uchaguzi ufanyike au usifanyike. Walipoona wazungu hawajawatetea waka organize uharibifu pamoja na taasisi za dini fulani. Watu wa dini walikuwa na vision yao while wapinzani walikuwa na nia ya kurudisha kisasi cha Magufuli kwa Samia.
Kwa ufupi wamefeli, watafeli na kufeli zaidi.
 
Kilichifanyika kwenye chaguzi za nchi hii baada ya kifo cha Magufuli ni kwa Samia kuiga tembo kunya matokeo yake kapasuka msamba. Inaonekana Samia alijua na uchaguzi wa 2025 watu watatulia kama walivyotulia 2019, 2020 na 2025. Ni hivi, hakuna uwezo wa ccm kushinda tena uchaguzi watakavyo, na hawatakaa waweze tena. Na huko mbele itakuwa mbaya zaidi.

Kama bado mnaamini kuna watu wamelala kwa kiwango hicho, basi mmeukalia.
 
Mkuu acha kuzunguka zunguka, samuya amekataliwa mchana kweupee na watz walio wengi... kwasasa yupo kwenye kiti kwa hisani ya mtutu wa bunduki tuu!.
Wapumbavu hawataki kuongozwa wanataka kutawaliwa
Kwenye kutawala mtutu lazima utumike jomba.
Mkileta nyau nyau mnapigwa .
Rais bora kabisa kwa ustawi wa Taifa nyie mnaleta fyokofyoko
 
Wapumbavu hawataki kuongozwa wanataka kutawaliwa
Kwenye kutawala mtutu lazima utumike jomba.
Mkileta nyau nyau mnapigwa .
Rais bora kabisa kwa ustawi wa Taifa nyie mnaleta fyokofyoko
Wewe ni mpumbavu. Ukiwa unajievaluate uwe unajiambia mimi ni mpumbavu. Hakuna maelezo yoyote yanayokuhusu zaidi ya wewe kuwa mpumbavu
 
Unaposema mnyama fulani ana akili sana maana yake ni kwamba mnyama huyo ana uwezo wa kutunza kumbukumbu ipasavyo. Kinyume chake pia ni kweli.

Hii pia iko applicable kwa watu. Kama huna kumbukumbu basi wewe ni tahira.
Kuna watu si Matahira ila hujifanya matabira kwa makusudi.

Magufuli ndiye baba wa uharibifu wa Demokrasia Tanzania iliyojengwa kwa muda mwingi.
Hotuba zake za awali alifuta kabisa shuguli za kisiasa kwa vyama vyote ilhali yeye na team yake akiwemo Polepole walikuwa hawalali kujinadi wao na CCM kiujumla.

Wapinzani kila walipoinuka walikutana na buti la askari. Ilifika wakati mpaka vikao vya ndani CHADEMA wakinaliza tu nje kuna gari ya polisi yenye maelekezo kutoka juu watu wanapelekwa central.
2019 akaunajisi uchaguzi wote wa local government.

2020 wagombea udiwani na ubunge wa CCM wakajizolea vyeo baada ya wapinzani kuambiwa hawajui kuandika majina yao.

Uchaguzi wa serikali za mitaa 2024 wapinzani hawakujipanga vizuri wenyewe, 2025 wakasusia uchaguzi mkuu wakiamini wazungu wana nguvu ya kuweza kuamua juu ya Tanzania kwamba uchaguzi ufanyike au usifanyike. Walipoona wazungu hawajawatetea waka organize uharibifu pamoja na taasisi za dini fulani. Watu wa dini walikuwa na vision yao while wapinzani walikuwa na nia ya kurudisha kisasi cha Magufuli kwa Samia.
Kwa ufupi wamefeli, watafeli na kufeli zaidi.
Baada ya kumshindwa Samia mmerudi kwa Magufuli
 
Wapumbavu hawataki kuongozwa wanataka kutawaliwa
Kwenye kutawala mtutu lazima utumike jomba.
Mkileta nyau nyau mnapigwa .
Rais bora kabisa kwa ustawi wa Taifa nyie mnaleta fyokofyoko
Mtanzania anapenda sana kuongea tatizo hayo anayoyasema anapoongea ni ujinga mtupu.

Hajui lakini hajui kama hajui.
 
Na wewe shetani jingine Mungu anawazoom tu. Hamuwezi kuwa upande wa wauwaji na mkaendelea kutamba tu kana kwamba Mungu anahongeka
Mbona wewe hujauwawa?, mbona tarehe 9 na 25 Desemba hakufa hata mtu mmoja huko mitaani?.

Heshimuni serikali, vijana wengi wameelewa kwamba taharuki haina faida yoyote maishani mwao zaidi ya kutaka kuwaletea umaskini.

Wale wale waliounga mkono maandamano yasiyo na ukomo wamefahamu kuwa maisha yao yanachezewa na mawakala wa vifo wanaoishi huko ughaibuni.

Hao kina Mange na Maria wanatumwa damu zao, hawana jema lolote kwao.
 
Wapumbavu hawataki kuongozwa wanataka kutawaliwa
Kwenye kutawala mtutu lazima utumike jomba.
Mkileta nyau nyau mnapigwa .
Rais bora kabisa kwa ustawi wa Taifa nyie mnaleta fyokofyoko
Unayemtea ndiye aliyemfunga Lissu pasipo na kosa

Ndiye aliyeuwa watanganyika kwa maelfu yake

Ndiye anayetangatanga kukiuwa Chadema na kuwateka,kuwauwa kila wanaopingana naye kwenye hoja zake za no form four felia yake
 
Mbona wewe hujauwawa?, mbona tarehe 9 na 25 Desemba hakufa hata mtu mmoja huko mitaani?.

Heshimuni serikali, vijana wengi wameelewa kwamba taharuki haina faida yoyote maishani mwao zaidi ya kutaka kuwaletea umaskini.

Wale wale waliounga mkono maandamano yasiyo na ukomo wamefahamu kuwa maisha yao yanachezewa na mawakala wa vifo wanaoishi huko ughaibuni.

Hao kina Mange na Maria wanatumwa damu zao, hawana jema lolote kwao.
Wewe ni mpumbavu na kama sio mpumbavu basi ni mnufaika wa huu ufisadi wanaofanya akina abdul na mama ake. Sitaki hata kukuelezea sababu za watu kuitisha maandamano yaliyopelekea kuuawa kama mende kwa sababu sababu unaijua. So acha nimalizie kwa kukuambia tena wewe ni mpumbavu
 
Mbona wewe hujauwawa?, mbona tarehe 9 na 25 Desemba hakufa hata mtu mmoja huko mitaani?.

Heshimuni serikali, vijana wengi wameelewa kwamba taharuki haina faida yoyote maishani mwao zaidi ya kutaka kuwaletea umaskini.

Wale wale waliounga mkono maandamano yasiyo na ukomo wamefahamu kuwa maisha yao yanachezewa na mawakala wa vifo wanaoishi huko ughaibuni.

Hao kina Mange na Maria wanatumwa damu zao, hawana jema lolote kwao.
By the way upo tanzania hapa au nje ya nchi?
 
Wewe kidampa wa Samia , kwani aliyofanya Magufuli huyo Samia aliacha kuyafanya?
 
Wewe ni mpumbavu na kama sio mpumbavu basi ni mnufaika wa huu ufisadi wanaofanya akina abdul na mama ake. Sitaki hata kukuelezea sababu za watu kuitisha maandamano yaliyopelekea kuuawa kama mende kwa sababu sababu unaijua. So acha nimalizie kwa kukuambia tena wewe ni mpumbavu
Hakuna tusi jipya chini ya jua, mapovu hayamsaidii yoyote anayesoma ulichoandika.
 
Back
Top Bottom