denooJ
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 18,511
- 68,141
Una ushahidi au umerithishwa tu kelele walizopiga wenzako?Wapinzani wa kweli hawajazaliwa nchini!
Hujui kama Mbowe alikuwa anahongwa pesa na Mzee Mkono ili asiweke mgombea ubunge wa chadema katika jimbo alilokuwa anagombea Mzee Mkono.
Unajipa matumaini ambayo hayapo!