Naanto Mushi
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 6,236
- 15,600
Habari ndo hiyo, hiyo miamba hapo juu ndo tafsiri haswa ya mpinzani wa nchi hii ni nani.
Ambaye hataki na anabisha kwa nnachokisema, aende akameze boga, akifanikiwa kulimeza basi mimi ni muongo na nipigwe mawe.
Upinzani wa kweli ni kutokuyumbishwa msimamo wako juu ya unachokiamini. Mbowe na Lissu wamepitia mengi sana ambayo yangetosha kuukana upinzani wao, lakini wameendelea kutoyumbishwa kiitikadi.
Angalia kituko cha leo cha ACT Wazalendo, sijawahi kuona jambo la hovyo kama walichokifanya leo. Yaani vile vitimbi vyote mpaka wasamaria wema wazanzibar wameuawa kikatili, halafu leo hii eti wanakubali kushirikiana tena na hao hao watesi wao? Hivi hii ni akili ya namna gani? Bado sijaona hekima iliyotumika hapa. Ni sawa tu nakusema na wao wamewatumia wazanzibari kama chambo ya wao kupiga 'Michongo'.
Bado naendelea kuwa na wasiwasi na upinzani wa Zitto Kabwe kwenye siasa, namkubali kama mtu anayejielewa kwenye issue nyingine za ki intellectual na kujenga hoja, ila kwenye upande wa itikadi halisi ya upinzani, napata shida sana kwamba akae kundi gani.
Ambaye hataki na anabisha kwa nnachokisema, aende akameze boga, akifanikiwa kulimeza basi mimi ni muongo na nipigwe mawe.
Upinzani wa kweli ni kutokuyumbishwa msimamo wako juu ya unachokiamini. Mbowe na Lissu wamepitia mengi sana ambayo yangetosha kuukana upinzani wao, lakini wameendelea kutoyumbishwa kiitikadi.
Angalia kituko cha leo cha ACT Wazalendo, sijawahi kuona jambo la hovyo kama walichokifanya leo. Yaani vile vitimbi vyote mpaka wasamaria wema wazanzibar wameuawa kikatili, halafu leo hii eti wanakubali kushirikiana tena na hao hao watesi wao? Hivi hii ni akili ya namna gani? Bado sijaona hekima iliyotumika hapa. Ni sawa tu nakusema na wao wamewatumia wazanzibari kama chambo ya wao kupiga 'Michongo'.
Bado naendelea kuwa na wasiwasi na upinzani wa Zitto Kabwe kwenye siasa, namkubali kama mtu anayejielewa kwenye issue nyingine za ki intellectual na kujenga hoja, ila kwenye upande wa itikadi halisi ya upinzani, napata shida sana kwamba akae kundi gani.