Nimekuwa nikiandika humu kuwa Samweli Sitta ni KIONGOZI mnafiki ,na wanamfagilia ni WAJINGA,nimechagua neno zuri WAJINGA.
Tangu aliposimamaia vita ya kumkomoa LOWASA kwa mgomgo wa vita vya ufisadi nimemdharau huyu mzee!
Kwa bahati mbaya sana wengi humshangilia ......Tiafa la waliochoka kufikiri
Leo tena ametukana Watanzania wanaokosa huduma za afya kuwa yale malalamiko ni UNAFIKI!hoNGERA KAFULILA kwa UNAFIKI WA KUWATETEA WANYONGE!
hivi ;;;kama wizara ya afya inapewa fedha kidogo halafu mwisho wa mwaka fedha hizo kidogo zinatolewa nusu hivi wanaoitetea serkali kuwa ni LEGELEGE WANA AKILI ZA ZA WAPI!
tULISHASOMA humu kuwa wizara yenyewe inannua suti 2000 toka Uingereza kwa ajili y 77 na 88 ,Watazania tunachekea tu,
Afu kina mama wanakufa tunasema hakuna fedha !
Kwa ujinga huu hata shetani anaweza kutukana kuwa si wake kwa sababu akili zetu ni ndogo na hazina msaada kwake!
EEH MUNGU MLAANI SAMWELI SITTA NA WALE WOTE WANAOTUONA KUWA WATANZANIA NI WAJINGA!
KUNA SIKU MUNGU ATATUPA NGUVU KUUSHINDA UPUMBAVU HUU!