Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,794
- 36,434
Hi!
Mara nyingi tunasema kuwa Watanzania ni wasahaulifu sana na ni watu wanaopenda kwenda sambamba na upepo. Kwa lugha nyepesi tunasema mtengenezee skendo au tukio Mtanzania ili umtoe kwenye reli.
Huyu Dkt. Slaa alichotufanyia Watanganyika 2015 mmekisahau?
Mmesahau nasaha zake za miaka miwili iliyopita?
Dkt. Slaa either propagandist mkuu hapa nchini aliyeajiriwa na serikali miaka mingi iliyopita au ni mtu wa fursa tu asiye na uchungu na taifa hili. Hupanua kinywa chake pale tu anapohitaji fursa.
Nasema hivi hiyo kesi ya Uhaini ndiyo stahiki yake, avune alichopanda.
Jioni njema.
Mara nyingi tunasema kuwa Watanzania ni wasahaulifu sana na ni watu wanaopenda kwenda sambamba na upepo. Kwa lugha nyepesi tunasema mtengenezee skendo au tukio Mtanzania ili umtoe kwenye reli.
Huyu Dkt. Slaa alichotufanyia Watanganyika 2015 mmekisahau?
Mmesahau nasaha zake za miaka miwili iliyopita?
Dkt. Slaa either propagandist mkuu hapa nchini aliyeajiriwa na serikali miaka mingi iliyopita au ni mtu wa fursa tu asiye na uchungu na taifa hili. Hupanua kinywa chake pale tu anapohitaji fursa.
Nasema hivi hiyo kesi ya Uhaini ndiyo stahiki yake, avune alichopanda.
Jioni njema.