Uchaguzi 2020 Wapinzani Kama Tume si huru kwanini mmekubali kushiriki na kusaini kanuni za uchaguzi?

Dam55

JF-Expert Member
Oct 8, 2015
5,592
11,831
Kwa kifupi kabisa nina maswali mawili ambayo nataka majibu na si matusi.

Vyema pinzani vinapolalamikia kuwa time so huru, kwanini walikubali kushiriki uchaguzi ambao wanajua unasimamiwa na Tume isiyo huru?

Kwanini mlikubaliana na kanuni za uchaguzi zilizowekwa na tume ambayo si huru?

Sasa mnapovunja kanani na maadili ya uchaguzi ambazo mlikubaliana nazo na kusaini kwanini Tume isiwe na haki ya kuwawajibisha?

Kwanini unakubali kushiriki uchaguzi ambao una uhakika hata ukishinda hauta tangazwa kuwa mshindi Kama wenyewe mnavyo dai.

Narudia tena maomba majibu na si matusi.
 
Tatizo ni vyama kama vya akina Shibuda, Mrema, Mbatia, na akina Lipumba, haya ni matawi ya CCM, chama halisi cha upinzani nadhan ni CHADEMA kama ingekuwa ni CCM na CDM tu ni uhakika CDM wasingekubali uchaguzi kufanyika bila tume huru, balaa ni kwamba CDM ikisusa tu basi akina CUF , TLP, ADATADEA nk wao watashiriki na uchaguzi utakuwa umekidhi vigezo vyote machoni pa mataifa yote.

Rejea balaa la JECHA huko 2015 baada ya kupindua meza na uchaguzi kurudiwa, wapinzani halisi walisusa na wapinzani vibaraka wakashiriki, CCM ilishinda takriban kwa 90% hivyo hakuna namna ya kususa uchaguzi ukadhani ni mbadala, tatizo ni hayo matawi ya CCM
 
Ulitaka wamwachie nyani mahindi shambani? Mtanzania yeyote mzalendo anajua tume hii sio huru 100%.ulisikia wapi tume inaengua mgombea kisa kakosea kujaza tarehe? Kwani tunashindanisha wanaojua kusoma na kujaza fomu vizuri? Tume hii imetuangusha watanzania vibaya sana
 
Tume sio huru, na hizo kanuni tumesaini kwa shuruti maana hatuna choice. Mlitunga sheria mbovu ili wapinzani wajitoe na mpite bila kupingwa? Uchaguzi wa SM mliuvuruga wote, na kipi mlifanya kuonyesha kuwa hamkufanya haki? Bila machafuko sio rais watu weusi kuheshimiana.
 
Binafsi sina chama lakini maswali yako ni kuntu nami kila siku najiuliza hawa wapinzani kwanini wanaongelea kuingia barabarani kama Tume haitatenda haki wakati wanajua kabisa kuwa Tume ni zao la katiba mbovu,

Kwanini wasiseme watu waingie barabarani kudai katiba mpya ambayo ndio msingi wa hiyo Tume?
 
Kwa kifupi kabisa nina maswali mawili ambayo nataka majibu na si matusi.

Vyema pinzani vinapolalamikia kuwa time so huru, kwanini walikubali kushiriki uchaguzi ambao wanajua unasimamiwa na Tume isiyo huru?

Kwanini mlikubaliana na kanuni za uchaguzi zilizowekwa na tume ambayo si huru?

Sasa mnapovunja kananu na maadili ya uchaguzi ambazo mlikubaliana nazo na kusaini kwanini Tume isiwe na haki ya kuwawajibisha?

Kwanini unakubali kushiriki uchaguzi ambao una uhakika hata ukishinda hauta tangazwa kuwa mshindi Kama wenyewe mnavyo dai.

Narudia tena maomba majibu na si matusi.
Ajabu, Hatujasikia
CUF
AAAFP
ADC
CHAUMA
ADA-TADEA nk
Tunalisiki hili genge la m4c na wenzao zambarau only, as if vingine 16+ havipo
 
Tume sio huru, na hizo kanuni tumesaini kwa shuruti maana hatuna choice. Mlitunga sheria mbovu ili wapinzani wajitoe na mpite bila kupingwa? Uchaguzi wa SM mliuvuruga wote, na kipi mlifanya kuonyesha kuwa hamkufanya haki? Bila machafuko sio rais watu weusi kuheshimiana.
Muongo Wewe, ulisikiwa mtutu?
Lini na wapi?
 
Ili kuijulisha dunia jinsi tume ilivyo na makada wa mbogamboga si umemsikia mkurugenzi hadi anafanya kampeni za kusifia ujenzi wa barabara ati wananchi wanataka barabara siyo mgombea atakayetorosha madini sasa na Lisu akifika huku amtake mkurugenzi athibitishe mgombea gani anataka kutorosha madini maana hawezi akawa anaropoka tu wakati yeye siyo mwanasiasa
 
Tatizo ni vyama kama vya akina Shibuda, Mrema, Mbatia, na akina Lipumba, haya ni matawi ya CCM, chama halisi cha upinzani nadhan ni CHADEMA kama ingekuwa ni CCM na CDM tu ni uhakika CDM wasingekubali uchaguzi kufanyika bila tume huru, balaa ni kwamba CDM ikisusa tu basi akina CUF , TLP, ADATADEA nk wao watashiriki na uchaguzi utakuwa umekidhi vigezo vyote machoni pa mataifa yote. Rejea balaa la JECHA huko 2015 baada ya kupindua meza na uchaguzi kurudiwa, wapinzani halisi walisusa na wapinzani vibaraka wakashiriki, CCM ilishinda takriban kwa 90% hivyo hakuna namna ya kususa uchaguzi ukadhani ni mbadala, tatizo ni hayo matawi ya CCM
Thread close...
 
Kwa kifupi kabisa nina maswali mawili ambayo nataka majibu na si matusi.

Vyema pinzani vinapolalamikia kuwa time so huru, kwanini walikubali kushiriki uchaguzi ambao wanajua unasimamiwa na Tume isiyo huru?

Kwanini mlikubaliana na kanuni za uchaguzi zilizowekwa na tume ambayo si huru?

Sasa mnapovunja kanani na maadili ya uchaguzi ambazo mlikubaliana nazo na kusaini kwanini Tume isiwe na haki ya kuwawajibisha?

Kwanini unakubali kushiriki uchaguzi ambao una uhakika hata ukishinda hauta tangazwa kuwa mshindi Kama wenyewe mnavyo dai.

Narudia tena maomba majibu na si matusi.

ULitakaje kijana? waachie nyani shamba la ngedere?
 
Kwa kifupi kabisa nina maswali mawili ambayo nataka majibu na si matusi.

Vyema pinzani vinapolalamikia kuwa time so huru, kwanini walikubali kushiriki uchaguzi ambao wanajua unasimamiwa na Tume isiyo huru?

Kwanini mlikubaliana na kanuni za uchaguzi zilizowekwa na tume ambayo si huru?

Sasa mnapovunja kanani na maadili ya uchaguzi ambazo mlikubaliana nazo na kusaini kwanini Tume isiwe na haki ya kuwawajibisha?

Kwanini unakubali kushiriki uchaguzi ambao una uhakika hata ukishinda hauta tangazwa kuwa mshindi Kama wenyewe mnavyo dai.

Narudia tena maomba majibu na si matusi.
Ili kuonyesha Dunia Watanzania Tumechoka kutawaliwa kidikteta na Familia moja
Kama tungesusia uchaguzi ingekua ni Kama serikali za mitaa
Tunataka kuonyesha pamoja na tume yenu Mara hii people's power itatimika
Wengi wataenda the Hague
Haki inapatikana hivi
Hii Ndio tume ya mwisho ya kinafiki
Watanzania tunahali mbaya
We can't breathe
 
TUNAFUNDISHA jinsi ya kujenga hoja kama za LISU tunapatikana Soweto Mbeya mkabala na Sheri ghorofa ya pili chumba kinaangaliana na Ras Simba..ewe mzazi mlete mwanao ajifunze jinsi ya kujenga hoja,hii itamsaidia huko mbeleni
 
Ilituhumiwa anaetuhumiwa hana kosa mpaka lile koa lake liwe approved,Sasa kama watu au vyama havikushiriki au kujitoa ,ungejuaje kama tume sio huru,kushiriki kwa vyama ndio kumeidhihirisha ile hali iliyotuhumiwa kuwa sio huru,si umesikia .

Hadi kufikia sasa viashiria na vionjo vya tume vina vithibitisho kuwa sio huru. Fuatiliao jamaa zako wa tume kwenye press release.Uone vioja.
 
Kwani nchi ambazo vyama tawala vilianguka hapa Africa kulikuwa na tume huru???
Tume haiwezi kuwa huru kirahisi tu ina nguvu ya umma itaifanya iwe huru. Subiri uone nguvu ya umma mwaka huu wewe kilaza wa lumumba
KANU ilianguka hakukuwa na tume huru Kenya na hapa mwaka huu ccm na tume yao watapigwa chini tu.
 
Tume sio huru, na hizo kanuni tumesaini kwa shuruti maana hatuna choice. Mlitunga sheria mbovu ili wapinzani wajitoe na mpite bila kupingwa? Uchaguzi wa SM mliuvuruga wote, na kipi mlifanya kuonyesha kuwa hamkufanya haki? Bila machafuko sio rais watu weusi kuheshimiana.
Huyu nae ni kamanda mwenye akili timamu! Shuruti? Kwani viongozi wetu walishikwa mikono na kulazimishwa kusaini?
 
Back
Top Bottom