Dam55
JF-Expert Member
- Oct 8, 2015
- 5,592
- 11,831
Kwa kifupi kabisa nina maswali mawili ambayo nataka majibu na si matusi.
Vyema pinzani vinapolalamikia kuwa time so huru, kwanini walikubali kushiriki uchaguzi ambao wanajua unasimamiwa na Tume isiyo huru?
Kwanini mlikubaliana na kanuni za uchaguzi zilizowekwa na tume ambayo si huru?
Sasa mnapovunja kanani na maadili ya uchaguzi ambazo mlikubaliana nazo na kusaini kwanini Tume isiwe na haki ya kuwawajibisha?
Kwanini unakubali kushiriki uchaguzi ambao una uhakika hata ukishinda hauta tangazwa kuwa mshindi Kama wenyewe mnavyo dai.
Narudia tena maomba majibu na si matusi.
Vyema pinzani vinapolalamikia kuwa time so huru, kwanini walikubali kushiriki uchaguzi ambao wanajua unasimamiwa na Tume isiyo huru?
Kwanini mlikubaliana na kanuni za uchaguzi zilizowekwa na tume ambayo si huru?
Sasa mnapovunja kanani na maadili ya uchaguzi ambazo mlikubaliana nazo na kusaini kwanini Tume isiwe na haki ya kuwawajibisha?
Kwanini unakubali kushiriki uchaguzi ambao una uhakika hata ukishinda hauta tangazwa kuwa mshindi Kama wenyewe mnavyo dai.
Narudia tena maomba majibu na si matusi.